Zombie Apocalypse Yaja Na Ushindi Juu Ya Ushindi. – Global Publishers

Kila mchezaji wa kasino mtandaoni anajua kuwa mzunguko mmoja ndani ya mchezo unaweza kubadilisha historia ya kila kitu. Lakini Meridianbet imeamua kuchukua msisimko huo hatua moja mbele na kuunda tukio linalohusisha ushindi, burudani, na changamoto kwa wakati mmoja, ni kupitia promosheni ya Happy Hour Zombie Apocalypse Free Spins. Kila Jumanne na Alhamisi, mitandao ya Meridianbet…

Read More

Mbeya City, Pamba zasaka beki Zenji 

WAKATI Mbeya City ikiendelea na mazungumzo na uongozi wa klabu ya KVZ ili kuondoka na beki wa kikosi hicho, Juma  Hassan Shaaban ‘James’, timu ya Pamba Jiji nayo imetupa kete yake kuitaka saini hiyo. Taarifa ilizozipata Mwanaspoti zinaeleza, Mbeya City ilikuwa ya kwanza kuzungumza na KVZ na kukwamia katika majadiliano ya dau, hivyo kuna uwezekano…

Read More

Ninja nje hadi dirisha dogo

BEKI wa kati Abdallah Shaibu ‘Ninja’ licha ya kusaini mkataba wa mwaka mmoja kuitumikia Transit Camp inayojiandaa kushiriki Ligi ya Championship, huenda asionekane uwanjani hadi utakapofika usajili wa dirisha dogo. Baada ya usajili huo, Mwanaspoti lilimtafuta Ninja kuhusu mipango yake ya Ligi ya Championship na alisema amefurahi kujiunga na timu hiyo, lakini hataanza msimu hadi…

Read More

RC MALIMA AIPONGEZA REA UTEKELEZAJI MIRADI MIKUBWA YA UMEME

………….. 📌Bilioni 7 kuwezesha maeneo 165 ya miji kupata huduma ya umeme Morogoro 📍Morogoro Mkuu wa mkoa wa Morogoro Mhe. Adam Malima ameipongeza Wakala wa Nishati Vijijini (REA) kwa utekekezaji wa miradi ya umeme maeneo ya Vijijini na Vitongoji hali iliyopelekea kuchochea uchumi wa wananchi na Taifa kwa ujumla. RC Malima ametoa pongezi hizo leo…

Read More

Mahakama Kenya yazuia ujenzi wa kanisa Ikulu

Dar es Salaam. Mahakama Kuu nchini Kenya imeamuru kusitishwa kwa muda ujenzi wa kanisa la kudumu au jengo lolote la kidini katika majengo ya Ikulu, nchini humo. Agizo hilo la muda pia linazuia ujenzi kama huo katika Ikulu za Rais zilizoko maeneo mbalimbali nchini au hata jengo lolote lenye mafungamano na dini. Kwa mujibu wa…

Read More

Jinsi vitendo vya huruma vinavyowasha njia ya uponyaji – maswala ya ulimwengu

Safari yake katika kazi ya kibinadamu ilianza baada ya miaka ya kutumikia hospitalini huko Aden, ambapo alishuhudia mwenyewe mapambano ambayo jamii zilizo hatarini zinakabili katika kupata huduma za afya. “Katika Aden, nilifanya kazi katika hospitali ya kibinafsi,” alikumbuka. “Niligundua kuwa watu wengi hawawezi kumudu matibabu. Ukweli huo ulinisukuma kutafuta njia ya kusaidia wale waliobaki.” Aliamua…

Read More

Ushirikiano wa Kusini-Kusini ni nini, na inaweza kuwa lango la ulimwengu mzuri? – Maswala ya ulimwengu

Kwa maneno ya kweli, ushirikiano wa Kusini-Kusini ni mchakato ambao nchi zinazoendelea-bila kujali eneo lao la jiografia-hutafuta kufikia malengo yao ya kibinafsi au ya pamoja kupitia kubadilishana maarifa, ustadi, na rasilimali, kwa ushirika unaohusisha serikali, mashirika ya mkoa, asasi za kiraia, wasomi, na sekta binafsi. Uzoefu na malengo ya nchi nyingi katika kile kinachojulikana kama…

Read More