Kamishna Jenerali Aretas Lyimo Aongoza Ujumbe wa Tanzania IDEC XXXIX Marekani
Nashville, Marekani, 28 Agosti 2025 Kamishna Jenerali wa Mamlaka ya Kudhibiti na Kupambana na Dawa za Kulevya (DCEA), Aretas Lyimo, ameongoza ujumbe wa Tanzania kushiriki Mkutano wa 39 wa Kimataifa wa Mapambano Dhidi ya Dawa za Kulevya (IDEC XXXIX) ulioandaliwa na Mamlaka ya Kudhibiti Dawa za Kulevya ya Marekani (DEA). Mkutano huo umefanyika kuanzia tarehe…