Ndoa, uhusiano havijengwi kwa hofu bali heshima 

Katika jamii nyingi, bado kuna imani iliyojikita kuwa ili uhusiano au ndoa idumu, lazima mmoja awe na mamlaka ya kuogopwa. Kauli kama “mke anapaswa kumuogopa mumewe” au “lazima uwe mkali ili aheshimu” zimekuwa zikienezwa kwa vizazi. Lakini sayansi ya uhusiano na utafiti vinaonyesha wazi kuwa hofu si msingi wa uhusiano wenye afya. Kinachodumisha ndoa au…

Read More

Gadiel Michael kutua Dodoma Jiji

BEKI wa Dodoma Jiji, Miraji Abdallah ‘Zambo’ yupo kwenye hatua za mwisho kutua Singida Black Stars, huku pia nyota wa kikosi hicho, Gadiel Michael akipigiwa chapuo la kurithi nafasi yake. Chanzo kutoka ndani ya Singida kimeliambia Mwanaspoti kuwa Zambo aliyejiunga na Dodoma Jiji akitokea Coastal Union baada ya dili lake la kwenda Simba kuota mbawa…

Read More

JAMII YAASWA KUTOWAFICHA WAGONJWA WA UKOMA

Na WAF, Dodoma Waziri wa Afya Mhe. Mohamed Mchengerwa ameiasa jamii kuachana na dhana potofu ya kuficha wagonjwa wa Ukoma na kujitokeza wanapobaini viashiria vya ugonjwa huo ili kurahisisha jitihada za Serikali kutokomeza ugonjwa huo nchini. Waziri Mchengerwa amesema hayo leo Januari 25 2025, wakati alipozungumza na waandishi wa habari akitoa tamko la maadhimisho ya…

Read More

Wateja walalama umeme kuisha haraka, Tanesco yataja sababu

Dar es Salaam. Wakati baadhi ya wateja wakilalama kuhusu kuisha haraka kwa umeme wanaonunua kupitia mfumo wa Luku, Shirika la Umeme Tanzania (Tanesco), limesema hakuna jibu la moja kwa moja bila kufanyika tathmini ya kitaalamu. Kwa mujibu wa waliotoa malalamiko, wamekuwa wakinunua umeme kiwango kilekile lakini huisha ndani ya muda mfupi licha ya kuwa hawajaongeza…

Read More

Okello awaamsha mashabiki Yanga | Mwanaspoti

ACHANA na matokeo ya kupoteza kwa kipigo cha mabao 2-0 dhidi ya Al Ahly. Mashabiki na wanachama wa Yanga mkoani Mbeya, wamesema hawaidai chochote timu yao, huku wakieleza kuridhishwa na kiwango cha nyota mpya, Allan Okello. Wamesema baada ya matokeo hayo, kwa sasa wanajiandaa kuisapoti timu hiyo itakaposhuka tena uwanjani kuwakaribisha wapinzani hao katika mchezo…

Read More

Azam, Singida BS kanyaga twende CAFCC

WAWAKILISHI wa nchi katika michuano ya Kombe la Shirikisho Afrika, Azam na Singida Black Stars wanashuka viwanjani leo kupambana kujiweka katika nafasi nzuri kuwania kufuzu robo fainali. Azam itakuwa kwenye Uwanja wa Taifa wa Nyayo huko Kenya kucheza dhidi ya Nairobi United saa 10:00 jioni, huku timu zote mbili msimu huu zikiweka rekodi ya kufuzu…

Read More

Jinsi ya Kupunguza Mafuta ya Ini kwa Lishe Sahihi

Last updated Jan 24, 2026 Ini lenye mafuta ni hali inayotokea pale mafuta yanapokusanyika kwa wingi kwenye seli za ini, jambo linaloathiri utendaji wake kwa muda. Ikiwa hali hii haitadhibitiwa mapema, inaweza kusababisha matatizo makubwa ya kiafya kama hepatitis, kovu la ini (fibrosis) na cirrhosis. Kwa mujibu wa wataalamu wa lishe, mabadiliko sahihi ya…

Read More