Kiongozi wa upinzani Ghana ashinda urais

Accra. Rais wa zamani wa Ghana, John Mahama ambaye pia ndiye kiongozi mkuu wa upinzani nchini humo, ameshinda tena urais katika uchaguzi mkuu uliofanyika jana Jumamosi, Desemba 7, 2024. Mahama aliwahi kuwa Rais wa nchi hiyo katika muhula wa mwaka 2012 hadi 2017. Kiongozi huyo ambaye pia alikiwakilisha chama cha National Democratic Congress (NDC), amemshinda…

Read More

WAZIRI KAIRUKI AHAMASISHA WATANZANIA KUSHIRIKI SHUGHULI ZA UFUGAJI NYUKI KUJIKWAMUA KIUCHUMI

Na Happiness Shayo Waziri wa Maliasili na Utalii, Mhe. Angellah Kairuki (Mb) amefungua rasmi Maonesho ya kwanza ya asali kufanyika nchini Tanzania (Honey Show) huku akihamasisha Watanzania kujitokeza kuchangamkia fursa za ufugaji nyuki na uzalishaji wa asali ili kukuza vipato vyao. Ameyasema hayo leo Juni 19,2024 katika Kituo cha Mikutano cha Kimataifa cha Julius Nyerere…

Read More

SERIKALI KUTUMIA VIKAO RASMI KUTOA ELIMU YA FEDHA

Mkurugenzi wa Halmashauri ya Wilaya ya Muleba Bw. Isaya Mbenje, akizungumza na Timu ya Wataalamu ya Wizara ya Fedha (haipo pichani) ambayo ilifika ofisini kwake kujitambulisha na kuelezea njia watakazo tumia kufikisha elimu ya huduma ndogo za fedha katika Wilaya ya Muleba mkoani Kagera. Baadhi ya Wananchi wa Kisiwa cha Bumbire wakiangalia filamu yenye mada…

Read More

Hatua kudhibiti uharibifu treni ya SGR

Dar/Dodoma. Wakati Polisi Mkoa wa Dodoma ikieleza imewakamata watu sita kwa tuhuma za kuharibu miundombinu ya reli ya kisasa (SGR) na wanne wameshafikishwa mahakamani, wadau wameshauri hatua za kuchukua kudhibiti uharibifu huo. Akizungumzia uharibifu wa miundombinu ya SGR, wakili Dk Onesmo Kyauke ameeleza kupungua uzalendo miongoni mwa Watanzania ni chanzo cha kuhujumu miundombinu hiyo. “Tulitarajia…

Read More

HELIKOPTA YA RAIS WA IRAN IMEPATIKANA

Mwenyekiti wa Jumuiya ya “Red Crescent” Iran, Kolivand, ametangaza kuwa mabaki ya helikopta iliyokuwa imembemba Rais Ebrahim Raisi, Waziri wa Mambo ya Nje, Hossein Amir-Abdollahian, na maafisa wengine kadhaa yamepatikana. Helikopta hiyo ilipatikana kaskazini magharibi kwenye mteremko wa kilima katika eneo la Varzaghan, karibu na mpaka wa Azerbaijan Mashariki. Mapema saa saba hadi nane zilizopita…

Read More

Kuku hai wanavyotumika kusafirisha dawa za kulevya

Dar es Salaam. Kila siku mbinu mpya zinabuniwa ili kukwepa vyombo vya dola; hivyo ndivyo unavyoweza kuelezea taarifa za wauzaji wa dawa za kulevya wanaotumia kuku wa kienyeji kusafirisha dawa za kulevya aina ya kokeni. Taarifa kutoka vijiji vilivyopo mpakani mwa Tanzania na nchi jirani ya Kenya, zinadai kuwa dawa hizo hufungwa katika vipakiti vidogo…

Read More