
Yanga yampigia hesabu Mtunisia | Mwanaspoti
YANGA leo jioni imetangaz akumuongezea mkataba wa miaka miwili, kiungo mshambuliaji wa timu hiyo, Pacome Zouzoua, ikiwa ni sehemu ya kuboresha kikosi cha msimu ujao, lakini ikielezwa kwamba sio kwa wachezaji tu, bali hata katika benchi la ufundi nako kuna watu wanashushwa. Ndio, Yanga iliyomtambulisha kocha mpya, Romain Folz jana jioni, baada ya awali kumtambulisha…