MKURUGENZI MKUU TTB ATOA NENO KWA WATALII AFRIKA MASHARIKI BAADA YA KUZINDULIWA MELI YA MV NEW MWANZA
Na Mwandishi Wetu MKURUGENZI Mkuu wa Bodi ya Utalii Tanzania(TTB) Ephraim Mafuru amesema kuzinduliwa kwa meli mpya kubwa na ya kisasa ya MV New Mwanza kunakwenda kufungua fursa katika sekta ya utalii ambapo sasa watalii watazunguka nchi za Afrika Mashariki kwa kutumia usafiri wa meli hiyo ambayo ni rahisi na nafuu. Mafuru ametoa kauli hiyo…