SERIKALI YAENDELEA KUBORESHA UJUZI WA WAKULIMA

NA DENIS MLOWE, IRINGA NAIBU Waziri wa Nchi, Ofisi ya Waziri Mkuu (Kazi, Ajira na Mahusiano), Mheshimiwa Rahma Kisuo, ameipongeza Serikali ya Awamu ya Sita kwa mageuzi makubwa katika sekta ya kilimo na uendelezaji ujuzi, wakati akifunga mafunzo ya wakulima na wasindikaji wadogo sambamba na kuzindua Muongozo wa Kitaifa wa Uratibu wa Mafunzo ya Kuongeza…

Read More

Huu hapa ujumbe wa Lissu kwa Mzee Mtei

Arusha. Mwenyekiti wa Taifa wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema), Tundu Lissu amemwelezea mzee Edwin Mtei kama kiongozi wa kisiasa na mtendaji wa Serikali jasiri aliyekuwa na uthubutu wa kuukataa uchawa. Hotuba hiyo iligusiwa leo kwenye mazishi ya Mtei na Naibu Katibu mkuu wa Chadema (Bara), Aman Golugwa kwamba wamepokea salamu za ujumbe wenye…

Read More

Ufikiaji mdogo umerejeshwa kwenye kambi ya Al Hol ya Syria huku kukiwa na masuala ya usalama – Masuala ya Ulimwenguni

Akitoa taarifa kwa waandishi wa habari mjini New York, Farhan Haq alisema shirika la Umoja wa Mataifa la kuhudumia wakimbizi, UNHCRaliweza kufikia kambi hiyo siku ya Ijumaa pamoja na maafisa wa Serikali ya Syria na kuanzisha mawasiliano na baadhi ya wakazi. Ugavi muhimu pia umeanza tena. Al Hol ni mojawapo ya maeneo makubwa zaidi ya…

Read More

Kiungo Mrundi atua Singida Black Stars

UONGOZI wa Singida Black Stars umekamilisha usajili wa kiungo mshambuliaji, Mossi Nduwumwe, baada ya mabosi wa kikosi hicho kuvutiwa na uwezo wa mchezaji huyo anayeichezea Flambeau du Centre FC ya kwao Burundi. Singida ilikuwa inapambana kukamilisha usajili wa nyota huyo anayecheza winga ya kulia na kushoto, huku pia akitokea nyuma ya mshambuliaji ikidaiwa huenda ni…

Read More

NISHATI SAFI YA RAFIKI BRIQUETTES IWAFIKIE WATANZANIA WOTE

::::::::: Watanzania wametakiwa kuendelea kumuunga mkono Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan katika kutumia nishati safi ya kupikia (mkaa mbadala wa Rafiki briquettes) unaozalishwa na Shirika la Madini la Taifa (STAMICO).  Rai hiyo imetolewa leo Januari 24, 2026 na Mwenyekiti wa Bodi ya Nishati Vijijini (REB), Meja Jenerali Mstaafu…

Read More

Sintofahamu zuio la shughuli za Chadema

Dar es Salaam. Kuzuiliwa kwa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema) kufanya baadhi ya shughuli zake katika mikoa ya Mbeya, Rukwa na Njombe siku ya maadhimisho ya miaka 33 ya chama hicho, kumeibua sintofahamu na malumbano baina ya viongozi wa chama na Jeshi la Polisi. Katika maadhimisho hayo, yaliyofanyika Januari 21, 2026, Jeshi la Polisi…

Read More

Laizer awahofia Mashujaa | Mwanaspoti

KOCHA wa Fountain Gate, Mohamed Laizer amesema mchezo unaofuata utakuwa mgumu zaidi, kwani wapinzani wao wametokea kuchezea kichapo kikali dhidi ya Yanga. Akizungumza na Mwanaspoti, Laizer alisema ugumu wa mchezo huo utakuwa kwenye maeneo mawili ambayo yote yanatokana na wapinzani wao, akitaja hasira ambayo wanayo baada ya kufungwa mabao mengi na Yanga kwenye mchezo wa…

Read More