DJOCKOVIC APOTEZA KWA KINDA WA HISPANIA – MWANAHARAKATI MZALENDO
Mchezaji bora wa muda wote wa mchezo wa tenisi duniani kwa upande wa wanaume Mserbia Novack Djockovic amepoteza mchezo wa fainali ya Wimbledon mbele ya kinda wa Hispania, Carlos Alcaraz. Djockovic mwenye umri wa miaka 37 amekubali kichapo cha seti 3-0 za ushindi wa 6-2, 6-2 na 7-6 kutoka kwa Alcaraz mwenye umri wa…