Gamondi ataka miezi sita tu Singida BS

KOCHA Mkuu wa Singida Black Stars, Miguel Gamondi amesema ushindi dhidi ya KMC katika mechi ya Ligi Kuu Bara sio wa bahati mbaya, huku akiweka wazi ubora wa wachezaji alionao ndio siri ya mafanikio licha ya kukaa pamoja kwa muda mfupi, akisisitiza anataka apewe miezi sita tu. Gamondi amefunguka hayo baada ya Singida kuifunga KMC…

Read More

CCM yaahidi uwanja wa ndege wa kimataifa Tanga

Tanga. Makamu Mwenyekiti wa CCM Tanzania Bara, Stephen Wasira amesema moja ya ahadi kubwa za chama hicho katika ilani ya uchaguzi 2025-2030 ni kujenga upya uwanja wa ndege wa Tanga na kuufanya wa kisasa wenye hadhi ya kimataifa. Akizungumza leo Jumatano Septemba 24, 2025 baada ya kuwasili jijini Tanga, Wasira amesema uwanja huo ulikuwa na…

Read More

Sababu Ramaphosa kuzimiwa kipaza sauti akihutubia UN

New York. Rais wa Afrika Kusini, Cyril Ramaphosa amezimiwa kipaza sauti kwenye mkutano maalumu wa kujadili umuhimu wa kuanzishwa taifa huru la Palestina, baada ya kuelekeza mashambulizi dhidi ya Israel akidai inachofanya Gaza ni mauaji ya kimbari. Pia, alifananisha mateso ya Wapalestina wanayofanyiwa na Israel na waliyoyapata Waafrika Kusini wakati wa utawala wa ubaguzi wa…

Read More

Maximo akomalia mastraika KMC | Mwanaspoti

KICHAPO cha bao 1-0 ilichopewa KMC katika mechi ya Ligi Kuu dhidi ya Singida Black Stars, kimemuamsha kocha wa timu hiyo, Mbrazili Marcio Maximo akisema changamoto kubwa iliyowagharimu ni katika eneo la safu ya ushambuliaji. Akizungumza na Mwanaspoti jijini Dar es Salaam baada ya mechi hiyo, Maximo alisema eneo la ushambuliaji lilikosa mabao mengi kutokana…

Read More

Hamad: Wananchi wanahitaji chakula zaidi na si Katiba

Unguja. Mgombea urais wa Chama cha Alliance for Democratic Change (ADC), Hamad Rashid Mohamed amesema chama chake kinahitaji kuwaendeleza wananchi kwa kuhakikisha wanapata chakula cha kutosha kwanza ili wawe na nguvu za kushiriki shughuli za uzalishaji na utafiti wa rasilimali za nchi, na si Katiba mpya. Akizungumza na waandishi wa habari leo Jumatano, Septemba 24,…

Read More

Samia aomba kura Ruangwa akimtaja Majaliwa bado yupo

Ruangwa. Mgombea urais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania kwa tiketi ya Chama cha Mapinduzi (CCM), Samia Suluhu Hassan ameahidi kuendelea kumtumia Waziri Mkuu Kassim Majaliwa kama msaidizi muhimu kwenye Serikali yake pindi atakapochaguliwa kuwa madarakani. Majaliwa ambaye amekuwa mbunge wa jimbo hilo kwa miaka 15 na kushika nafasi ya Waziri Mkuu kwa miaka 10,…

Read More

Washiriki wa Buildexpo Tanzania 2025 waitwa kujenga viwanda nchini

Dar es Salaam. Kampuni na taasisi mbalimbali zinazoshiriki katika maonesho ya biashara ya ujenzi, Afrika Mashariki yajulikanayo kama Buildexpo Tanzania 2025, zimetakiwa kuwekeza nchini kwa kuanzisha viwanda badala ya kuishia kushiriki maonyesho na kuzalisha bidhaa katika mataifa mengine. Wito huo umetolewa leo Jumatano Septemba 24, 2025 na Mwenyekiti wa Tume ya Madini, Janeth Lekashingo wakati…

Read More