Watupwa jela wakituhumiwa kupanga kumuua rais kichawi

Lusaka. Mahakama kuu nchini Zambia imewahukumu wanaume wawili kifungo cha miaka miwili na miezi sita jela baada ya kuwakuta na tuhuma za kujaribu kumuua Rais wa taifa hilo Hakainde Hichilema kwa kutumia uchawi. Imeelezwa kuwa watuhumiwa hao Leonard Phiri na Jasten Mabulesse Candunde walitiwa hatiani chini ya Sheria ya Uchawi baada ya kukamatwa Desemba wakiwa na…

Read More

Metacha, Al Hilal wang’ara tuzo za CECAFA Kagame Cup

KIPA wa Singida Black Stars,  Metacha Mnata ameibuka kipa bora wa mashindano ya Kombe Kagame (Kagame Cup) yaliyofikia tamati jana Septemba 15, 2025 jijini Dar es Salaam. Mbali na Metacha, timu ya Al Hilal ya Sudan imetwaa tuzo ya ‘fair play’ katika mashindano hayo, tuzo waliyobidhiwa na mwakilishi kutoka Times FM, katika hafla ya utoaji…

Read More

Shida walimu kutekeleza mtalaa mpya

Dodoma. Mtalaa ulioboreshwa ulioandaliwa na Wizara ya Elimu, Sayansi na Teknolojia kupitia Taasisi ya Elimu Tanzania (TET) unaendelea kutekelezwa.  Pamoja na mambo mengine, lengo la mtalaa huu ni kuhama kutoka kumkaririsha mwanafunzi maarifa kwa minajili ya kufaulu mitihani, kwenda kwenye hatua ya kumwezesha mwanafunzi kupata mahiri zinazoweza kumsaidia kuendesha maisha yake hata baada ya masomo. …

Read More

Lissu aigomea Mahakama kuendelea na kesi, atoa masharti

‎‎Dar es Salaam. Mwenyekiti wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema), Tundu Lissu, ameigomea Mahakama Kuu Masjala Ndogo Dar es Salaam kuendelea na usikilizwaji wa kesi ya uhaini inayomkabili, kwa madai ya wanachama na wafuasi wa chama hicho kufukuzwa mahakamani. Lissu ametoa madai hayo leo Jumanne Septemba 16, 2025 kabla ya kuanza  usikilizwaji wa sababu…

Read More

Mashambulio mabaya na huduma zinazoanguka zinasukuma Sudan karibu na janga – maswala ya ulimwengu

Kulingana na ripoti za eneo hilo, kufyatua risasi nzito na kushambuliwa mwishoni mwa wiki iliyopita huko El Fasher, mji mkuu wa Jimbo la Darfur Kaskazini, uliwauwa raia wasiopungua sita na alama zilizojeruhiwa zaidi, na kusababisha uhamishaji mpya kutoka mji uliokuwa umezingirwa tayari. Sudan imekuwa ikizungukwa katika vita vya wenyewe kwa wenyewe vya kikatili Kati ya…

Read More

Bado Watatu – 30 | Mwanaspoti

NIKAMJIBU: “RAISA, akijua, urafiki hautakuwepo tena kwa sababu nilimficha ukweli; na isitoshe, huyo Shefa alikuwa rafiki yake sana.”“Sasa msubiri baba yako aje umueleze; usikie atakwambia nini.”“Baba utamueleza wewe. Mimi siwezi kumueleza.”“Basi msubiri. Aliniambia anakwenda benki. Pengine muda huu anarudi.”Wakati mama ananiambia hivyo, Raisa akanipigia simu. Nikaipokea.“Habari ya huko, shoga?” akanisalimia.“Nzuri. Umeamkaje?”“Nashukuru, kumekucha. Ndiyo, nakufuata —…

Read More

 Kwa Mashaka ni kazi tu msimu huu

MSHAMBULIAJI mpya wa JKT Tanzania, Valentino Mashaka amesema anajipanga kuhakikisha huduma yake inaifaa timu hiyo kwa msimu wa 2025/26 unaotarajia kuanza Septemba 17. JKT Tz itaanza mechi yake ya kwanza ugenini dhidi ya Mashujaa itakayopigwa Septemba 18, jambo ambalo Mashaka alisema anatamani kuanza na mguu wa neema wa kufunga bao, ili ndoto zake kuwa na…

Read More

Ligi Bara yambeba kipa Mkongomani

ALIYEKUWA kipa wa Dodoma Jiji, Mkongomani Alain Ngeleka, amesema Ligi Kuu Bara imempa fursa ya kuonekana zaidi baada ya nyota huyo kukamilisha uhamisho wa kujiunga na kikosi cha Bandari ya Kenya kwa ajili ya kukitumikia msimu wa 2025-2026. Akizungumza na Mwanaspoti, Ngeleka alisema kucheza kwa muda mrefu katika Ligi Kuu Bara kumechangia kupata nafasi hiyo…

Read More

Wagosi wa kaya wapo tayari Bara

KOCHA Mkuu wa Coastal Union, Ally Ameir amesema kikosi hicho kipo tayari kukabiliana na Tanzania Prisons katika mechi ya kwanza ya Ligi Kuu Bara inayotarajiwa kupigwa Septemba 17, kwenye Uwanja wa Mkwakwani, jijini Tanga. Pambano hilo la Wagosi wa Kaya waliowahi kuwa mabingwa wa Ligi Kuu (enzi za Ligi Daraja la Kwanza) mwaka 1988, ni…

Read More