MAFUNZO YA UFUATILIAJI NA TATHMNI KWA WIZARA, IDARA ZINAZOJITEGEMEA, WAKALA WA SEREKALI NA MASHIRIKA YA UMMA YAFANYIKA JIJINI TANGA
Mwandishi Wetu Chuo Kikuu Huria cha Tanzania kupitia kitengo chake maalumu cha ushauri wa kitaalam na kwa kushirikiana na washirika wa chuo kimeendelea kutekeleza makubaliano na Ofisi ya Waziri Mkuu Sera, Bunge na Uratibu ya kuimarisha mifumo ya Ufuatiliaji na Tathmini nchini. Kwa kushirikiana na Ofisi ya Waziri Mkuu (Sera, Bunge na Uratibu), Ofisi ya…