SMZ yajizatiti kulinda vijana dhidi ya madhara ya matumizi ya mitandao

Unguja. Serikali ya Mapinduzi ya Zanzibar (SMZ) imekiri kuwepo kwa changamoto na vihatarishi vya matumizi yasiyo salama ya mitandao hususani kwa vijana huku ikiahidi kuitafutia utatuzi. Hayo yamebainishwa leo Alhamisi Februari 26, 2026 na Naibu Waziri wa Mawasiliano na Teknolojia ya Habari na Ubunifu Zanzibar, Mohammed Sijamini Mohamed wakati akijibu swali la Mwakilishi wa Chakechake,…

Read More

Jamhuri ya Afrika ya Kati yaingia katika awamu ya ‘maamuzi’ baada ya uchaguzi wa kihistoria – Masuala ya Ulimwenguni

Muhtasari wa Baraza la Usalama Jumatano, Mwakilishi Maalum Valentine Rugwabiza alisema uchaguzi wa tarehe 28 Disemba 2025 uliashiria “hatua muhimu katika uimarishaji wa mchakato wa amani na mamlaka ya Serikali.” Uchaguzi wa pamoja wa rais, wabunge, mikoa na manispaa – ikijumuisha kura za kwanza za manispaa tangu 1988 – ziliwakilisha “oparesheni kubwa zaidi za uchaguzi…

Read More

NIRC YAWEKA KAMBI KUCHIMBA VISIMA 52 VYA UMWAGILIAJI TABORA John Bukuku Last updated: 2025/09/01 at 2:38 PM John Bukuku 4 hours ago Share

…………. NIRC:Nzega  Serikali kupitia Tume ya Taifa ya Umwagiliaji imeanza uchimbaji wa visima 52 katika halmashauri nane za Mkoa wa Tabora. Ili kuwezesha wakulima wa maeneo hayo kuacha kulima kilimo cha mazoea ya kugemea msimu wa mvua na kujikita katika kilimo cha kisasa cha umwagiliaji. Katika kijiji cha Miguwa, visima vitakavyochimbwa vitamwagilia zaidi ya ekari…

Read More

ZEC yateketeza nyaraka 720,000 za uchaguzi mkuu wa Oktoba 29

Unguja. Tume ya Uchaguzi Zanzibar (ZEC) imemalizia kazi ya kuteketeza nyaraka 720,000 za uchaguzi mkuu uliofanyika Oktoba 29, 2025. Kati ya nyaraka hizo 100,000 hazikutumika, zilizotumika Unguja ni nyaraka za kura 461,000 na Pemba kura 159,000. Akizungumza wakati wa kuteketeza nyaraka hizo leo Jumamosi, Februari 28, 2026 katika Shimo la Muungoni Mkoa wa Kusini Unguja,…

Read More

NCCR-Magezi yaahidi kutumbua mafisadi kikipewa ridhaa

Kibaha. Mgombea urais kupitia Chama cha NCCR-Magezi, Haji Khamis ameahidi kusimamia maadili ya uongozi na kuwawajibisha viongozi watakaobainika kutumia ofisi za umma kwa manufaa binafsi, endapo atachaguliwa katika uchaguzi mkuu ujao. Akihutubia mkutano wa kampeni uliofanyika Jumatano Septemba 24, 2025 mjini Kibaha, Khamis amesema moja ya changamoto kubwa nchini ni viongozi wa ngazi za utekelezaji…

Read More

Furahia na dumisha ndoa yako kisayansi

Kwa muda mrefu, ndoa imekuwa ikitazamwa kama jambo la hisia, bahati au mapenzi yasiyo na maelezo. Watu wengi huamini kuwa ndoa ikianza vizuri, basi itaendelea kuwa nzuri, au ikianza kwa shida, basi ni mkosi wa maisha. Lakini utafiti wa kisayansi umeanza kubadilisha mtazamo huu. Leo, sayansi inaonesha kuwa ndoa yenye furaha si bahati nasibu, bali…

Read More