Sh30 bilioni kupeleka huduma za matibabu Kaskazini Unguja
Unguja. Ili kutatua changamoto za wananchi katika kufuata huduma za matibabu, Sh30.44 bilioni zimetengwa kwa ajili ya ujenzi wa hospitali ya Mkoa wa Kaskazini Unguja. Itakapokamilika, hospitali hiyo itapunguza gharama za kufuata huduma za matibabu katika Hospitali ya Mkoa wa Mjini Magharibi, Lumumba, au nje ya Zanzibar. Hatua hiyo imefikiwa baada ya Wizara ya Afya…