Mtanzania Arjun Kaur Mittal ang’ara Duniani katika Tuzo ya Global Student Prize 2025

Na Seif Mangwangi, Arusha Mwanafunzi Mtanzania Arjun Kaur Mittal ameweka historia kwa kuchaguliwa miongoni mwa wanafunzi 50 bora duniani wanaowania Tuzo ya Kimataifa ya Chegg.org Global Student Prize 2025, tuzo yenye hadhi ya kimataifa inayotolewa kwa wanafunzi wenye mchango mkubwa katika elimu, jamii na maendeleo ya kijamii. Tuzo hiyo, inayotoa zawadi ya Dola 100,000 kwa…

Read More

BALOZI NCHIMBI AFUNGA KONGAMANO LA WAFUGAJI

Matukio mbalimbali katika picha, yakionesha kongamano la wafugaji lililofanyika mkoani Simiyu, Wilaya ya Bariadi, katika viwanja vya Nyakabindi, ambapo mgeni rasmi, aliyelifunga leo Jumapili, tarehe 15 June 2025, alikuwa ni Katibu Mkuu wa Chama Cha Mapinduzi (CCM), Balozi Dkt. Emmanuel John Nchimbi.

Read More

MANISPAA YA KAHAMA YARIDHISHWA NA MCHAKATO WA UFUNGAJI WA MGODI WA BARRICK BUZWAGI

Meneja Uhusiano wa Jamii na Miradi wa Barrick Buzwagi, Stanley Joseph, akionyesha Maofisa kutoka manispaa ya Kahama sehemu za mgodi zilivyoboreshwa kwa ajili ya uwekezaji walipofanya ziara mgodini hapoJohn Kibini Meneja wa Kiwanda cha EACS Akitoa Maelezo kwa Wataalam kutoka Manispaa ya kahama walipotembelea eneo la Mgodi wa Barrick Buzwagi uliopo katika mchakato wa kufungwa…

Read More

Andabwile sasa mambo freshi Yanga

KESI iliyokuwa ikiendelea kati ya Yanga na kiungo wa klabu hiyo, Aziz Andabwile imemalizika baada ya pande zote kufikia makubaliano na sasa kila kitu kipo freshi. Andabwile aliyewahi kuichezea Mbeya City na Fountain Gate kabla ya kutua Yanga, huu ni msimu wake wa pili ndani ya klabu hiyo. Mwanaspoti inafahamu kwamba Andabwile alisaini mkataba wa…

Read More

CCM YAMPA HEKO RAIS SAMIA KUHIMIZA WITO WA AMANI

***** Na Mwandishi wetu, Zanzibar  Chama Cha Mapinduzi (CCM) kimeipongeza hotuba ya Rais Dk Samia Suluhu Hassan aliyetoa wito muhimu unaowataka watanzania wote kulinda na kutunza Amani ya Taifa lao.  Vile vile CCM kimewashauri watanzania kuanza na kutafakari hatimaye kutekeleza ushauri huo uliotolewa na Mkuu wa nchi na kuufanyia kazi.  Pongezi hizo zimetolewa na Katibu…

Read More

Leo ndio leo uchaguzi AUC Addis Ababa

Addis. Leo ndio siku iliyokuwa ikisubiriwa ya kumpata mwenyekiti mpya wa Tume ya Umoja wa Afrika (AUC) kwa ajili ya kumrithi Mousa Faki, raia wa Chad, mwenyekiti anayemaliza muda wake. Mgombea anayepewa nafasi kubwa ya kushinda ni Raila Amolo Odinga (79), kiongozi wa upinzani nchini Kenya an ayeungwa mkono nan chi za Jumuiya ya Afrika…

Read More

Usiache kujipenda hata usipopendwa | Mwananchi

Mwanza. Katika maisha ya kila siku, mara nyingi tunakutana na changamoto zinazohusiana na uhusiano wetu na wengine.  Hali hii inaweza kuathiri hali yetu ya kisaikolojia na kihisia, na mara nyingi tunajikuta tukijuliza: “Nifanyeje ili nipendwe na wengine?” Hata hivyo, swali hili linahitaji mabadiliko ya mtazamo. Badala ya kutafuta upendo kutoka kwa wengine, ni muhimu kujifunza…

Read More