Sowah Hatihati Kutimuliwa Simba Kwa Utovu wa Nidhamu

Global Publishers March 17, 2026 0 Comments MSHAMBULIAJI namba moja wa Simba, Jonathan Sowah kuna hatihati kuondoka ndani ya kikosi hicho kutokana na tatizo la nidhamu. Sowah ndani ya NBC Premier League amefunga magoli matatu akiwa ni miongoni mwa wachezaji wenye magoli mengi ndani ya kikosi hicho. Kwa sasa Sowah hayupo kwenye mipango ya timu…

Read More

Ecobank Group Yaweka Rekodi ya Ongezeko la Mikopo kwa Biashara za Wanawake Afrika

Ecobank Group imetangaza ukuaji mkubwa wa mikopo, likilenga kuimarisha ujasiriamali wa wanawake barani Afrika. Ecobank imerekodi ongezeko kubwa la asilimia 194 katika utoaji wa mikopo kwa biashara zinazoongozwa na wanawake, likifikia dola za Marekani milioni 780 mwaka 2025 kutoka dola milioni 265 mwaka 2024. Hatua hii inaashiria mafanikio ya juhudi za benki hiyo katika kukuza usawa…

Read More

CCBRT yatikisika, sababu yatajwa | Mwananchi

Dar es Salaam. Dalili za kuyumba kwa baadhi ya huduma zimeanza kuonekana katika Hospitali ya CCBRT, inayojulikana kwa huduma za matibabu maalumu ya wenye ulemavu na uzazi kutokana na changamoto za kifedha. Ugumu unaopitiwa na hospitali hiyo iliyopo Msasani jijini Dar es Salaam, ni katika utoaji wa huduma bure kwa watu wenye matatizo ya macho,…

Read More

TIB, UNDP Waingia Ubia wa Kimkakati Kukuza Uchumi Jumuishi na Endelevu

Mkurugenzi Mtendaji wa benki ya Maendeleo (TIB), Deogratius Kwiyukwa  na  Mwakilishi Mkazi wa Shirika la Mpango wa Maendeleo la Umoja wa Mataifa (UNDP) nchini, Shigeki Komatsubara wakisaini hati ya Makubaliano (MoU) itakayolenga kuendeleza mifumo bunifu ya ufadhili wa maendeleo, hatua inayotarajiwa kuchochea mageuzi ya kijamii na kiuchumi nchini. Mikataba huo umesainiwa leo Machi 17, 2026 jijini Dar es Salaam.  Mkurugenzi…

Read More

Pigo lingine kwa Serikali ya Tanzania

Arusha. Mahakama ya Afrika ya Haki za Binadamu na Watu (AfCHPR) imeiamuru Serikali ya Tanzania kwamba, ndani ya miezi 24 iwe imezifanyia marekebisho Katiba yake na ya Zanzibar katika ibara zinazokiuka mikataba ya kimataifa. Ibara hizo ni Ibara ya 74(12) ya Katiba ya Tanzania na Ibara ya 119(13) ya Katiba ya Zanzibar zinazozuia Mahakama kuchunguza…

Read More

MELI NNE ZA MIZIGO KUIPAISHA TANZANIA

…… Kukamilika kwa mradi wa ujenzi wa meli nne kubwa za mizigo katika Bandari ya Karema ni fursa kwa wananchi wa mikoa inayopitiwa na Ziwa Tanganyika ya Rukwa, Katavi, Kigoma na kuongeza kipato cha kaya na Taifa. Ujenzi wa meli hizo ulianza rasmi Aprili 2025 na ukitarajiwa kukamilika Julai 2026. Mpaka sasa mradi huo umefikia…

Read More

Mpango asimulia Magufuli alivyomsisitiza kumtegemea Mungu, kudhibiti mapato ya Serikali

Dar es Salaam. Katika kumbukumbu zake kuhusu aliyekuwa Rais wa awamu ya tano, John Magufuli, Makamu wa Rais mstaafu, Dk Philip Mpango anasimulia kwa sauti ya utulivu lakini yenye hisia akikumbuka kiongozi aliyemfundisha kumtegemea Mungu na kusimamia fedha za umma kwa nidhamu isiyoyumba. Dk Mpango ametoa simulizi hiyo leo Chato inakofanyika misa takatifu ya kumbukumbu…

Read More