
PUTIN AONYA MATUMIZI YA SAILAHA ZA MASAFA MAREFU – MWANAHARAKATI MZALENDO
Rais Vladimir Putin wa Urusi ameonya kwamba kuruhusu Ukraine kutumia silaha za masafa marefu zinazotengenezwa na nchi za Magharibi kwa mashambulizi dhidi ya maeneo ya Urusi kunaweza kuingiza NATO moja kwa moja katika mzozo wa kijeshi na Urusi. Kauli hii ya Putin inakuja siku moja baada ya Waziri wa Mambo ya Nje wa Marekani, Antony…