FCC, ZFCC ZASAINI MKATABA KULINDA USHINDANI WA HAKI SOKONI
:::::::: Tume ya Ushindani (FCC) ya Tanzania Bara na Tume ya Ushindani wa Haki Zanzibar (ZFCC) zimetia saini mkataba wa makubaliano wenye lengo la kuhakikisha kuwepo kwa mazingira ya ushindani wa haki katika masoko na kulinda maslahi ya walaji ndani ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania. Makubaliano hayo yamelenga kuimarisha ushirikiano wa kisheria, kitaalamu na…