INEC yatoa neno kwa mawakala wa vyama vya siasa

Moshi. Tume Huru ya Taifa ya Uchaguzi (INEC) imetangaza kuwa, ingawa mawakala wa vyama vya siasa wataruhusiwa kuwepo kwenye vituo vya kuandikisha wapiga kura wakati wa uboreshaji wa daftari la kudumu la wapiga kura, hawatakuwa na mamlaka ya kuingilia utendaji wa watendaji wa tume. Hayo yameelezwa leo Jumapili Desemba mosi, 2024 na Makamu Mwenyekiti wa…

Read More

Nchi ‘isiyotambuliwa’ duniani kumchagua Rais leo

Raia wa Somaliland wanapiga kura leo Novemba 13, 2024 kumchagua Rais wa nchi hiyo ikiwa ni uchaguzi wa nne tangu kuanzishwa kwa uchaguzi huru na haki. Licha ya nchi hiyo kujitangazia uhuru wake tangu mwaka 1991 baada ya kuvunjika kwa iliyokuwa Serikali ya Somalia kipindi hicho, bado haijulikani kama nchi katika duru za kimataifa. Watu…

Read More

Mikusanyiko yapigwa marufuku Musoma | Mwananchi

Musoma. Serikali wilayani Musoma mkoani Mara imepiga marufuku mikusanyiko ikiwepo shughuli za matanga na maombolezo katika maeneo yenye mlipuko wa ugonjwa wa kipindupindu ikiwa ni mkakati wa kudhibiti ugonjwa huo wilayani humo. Hadi sasa jumla ya watu 63 wameugua ugonjwa huo huku mtu mmoja akifariki tangu ugonjwa huo ulipuke wilayani humo Januari 23, 2025 huku…

Read More

OFISI YA MWANASHERIA MKUU WA SERIKALI KUENDELEA KUBORESHA USHAURI KATIKA MIKATABA KWA TAASISI ZA UMMA

Ofisi ya Mwanasheria Mkuu wa Serikali itaendelea kuboresha Ushauri kwa Taasisi za Umma wakati wa kuingia mikataba mbalimbali ili kuwa na Mikataba iliyobora na kutimiza malengo ya Serikali ya kuwa na mikataba inayotekelezwa vizuri na kuwanufaisha Wananchi. Hayo yamesemwa na Naibu Mwanasheria Mkuu wa Serikali Mhe. Samwel M. Maneno tarehe 7 Julai, 2025 katika Maonesho…

Read More

Zanzibar rasmi utalii wa mikutano, mataifa 12 kushiriki kongamano la maadili

Unguja. Wakati Zanzibar ikitafuta nyanja mbalimbali za kuhamasisha na kutangaza utalii wake, linatarajiwa kufanyika kongamano kubwa la kimataifa linalohusiana na utalii wa maadili na mikutano. Katika kongamano hilo la kwanza liitwalo (Light upon Light) mataifa zaidi ya 12 yanatarajia kushiriki ambapo litawaleta pamoja masheikh maarufu akiwemo Mufti maarufu duniani, Ismail Menki. Akizungumza wakati wa kuzindua…

Read More

Simba, Yanga fagio la chuma

DURU za kispoti zimeliambia Mwanaspoti kwamba kuna fagio la chuma litaanza kupita Simba na Yanga kwenye kipindi kisichozidi wiki moja kuanzia leo. Ni fagio ambalo huenda likawa na sapraizi ambazo huenda zikaacha mijadala kwenye vijiwe vya kahawa. Lakini za ndaani kabisa ni kwamba hilo lazima lifanyike ili mabadiliko yaonekane kwenye pichi msimu ujao wa kimashindano…

Read More