Azam, Singida BS kanyaga twende CAFCC
WAWAKILISHI wa nchi katika michuano ya Kombe la Shirikisho Afrika, Azam na Singida Black Stars wanashuka viwanjani leo kupambana kujiweka katika nafasi nzuri kuwania kufuzu robo fainali. Azam itakuwa kwenye Uwanja wa Taifa wa Nyayo huko Kenya kucheza dhidi ya Nairobi United saa 10:00 jioni, huku timu zote mbili msimu huu zikiweka rekodi ya kufuzu…