Bado Watatu – 24 | Mwanaspoti

Hata kama nitaendelea kuificha maiti ya Shefa, mtu aliyemuua atakuwa anajua kuwa maiti ya Shefa nimeificha humu ndani. Kama ataamua kunisaliti, anaweza kuwatonya polisi wakaja wakapekua nyumba yangu na kuikuta. Mawazo yote hayo yalipita katika akili yangu na kunikatisha tamaa. Niliona kwamba muda wangu wa kukamatwa na kuhusishwa na mauaji yale ulikuwa karibu sana. Kwanza,…

Read More

Wanandoa wauawa kikatili, miili yachomwa moto

Mbeya. Wanandoa wanaodaiwa kuwa raia wa Jamhuri ya Kidemokrasia ya Congo (DRC) wameuawa katika Kijiji cha Chafuma, wilayani Momba. Kwa mujibu wa taarifa kwa umma iliyotolewa na Jeshi la Polisi Agosti 23, 2025 tukio la mauaji lilitokea Kata ya Kapele iliyo Tarafa ya Ndalambo, juzi Agosti 22, saa nane mchana. Taarifa hiyo iliyotolewa na Kamanda…

Read More

Mteule Geita Mjini kuanza na vipaumbele hivi

Geita. Mgombea ubunge wa Jimbo la Geita Mjini, Chacha Wambura amesema endapo atachaguliwa kuongoza jimbo hilo kwa kipindi cha 2025/30 kipaumbele chake cha kwanza ni kuboresha sekta ya elimu, maji, afya na miundombinu ya barabara. Akizungumza wakati wa uzinduzi wa kampeni uliofanyika katika Kijiji cha Nyaseke, Kata ya Bulela leo Septemba 15, 2025, mgombea huyo…

Read More

MAKINIKIA TANZIA: KAPTENI ABBAS MWINYI KUZIKWA KESHO UNGUJA, RAIS MWINYI ASITISHA ZIARA YAKE YA KAMPENI KISIWANI PEMBA

Mhe. Dkt. Hussein Ali Mwinyi, Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi, ambaye pia ni Mgombea wa Nafasi ya Rais wa Zanzibar kupitia CCM, amewasili Unguja akitokea Pemba kufuatia msiba mzito wa kaka yake, Mhe. Kapteni Abbas Ali Mwinyi, aliyefariki dunia leo tarehe 25 Septemba 2025 katika Hospitali ya Lumumba, Unguja. Marehemu Kapteni…

Read More