Wizara ya Viwanda yataja mikakati 12, vijana watajwa
Dodoma. Kuelekea siku 100 za Rais Samia Suluhu Hassan madarakani tangu alipoapishwa kwa muhula wake wa pili, Wizara ya Viwanda na Biashara imetaja mambo 12 ambayo yamepewa mkazo mkubwa ikiangazia kundi la vijana. Katika kutekeleza mipango hiyo, mikopo 193 yenye thamani ya zaidi ya Sh820 milioni imetolewa na kuzalisha ajira 546, mingi ikiwagusa vijana. Waziri…