Wananchi Watakiwa Kuzingatia Taratibu za Uchimbaji Visima, Wahimizwa Kutumia Maji ya Bomba

Mamlaka ya Maji Safi na Usafi wa Mazingira Songea (SOUWASA) imewataka wananchi kuzingatia taratibu za uchimbaji wa visima na kuendelea kutumia maji ya bomba ambayo yamehakikishwa usalama wake. Akizungumza Kaimu Mkurugenzi wa usambazi wa maji safi na usafi wa mazingira kutoka SOUWASA Mhandisi Jafari Yahaya, amesema uchimbaji wa visima si kosa, lakini lazima ufanyike kwa…

Read More

Mahakama yakataa madai ya Lissu

‎‎Dar es Salaam. Mahakama Kuu Masjala Ndogo Dar es Salaam, imekataa madai na maombi ya Mwenyekiti wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema), Tundu Lissu, kuwa wafuasi wake waliofika mahakamani hapo kusikiliza kesi yake, wamefukuzwa katika ukumbi wa Mahakama inayosikilizwa kesi hiyo. Lissu ametoa madai hayo leo Jumanne, Septemba 16,2025 kabla ya kuanza usikilizwaji wa…

Read More

Watupwa jela wakituhumiwa kupanga kumuua rais kichawi

Lusaka. Mahakama kuu nchini Zambia imewahukumu wanaume wawili kifungo cha miaka miwili na miezi sita jela baada ya kuwakuta na tuhuma za kujaribu kumuua Rais wa taifa hilo Hakainde Hichilema kwa kutumia uchawi. Imeelezwa kuwa watuhumiwa hao Leonard Phiri na Jasten Mabulesse Candunde walitiwa hatiani chini ya Sheria ya Uchawi baada ya kukamatwa Desemba wakiwa na…

Read More

Metacha, Al Hilal wang’ara tuzo za CECAFA Kagame Cup

KIPA wa Singida Black Stars,  Metacha Mnata ameibuka kipa bora wa mashindano ya Kombe Kagame (Kagame Cup) yaliyofikia tamati jana Septemba 15, 2025 jijini Dar es Salaam. Mbali na Metacha, timu ya Al Hilal ya Sudan imetwaa tuzo ya ‘fair play’ katika mashindano hayo, tuzo waliyobidhiwa na mwakilishi kutoka Times FM, katika hafla ya utoaji…

Read More

Shida walimu kutekeleza mtalaa mpya

Dodoma. Mtalaa ulioboreshwa ulioandaliwa na Wizara ya Elimu, Sayansi na Teknolojia kupitia Taasisi ya Elimu Tanzania (TET) unaendelea kutekelezwa.  Pamoja na mambo mengine, lengo la mtalaa huu ni kuhama kutoka kumkaririsha mwanafunzi maarifa kwa minajili ya kufaulu mitihani, kwenda kwenye hatua ya kumwezesha mwanafunzi kupata mahiri zinazoweza kumsaidia kuendesha maisha yake hata baada ya masomo. …

Read More

Lissu aigomea Mahakama kuendelea na kesi, atoa masharti

‎‎Dar es Salaam. Mwenyekiti wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema), Tundu Lissu, ameigomea Mahakama Kuu Masjala Ndogo Dar es Salaam kuendelea na usikilizwaji wa kesi ya uhaini inayomkabili, kwa madai ya wanachama na wafuasi wa chama hicho kufukuzwa mahakamani. Lissu ametoa madai hayo leo Jumanne Septemba 16, 2025 kabla ya kuanza  usikilizwaji wa sababu…

Read More

Mashambulio mabaya na huduma zinazoanguka zinasukuma Sudan karibu na janga – maswala ya ulimwengu

Kulingana na ripoti za eneo hilo, kufyatua risasi nzito na kushambuliwa mwishoni mwa wiki iliyopita huko El Fasher, mji mkuu wa Jimbo la Darfur Kaskazini, uliwauwa raia wasiopungua sita na alama zilizojeruhiwa zaidi, na kusababisha uhamishaji mpya kutoka mji uliokuwa umezingirwa tayari. Sudan imekuwa ikizungukwa katika vita vya wenyewe kwa wenyewe vya kikatili Kati ya…

Read More