Beki Yanga ampa mtihani Camara, wakongwe watia neno

KIPA raia wa Guinea, Moussa Camara, anakabiliwa na mtihani mzito unaomuweka njiapanda ya kuendelea kuitumikia Simba ambapo hivi sasa ameondolewa kwenye mfumo wa usajili na mkataba wake unamalizika mwisho wa msimu huu. Kuondolewa kwa Camara katika mfumo wa usajili, kunatokana na majeraha ya goti aliyoyapata na kumuweka nje kwa muda mrefu hali iliyofanya dirisha dogo…

Read More

Mishtuko ya Mafuta, Misukosuko ya Kisiasa na Suluhu Moja Serikali Huendelea Kupuuza – Masuala ya Ulimwenguni

Credit: Marcelo Del Pozo/Reuters kupitia Gallo Images Maoni na Andrew Firmin (london) Jumatatu, Machi 16, 2026 Inter Press Service LONDON, Machi 16 (IPS) – Kwa mara nyingine tena, bei ya mafuta duniani inapanda, kutokana na vita vya Israel na Marekani dhidi ya Iran. Huku Iran ikilipiza kisasi kwa kushambulia miundombinu na vituo vya usafiri na…

Read More

WANAWAKE MKOANI IRINGA WAASWA KUACHANA NA MIKOPO YA SHIKILIA DERA

Na Rose Ngunangwa, Iringa Wanawake Mkoani Iringa wameaswa kuachana na mikopo almarufu kama Shikilia Dera au Ndala mkononi kwani mikopo hiyo imekuwa ikisababisha mali za familia kuuzwa au kutaifishwa ili kufidia na kuiacha familia ikiingia kwenye lindi la umaskini. Mikopo hiyo imepewa jina la shikilia dera au kandamili mkononi kutokana na wanawake wanaochukua kulazimika kushikilia…

Read More

Airtel Tanzania Inathibitisha Dhamira yake ya Kuunganisha na Kukuza Ujumuishaji wa Kifedha Wakati wa Iftari ya Ramadan

Dar es Salaam, Machi 9, 2026.  KAMPUNI ya Airtel Tanzania Jumatatu iliandaa hafla maalumu ya Iftari ya Ramadan jijini Dar es Salaam, ikiwakutanisha viongozi wa serikali, wateja, wadau na wanahabari katika hali ya umoja, tafakari na shukrani wakati wa mwezi mtukufu wa Ramadan. Hafla hiyo ilihudhuriwa na Waziri wa Fedha na Mipango, Khamis Mussa Omar,…

Read More

WAZIRI MKUU AHITIMISHA ZIARA YAKE MKOANI KATAVI

▪︎ Aagiza viongozi kushughulikia kero za wananchi badala ya kusubiri viongozi wakuu WAZIRI MKUU, Dkt. Mwigulu Nchemba, leo Machi 16, 2026 amehitimisha ziara yake ya kikazi mkoani Katavi iliyoanza Machi 13, 2026 ambapo ameelekeza viongozi wa wilaya na halmashauri nchini kuhakikisha wanashughulikia changamoto za wananchi kwa wakati bila kusubiri ziara za viongozi wa kitaifa. Akizungumza…

Read More