Ndoa, uhusiano havijengwi kwa hofu bali heshima
Katika jamii nyingi, bado kuna imani iliyojikita kuwa ili uhusiano au ndoa idumu, lazima mmoja awe na mamlaka ya kuogopwa. Kauli kama “mke anapaswa kumuogopa mumewe” au “lazima uwe mkali ili aheshimu” zimekuwa zikienezwa kwa vizazi. Lakini sayansi ya uhusiano na utafiti vinaonyesha wazi kuwa hofu si msingi wa uhusiano wenye afya. Kinachodumisha ndoa au…