Jinsi ya Kupunguza Mafuta ya Ini kwa Lishe Sahihi

Last updated Jan 24, 2026 Ini lenye mafuta ni hali inayotokea pale mafuta yanapokusanyika kwa wingi kwenye seli za ini, jambo linaloathiri utendaji wake kwa muda. Ikiwa hali hii haitadhibitiwa mapema, inaweza kusababisha matatizo makubwa ya kiafya kama hepatitis, kovu la ini (fibrosis) na cirrhosis. Kwa mujibu wa wataalamu wa lishe, mabadiliko sahihi ya…

Read More

SERIKALI YAOMBWA KUPUNGUZA GHARAMA ZA USAJILI WA VYOMBO VYA HABARI MTANDAONI ILI KUKUZA AJIRA KWA VIJANA

:::::::: Serikali imeombwa kupunguza gharama za usajili wa vyombo vya habari mtandaoni (Online Media) ili kutoa fursa kwa vijana wengi zaidi kujiajiri. Ombi hilo limetolewa na Jumamosi Januari 24, 2026 na Mkurugenzi wa BMG Media, George Binagi wakati wa hafla fupi ya kupokea tuzo maalum kutoka YouTube baada ya chombo hicho cha mtandaoni kufikisha wafuasi…

Read More

VICTORY ATTORNEYS & CONSULTANTS YAZINDUA IDARA YA KODI NA FEDHA, YAMTEUA BENEDICT KOMBAHA KUWA MSHIRIKA WA KODI

Dar es Salaam, Tanzania – Januari 2026 Victory Attorneys & Consultants imetangaza rasmi kuzinduliwa kwa Idara ya Kodi na Fedha, hatua inayodhihirisha dhamira ya kampuni hiyo kuendelea kupanua wigo wa huduma zake za kisheria na ushauri wa kitaalamu kwa biashara na taasisi nchini Tanzania na ukanda wa Afrika Mashariki. Sambamba na uzinduzi huo, kampuni imemtangaza…

Read More

Wafugaji samaki walalamikia gharama kubwa za ufugaji

Musoma. Wawekezaji katika sekta ya ufugaji wa samaki kwa njia ya vizimba wameeleza kukabiliwa na changamoto mbalimbali, ikiwemo gharama kubwa ya chakula cha samaki na vifaa vya uzalishaji, hali inayotokana na uhaba wa viwanda vya kuzalisha pembejeo hizo ndani ya nchi. Changamoto hizo zimeibuliwa leo Jumamosi, Januari 24, 2026, mjini Musoma wakati wa ziara ya…

Read More

Wizara ya Viwanda yataja mikakati 12, vijana watajwa

Dodoma. Kuelekea siku 100 za Rais Samia Suluhu Hassan madarakani tangu alipoapishwa kwa muhula wake wa pili, Wizara ya Viwanda na Biashara imetaja mambo 12 ambayo yamepewa mkazo mkubwa ikiangazia kundi la vijana. Katika kutekeleza mipango hiyo, mikopo 193 yenye thamani ya zaidi ya Sh820 milioni imetolewa na kuzalisha ajira 546, mingi ikiwagusa vijana.  Waziri…

Read More