Amarula Sundown Sessions Yazua Mwendo Jijini Dar

Jumapili usiku, tarehe 7 Septemba 2025, jiji la Dar es Salaam lilichomoka kwa shangwe pale Amarula Sundown Sessions lilipofanyika – tukio lililosheheni mastaa, influencers, na watu mashuhuri kutoka kila kona ya jiji. Usiku huo ulikuwa wa burudani ya hali ya juu: muziki ulirukaruka kwenye midomo ya wapenzi wa vibes, vinywaji vya Amarula vilivyotengenezwa kwa ubunifu…

Read More

84 Churches in Ethiopia Change Their Church Signboards to Shincheonji Church of Jesus, the Temple of the Tabernacle of the Testimony

On the 10th, representative pastors from 84 churches in Ethiopia posed for a commemorative photo at the “Shincheonji Church of Jesus, the Temple of the Tabernacle of the Testimony, Peter Tribe, Ethiopia Signboard Changing Ceremony.”  On the 10th, during the “Shincheonji Church of Jesus, the Temple of the Tabernacle of the Testimony, Peter Tribe, Ethiopia…

Read More

Polisi yatoa kauli vurugu zilizoibuka Mahakamani leo

Dar es Salaam. Jeshi la Polisi Kanda Maalum ya Dar es Salaam limeeleza kuwa askari wake walilazimika kujihami leo Septemba 15, 2025 baada ya kuzuka vurugu katika viwanja vya Mahakama Kuu jijini Dar es Salaam. Akizungumza leo Jumatatu Septemba 15, 2025, Kamanda wa Polisi Kanda Maalumu ya Dar es Salaam, Jumanne Muliro amesema vurugu hizo…

Read More

Mpina giza nene sakata la urais Tanzania

Dar es Salaam. Ni rasmi sasa ndoto ama harakati za Luhaga Mpina kuwania urais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania katika Uchaguzi Mkuu wa Oktoba 29, 2025, zimefikia tamati. Hatua hiyo inatokana na Mpina, aliyewahi kuwa Mbunge wa Kisesa kwa miaka 20 kupitia Chama Cha Mapinduzi (CCM), kukihama chama hicho na kujiunga na ACT-Wazalendo. Mwanasiasa…

Read More

Mteule Geita Mjini kuanza na vipaumbele hivi

Geita. Mgombea ubunge wa Jimbo la Geita Mjini, Chacha Wambura amesema endapo atachaguliwa kuongoza jimbo hilo kwa kipindi cha 2025/30 kipaumbele chake cha kwanza ni kuboresha sekta ya elimu, maji, afya na miundombinu ya barabara. Akizungumza wakati wa uzinduzi wa kampeni uliofanyika katika Kijiji cha Nyaseke, Kata ya Bulela leo Septemba 15, 2025, mgombea huyo…

Read More