SHULE MPYA YA MAPINDUZI KUWAONDOLEA ADHA YA UMBALI WANAFUNZI

Na Mwandishi Wetu, Handeni HALMASHAURI ya Mji Handeni mkoani Tanga imeandika historia mpya baada ya kukamilisha ujenzi wa Shule ya Amali ya Mapinduzi, hatua itakayowaondolea wanafunzi adha ya kutembea umbali wa kilometa 22 kila siku kufuata elimu katika Shule ya Sekondari Kwenjugo. Mradi huo uliofadhiliwa na serikali kupitia Mpango wa Kuimarisha Elimu ya Sekondari (SEQUIP)…

Read More

Nyota Twiga Stars apata dili Uturuki

MCHEZAJI wa timu ya taifa ya Wanawake ya Tanzania, Twiga Stars, Noela Luhala amejiunga naAntalyaSpor 1207 inayoshiriki Ligi Kuu ya Uturuki. Noela ambaye msimu uliopita alikuwa akicheza Asa Tel Aviv ya Israel, alisafiri kwenda Uturuki jana tayari kuanza kuitumikia timu hiyo aliyosaini nayo mkataba wa mwaka mmoja ambao una kipengele cha kumruhusu kuondoka ifikapo Januari…

Read More

Viazi lishe kuinua kipato cha wakulima

Iringa. Serikali ya Mkoa wa Iringa kwa kushirikiana na wadau wa maendeleo, imezindua rasmi mbegu za miche ya viazi lishe, hatua inayolenga kuimarisha usalama wa chakula, kuboresha lishe na kuongeza kipato cha wakulima wa mkoa huo. Uzinduzi huo umefanyika leo Jumatatu Machi 2, 2026 katika Ofisi ya Mkuu wa Mkoa wa Iringa na kuongozwa na…

Read More

Wanachama 160 kutoka Mwanza kushuhudia Simba Day

MAKAMU Mwenyekiti wa Matawi ya Simba Mkoa wa Mwanza, Juma Kayugwa amesema mashabiki na wanachama 54 wamewasili Dar es Salaam kwa ajili ya kushuhudia Tamasha la Simba Day litakalofanyika leo, Jumatano kwenye Uwanja wa Benjamin Mkapa. Akizungumza na Mwanaspoti, Kayugwa alisema wanatarajia kuwa na zaidi ya wanachama 160 kutoka Mwanza. “Tumeambatana na baadhi ya viongozi…

Read More

Fyatu ‘kuchangisha’ matrilioni ya kampeni

Japo mie na chata letu tumepiga njuluku za mafyatu hata kabla ya dunia kuumbwa, lazima tuzidi kuwafyatua ili wasitufyatue. Hakuna wakati mzuri wa kufyatua njuluku za mafyatu hasa wale mafisi na mafisadi kama huu. Kwa vile huu ni wakati wa kupika kura ya kula, lazima wasaka kura ya kula waliwe na wapika kura ya kula….

Read More

IPTL YAPATA USHINDI: MWENYEKITI ASAFISHWA NA POLISI

  JESHI la Polisi Tanzania limetoa cheti cha kumsafisha Mwenyekiti wa Kampuni ya Independent Power Tanzania Limited (IPTL), Harbinder Singh Sethi dhidi ya uhalifu katika kumbukumbu zao. Cheti cha Kibali cha Polisi chenye kumbukumbu namba FB/FP/G.4/2026/VOL.III/49198, kimetolewa na Ofisi ya  Uchunguzi wa alama za vidole na Jeshi la Polisi  jijini Dar es Salaam. Cheti hicho…

Read More

Kariakoo Derby Kupigwa Amaan Complex Leo Usiku

Global Publishers March 1, 2026 0 Comments Macho na masikio ya mashabiki wa soka nchini yataelekezwa Zanzibar usiku wa leo wakati watani wa jadi watakapokutana katika pambano la Kariakoo Derby. Mchezo huo unatarajiwa kupigwa katika dimba la Amaan Stadium (Amaan Complex) kuanzia saa 2:15 usiku, huku presha ikiwa kubwa kwa kila upande kusaka ushindi muhimu….

Read More

Mauaji ya mwanaharakati wa Trump kuzua mpasuko mpya wa kisiasa Marekani

Washington. Rais Donald Trump ameagiza bendera ya taifa kupeperushwa nusu mlingoti, huku akitoa ujumbe mzito wa maombolezo kufuatia mauaji ya mwanaharakati na mshirika wake wa karibu, Charlie Kirk, yaliyotokea katika chuo kikuu huko Utah. Trump kupitia video fupi ya dakika nne aliyoichapisha kwenye akaunti yake ya Truth Social amelaani kitendo hicho kwa kusema; “kuwafanya wapinzani…

Read More