SERIKALI YAENDELEA KUBORESHA UJUZI WA WAKULIMA
NA DENIS MLOWE, IRINGA NAIBU Waziri wa Nchi, Ofisi ya Waziri Mkuu (Kazi, Ajira na Mahusiano), Mheshimiwa Rahma Kisuo, ameipongeza Serikali ya Awamu ya Sita kwa mageuzi makubwa katika sekta ya kilimo na uendelezaji ujuzi, wakati akifunga mafunzo ya wakulima na wasindikaji wadogo sambamba na kuzindua Muongozo wa Kitaifa wa Uratibu wa Mafunzo ya Kuongeza…