Mteule Geita Mjini kuanza na vipaumbele hivi

Geita. Mgombea ubunge wa Jimbo la Geita Mjini, Chacha Wambura amesema endapo atachaguliwa kuongoza jimbo hilo kwa kipindi cha 2025/30 kipaumbele chake cha kwanza ni kuboresha sekta ya elimu, maji, afya na miundombinu ya barabara. Akizungumza wakati wa uzinduzi wa kampeni uliofanyika katika Kijiji cha Nyaseke, Kata ya Bulela leo Septemba 15, 2025, mgombea huyo…

Read More

Hemed: Dk Mwinyi amemaliza kero kubwa tatu Pemba

Unguja. Makamu wa Pili wa Rais wa Zanzibar, Hemed Suleiman Abdulla, ametaja mambo matatu makubwa yaliyokuwa kero kwa wananchi wa Kisiwa cha Pemba, lakini amesema Serikali inayoongozwa na Dk Hussein Ali Mwinyi imefanikiwa kuyapatia ufumbuzi katika kipindi cha miaka mitano iliyopita. Akizungumza leo Jumatatu Septemba 15, 2025 kwenye uzinduzi wa kampeni za Chama cha Mapinduzi…

Read More

Dimwa: Si kila mtua anafaa kuwa Rais, tumpe kura Dk Mwinyi

Unguja. Naibu Katibu Mkuu wa Chama cha Mapinduzi (CCM) Zanzibar, Dk Mohamed Said Dimwa, amesema urais ni nafasi nyeti ambayo haiwezi kupewa kila mtu, akisisitiza wananchi kumchagua mgombea wa chama hicho, Dk Hussein Mwinyi, kwa kuwa ana maono makubwa ya kuendeleza Zanzibar. Dk Dimwa ametoa kauli hiyo leo Jumatatu Septemba 15, 2025, katika Uwanja wa…

Read More

Lissu ngoma ngumu, arusha karata mpya

‎‎Dar es Salaam. Mwenyekiti wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema), Tundu Lissu amerusha karata nyingine katika harakati za kujiondoa kwenye kesi ya uhaini inayomkabili, baada ya kupinga hati ya shtaka linalomkabili akidai ni batili kutokana na kukiuka masharti ya sheria. Hiyo ni hatua ya pili ya Lissu kutupa karata yake katika harakati za kujinasua na…

Read More