Yanga yampigia  hesabu Mtunisia | Mwanaspoti

YANGA leo jioni imetangaz akumuongezea mkataba wa miaka miwili, kiungo mshambuliaji wa timu hiyo, Pacome Zouzoua, ikiwa ni sehemu ya kuboresha kikosi cha msimu ujao, lakini ikielezwa kwamba sio kwa wachezaji tu, bali hata katika benchi la ufundi nako kuna watu wanashushwa. Ndio, Yanga iliyomtambulisha kocha mpya, Romain Folz jana jioni, baada ya awali kumtambulisha…

Read More

Hiki ndicho kiini cha akili na maana yake

Waswahili wanasema mtaka cha uvunguni shurti ainame, na vijana wa sasa wanasema anaweza inua kitanda, uchaguzi ni wako, uiname au uinue kitanda… hebu twende pamoja. Kwa muda mrefu nimekuwa nikisikia watu wakitofautiana wanasema huyu hana akili mpuuze tu. Wazazi nao wanasema huna akili kama mama au baba yako! Hii ikanifanya nijiulize swali, hivi akili ni…

Read More

Damaro afunguka dili la Yanga SC

KATIKA siku za hivi karibuni, picha ya kiungo mkabaji wa Singida Black Stars, Mohammed Damaro, akiwa amevalia jezi ya Yanga, ilisambaa kwa kasi kwenye mitandao ya kijamii na kuibua mjadala miongoni mwa mashabiki wa soka nchini huku wengi wakihoji uwepo wake ndani ya uzi huo. Picha hiyo ilizua hisia mbalimbali, wapo waliodhani tayari ametua Jangwani,…

Read More

Safari ya Taasisi za Umma kujiendesha kibiashara

Na Mwandishi wa OMH Serikali ya awamu ya sita chini ya Mhe. Dk. Samia Suluhu Hassan, Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, imedhamiria kufanya mageuzi makubwa kwenye mashirika ya umma kwa kuyafanya yajiendeshe kibiashara. …Na dereva wa safari ya mageuzi hayo ni Ofisi ya Msajili wa Hazina chini ya Bw. Nehemiah Mchechu, ambaye ni…

Read More

Sugu ambwaga Msigwa uenyekiti Chadema Kanda ya Nyasa

Njombe. Aliyekuwa Mbunge wa Mbeya Mjini,  Joseph Mbilinyi, maarufu Sugu ameibuka mshindi wa nafasi ya Mwenyekiti wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema), Kanda ya Nyasa akimbwaga mpinzani wake Mchungaji Peter Msigwa. Sugu amemshinda Msigwa ambaye alikuwa anatetea nafasi yake kwa kura 54 kwa 52 na sasa kada huyo ataiongoza kanda hiyo kwa miaka mitano…

Read More