
Macron awakumbuka Wayahudi waliouawa na Manazi – DW – 27.05.2024
Rais wa Ufaransa Emmanuel Macron, aliandamana na mwenyeji wake Rais wa Ujerumani Frank-Walter Steinmeier, na viongozi hao walifika kwenye eneo hilo la Makumbusho ya Wayahudi waliouawa hapa barani Ulaya. Marais wote wawili waliweka mashada ya maua yaliyotengenezwa kwa kutumia rangi za bendera za mataifa yao. Viongozi hao waliandamana na wake zao, mabibi Brigitte Macron mke…