DIWANI SALOME AMPONGEZA MDAU TAIKO KULUNJU KWA KUSIMAMIA MAENDELEO
Na Mwandishi wetu, Mirerani DIWANI wa Kata ya Mirerani Wilayani Simanjiro Mkoani Manyara, Salome Nelson Mnyawi amempongeza mdau wa maendeleo wa mkoa huo Taiko Kulunju Ole tipa kwa kusimamia vyema ujenzi wa kituo kipya cha afya cha Tanzanite cha kata hiyo. Diwani Salome ameyasema hayo kwenye maadhimisho ya siku ya wakina baba duniani ambapo kiwilaya…