Bashe: Mazao ya wakulima kuuzwa kidijitaji

Dar es Salaam. Serikali imekuja na mfumo ambao utawezesha ufuatiliaji wa moja kwa moja wa mazao yanayonunuliwa na Wakala wa Hifadhi wa chakula wa Taifa (NFRA), huku ukitajwa kuondoa kilio cha wakulima kudai kuibiwa. Mfumo huo wa kidijitali utamuwezesha mkulima kupata risiti ya mzigo wake kupitia simu ya mkononi, juu ya uzito wa mzigo husika…

Read More

MSONDE AWATAKA WALIMU KUBUNI NYEZO KUTAMBUA UWEZO WA MWANAFUNZI

Naibu Karibu Mkuu Wizara ya Tamisemi anaeyeshughulikia Elimu Dkt. Charles Msonde amewataka walimu kutumia moja ya Kanuni za kuchunguza uwezo wa mwanafunzi na kutumia nyezo zitakazomwezesha mwanafunzi huyo kuelewa vizuri masomo badala ya kuharakisha kumaliza mada (Topics). Dkt. Msonde amesema hayo wakati akizungumza na walimu wa shule mbalimbali za Halmashauri ya wilaya ya Mbogwe katika…

Read More

Padri aliyemwagiwa tindikali 2013 zanzibar afariki

Unguja. Padri wa Kanisa Katoliki Jimbo la Zanzibar, Anselmo Mwang’amba amefariki dunia Februari 27, 2025 kisiwani hapa. Taarifa iliyotolewa na Askofu Mkuu jimbo hilo, Agustino Shao imesema mipango ya mazishi inaendelea. “Roho ya padri Anselmo Mwanga’mba ipate rehema kwa Mungu ipumzike kwa amani,” imeeleza sehemu ya taarifa hiyo. Akizungumza na Mwananchi Digital leo Februari 28,…

Read More

Henry Joseph hana presha Moro Kids

LICHA ya kuanza kwa kusuasua katika First League, nyota wa zamani wa Simba na Mtibwa Sugar, Henry Joseph Shindika amesema hana hofu yoyote kwani anajua mwisho wa msimu ataifikisha Moro Kids katika nchi ya ahadi. Henry anayeinoa Moro Kids ameanza bila ushindi katika mechi tatu za kundi A kwenye First League akiambulia sare dhidi ya…

Read More

Mtoto aliyeibwa Januari 15 apatikana kwenye mashamba ya miwa

Kilosa. Mtoto Shamimu Nasibu, mwenye umri wa miaka miwili ambaye aliripotiwa kupotea alipokuwa akicheza na mwenzake karibu na nyumbani kwao, hatimaye amepatikana akiwa hai kwenye mashamba ya miwa katika Kijiji cha Kisanga, kata ya Ruaha, Wilaya ya Kilosa mkoani Morogoro. Mtoto huyo aligunduliwa na wasamaria wema waliokuwa wakipita katika mashamba hayo. Akizungumza na Mwananchi leo…

Read More

VIDEO: Lissu aomba ajitetee mwenyewe mahakamani, ataja sababu

Dar es Salaam. Mwenyekiti ya Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema), Tundu Lissu ameomba mahakamani ajitetee mwenyewe huku akitaja sababu ni kuwa mawakili wake kutopewa nafasi ya faragha kuzungumza naye gerezani. Lissu amebainisha hayo leo Jumatatu Juni 16, 2025 wakati kesi yake ikianza kusikilizwa katika Mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu. Lissu anakabiliwa na kesi ya…

Read More

Muhimbili kujenga hosteli za kufikia ndugu wa wagonjwa

Dodoma. Hospitali ya Taifa Muhimbili, imeandaa  mpango wa uendelezaji wa eneo la hospitali (Master plan) ambapo miongoni mwa maeneo yatakayokuwepo kwenye mpango huo ni kujenga hosteli za bei nafuu ambazo ndugu wa wagonjwa watakaa. Naibu Waziri wa Afya, Dk Godwin Mollel ameyasema hayo leo Mei 17,2024 wakati akijibu swali la msingi la Mbunge wa Viti…

Read More