SHIRIKA LA MASOKO YA KARIAKOO KUJIENDESHA KWA TIJA -CPA ASHRAPH

………………  Watumishi wa Shirika la Masoko ya Kariakoo wametakiwa kufanya mageuzi katika utendaji kazi kwa kuzingatia Sheria, Kanuni, Taratibu, Miongozo na taaluma walizonazo ili kufikia malengo ya Taasisi na kuongeza tija. Hayo yamesemwa na Meneja Mkuu wa Shirika hilo, CPA Ashraph Yusuph Abdulkarim wakati alipozungumza kwenye hafla fupi ya makabidhiano ya ofisi iliyofanyika leo (Aprili…

Read More

Vodacom M-Pesa, Vivo Energy Tanzania Washirikiana Kuchochea Malipo ya Kidijitali

Kampuni ya Vodacom Tanzania, inayoadhimisha miaka 25 ya kuwahudumia Watanzania, imetangaza ushirikiano rasmi na kampuni ya mafuta ya Vivo Energy Tanzania katika jitihada za kukuza na kuongeza matumizi ya malipo ya kidijitali kwa wateja wanaonunua mafuta katika vituo vyake vya Engen kote nchini Tanzania. Uzinduzi huu uliofanyika katika kituo cha mafuta cha Engen kilichopo Mikocheni,…

Read More

Mawakili wa Serikali waonywa mitego ya rushwa

Arusha. Waziri wa Katiba na Sheria, Dk Damas Ndumbaro, amewataka mawakili wa Serikali kuzingatia maadili ya kazi zao na kuepuka rushwa, akisisitiza kuwa rushwa haina siri na hatimaye hufichuliwa. Pia, amewahimiza kutambua changamoto na ugumu wa kazi zao, kwa kuwa ni jukumu la kuleta haki katika jamii. Amesisitiza wazingatie kutenda haki ili kuimarisha usawa na…

Read More

Maswala ya zamani ya idadi ya watu wa Amerika, ya sasa na ya baadaye – masuala ya ulimwengu

Chanzo: Ofisi ya sensa ya Amerika na mahesabu ya mwandishi. Maoni na Joseph Chamie (Portland, Amerika) Jumatatu, Februari 17, 2025 Huduma ya waandishi wa habari Portland, Amerika, Februari 17 (IPS) – Kati ya wahamiaji takriban milioni 280 ulimwenguni, nchi inayoshikilia idadi kubwa ni Amerika, ardhi ya uhamiaji. Theluthi moja ya wahamiaji wa kimataifa ulimwenguni wanakaa…

Read More

Mume unautambua wajibu huu kwa mkeo mjamzito?

Dar es Salaam. Ujauzito ni safari ya kipekee na nyeti inayohitaji umakini na ushirikiano wa karibu kati ya wenza. Kwa muda mrefu, katika jamii nyingi, suala la kufuatilia afya ya ujauzito limeachwa kuwa jukumu la wanawake pekee. Hata hivyo, ushiriki wa mume katika mchakato huu ni jambo muhimu sana linaloleta manufaa makubwa kwa mama, mtoto,…

Read More

TANZANIA KUJIIMARISHA KATIKA UKANDA WA IORA

Tanzania imeweka nia ya dhati ya kunufaika na fursa mbalimbali zinazopatikana katika Jumuiya ya Nchi za Mwambao wa Bahari ya Hindi (IORA) kupitia uanachama wake kwenye Jumuiya hiyo. Kauli hiyo imetolewa na Naibu Katibu Mkuu wa Wizara ya Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Afrika Mashariki, Balozi Said Shaib Mussa ambaye aliongoza ujumbe wa Tanzania…

Read More