Mafuriko Gaza yaua watoto watatu, maelfu waachwa bila makazi
Mafuriko yaliyosababishwa na mvua kubwa pamoja na uharibifu wa miundombinu katika ukanda wa Gaza yamesababisha vifo vya watoto na kuongezeka kwa mateso ya wakazi waliokwishaathiriwa na vita, kwa mujibu wa taarifa za vyombo vya habari vya kimataifa. Kwa mujibu wa shirika la ulinzi wa raia Gaza, watoto watatu wamefariki dunia baada ya maji kuvamia mahema…