ZEC yateketeza nyaraka 720,000 za uchaguzi mkuu wa Oktoba 29

Unguja. Tume ya Uchaguzi Zanzibar (ZEC) imemalizia kazi ya kuteketeza nyaraka 720,000 za uchaguzi mkuu uliofanyika Oktoba 29, 2025. Kati ya nyaraka hizo 100,000 hazikutumika, zilizotumika Unguja ni nyaraka za kura 461,000 na Pemba kura 159,000. Akizungumza wakati wa kuteketeza nyaraka hizo leo Jumamosi, Februari 28, 2026 katika Shimo la Muungoni Mkoa wa Kusini Unguja,…

Read More

‘X-Factor’ ya Fadlu ni hii!

KATI ya vitu ambavyo kocha wa Simba, Fadlu Davids vinampasua kichwa ikiwa ni siku chache tu kabla ya kuanza msimu mpya wa 2025/26 ni pamoja na mchezaji mwenye sifa ya kuamua mchezo, ambapo katika mahojiano yake kabla ya kurejea Dar alitumia neno la Kiingereza ‘X-Factor’. Mwanaspoti linajua kwamba mchezaji anayemtaka Fadlu ni mtu anatakayecheza pale…

Read More

Hemed: Dk Mwinyi amemaliza kero kubwa tatu Pemba

Unguja. Makamu wa Pili wa Rais wa Zanzibar, Hemed Suleiman Abdulla, ametaja mambo matatu makubwa yaliyokuwa kero kwa wananchi wa Kisiwa cha Pemba, lakini amesema Serikali inayoongozwa na Dk Hussein Ali Mwinyi imefanikiwa kuyapatia ufumbuzi katika kipindi cha miaka mitano iliyopita. Akizungumza leo Jumatatu Septemba 15, 2025 kwenye uzinduzi wa kampeni za Chama cha Mapinduzi…

Read More

Dosari za kisheria zamnusuru kifungo cha miaka 30 jela

Arusha. Mahakama ya Rufani imebatilisha hukumu ya kifungo cha miaka 30 jela alichokuwa amehukumiwa Lemindea Lesira baada ya kukutwa na kosa la ubakaji. Makosa mengine aliyokutwa nayo na hatia na kuhukumiwa adhabu ya kifungo cha miaka mitano na faini kwa mwathirika wa tukio hilo ni kusababisha madhara makubwa kinyume na kifungu cha 225 na kosa…

Read More

Fadlu aamua kuja kivingine | Mwanaspoti

SIMBA juzi usiku ilipata ushindi wa mabao 2-0 dhidi ya Gor Mahia ya Kenya katika tamasha la Simba Day, lakini kocha wa timu hiyo, Fadlu Davids amefunguka kuhusu maandalizi ya kikosi kwa ajili ya msimu mpya akiweka bayana mfumo mpya anaokuja nao anaoamini utawatesa wapinzani. Kocha huyo Msauzi anayeinoa Simba kwa msimu wa pili, juzi…

Read More

Madhara wanawake wanaotumia steroidi kujenga misuli

Watu wanapofikiria kuhusu watu wanaokwenda vituo vya mazoezini (gym) huku wakitumia steroidi, picha inayokuja akilini mara nyingi ni ya wanamume wanaonyanyua vyuma vizito, kama Arnold Schwarzenegger, au washawishi wa kisasa wa mitandao ya kijamii wanaoonyesha misuli yao. ​Lakini leo taswira hiyo inabadilika. Wanawake sasa wanawakilisha sehemu inayokua ya watu wanaotumia steroidi.  Kitaalamu, steroidi kwa Kiingereza…

Read More

Sungusungu waliohukumiwa kwa mauaji walivyoepa kitanzi

Arusha. Mahakama ya Rufaa imebatilisha hukumu ya kunyongwa hadi kufa iliyokuwa imetolewa dhidi ya sungusungu watatu baada ya kutiwa hatiani kwa mauaji ya mfanyakazi wa Chemi and Cortex Industries Limited, David Albert. Katika rufaa ya jinai namba 503/2024, Juma Said, Emmanuel John na Aman Saniel wameachiwa huru. Awali, Mei 4, 2023, Mahakama Kuu ilikuwa imewahukumu…

Read More

SERIKALI, WADAU WA MAENDELEO WAKUTANA KUHAKIKI MPANGO WA KUBORESHA MAZINGIRA YA BIASHARA NA UWEKEZAJI

* Huku Nchi za Afrika zikitakiwa kufanya biashara za pamoja, Wananchi waitwa kutoa maoni… Na Leandra Gabriel, MMG KATIKA Kuhakikisha biashara, uwekezaji na uchumi wa Nchi unakua Serikali kwa kushirikiana na sekta binafsi na wadau mbalimbali wa Maendeleo wameendelea kujadili, kutoa maoni na mapendekezo yatakayowezesha kuweka mazingira mazuri ya biashara na uwekezaji pamoja na kuiandaa…

Read More