Waliofariki ziara ya CCM waagwa, waandishi wagoma msibani

Mbeya. Rais Samia Suluhu Hassan ametuma salamu za rambirambi kwa familia zilizopoteza ndugu, jamaa na marafiki pamoja na majeruhi katika ajali iliyotokea mkoani Mbeya. Ajali hiyo ilitokea juzi Februari 25 katika eneo la Shamwengo wilayani Mbeya ikihusisha gari la Serikali na basi la Kampuni ya CRN wakati wa hitimisho ya ziara ya Mwenyekiti wa Jumuiya…

Read More

MADEREVA WA MAGARI YA SERIKALI WATAKIWA KUWA WASHAURI WA VIONGOZI WAO KATIKA MASUALA YA USALAMA BARABARANI.

Madereva wa magari ya serikali pamoja na taasisi za umma Mkoani Songwe wamekumbushwa kuwa na nidhamu na kuongea na barabarani kwa kuzingatia sheria za usalama barabarani ikiwa ni pamoja na kuwa wa shauri wa viongozi wanaowaendesha juu ya masuala ya usalama barabarani ili kupunguza ajali zinazoweza kuepukika ikiwa ni pamoja na kulinda usalama wa watumiaji…

Read More

Azam waipa Simba bei ya Fei Toto

SIMBA na Mamelodi Sundowns zimeulizia uwezekano wa kumsainisha mkataba staa wa Azam FC, Feisal Salum ‘Fei Toto’ lakini zikaambiwa hauzwi. Fei Toto ambaye alitua Azam FC akitokea Yanga, alisaini mkataba wa miaka mitatu na tayari ameutumikia kwa msimu mmoja akiisaidia timu hiyo kumaliza katika nafasi ya pili na kupata nafasi ya kuiwakilisha Tanzania katika Ligi…

Read More

TRA yaweka rekodi makusanyo 2024, yakusanya trilioni 27.64

WAKATI wafanyabiashara nchini wakiweka mgomo wa siku tatu kupinga makadirio makubwa ya kodi na mifumo isiyo rafiki ya ukusanyaji wa kodi, Mamlaka ya Mapato Tanzania (TRA), imeandika historia ya ukusanyaji wa mapato kwa kipindi cha mwaka 2023/2024 ikiwemo kukusanya kiasi cha Sh 27.64 trilioni ambayo ni sawa na ufanisi wa asilimia 97.67 ya lengo la…

Read More

HUDUMA ZA AFYA ZAZIDI KUIMARIKA MKOANI ARUSHA

Na Janeth Raphael MichuziTv – Dodoma Serikali imeendelea kuboresha huduma za afya kwa kufanikiwa kupunguza vifo vya mama wajawazito na vifo vya mama na mtoto hali iliyochagizwa na kuanzishwa kwa Mfumo wa Rufaa wa M-Mama, uliosaidia wakinamama kujifungulia kwenye Vituo vya kutolea huduma za afya. Mkuu wa Mkoa wa Arusha Kenani Kihongosi akizungumza na Watanzania…

Read More

MBUNGE MTATURU ALIA NA USALAMA VIWANJA VYA NDEGE.

MBUNGE wa Singida Mashariki Miraji Mtaturu,akichangia Muswada wa Sheria ya Viwanja vya Ndege Tanzania wa Mwaka 2024 Bungeni jijini Dodoma. ……. MBUNGE wa Singida Mashariki Miraji Mtaturu amechangia Muswada wa Sheria ya Viwanja vya Ndege Tanzania wa Mwaka 2024 ,huku akigusia mambo mawili ambayo ni vyanzo vya Mapato vya Mamlaka ya Viwanja vya Ndege(TAA),na usalama…

Read More

Kagoma, Mwenda kumuenzi James Bwire

KIUNGO wa Simba, Yusuf Kagoma na beki wa kulia wa Yanga, Israel Mwenda ni miongoni mwa wachezaji waliothibitisha kushiriki tamasha la Alliance Day litakalotumika kumuenzi aliyekuwa Mkurugenzi Mtendaji wa kituo hicho, James Bwire aliyefariki dunia mapema mwaka huu. Uongozi wa kituo hicho cha michezo cha Alliance kilichopo jijini hapa umetangaza ujio wa tamasha hilo ili…

Read More

Dodoma watembelea miradi ya gesi asilia kwa teknolojia ya uhalisia pepe

MAONYESHO ya Kimataifa ya Nanenane yanayoendelea katika Viwanja vya Nzuguni jijini Dodoma yamekuwa ni sehemu ya wananchi kujionea utekelezaji wa miradi mbalimbali katika sekta ya nishati ikiwemo miradi ya gesi asilia na mafuta. Anaripoti Mwandishi Wetu, Dodoma … (endelea). Katika Banda la Wizara ya Nishati wananchi wameonesha kuvutiwa na teknolojia ya uhalisia pepe (Virtual reality)…

Read More

Uwanja wa ndege Arusha kutoa huduma saa 24

Dodoma. Uwanja wa ndege wa jijini Arusha ulioko eneo la Kisongo, utaanza kutoa huduma za kuruka na kutua ndege saa 24, Desemba mwaka huu. Mbali na hilo, Sh5.93 bilioni zimetumika katika kuwalipa fidia wananchi 187 watakaopisha ujenzi wa Uwanja cha ndege Ziwa Manyara. Hayo yamesemwa leo Jumapili, Julai 20, 2025 na Mkuu wa Mkoa wa…

Read More