Alliance Girls yaongeza watatu dirisha dogo
INAELEZWA Alliance Girls ya Mwanza imekamilisha usajili wa wachezaji watatu waliokuwepo kwenye mashindano ya Ligi ya Mabingwa wa Mikoa yaliyofanyika jijini Mwanza. Alliance iko nafasi ya nne kwenye msimamo wa ligi ikikusanya pointi 20 kwenye mechi tisa imeshinda sita, sare moja na kupoteza mechi mbili. Wachezaji hao ni Hafsa Baruani kutoka Mshikamano Queens ambaye kwenye…