Lissu ngoma ngumu, arusha karata mpya

‎‎Dar es Salaam. Mwenyekiti wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema), Tundu Lissu amerusha karata nyingine katika harakati za kujiondoa kwenye kesi ya uhaini inayomkabili, baada ya kupinga hati ya shtaka linalomkabili akidai ni batili kutokana na kukiuka masharti ya sheria. Hiyo ni hatua ya pili ya Lissu kutupa karata yake katika harakati za kujinasua na…

Read More

Mgombea ubunge Geita Mjini ataja vipaumbele 2025/30

Geita. Mgombea ubunge wa Jimbo la Geita Mjini, Chacha Wambura amesema endapo atachaguliwa kuongoza jimbo hilo kwa kipindi cha 2025/30 kipaumbele chake cha kwanza ni kuboresha sekta ya elimu, maji, afya na miundombinu ya barabara. Akizungumza wakati wa uzinduzi wa kampeni uliofanyika katika Kijiji cha Nyaseke, Kata ya Bulela leo Septemba 15, 2025, mgombea huyo…

Read More

NITASHIRIKIANA NA WANA-MUHEZA KUHAKIKISHA CHANGAMOTO ZINAONDOKA- MWANA FA

Na Mwandishi Wetu, Muheza MGOMBEA ubunge Jimbo la Muheza kupitia Chama Cha Mapinduzi (CCM) Hamisi Mwinjuma maarufu MwanaFA amesema ataendelea kushirikiana na wananchi wa wilaya ya Muheza kuhakikisha changamoto za Jimbo hilo linafanyiwa kazi. Akizungumza kwenye mkutano wa kampeni uliofanyika katika kata ya Mkuzi, MwanaFA alisema kuwa changamoto zote zilizopo wilayani hapa anakwenda kuzifanyia kazi…

Read More

Othman aahidi neema kwa watumishi Zanzibar

Zanzibar. Mgombea urais wa Zanzibar kupitia Chama cha ACT–Wazalendo, Othman Masoud Othman ameahidi kuwa iwapo atachaguliwa kuunda Serikali, ataweka kima cha chini cha mshahara wa Sh1 milioni kwa watumishi wa umma. Othman, ambaye pia ni Mwenyekiti wa ACT–Wazalendo, amesema hatua hiyo inalenga kuongeza morali na ufanisi wa kazi kwa watumishi, huku akisisitiza kuwa kipaumbele kitatolewa…

Read More

Aucho apiga hesabu kali, aitaja Yanga

SINGIDA Black Stars jana ilibeba ubingwa wa kwanza wa Kombe la Kagame kwa kuifunga Al Hilal ya Sudan mabao 2-1, katika mechi ya fainali ya Kombe la Kagame 2025, huku nahodha wa timu hiyo, Khalid Aucho amefichua siri iliyomfanya atue kwa wauza alizeti hao akisisitiza mashabiki wajiandae kupata furaha msimu huu. …

Read More

Mwalimu aahidi barabara ya lami Sengerema–Geita

Mwanza. Chama cha Ukombozi wa Umma (Chaumma) kimeahidi kuwa, kikichaguliwa kuunda Serikali baada ya uchaguzi mkuu Oktoba 29, 2025, kitahakikisha Jimbo la Buchosa linaunganishwa kwa barabara ya lami na Wilaya ya Sengerema pamoja na Mkoa wa Geita. Kwa sasa, wananchi wa Buchosa wanalalamikia ubovu wa miundombinu kutoka Nyehunge kwenda wilayani Sengerema, hali inayosababisha usafiri kuwa…

Read More