Takukuru yaeleza umuhimu viongozi wa dini kuelimisha madhara rushwa ya uchaguzi
Dar es Salaam. Taasisi ya Kuzuia na Kupambana na Rushwa (Takukuru) imesema kuwa viongozi wa dini wana nafasi ya kipekee katika kuwaelimisha waumini kuhusu madhara ya rushwa, katika kipindi hiki kuelekea Uchaguzi Mkuu Oktoba 29, 2025. Taasisi hiyo imesema viongozi hao wana jukumu muhimu la kutokomeza rushwa kutokana na nafasi yao ya kuwaongoza wananchi wengi…