
KCB EAST AFRICA GOLF TOUR KUUNGURUMA LUGALO GOLF CLUB JUMAMOSI HII.
:::::::::: Mashindano ya mchezo wa gofu ya ‘KCB East Africa Golf Tour’ kuanza rasmi Tanzania Jumamosi, tarehe 20 Septemba 2025, katika uwanja maarufu wa Lugalo Golf Club, jijini Dar es Salaam. Zaidi ya wachezaji 200 wa gofu wanatarajiwa kushiriki, wakichuana kupata nafasi ya kuwakilisha taifa kwenye fainali itakayofanyika Kenya mwishoni mwa mwaka huu. Fainali hiyo…