RASIMISHA PROGRAM YAJA KUMKOMBOA MWANAMKE MFANYABIASHARA

Mkurugenzi wa Program ya Rasimisha  Leah Kalunde akizungumz katika katika hafla maalum ya kusheherekea siku ya wanawake hodari iliyowakutanisha wanawake wanaofanya biashara mbalimbali ambayo imefanyika Tae 24/3/2026 jijini Dar es salaam Meneja mradi wa Program ya Rasimisha  Caroline Andrew akiwasilisha taarifa maalum kuhusu Rasimisha katika hafla maalum ya kusheherekea siku ya wanawake hodari iliyowakutanisha wanawake wanaofanya biashara…

Read More

Chuo cha Aga Khan chatoa mafunzo ya malezi bora kwa watoto

Arusha. Katika kuimarisha malezi na makuzi bora kwa watoto, Chuo Kikuu cha Aga Khan (AKU) kimeendesha programu maalumu za kuwajengea uwezo wadau mbalimbali, wakiwamo wawakilishi wa asasi za kiraia zinazojihusisha na maendeleo ya awali ya mtoto. Mradi huo wa mafunzo kuhusu sayansi ya malezi na makuzi ya maendeleo ya awali ya watoto umefanyika leo, Jumamosi,…

Read More

Wapatiwa ‘nyenzo’ kukabili mabadiliko ya tabia  nchi

Njombe. Wananchi wa vijiji saba wilayani Wanging’ombe mkoani Njombe, wamepatiwa miche 700 ya miti kwa lengo la kuwasaidia kukabiliana na athari za mabadiliko ya tabianchi, hali inayotajwa kuathiri uzalishaji wa mazao na kupunguza tija kwa wakulima wa eneo hilo. Mabadiliko ya tabianchi yameelezwa kuwa chanzo cha ardhi kupoteza rutuba, jambo linalowalazimu wakulima kutumia kiasi kikubwa…

Read More

INEC YATOA ANGALIZO KWA CHAMA CHA ACT

Mhe. Luhaga Joelson Mpina akiwa  na Mhe. Fatma Abdulhabib Ferej. Wawili hao walikua wapeperushe bendera ya chama cha ACT WAZALENDO kabla ya kuwekewa pingamizi na Mwanasheria Mkuu wa Serikali na kuenguliwa katika mbio za kuwania kiti cha Rais katika Uchaguzi Mkuu wa mwaka 2025.

Read More

RAIS MWINYI: AMANI CHACHU YA MAENDELEO

………. Zanzibar | 02 Septemba 2025 Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi, Mhe. Dkt. Hussein Ali Mwinyi amesema mafanikio makubwa ya maendeleo yaliyopatikana katika uongozi wa Awamu ya Nane yamechangiwa na kudumu kwa amani, mshikamano na utulivu nchini. Akizungumza na jopo la wahariri na waandishi wa habari Ikulu Zanzibar, Rais Dkt. Mwinyi…

Read More