Bandari ya Maruhubi yafanyiwa majaribio ya kushusha, kupakia

Unguja. Waziri wa Ujenzi na Uchukuzi Zanzibar, Dk Khalid Salum Mohamed amezindua majaribio ya ushushaji wa mizigo katika Bandari ya Mpigaduri. Bandari hiyo inatajwa kuwa    mwarobaini wa msongamano katika bandari ya Malindi ambayo imekuwa ikilalamikiwa kutokana na kuzidiwa, hivyo kufanya shughuli kuzorota. Akizungumza wakati wa uzinduzi huo uliofanyika Mpigaduri, Maruhubi, Mkoa wa Mjini Magharibi, Unguja…

Read More

KERRY 2026 TASTE CHARTS REVEAL TANGERINE, TAMARIND, AND MANGO CHILLI DRIVE A CONTINENT-WIDE SHIFT IN FLAVOUR

 *********** TANZANIA, Dar Es Salaam – Kerry, the global leader in taste and nutrition, has unveiled the Tanzania 2026 Taste Charts, highlighting a definitive shift in consumer palates across the continent. The new reports, covering 54 countries across Africa, including Tanzania, Kenya, Uganda, Rwanda, and Zambia, signal that African consumers are moving beyond traditional staple…

Read More

Bei ya kakao yaporomoka, wadau watafuta suluhisho

Mbeya. Wakati baadhi ya wakulima wilayani Kyela mkoani Mbeya wakitishia kukata na kung’oa miti ya kakao kutokana na anguko la bei, Chama Kikuu cha Ushirika Kyela (Kyecu) kimewataka kuwa wavumilivu huku kikitoa matumaini ya kurejea kwa bei nzuri ya zao hilo. Kwa takribani miaka miwili iliyopita, bei ya kakao ilikuwa ikifikia hadi Sh32,000 kwa kilo…

Read More

Vijana 3,967 waomba fedha kuendeleza biashara zao

Dar es Salaam. Benki ya CRDB imepokea maombi 3,967 kutoka kwa vijana wajasiriamali nchini kupitia mradi wake wa Go Green na Imbeju ili wapate mitaji ya kuendeleza mawazo yao ya kibunifu, huku mikoa 10 ikiwa kinara, ikiwemo Dar es Salaam na Mwanza. Programu hiyo ilizinduliwa Februari 12 mwaka huu ikiwa na lengo la kuwawezesha vijana…

Read More

Israel yadai kuwaua vigogo wengine wa Iran, Mojtaba asema…

Waziri wa Ulinzi wa Israel, Israel Katz amesema vikosi vya nchi hiyo vimemuua mkuu wa usalama wa Iran, Ali Larijani, anayechukuliwa kuwa mmoja wa watu wenye ushawishi mkubwa, pamoja na Gholamreza Soleimani, aliyekuwa akiongoza kikosi cha wanamgambo wa kujitolea cha Basij, ambacho kina mchango mkubwa katika usalama wa ndani. Taarifa kutoka Ofisi ya Waziri Mkuu…

Read More

MHE. MCHENGERWA ATOA WITO KWA WATANZANIA KUTUMIA MWEZI MTUKUFU WA RAMADHANI KUIMARISHA UMOJA WA KITAIFA

-Aendelea kufuturisha, Mwaseni na Kipugila -Wananchi washiriki futari, waipongeza Serikali kwa maendeleo Na Yohana Kidaga- Mkongo Mbunge wa Rufiji na Waziri wa Afya, Mhe. Mohamed Mchengerwa ametoa wito kwa waislamu na watanzania wote kwa ujumla kuendeleza dua, amani na mshikamano katika kipindi cha mwezi mtukufu wa Ramadhani, akisisitiza kuwa kipindi hiki ni cha toba, kujisafisha…

Read More

Nani Kwenda Robo Fainali UEFA Leo?

  LEO ni leo asemaye kesho muongo, Huu ni msemo ambao Wahenga walimaanisha kuwa jambo linalotakiwa kufanyika leo limailzike leo, na Meridianbet wanakwambia pesa inapatikana kwenye mechi za Uefa leo hivyo ingia na ubeti hapa. Mapema kabisa Sporting Lisbon atakuwa nyumbani kukipiga dhidi ya Bodo/Glimt ambao walishinda mechi yao ya kwanza walipokutana. Mlima ni mrefu wa kushinda…

Read More