Pamba Jiji yampa miaka miwili Baraza

UONGOZI wa Pamba Jiji umemalizana na kocha Mkenya Francis Baraza kwa kumsainisha mkataba wa miaka miwili akipishana na Fredy Felix ‘Minziro’ aliyepambana kuibakisha timu hiyo. Baraza ana uzoefu wa soka la Tanzania, kwani amepita Biashara United na Kagera Sugar anatarajia kuwasili nchini Agosti Mosi tayari ya kuanza majukumu ya kuiweka tayari timu hiyo kwa mchaka…

Read More

Wasira amtumia ujumbe Lissu, agusa udiwani na ubunge CCM

Dar es Salaam. Makamu Mwenyekiti wa Chama cha Mapinduzi (CCM) Bara, Stephen Wasira, amesema mabadiliko ya Katiba ya chama hicho yaliyofanyika yatawawezesha kupata wagombea wa udiwani na ubunge wazuri na si mzigo, huku akivionya vyama vya upinzani akisema: “Ikulu wataendelea kuishuhudia kwenye runinga tu.” Mbali na hilo, Wasira amelitaka Shirika la Umeme Tanzania (Tanesco) kushughulikia…

Read More

Wenye malori nao wautaka mradi wa mwendokasi

Dar es Salaam. Chama cha Wamiliki wa malori wa Kati na Wadogo (Tamstoa), kimeonyesha nia yake ya kutaka kuwekeza katika mradi wa mabasi yaendayo haraka maarufu mwendokasi, huku kikiomba kufupishwa kwa michakato katika kuingia ubia huo. Tamstoa imeonyesha nia hiyo leo Ijumaa Novemba 22, 2024 walipokutana na Mkurugenzi Mtendaji wa Kituo cha Ubia Tanzania, David…

Read More

Simba Queens kama Yanga tu Chamazi

KAMA ilivyo kwa Mabingwa Ligi Kuu Bara, Yanga wamekuwa na bahati kwenye Uwanja wa Azam Complex, Chamazi ndivyo ilivyo kwa Simba Queens na mechi nane ilizocheza hapo imeshinda zote. Simba hadi sasa iko nafasi nzuri ya kutwaa ubingwa wa Ligi ya Wanawake (WPL) ikiongoza msimamo na pointi 37 baada ya mechi 13 ikishinda 12 na…

Read More

MBARONI KWA TUHUMA ZA MAUAJI YA MKEWE KILOSA

Farida Mangube, Morogoro JESHI la Polisi Mkoa wa Morogoro linamshikilia James Lugembe (55), mkazi wa Kitongoji cha Manzese B, Kata ya Mkwatani, Wilaya ya Kilosa, kwa tuhuma za kumuua mke wake, Restuta Walela (50), kwa kumkata kwa kitu chenye ncha kali sehemu mbalimbali za mwili wake. Akizungumza na waandishi wa habari, Kamanda wa Polisi Mkoa…

Read More