KAMATI YA KUDUMU YA BUNGE YA NISHATI NA MADINI YAIPONGEZA TANESCO UTEKELEZAJI WA MRADI WA UMEME JUA KISHAPU

:::::::: Kamati ya Kudumu ya Bunge ya Nishati na Madini imelipongeza Shirika la Umeme Tanzania (TANESCO) kwa usimamizi na utekelezaji mzuri wa Mradi wa Uzalishaji Umeme kwa nguvu ya Jua wa Kishapu wenye uwezo wa Megawati 50 unaotekelezwa katika Mkoa wa Shinyanga. Pongezi hizo zimetolewa na Mwenyekiti wa Kamati hiyo, Mhe. Subira Mgallu, mara baada…

Read More

Kinachosubiriwa Samia, Dk Nchimbi wakiunguruma Ruvuma

Songea. Kampeni za Uchaguzi Mkuu wa Oktoba 2025 kwa Chama cha Mapinduzi (CCM) zitahamia mkoani Ruvuma ambako mgombea urais, Samia Suluhu Hassan na mgombea mwenza, Dk Emmanuel Nchimbi watafanya mikutano kwa siku tatu tatu. Samia na Dk Nchimbi wanakutana tena katika mkoa mmoja tangu walipozindua kampeni za chama hicho kitaifa, Agosti 28, 2025 kwenye Uwanja…

Read More

Ahadi za wagombea zinatekelezeka? | Mwananchi

Dar es Salaam. Kampeni za uchaguzi mkuu wa mwaka huu, zimemaliza theluthi ya kwanza, majukwaa ya kisiasa yamegeuka uwanja wa matumaini, kila mgombea akiahidi mazuri kwa wananchi. Ingawa ahadi hizo zinawapa matumaini wananchi kufikia matarajio na matamanio yao lakini kwa upande mwingine, zinaibua maswali nje ya majukwaa ya kisiasa, kwamba je, zinatekelezeka? Kwa mujibu wa…

Read More

Lissu: Mimi ni mshitakiwa wa uhaini sio mwenzenu

Dar es Salaam. Mwenyekiti wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema), Tundu Lissu ameiomba Mahakama iwaamuru mawakili wa Jamhuri kumtambulisha yeye kama mshitakiwa na sio mwezao. Amesema kuwa yeye ni mshitakiwa wa makosa ya uhaini hivyo, anapaswa kuitwa hivyo na sio mawakili hao kumuita mwenzao. Lissu anakabiliwa na shitaka moja la uhaini katika Mahakama Kuu…

Read More

Namungo, City FC Abuja hakuna mbabe

MCHEZO wa Kundi C katika michuano ya Tanzanite Pre-Season International baina ya Namungo ya Tanzania Bara na City FC Abuja kutoka Nigeria, umemalizika kwa sare ya bao 1-1. Mshambuliaji wa Namungo, Heritier Makambo alifunga bao la mapema dakika ya tatu kwa ustadi mkubwa kufuatia pasi ya Abdulaziz Shahame. Bao hilo liliwafanya wachezaji wa Namungo kucheza…

Read More

Safari ya mjamzito aliyebebwa kwa machela kwenda kujifungua aeleza maumivu, ushujaa na furaha

Kilolo. Nadhani tunakumbuka picha ya mama mjamzito kutoka Kiwalamo, wilayani Kilolo, aliyebebwa kwa machela na wanakijiji akiwa katika uchungu wa kujifungua kutokana na barabara mbovu hadi Hospitali ya Dabaga kwenda kujifungua. Hii ni simulizi ya kishujaa ya Zaineth Kipingi, mama wa Moreen, aliyejifungua kwa mara ya kwanza Juni mwaka huu akibebwa kwenye machela kutoka Kiwalamo…

Read More

Mitazamo tofauti ripoti tume za Ngorongoro

Dar es Salaam. Siku moja baada ya Tume za Rais kuhusu mgogoro wa ardhi na uhamaji wa hiari Ngorongoro kukabidhi ripoti zake, wadau wa sheria na haki za binadamu wametoa maoni tofauti kuhusu maudhui yake, baadhi wakipongeza na wengine wakionyesha mapungufu. Wanaopongeza, wanasema ripoti zimependekeza mambo yanayogusa yaliyokuwa yanalalamikiwa, ikiwemo mabadiliko ya sheria, kutambua makosa…

Read More

Coca-Cola Kwanza Ltd drives growth with Tuk-Tuk Incentive

Coca-Cola Kwanza (CCK) handed over six Tuk-Tuks to top performing Official Coca-Cola Distributors as part of a Returnable Glass Bottle (RGB) incentive programme run in the fourth quarter of last year. The Tuk-Tuk incentive was open to all qualifying distributors of CCK products and aimed to reward those businesses driving growth and ensuring that a…

Read More