AHADI YA SERIKALI KUFIKISHA UMEME WA GRIDI KAGERA YATEKELEZWA

📌 Dkt.Biteko ashuhudia utiaji saini mikataba itakayowezesha Wilaya zote Kagera kupata umeme wa Gridi 📌 Awali umeme mwingi ulikuwa ukitoka nchini Uganda hivyo kufanya Mkoa kutokuwa na umeme wa uhakika na wa kutosha 📌 Asema Rais.Dkt. Samia alishatoa maagizo ya mradi huo kutekelezwa kwa wakati na kwa usahihi 📌 Aagiza wananchi 1,014 waliopisha mradi kulipwa…

Read More

Bandari, Planet kinapigwa fainali ya pili

JOTO la fainali ya pili ya Dunda Swish Tournament linazidi kuzikumba timu za Bandari Mwanza na Bugando Planet. Fainali hiyo itafanyika Machi 15, 2026 katika Uwanja wa Mirongo mjini Mwanza, ikitanguliwa na mchezo wa fainali ya wanawake kati ya Eagle Queens na Court Queens. Nyota wa Bandari Mwanza, Alphonce Kasekwa alisema timu yake imekuwa ikirekebisha…

Read More

Chaumma yaahidi kujenga barabara ya Uvinza-Kasulu

Kigoma. Mgombea urais wa Tanzania kupitia Chama cha Ukombozi wa Umma (Chaumma), Salum Mwalimu ameahidi kujenga barabara ya lami kutoka Uvinza hadi Kasulu Mjini kupitia Kata ya Basanza, endapo atachaguliwa kuwa Rais Oktoba 29, mwaka huu. Akizungumza katika mkutano wa kampeni uliofanyika leo Septemba 20, 2025, katika Kata ya Basanza, Mwalimu amesema barabara hiyo ni…

Read More

Tathmini yabaini udhaifu wa kuhesabu kwa wanafunzi wa awali

Dodoma. Tathmini iliyofanywa na Serikali kuhusu stadi za Kusoma, Kuandika na Kuhesabu (KKK) kwa wanafunzi wa darasa la awali hadi la tatu imebaini kuwa stadi ya kuhesabu iko chini ikilinganishwa na stadi za kusoma na kuandika. Kwa mujibu wa matokeo ya tathmini hiyo, wanafunzi wengi wanafanya vizuri zaidi katika kusoma, ikifuatiwa na kuandika, huku kuhesabu…

Read More

WAJASIRIAMALI 238 WADOGO WAFIKIWA NA HUDUMA ZA VIWANGO TBS KANDA KASKAZINI

Meneja wa Kanda ya Kaskazini (TBS), Mhandisi Ismail Mwaipaja, akizungumza na waandishi wa habari mapema leo jijini Arusha kuhusu mafanikio na utekelezaji wa majukumu ya kanda hiyo Mhandisi Mwaipaja amesema TBS Kanda ya Kaskazini imefanikiwa kuthibitisha ubora wa bidhaa za wazalishaji pamoja na wajasiriamali 492, ambapo kati yao 238 ni wajasiriamali wadogo. Hatua hiyo imechangia…

Read More

Gamondi  aanza na sare Kagame 

KOCHA Miguel Gamondi ameanza na sare akiwa na Singida Black Stars kwenye mashindano ya Kombe la Cecafa Kagame dhidi ya Ethiopian Coffee kwenye Uwanja wa Meja Jenerali Isamuhyo. Katika mechi hiyo ya kwanza ya kimashindano kwa kocha huyo aliyewahi kuifundisha Yanga, tangu apewa mikoba ya kuongoza kikosi hicho, Singida BS ilionekana kutokuwa na makali katika…

Read More

TUGHE KUWANOA WAFANYAKAZI NA WAAJIRI ILI KUBORESHA UTENDAJI KAZI

 :::::::::::: 14 Septemba 2025, ARUSHA Chama cha Wafanyakazi wa Serikali na Afya Tanzania (TUGHE) kimeandaa mafunzo yatakayowakutanisha Wafanyakazi na Waajiri yanayojulikana kama “Semina ya Waajiri na Viongozi wa Matawi ya TUGHE yatakayofanyika jijini Arusha kuanzia tarehe 15-18 Septemba 2025. Mafunzo hayo muhimu yanatarajia kuwakutanisha takribani washiriki 1000 kutoka kutoka Serikalini na Taasisi za Serikali na…

Read More

Saba waunganishwa kesi bosi wa Jatu, wasomewa mashtaka 37

Dar es Salaam. Watu saba sambamba na  kampuni ya Jatu Public Limited, wamefikishwa katika Mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu wakikabiliwa na mashtaka 37 yakiwamo ya ubadhilifu wa fedha, kutakatisha fedha na kuisababishia hasara Jatu Saccos ya  Sh3.149 bilioni. Katika mashtaka hayo 37,  32 yanaikabili kampuni ya Jatu Public Limited ambayo ni kutakatisha fedha kwa kujipatia…

Read More

Tetemeko laua 250, likijeruhi 500 Afghanistan

Watu 250 wamefariki na wengine 500 wamejeruhiwa baada ya kutokea tetemeko la ardhi lenye ukubwa wa Richer scale 6.0 nchini Afghanistan usiku wa kuamkia leo. Tukio hili linajiri takriban miaka miwili baada ya tetemeko jingine kubwa lililoua zaidi ya watu 1,000 katika Mkoa wa Herat mwaka 2023 na kuacha  hatari kubwa ya majanga ya asili…

Read More