MOI YAZINDUA MFUMO MPYA WA KUWEKA MIADI KWA MADAKTARI (MOI ONLINE APPOINTMENT SYSTEM)
::::::::::: Na Matha Kimaro- MOI Taasisi ya Tiba ya Mifupa na Ubongo Muhimbili (MOI), imezindua rasmi mfumo mpya wa kuweka miadi na madaktari wa taasisi hiyo ujulikanao kama “MOI Online appointment system “ ambao humsaidia mgonjwa kuweka miadi ya kuonana na daktari anayemtaka, muda na klinki kwa njia ya mtandao bila kulazimika kufika MOI. Uzinduzi…