FURAHA YATANDA KWA KINAMAMA WA JAI BAADA YA RAMADHANI CHARITY PROGRAM KUTOA IFTAR
Furaha imetanda kwa kinamama wa taasisi ya JAI baada ya kupokea sadaka ya Iftar kutoka kwa taasisi ya Ramadhani Charity Program 2026, ikiwa ni sehemu ya kuendelea kusaidia jamii katika mwezi mtukufu wa Ramadhani. Akizungumza wakati wa kukabidhi sadaka hiyo, Mwenyekiti wa Ramadhani Charity Program 2026, Ahmed Misanga, aliwapongeza kinamama wa JAI kwa kuwa mstari…