Mtambo wa mabao Yanga unasukwa

NI takribani siku 17 zimebaki kuanzia leo, Agosti 31, 2025 hadi Septemba 16, 2025 itakaposhuhudiwa mechi ya Ngao ya Jamii kati ya Yanga na Simba kuashiria kufunguliwa kwa msimu wa 2025-26. Wakati mchezo huo ukisubiriwa kwa hamu kubwa, huko kambini Yanga kocha mkuu wa kikosi hicho, Romain Folz amekuwa bize kuimarisha kikosi chake huku kubwa…

Read More

KIKOSI CHA DHARURA NA UOKOAJI CHA BARRICK NORTH MARA CHAOKOA WANANCHI WALIOZINGIRWA NA MAJI TARIME

Shughuli za uokoaji wakulima waliozingirwa na mafuriko katika eneo la mashambani kijijini Matongo wilayani Tarime Shughuli za uokoaji wakulima waliozingirwa na mafuriko katika eneo la mashambani kijijini Matongo wilayani Tarime  Faida za kuwepo mwekezaji mwenye uwezo, teknolojia za kisasa na mahusiano mazuri na jamii umedhihirika kutokana na Kikosi cha Dharura na Uokoaji (ERT) kutoka Mgodi…

Read More

WAZIRI SANGU: MAHUSIANO MEMA MSINGI WA UMOJA WA TAIFA

-Ahimiza Mshikamano katika kujenga Tanzania Imara Waziri wa Nchi, Ofisi ya Waziri Mkuu – Kazi, Ajira na Mahusiano, Mhe. Deus Clement Sangu amesisitiza umuhimu wa kudumisha mahusiano mema ili kuimarisha umoja wa Taifa na kuchochea maendeleo endelevu nchini. ‎Mhe. Sangu amesema hayo wakati wa ufunguzi wa Kikao cha Wadau wa Mahusiano kilichofanyika tarehe Februari 24,…

Read More

Stanbic Yaandaa Futari Kuimarisha Mahusiano na Wadau

Benki ya Stanbic imeandaa futari maalum iliyofanyika jijini Dar es Salaam jana, ikiwa ni sehemu ya kushiriki baraka za mwezi mtukufu wa Ramadan pamoja na kuimarisha mahusiano na wadau wake. Tukio hilo liliwakutanisha viongozi wa dini, viongozi wa benki pamoja na wateja katika mazingira ya mshikamano na tafakari ya maadili ya kijamii yanayohimizwa katika kipindi…

Read More

Wanaume wahimizwa kupima saratani ya tezi dume mapema

Moshi. Wakati saratani ya tezi dume ikitajwa kushika kasi katika mikoa ya Kanda ya Kaskazini, tafiti zinaonesha kuwa kati ya wanaume 470 waliopimwa mwaka 2023, 170 walikutwa na saratani hiyo bila wao kujua. Hayo yameelezwa leo Septemba 28, 2025, na Mkurugenzi wa Kituo cha Utafiti wa Magonjwa Yasiyoambukiza (KCRI) cha Hospitali ya KCMC, Profesa Blandina…

Read More

Dira ya 2050 ndani ya jicho la wadau wa elimu

Dar es Salaam. Wadau wa elimu nchini wameendelea kuitazama Dira ya Maendeleo ya Taifa ya 2050 kwa jicho la matumaini makubwa, hasa katika nguzo ya pili inayohusu “Uwezo wa Watu na Maendeleo ya Jamii”. Kwa mujibu wa dira  hiyo, elimu ni injini kuu ya maendeleo ya watu na jamii, na hivyo uwekezaji wake unaelekezwa katika…

Read More

Ibenge: Subirini mechi ya kwanza muone!

KOCHA Mkuu wa Azam FC, Florent Ibenge amesema timu yake bado inaendelea kujifua kwa ushindani na itakuwa tayari siku ya mechi ya kwanza ya michuano iliyo mbele yao. Timu inatarajia kuvaana na Al Merrikh Bentiu ya Sudan Kusini katika Kombe la Shirikisho Afrika mechi ambayo imepangwa kuchezwa Septemba 19 na marudiano ni Septemba 26 katika…

Read More