RAIS SAMIA ALIPIA WASIOWEZA GHARAMA UPANDIKIZAJI FIGO

    Wagonjwa wenye changamoto ya figo wanaohitaji kupandikizwa figo ambayo ni tiba stahiki kwa wagonjwa wanaosafisha damu na hawana uwezo wa kulipia gharama za upandikizaji watahudumiwa kupitia fedha alizotoa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan kwa Hospitali ya Taifa Muhimbili ili ziweze kufanya kazi hiyo. Hayo yamesemwa leo…

Read More

Ijumaa ya ushindi imewadia – Mwanahalisi Online

Ni Ijumaa nyingine ya kutusua na mabingwa wa ubashiri Tanzania ambapo mechi nyingi za ligi zinarejea siku ya leo. Nafasi ya kuibuka na kitita cha pesa unayo leo. Suka jamvi lako na utusue sasa. Ligi kuu ya Ujerumani, BUNDESLIGA leo hii kutakuwa na mtanange wa maana ambapo SC Freiburg baada ya kutoa sare mechi yake…

Read More

SUA kutumia wataalamu wa ndani kukuza bayoteknolojia

Morogoro. Chuo Kikuu cha Kilimo cha Sokoine (SUA) kimejipanga kuwatumia wataalamu wa ndani kutumia bayoteknolojia ili kusaidia kupata majibu ya kisayansi katika uzalishaji wa mazao nchini. Kauli hiyo imetolewa mwanzoni mwa wiki hii na Makamu mkuu wa chuo hicho, Profesa Raphael Chibunda mjini Morogoro baada ya kutoka kwenye mkutano wa Chama cha Wataalamu wa Sayansi…

Read More

Watanzania wahimizwa kusoma vitabu wapate mbinu kukua kiuchumi

Dar es Salaam. Watanzania wametakiwa kuwa na utamaduni wa kujisomea vitabu kwa ajili ya kujiongezea maarifa ikiwamo mbinu za kujiendeleza kiuchumi. Utamaduni wa kusoma vitabu utaondoa dhana iliyozoeleka kwamba, ukitaka kumficha Mwafrika maarifa, yaweke kwenye vitabu. Hayo yamebainishwa na Kamishna wa Ubia kati ya Sekta ya Umma na Sekta Binafsi (PPP), David Kafulila wakati wa…

Read More

KUELEKEA SIKU YA KIMATAIFA YA MTOTO WA AFRIKA SERIKALI, WADAU WAFUNGUKA KUHUSU MAADILI, ULINZI WA MTOTO

* Ubalozi wa Ufaransa, Serikali na Wadau kuwakutanisha watoto, kusikiliza maoni yao Juni 16 Na Leandra Gabriel, Dar es Salaam KATIKA Kuadhimisha siku ya kimataifa ya mtoto wa Afrika inayoadhimishwa Juni 16 kila mwaka, Wazazi na jamii kwa ujumla wametakiwa kushirikiana katika ulinzi wa mtoto kwa kuhakikisha wanatenga muda wa kuzungumza na watoto na kufahamu…

Read More

Spika Tulia atoa neno barabara zenye mashimo

Spika wa Bunge la Tanzania, Dk Tulia Ackson ametoa agizo kwa mameneja wa mikoa wa Wakala wa Barabara Tanzania (Tanroads) kuhakikisha wanatoa taarifa za barabara zinazohitaji matengenezo haraka ili kuepusha ujenzi upya usio wa lazima. Akizungumza leo Jumatatu, Mei 27, 2024, wakati akifungua maonyesho ya sekta ya ujenzi katika viwanja vya Bunge jijini Dodoma, Dk…

Read More

KenGold yachafua hali ya hewa! watajwa Miquisone, Lwanga

KWA wanachoendelea kufanya KenGold kipindi hiki cha usajili wa dirisha dogo ni kama ‘kuchafua hali ya hewa’. Hiyo inatokana na majembe inayoyashusha baada ya kutembeza fagio la nyota wanane ilioanza nao msimu huu ambao ni wa kwanza kushiriki Ligi Kuu. Hadi sasa timu hiyo imetangaza kuachana na Poul Materraz, Asanga Stalon, James Msuva, Steven Mganga,…

Read More