Viongozi Chadema Mbeya waachiwa kwa dhamana, kuripoti tena Polisi
Mbeya. Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema) Mkoa wa Mbeya kimethibitisha kuwa baadhi ya viongozi wake waliokuwa wakishikiliwa na Jeshi la Polisi kwa tuhuma mbalimbali, wameachiwa huru kwa dhamana. Walioachiwa ni Mwenyekiti wa Chadema Mkoa wa Mbeya, Masaga Kaloli na Mwenyekiti wa Baraza la Vijana Chama hicho (Bavicha), Elisha Chonya ambao watapaswa kuripoti tena Kituo…