FCC, ZFCC ZASAINI MKATABA KULINDA USHINDANI WA HAKI SOKONI

:::::::: Tume ya Ushindani (FCC) ya Tanzania Bara na Tume ya Ushindani wa Haki Zanzibar (ZFCC) zimetia saini mkataba wa makubaliano wenye lengo la kuhakikisha kuwepo kwa mazingira ya ushindani wa haki katika masoko na kulinda maslahi ya walaji ndani ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania. Makubaliano hayo yamelenga kuimarisha ushirikiano wa kisheria, kitaalamu na…

Read More

Bajana atua jeshini na mzuka

BAADA ya kuagana na uongozi na wechezaji wenzake wa Azam FC,  kiungo Sospeter Bajana ametua JKT Tanzania akiwa na mzuka mwingi, akisema yupo tayari kwa ushindani ndani ya kikosi hicho anachoamini kitamrudisha katika ubora aliokuwa nao awali. Bajana amemalizana na Azam baada ya kuitumikia kwa miaka 15 na msimu ujao atakuwa na kazi jeshini kuitumikia…

Read More

“Vita vya wenyewe kwa wenyewe Havitaepukika” – Masuala ya Ulimwenguni

Waandamanaji wa Iran waandamana katikati ya jiji la Manchester. Akiungwa mkono na Israel, Reza Pahlavi, mtoto wa mfalme aliyepinduliwa nchini Iran mwaka 1979, amekuwa sura inayoonekana zaidi ya upinzani wa Iran uliogawanyika. Credit: Karlos Zurutuza/IPS na Karlos Zurutuza (Manchester, Ufalme wa Muungano) Jumanne, Machi 17, 2026 Inter Press Service MANCHESTER, Uingereza, Machi 17 (IPS) –…

Read More

Upelelezi kesi ya ‘Dk Manguruwe’ uko hivi

Dar es Salaam. Upelelezi wa kesi ya uhujumu uchumi inayomkabili Mkurugenzi wa Kampuni ya Vanilla International Ltd, Simon Mkondya (40), maarufu Dk Manguruwe, upo katika hatua za mwisho kukamilika. Wakili wa Serikali, Winiwa Kassala, ameiambia Mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu leo, Jumata-tu Septemba 29, 2025, wakati kesi hiyo ilipoitwa kwa ajili ya kutajwa. Mkondya na…

Read More