Mashirika binafsi toeni huduma katika halmashauri zote

Serikali Mkoani Geita imeyataka Mashirika yasiyokuwa ya Kiserikali kuhakikisha wanashirikiana na Serikali katika kutatua changamoto mbalimbali ikiwemo changamoto za kiuchumi , kimaendeleo na kiutamaduni sambamba na kulinda Mila na Desturi za Kitanzania. Hayo yameelezwa na Kaimu Katibu Tawala Mkoa wa Geita Dkt. Elfasi Msenya katika Mkutano Mkuu wa Mwaka wa Mashirika yasiyo ya kiserikali (NGOs)…

Read More

OUT yaendesha mafunzo ya ufuatiliaji na tathmini kwa maafisa mipango,wachumi na watakwimu Serikalini

Chuo Kikuu Huria cha Tanzania (OUT), kimepongezwa kwa kutoa mafunzo ya ufuatiliaji na tathmini kwa maafisa wanaoshughulikia vitengo husika kwenye majiji, manispaa na halmashauri za Tanzania Bara kwani yanawajengea uwezo watumishi hao katika utekelezaji wa majukumu yao. Vitengo hivi ni vipya hivyo mafunzo haya yanakwenda kuimarisha utawala bora kwenye maeneo husika na kusaidia kupanga vipaumbele…

Read More

Licha ya dabi kuahirishwa, Yanga yatinga kwa Mkapa

LICHA ya kwamba Bodi ya Ligi Kuu Tanzania (TPLB) kutangaza kuahirisha mchezo wa Kariakoo Dabi, timu ya Yanga imefika uwanjani kwa lengo la kucheza mechi hiyo iliyopangwa awali kuchezwa dhidi ya Simba. Mchezo huo uliopangwa kuchezwa leo Jumamosi Machi 8, 2025 kwenye Uwanja wa Benjamin Mkapa, umeahirishwa na Bodi ya Ligi Kuu Tanzania (TPLB) kufuatia…

Read More

Mwanga mpya kwa mafundi wasio na vyeti

Dar es Salaam. Kila siku asubuhi katika maeneo mengi ya nchi,   sauti mbalimbali husikika ambazo mara chache hupewa heshima ya kitaifa.  Ni sauti za nyundo zikigonga mbao kwa ustahimilivu, sauti za mashine za kukata mbao zikilia kwa mwangwi wa kazi. Kwingine utaona cheche za mafundi wachomeleaji zikimulika anga la karakana ndogondogo, mashine za kushona nguo  zikizunguka…

Read More

TBS HAKIKISHENI SOKO LA TANZANIA LINAKUWA NA BIDHAA BORA

:::::::::: WAZIRI MKUU, Kassim Majaliwa ameutaka uongozi wa Shirika la Viwango Tanzania kutokuwa na huruma na bidhaa zisizokuwa na ubora kwani Serikali inataka soko la Tanzania liwe na bidhaa bora, salama na zenye kuleta tija kwa mlaji na kwa uchumi. Amewataka wazalishaji wa bidhaa na huduma, wahakikishe wanazingatia taratibu za vipimo, uthibitishaji wa ubora, na…

Read More

‘VIBE’ MAHUSIANO SPORTS BONANZA RAHA TUPU MSALALA

  Wachezaji wa timu ya Lwabakanga na Kakola wakiwania mpira katika moja ya mchezo. Kikosi cha timu ya Bugarama katika picha ya pamoja kabla ya mchezo Wachezaji wa timu za Bugarama na Busindi wakisalimiana kabla ya mechi yao kuanza. Wachezaji wakiwa uwanjani kabla ya mechi kuanza Ukitembelea kata mbalimbali zinazozunguka Mgodi wa dhahabu wa Barrick…

Read More

Kuporomoka kwa jengo Kariakoo, fundi atoboa siri

Dar es Salaam. Wakati Serikali ikieleza kuwa inaendelea na uchunguzi kubaini chanzo cha kuporomoka kwa jengo la Kariakoo, fundi aliyekuwa akifanya ubomoaji ameeleza sababu na hali ilivyokuwa. Jengo hilo liliporomoka mapema leo Jumamosi Novemba 16, 2024. Taarifa za awali kutoka kwa mashuhuda, zinaeleza ndani ya jengo hilo la kibiashara, kulikuwa na watu kadhaa waliokuwa wakifanya…

Read More