Sheria ya habari yatua kwa Mwanasheria Mkuu Z’bar

Unguja. Wakati wadau wa habari wakishinikiza Serikali kukamilisha mchakato wa sheria ya huduma za vyombo vya habari, yenyewe imesema umefikia hatua nzuri na umefika kwa Mwanasheria Mkuu wa Serikali (AG) na wakati wowote utafika Katika Baraza la Wawakilishi kujadiliwa. Hayo yamebainika wakati wa maadhimisho ya siku ya Uhuru wa Vyombo vya Habari mwaka 2024 ambapo…

Read More

Kariakoo ya saa 24 yazinduliwa, vibaka na wezi waonywa

Dar es Salaam. Wakati baadhi ya wafanyabiashara wakiwa na wasiwasi kuhusu hali ya usalama kuelekea ufanyaji biashara kwa saa 24 katika eneo la Kariakoo jijini Dar es Salaam, Mkuu wa mkoa huo, Albert Chalamila amewaonya vibaka kutothubutu kulifanya eneo hilo sehemu ya majaribio yao. Chalamila ameyasema hayo leo Jumatatu Februari 24, 2025 alipozindua shughuli za…

Read More

Buswita bado yupo Namungo | Mwanaspoti

KIUNGO mshambuliaji, Pius Buswita amekata mzizi wa fitina kwa kuamini kusaini mkataba wa miaka miwili kuendelea kukipiga Namungo akimaliza uvumi kwamba alikuwa anaachana na timu hiyo ili atue kwingine. Nyota huyo wa zamani wa Yanga, alikuwa akiwaniwa na Dodoma, JKT Tanzania na Mashujaa, lakini akaamua kusalia kwa Wauaji wa Kusini baada ya kuvutiwa na ofa …

Read More