Msikie Kocha Pedro kuhusu Al Ahly, atuma ujumbe mzito
KOCHA wa Yanga, Pedro Goncalves amesema kikosi hicho kinaendelea kukua na hakitakata tamaa licha ya kupoteza ugenini dhidi ya Al Ahly kwa mabao 2-0 katika mechi ya tatu hatua ya makundi Ligi ya Mabingwa Afrika msimu huu. …