Mbappe wa Azam apelekwa KMC

UONGOZI wa KMC uko katika mazungumzo ya kuipata saini ya winga wa Azam FC, Cheickna Diakite ‘Mbappe’ kwa mkopo wa miezi sita, baada ya nyota huyo kuomba kutolewa kwenda timu nyingine ili akapate nafasi zaidi ya kucheza katika kikosi cha kwanza. Taarifa kutoka ndani ya Azam zililiambia Mwanaspoti, Diakite aliyejiunga na timu hiyo mwanzoni mwa…

Read More

Rais Samia kujenga chuo cha masuala ya anga

Rais wa Tanzania, Samia Suluhu Hassan, amesema ana nia ya kujenga chuo cha masuala ya anga nchini kwa kushirikiana na Chuo Kikuu cha Sayansi ya Anga cha Korea. Anaripoti Mwandishi Wetu …(endelea). Rais Samia ameyasema hayo leo Jumatatu wakati wa shughuli ya Kutunukiwa Udaktari wa Falsafa wa Heshima (Honoris Causa) katika sekta ya anga na…

Read More

NIC yanadi bima ya kilimo Maonesho Nanenane

Na Nora Damian, Mtanzania Digital Dodoma Shirika la Bima la Taifa (NIC) limewataka wakulima kulinda mazao yao kwa kuyakatia bima ya kilimo ili kujilinda dhidi ya majanga mbalimbali. Shirika hilo linaanza kulinda kilimo kwenye shamba la kuanzia hekta 100 ambapo wakulima wadogo wanaweza kuungana katika vikundi au kupitia vyama vya msingi ili kupata hekta hizo…

Read More

Kikwete ataka Watanzania kukiuza Kiswahili

Dar es Salaam. Rais mstaafu, Jakaya Mrisho Kikwete amewaasa wananchi kujenga tabia ya kupenda kusoma vitabu, ili kukuza uwezo wa kitaaluma na uvumbuzi wa mambo mapya na kupunguza makosa katika lugha ya Kiswahili. Kikwete ameyasema hayo leo Julai 27, 2024 katika maadhimisho ya miaka 10 ya Watetezi wa Kiswahili Tanzania (WAKITA) yaliyofanyika katika Ukumbi wa…

Read More

Sababu, faida bei ya Dhahabu kuvunja rekodi ya muda wote

Kuadimika kwa Dola za Marekani na kuwapo kwa uchaguzi nchini humo vimetajwa kuwa sababu za ongezeko ya bei ya dhahabu duniani hadi kufikia kiwango ambacho hakijawahi kufikiwa. Tovuti ya Trading Economy Jumatano wiki hii ilionyesha kuwa wakia moja ilinunuliwa kwa Dola za Marekani 2,523 (Sh6.85 milioni), kiasi ambacho hakijawahi kufikiwa tangu mwaka 1970 mauzo ya…

Read More

Wenye ulemavu waridhishwa na miundombinu rafiki ya afya

Dar es Salaam. Baadhi ya watu wenye ulemavu kutoka vyama vya siasa, wameeleza kuridhishwa na huduma nzuri na miundombinu rafiki katika huduma za afya. Watu hao kutoka vyama vya United Democtratic Party (UDP), Democratic Party (DP), Tanzania Labor (TLP) na Union for Multiparty Democracy (UMD, wamesema hayo wakati wakizungumza na waandishi wa habari katika mkutano…

Read More