Serikali Kuifanya Tanzania Kitovu cha Biashara – Dkt. Yonazi
NA. MWANDISHI WETU – DAR ES SALAAM Katibu Mkuu Ofisi ya Waziri Mkuu, Sera, Bunge,Uratibu na Wenye Ulemavu Dkt. Jim Yonazi amesema Serikali imefanya juhudi mbalimbali za Kisera, Sheria na Kimkakati ili kuhakikisha Tanzania inakuwa kitovu cha biashara Afrika Mashariki na Kati. Dkt. Yonazi aliyasema hayo katika kikao cha Kikundi Kazi cha Mazingira ya Biashara…