Alliance Girls yaongeza watatu dirisha dogo

INAELEZWA Alliance Girls ya Mwanza imekamilisha usajili wa wachezaji watatu waliokuwepo kwenye mashindano ya Ligi ya Mabingwa wa Mikoa yaliyofanyika jijini Mwanza. Alliance iko nafasi ya nne kwenye msimamo wa ligi ikikusanya pointi 20 kwenye mechi tisa imeshinda sita, sare moja na kupoteza mechi mbili. Wachezaji hao ni Hafsa Baruani kutoka Mshikamano Queens ambaye kwenye…

Read More

Mbinu familia kubuni vipato vya ziada 

Katika dunia ya sasa yenye changamoto nyingi za kiuchumi, familia haziwezi tena kutegemea chanzo kimoja cha kipato. Kutegemea mshahara pekee au biashara moja ni sawa na kuweka mayai yote kwenye kapu moja; ikitokea tatizo, familia hujikuta kwenye hali ngumu ya kifedha. Hivyo basi, ni muhimu kwa familia kupanga na kuandaa vyanzo tofauti vya kipato ili…

Read More

Nguvu ya maneno chanya inavyogeuza moyo wa mtoto   

Majuzi nilizungumza na Richard anayeishi na mama yake. Baba aliwaacha miaka mingi iliyopita. Richard hajui sababu. Tangu wakati huo maisha yamekuwa magumu sana. Mama alilazimika kufanya kazi mbili kwa wakati mmoja. Asubuhi alikuwa mfanyakazi ndani. Jioni aligeukia kuuza chakula barabarani. Hata hivyo, pamoja na jitihada zote hizo maisha yalikuwa magumu. Kila mara alilalamika. Richard alijisikia…

Read More

ONGEA NA ANTI BETTIE: Mama mkwe ananitaka nifanyeje?   

Habari Anti, kwa masikitiko makubwa ninakueleza kuwa nakosa uamuzi ni kwa namna gani nitamkwepa mama mkwe wangu anayenitaka kimapenzi. Ulianza kama urafiki wa mama na mwanaye, tunatoka kwa ajili ya matembezi na kupata viburudisho, kumbe alikuwa na jambo lake sasa kanitamkia moja kwa moja kuwa ananitaka kibaya zaidi ananinyima amani maana amenikalia kooni. Kwa mara…

Read More

2026 mwaka wa uponyaji, mwanzo mpya wa ndoa

Mwaka mpya unapofika, mara nyingi tunatafakari kuhusu malengo mapya ya kazi, fedha, afya na maendeleo binafsi. Hata hivyo, eneo moja muhimu sana la maisha ya binadamu mara nyingi husahaulika au kuachwa pembeni, eneo hilo ni ndoa. Ndoa ni taasisi hai; inapumua kwa mazungumzo, inakua kwa upendo, na hudhoofika inapokosa uangalizi. …

Read More

Wasudan waliokuja kusoma udaktari wahitimu, waishukuru Tanzania

Dar es Salaam. Kundi la wanafunzi zaidi ya 190 kutoka nchini Sudan waliokuwa wanasoma udaktari  Tanzania wamehitimu masomo yao na kushukuru kwa ukarimu walioupata. Wanafunzi hao wa Chuo Kikuu cha Sayansi na Teknolojia ya Matibabu (UMST), walikwenda nchini Tanzania miaka miwili iliyopita baada ya kukumbwa na vita nchini kwao, walikuwa wakisoma huku wakipata mafunzo kwa…

Read More

Talaka ni jeraha, halitibiki kwa sherehe  

Ingawa inaweza kuonekana kama jambo la ajabu, siku hizi kumeibuka mtindo mpya wa baadhi ya watu kusherehekea talaka. Kwa kizazi cha zamani, jambo hili ni geni na linakinzana na maadili ya kijamii. Licha ya kuwa linaanza kuzoeleka kutokana na ushawishi wa mitandao ya kijamii, swali la msingi linabaki: Je, kiakili na kiuhalisia, kuna chochote cha…

Read More