Fei Toto aipa pigo Azam FC

KIKOSI cha Azam kipo Bukoba kwa ajili ya mechi ya Ligi Kuu Bara dhidi ya Kagera Sugar, lakini kikiwa na pigo baada ya kiungo mshambuliaji nyota, Feisal Salum ‘Fei Toto’ kutokuwepo kutokana na kuwa majeruhi, huku kocha akidai kuvurugwa kwa kumkosa. Inaelezwa nyota huyo anayeongoza kwa asisti katika ligi akiwa nazo 13 ameshindwa kuambatana na…

Read More

DC MANGWALA "MTUMISHI ATAKAYEKULA FEDHA ZA MAENDELEO ATAZITAPIKA"

NA WILLIUM PAUL, ROMBO. WATUMISHI wa Umma wilayani Rombo mkoani Kilimanjaro wametakiwa kuhakikisha fedha zinazoletwa na serikali kwa ajili ya miradi ya maendeleo zitumike kama zilivyokusudiwa na yeyote atakayebaini kuzitumia kinyume atazitapika. Hayo yalisemwa na Mkuu wa wilaya ya Rombo, Raymond Mwangwala katika mkutano wa hadhara uliofanyika Tarafa ya Mengwe kata ya Mamsera ambapo alisema…

Read More

DKT. MRAMBA ATEMBELEA BANDA LA CBE SABASABA

Naibu Mkuu wa Chuo cha Elimu ya Biashara(CBE), anayeshughulikia Taaluma Utafiti na Ushauri Dk. Nasibu Mramba leo, Julai 09,2024 ametembelea Maonesho ya Kimataifa ya 48 ya Biashara (Sabasaba), na kufika katika Banda la Chuo hicho ambapo pamoja na mambo mengine alipata nafasi ya kusikiliza kazi za kibunifu zilizifanywa na wanafunzi wa Chuo hicho. Dk. Mramba…

Read More

Migomo ya wafanyabiashara, Tume yapewa zigo hili..

Dar es Salaam. Licha ya baadhi ya wadau kupongeza hatua ya Rais Samia Suluhu Hassan kuunda Tume ya Rais ya Kutathmini na Kushauri kuhusu Masuala ya Kodi, wametaka tume hiyo ihusishe walengwa wanaolalamikia mifumo ya kodi. Kwa mujibu wa taarifa ya Kurugenzi ya Mawasiliano ya Rais Ikulu iliyotolewa jana Jumatano, Julai 31, 2024, tume hiyo…

Read More

Mambo yanayoathiri afya | Mwananchi

Dar es Salaam. Imeelezwa kuwa, baadhi ya mambo unayofanya au usiyoyafanya kila siku, yanaweza kuzuia jitihada zako za kuwa na afya bora. Wakizungumza leo Jumatatu Julai 21, 2025 kwa nyakati tofauti wataalamu wa afya wamesema kutosamehe na kutosahau vinachangia magonjwa, changamoto za afya ya akili na matukio ya ukatili ikiwamo kuua na kujiua. Daktari bingwa…

Read More

CCM yamkaribisha Mchungaji Msigwa wa Chadema

Arusha. Chama cha Mapinduzi (CCM), kimemkaribisha ndani ya chama hicho, aliyekuwa Mwenyekiti wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema), Kanda ya Nyasa, Mchungaji Peter Msigwa.  Ukaribisho huo, umetangazwa leo Jumatatu, Juni 3, 2024 katika mkutano mkubwa wa hadhara, uliofanyika Soko la Kilombero, Arusha Mjini na Katibu wa Itikadi, Uenezi na Mafunzo wa CCM, Amos Makalla….

Read More