MAFUNZO YA UFUATILIAJI NA TATHMNI KWA WIZARA, IDARA ZINAZOJITEGEMEA, WAKALA WA SEREKALI NA MASHIRIKA YA UMMA YAFANYIKA JIJINI TANGA

Mwandishi Wetu Chuo Kikuu Huria cha Tanzania kupitia kitengo chake maalumu cha ushauri wa kitaalam na kwa kushirikiana na washirika wa chuo kimeendelea kutekeleza makubaliano na Ofisi ya Waziri Mkuu Sera, Bunge na Uratibu ya kuimarisha mifumo ya Ufuatiliaji na Tathmini nchini. Kwa kushirikiana na Ofisi ya Waziri Mkuu (Sera, Bunge na Uratibu), Ofisi ya…

Read More

Siku tatu zamtosha Mgunda kuikabili Simba

KOCHA Mkuu wa Namungo, Juma Mgunda, amesema kikosi chake kipo tayari kukabiliana na Simba katika mechi ya Ligi Kuu Bara itakayochezwa kesho Oktoba 1, 2025 kwenye Uwanja wa Benjamin Mkapa, Dar es Salaam, saa 2:15 usiku. Mgunda amesema siku tatu walizokuwa jijini Dar es Salaam wamefanya maandalizi kuhakikisha wanapata matokeo mazuri licha ya kukutana na…

Read More

China yatoa fursa zaidi Watanzania kujifunza Kichina

Dar es Salaam. China imetoa fursa ya Watanzania nchini  kupata ufadhili wa kusomeshwa katika Taifa hilo la pili kiuchumi na kwa idadi ya watu duniani. Hayo yamesemwa na Mkurugenzi wa Taasisi ya Confucius ya Chuo Kikuu cha Dar es Salaam inayofundisha lugha ya Kichina (CI), Profesa, Zhang Xiaozhen, wakati wa kukabidhi msaada wa vitabu 100…

Read More

HALOPESA YAADHIMISHA MIAKA NANE,YAWAFARIJI WATOTO NYUMBA YA MATUMAINI JIJINI DAR ES SALAAM

HALOPESA kupitia kampuni ya Mawasiliano HALOTEL, kuelekea siku ya maadhimisho ya Kutimiza miaka 8 katika uazishwaji wa Huduma za HaloPesa pamoja na huhitimisha kilele cha huduma kwa wateja. HaloPesa inatambua mchango wa jamii kwa ujumla katika kufanikisha Mchango wake katika jamii. Mnamo tarehe 11/10/2024 katika kuadhimisha siku hiyo muhimu HaloPesa imeungana kwa pamoja kutembelea Shirika…

Read More

TAARIFA RASMI KUTOKA BOLT TANZANIA

Bolt Tanzania  inatambua kurejea kwa huduma za intaneti nchini Tanzania. Tunatambua pia wito wa serikali kwa wananchi kurejea kwenye shughuli zao za kawaida baada ya uchaguzi wa wiki iliyopita.Tunatoa pole kwa familia na jamii zote zilizoathirika katika kipindi hiki kigumu wakati juhudi za kutatua changamoto za nchi zinaendelea.  Bolt imerejesha huduma zake za usafiri kote…

Read More

Namba zaipa Simba bao 2 dhidi ya Al Masry

SIMBA ina deni la kurudisha mabao mawili kisha kusaka la ushindi itakapocheza dhidi ya Al Masry ili kufuzu nusu fainali ya Kombe la Shirikisho Afrika. Hiyo inatokana na kipigo cha mabao 2-0 ilichokubali ugenini katika mchezo wa mkondo wa kwanza wa robo fainali ya michuano hiyo uliochezwa Jumatano iliyopita nchini Misri. Kuelekea mchezo huo wa…

Read More

Karibu wanawake milioni 224 bado hawapati mipango ya familia – maswala ya ulimwengu

Matumizi yaliyoongezeka yanaonyesha mafanikio makubwa ya kiafya ambayo yameruhusu mamilioni ya vijana kuzuia ujauzito usiotarajiwa na uchaguzi wa mazoezi juu ya hatima zao, lakini UNFPA Alisema kuwa “kwa wengi sana, haki ya msingi ya kibinadamu ya kuchagua ikiwa watoto wanaendelea kudhoofishwa.” ‘Uzazi wa mpango huokoa maisha’ Kutokuwepo kwa uzazi wa mpango kunasababisha kuongezeka kwa ujauzito…

Read More

Manchester United wanaingia kwenye mazungumzo ya uwezekano wa kubadilishana Mason Greenwood.

Manchester United inakusudia kumuuza Mason Greenwood msimu huu wa joto, lakini bado haijabainika ni vilabu gani vikubwa viko tayari kutoa ofa inayokubalika kwa mshambuliaji huyo mwenye umri wa miaka 22.   Getafe ndio upande pekee ambao wameonyesha nia ya kumuimbia hadharani, lakini anaweza kuishia kama makeweight. Kwa mujibu wa Sport, United na Atletico Madrid ziko…

Read More