DC MPOGOLO ATOA MAELEKEZO SIKU YA LISHE

Mkuu wa Wilaya ya Ilala, Edward Mpogolo, ameongoza maadhimisho ya Siku ya Lishe Duniani, ambayo kiwilaya yamefantika  katika viwanja vya Shule ya Msingi Majohe, huku akitoa maelekezo kadhaa. Akizungumza katika maadhimisho hayo, jijini Dar es Salaam,  DC Mpogolo, ameelekeza  chakula  kutolewa shuleni kuwa ni jambo lazima hivyo kuzitaka kamati za shule, maofisa elimu kata na…

Read More

Mabingwa Misri kumpa dili nono Mtanzania

BAADA ya kufanya vizuri kwenye msimu wake wa kwanza tu wa ligi, Mabingwa wa Ligi ya Wanawake FC Masar imemuandalia dili nono Mtanzania Hasnath Ubamba. Ubamba alisajiliwa msimu huu kwa mkopo wa mwaka mmoja akitokea Fountain Gate Princess ya Tanzania. Taarifa ilizopata Mwanaspoti kutokea Misri ni timu hiyo iko kwenye mchakato wa kumnunua moja kwa…

Read More

Samatta mambo magumu Ugiriki | Mwanaspoti

NAHODHA wa Tanzania, Mbwana Samatta mambo yanaonekana kuwa magumu kwa upande wake akiwa na PAOK ya Ugiriki amekuwa akikosa nafasi ya kuanza kwenye kikosi cha kwanza cha timu yake hiyo. Msimu wake wa kwanza akiwa PAOK 2023/24 Samatta alicheza mechi 29 za mashindano yote akifunga mabao mawili huku msimu huu akicheza mechi sita akiwa hana…

Read More

Chakula sio chache, lakini watu wengi hawawezi kuipata – maswala ya ulimwengu

Maoni na Jennifer Clapp (Waterloo, Ontario, Canada) Jumanne, Februari 18, 2025 Huduma ya waandishi wa habari Waterloo, Ontario, Canada, Februari 18 (IPS) – Historia imetuonyesha tena na tena kwamba, kwa muda mrefu ikiwa usawa hautasimamiwa, hakuna kiwango cha teknolojia kinachoweza kuhakikisha kuwa watu wanalishwa vizuri. Leo, ulimwengu hutoa chakula zaidi kwa kila mtu kuliko Milele…

Read More

Mtoto wako anafurahia utoto wake?

Tunaishi kwenye dunia inayopitia mabadiliko mengi. Mabadiliko haya ya kijamii na kiuchumi, kwa kiasi kikubwa, yamezidisha matarajio tuliyonayo kwa maisha. Ukiacha matarajio mengi tuliyonayo kwetu binafsi, kuna matarajio mengi hata kwa wenza wetu. Mke, kwa mfano, anatarajia mume wake awe kila kitu anachokifahamu kuhusu mwanamume. Mume wake ana kazi ya kuwa mcha Mungu, mtu wa…

Read More

Jaji Werema afariki dunia – Mwanahalisi Online

  ALIYEKUWA Mwanasheria Mkuu (AG) wa Serikali, Frederick Werema amefariki dunia leo, tarehe 30/12/2024 katika Hospital ya Muhimbili. Taarifa za kifo chake zimetolewa leo na Salome Ntaro, ambaye ni Katibu Parokia ya Mt. Martha ambayo marehemu Werema alikuwa mwenyekiti wake. Kwa mujibu wa Ntaro, taratibu za msiba huo zinaendelea kwa kushirikiana na ndugu pamoja na…

Read More

DC MPOGOLO USAFI ZOEZI LA KUDUMU ILALA.

    Katika kuhakikisha  zoezi la usafi linakua la kudumu, Mkuu wa wilaya ya Ilala  Edward Mpogolo amewataka wananchi, wafanyabiashara na taasisi zote ndani ya halmashauri hiyo kufanya usafi kuwa zoezi la kudumu. Mkuu huyo wa wilaya ya Ilala ameyazungumza hayo wakati wa zoezi maalum la usafi lililofanyika february mosi 2025.  Mpogolo amesema mkakati wa…

Read More