TETESI ZA USAJILI BONGO: Mzamiru ana jambo lake Simba

KLABU ya Simba iko kwenye mazungumzo ya kumuongezea mkataba mpya wa miaka miwili kiungo nyota wa kikosi hicho, Mzamiru Yassin. Mkataba wa kiungo huyo wa zamani wa Mtibwa Sugar aliyemaliza msimu akiwa na asisti nne umefikia ukingoni na tayari wawakilishi wa Mzamiru wameanza mazungumzo ili asaini dili jipya na miamba hiyo. Klabu mbalimbali za Azam…

Read More

TAMASHA LA UTAMADUNI KUFUNGUA FURSA LUKUKI RUVUMA

  Waziri wa Utamaduni, Sanaa na Michezo, Dk. Damas Ndumbaro,akizungumza kuhusu Tamasha la tatu la utamaduni kitaifa litakaloanza  Septemba 20-23, mwaka huu na siku ya kilele kitafanyika uwanja wa majimaji na Rais Samia Suluhu Hassan atakuwa mgeni rasmi. Wananchi  wakiwa kwenye kaburi la Chifu wa Wangoni Nkusi Mharule Bin Zulu Gama wakihiji kama sehemu ya kuendeleza…

Read More

WADAU WA JOTOARDHI KUKUTANA TANZANIA

Meneja Makuu wa Kampuni ya Uendelezaji Jotoardhi Tanzania (TGDC),Mathew Mwangomba, akizungumza na waandishi wa habari leo Oktoba 2,2024 jijini Dodoma kuelekea kwenye Kongamano la 10 la Jotoardhi Afrika litakalofanyika kuanzia Oktoba 21 hadi 27,mwaka huu jijini Dar es Salaam. Na.Alex Sonna-DODOMA WIZARA ya Nishati kwa kushirikiana na Kampuni ya Uendelezaji Jotoardhi Tanzania (TGDC) pamoja na…

Read More

Aliyembaka mtoto wa kambo akwaa kisiki mahakamani

Arusha. Mahakama ya Rufaa iliyoketi Dodoma, imetupilia mbali ombi la John Ngonda, aliyehukumiwa kifungo cha maisha jela, aliyekuwa akiomba kuongezewa muda wa kuwasilisha maombi ya mapitio ya uamuzi wa awali wa Mahakama ya Rufaa. Ngonda alihukumiwa kifungo cha miaka 30 jela na Mahakama ya Wilaya ya Kiteto baada ya kukutwa na hatia ya kumbaka mtoto…

Read More

INEC yaahirisha uchaguzi Fuoni, sababu yatajwa

Dar es Salaam. Kutokana na kifo cha mgombea ubunge wa Fuoni kupitia Chama cha Mapinduzi (CCM), Abbas Ali Mwinyi, Tume Huru ya Taifa ya Uchaguzi (INEC) imeahirisha uchaguzi wa ubunge katika jimbo hilo hadi pale itakapopanga tarehe nyingine ya uteuzi wa wagombea. Abbas ambaye ni kaka mkubwa wa Rais wa Zanzibar, Dk Hussein Ali Mwinyi,…

Read More