Winga, Yanga ni suala la muda
KUNA taarifa zinazomhusu winga wa TRA United, Ramadhan Salum Chobwedo kuwa mbioni kujiunga na Yanga baada ya mabosi wa klabu hiyo kuonekana kuvutiwa na uwezo wake. Chobwedo ambaye huu ni msimu wake wa pili anacheza Ligi Kuu Bara, alianza kuitumikia KenGold 2024-2025 ambapo timu hiyo ilishuka daraja, ndipo akasajiliwa na TRA United msimu huu 2025-2026….