JK KWA MFALME MSWATI III KUJADILI UPATIKANAJI WA FEDHA ZA MIRADI YA AFYA KWA NCHI WANACHAMA WA ECSA

Mfalme Mswati III akikutana na Washiriki wa Mkutano wa 67 wa Mawaziri wa Afya wakiongozwa na Dkt. Jakaya Mrisho KikweteDkt. Kikwete akihutubia Washiriki katika Mkutano huoDkt. Kikwete akiwa na Bw. Mduduzi Matsebula, Waziri wa Afya wa Eswatini (kushoto kwake) na Dkt. Ntuli Kapologwe, Mkurugenzi Mkuu wa ECSA-HCMfalme Mswati III akiwa katika picha ya pamoja na…

Read More

LENGO LA RAIS SAMIA NI WATANZANIA WANUFAIKE NA RASILIMALI ZAO

………… Na Sixmund Begashe, Dodoma  Waziri wa Maliasili na Utalii Mhe. Dkt. Ashatu Kijaji amesema lengo la Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mheshimiwa Dkt. Samia Suluhu Hassan ni kuhakikisha watanzania wananufaika zaidi na rasilimali zao hivyo Wizara anayoiongoza itaendelea kushirikiana na wadau katika usimamizi wa urithi wa Maliasili na Utalii ili kufikia lengo…

Read More

TANZANIA IPO TAYARI KUSHIRIKI INDABA 2026 I

…….. Dodoma Imeelezwa kwamba Tanzania kupitia Wizara ya Madini na Taasisi zake pamoja na wadau mbalimbali waliopo katika mnyororo wa thamani madini zikiwemo taasisi za fedha kwa pamoja zipo tayari kushiriki Mkutano wa Kimataifa wa Uwekezaji wa Madini wa Indaba unaotarajia kufanyika mjini Cape Town , Afrika Kusini kuanzia Februari 9 hadi 12, 2026. Hayo…

Read More

Shule hizi bado hazijapoa matokeo kidato cha nne

Mwanza. Licha ya Serikali kusitisha utaratibu wa kutangaza shule bora kitaifa, matokeo ya kidato cha nne 2025 yanaonyesha kuwa baadhi ya shule zilizowahi kutamba kimatokeo,  bado zinaendelea kufanya vizuri kwa kiwango cha juu, zikirekodi ufaulu wa asilimia 100 kwa watahiniwa wake wote kupata  daraja la kwanza. Uchambuzi wa matokeo ya shule tano ambazo kwa muda…

Read More

Nafasi ya mzazi kung’amua vipaji vya mtoto

Dar es Salaam. Kila mtoto huzaliwa na kipaji fulani ndani yake. Hiki ni kile kitu cha kipekee anachokifanya kwa urahisi, kwa ustadi, na kwa furaha. Ni sehemu ya asili ya mtoto ambayo humtofautisha na wengine. Hata hivyo, kipaji hicho, kisipotambuliwa mapema na kuendelezwa ipasavyo, hubakia kikiwa kimelala au hata kufa kabisa. Dunia imejaa watu wazima…

Read More