NAIBU WAZIRI WA UCHUKUZI ATEMBELEA MAKAMPUNI YA UWAKALA WA MELI

Naibu Waziri wa Uchukuzi David Kihenzile akutana na kuzungumza na Viongozi Makampuni ya Uwakala wa Meli ya Nyota Tanzania LTD (MAERSK Tanzania) na Sturrock Flex Shipping LTD jijini Dar es Salaam. Katika mazungumzo yake ametumia fursa hiyo kuwaeleza kuhusu maboresho mbalimbali yanayofanywa na Serikali katika Miundombinu ya Bandari ikiwemo Dar es Salaam, Tanga, Mtwara na…

Read More

TAFIRI yaja na mfumo wa kidigitali kuunganisha sekta ya uvuvi

Na Esther Mnyika, Dodoma Taasisi ya Utafiti wa Uvuvi Tanzania (TAFIRI) imesema imekuja na mfumo wa kidigitali ambao utarahisisha uvuvi na utaunganisha wavuvi, wauzaji, wachuuzi na watumiaji wa bidhaa za samaki. Akizungumza na Mtanzania Digital leo Agosti 2, 2024 jijini Dodoma Afisa Utafiti TAFIRI, Spohia Shaban kwenye maonesho ya Wakulima nanenane kitaifa hufanyika jijini humo…

Read More

Vita ya ubingwa Ligi Kuu sasa Simba, Yanga

KILA siku zinavyozidi kwenda, Azam FC inashuka kiwango huku kipigo cha mabao 2-1 ilichokipata kutoka kwa Yanga, kikiweka rehani nafasi yao ya kushiriki michuano ya kimataifa msimu ujao huku ikiwa rasmi sasa haitaweza kumaliza ligi kwa kufikisha pointi zaidi ya 63. Azam iliyo nafasi ya tatu kwenye msimamo wa Ligi Kuu Bara, imekubali kichapo hicho…

Read More

PETER MASHILI KUVAANA NA BASHE JIMBO LA NZEGA MJINI

Mkurugenzi Mtendaji wa kampuni ya MASHILI COMPANY LIMITED ambaye pia ni Mkurugenzi Mtendaji wa Mradi wa Uchenjuaji Dhahabu wa (Matinje Mining, Msilale Mining na Igurubi Mining) Ndg Peter Andrea Mashili ametangaza nia ya Kugombea Ubunge wa Jimbo la Nzega Mjini akiahidi kumg’oa Mbunge aliyepo Mhe Hussein Bashe ambaye ni Waziri wa Kilimo kwa madai kwamba…

Read More

SERIKALI YASISITIZA ULINZI WA HAKI ZA WALAJI NA KUDHIBITI BIDHAA BANDIA

Katibu Mkuu Wizara ya Viwanda na Biashara Dkt. Hashil Abdallah,akizungumza wakati akifungua Semina ya Uhamasishaji wa Masuala ya Ushindani, Kumlinda Mlaji na Udhibiti wa Bidhaa Bandia iliyofanyika leo Oktoba 15,2025 katika ukumbi wa The New Kiboko, jijini Tanga. Na.Mwandishi Wetu-Tanga Katibu Mkuu Wizara ya Viwanda na Biashara Dkt. Hashil Abdallah amesisitiza kuwa dhamira ya Serikali…

Read More

Dabi yampa Oumba mbinu za ushindi fainali FA

DAKIKA 90 za mchezo kati ya wenyeji Yanga dhidi ya watani zao Simba zimemtosha kocha wa Singida Black Stars, David Ouma kutambua ni wapi anatakiwa kufanyia kazi kabla ya kuvaana na timu hiyo Jumapili hii na kushinda. Ouma ameliambia Mwanaspoti alikuwa na dakika 90 za kuisoma Yanga ikiifunga Simba kwa mabao 2-0 huku akibaini ubora…

Read More

Bashiri na Ushinde na Meridianbet Sasa

ALHAMISI ya leo ni nzuri sana endapo ikisindikizwa na jamvi la uhakika ndani ya Meridianbet. Timu kibao za kufuzu Europa zipo uwanjani hapo baadae kuhakikisha zinapata pointi tatu na wewe ondoka na pesa leo kwa dau lako dogo tuu. Bashiri mechi ya Kuopion Palloseura dhidi ya FC Midtjylland ya kule Denmark ambao mechi ya mkondo…

Read More

Joe akubali kung’atuka – DW – 21.07.2024

Rais wa Marekani Joe Biden ametangaza Jumapili kuwa anakaa kando kutoka kwenye kinyang’anyiro cha urais wa Marekani 2024. “Imekuwa heshima kubwa maishani mwangu kuhudumu kama rais wenu,” alisema kwenye chapisho la mtandaoni. “Na ingawa imekuwa nia yangu ya kutaka kuchaguliwa tena, naamini ni kwa manufaa ya chama changu na nchi yangu mimi kukaa pembeni.” Soma pia: Biden akataa…

Read More