Winga, Yanga ni suala la muda

KUNA taarifa zinazomhusu winga wa TRA United, Ramadhan Salum Chobwedo kuwa mbioni kujiunga na Yanga baada ya mabosi wa klabu hiyo kuonekana kuvutiwa na uwezo wake. Chobwedo ambaye huu ni msimu wake wa pili anacheza Ligi Kuu Bara, alianza kuitumikia KenGold 2024-2025 ambapo timu hiyo ilishuka daraja, ndipo akasajiliwa na TRA United msimu huu 2025-2026….

Read More

Backer achomoa wanne Simba | Mwanaspoti

TAKRIBANI miezi mitatu imebaki kabla ya kumalizika kwa msimu huu wa 2025-2026 ambapo utakwenda kushuhudia usajili wa dirisha kubwa ukifunguliwa ikiwa ni maandalizi ya mchakamchaka wa 2026-2027. Wakati kikibaki kipindi kifupi huku duru la kwanza la Ligi Kuu Bara likimalizika kwa timu nyingi ukiiacha Simba pekee yenye mchezo mmoja pungufu, kocha mkuu wa kikosi hicho,…

Read More

SERIKALI YATOA ONYO KALI KWA WAFANYABIASHARA WAFICHA MAFUTA

. Katibu Mkuu wa Wizara ya Nishati anayeshughulikia Mafuta na Gesi, James Mataragio, Akimzungumza wakati wa ziara ya ukaguzi wa maghala na vituo vya mafuta jijini Dar es Salaam Machi 25, 2026.     **** Serikali imeonya vikali wafanyabiashara wanaoficha mafuta kwa lengo la kuyauza kwa bei ya juu, ikisisitiza kuwa hakuna upungufu wa nishati hiyo…

Read More

RASIMISHA PROGRAM YAJA KUMKOMBOA MWANAMKE MFANYABIASHARA

Mkurugenzi wa Program ya Rasimisha  Leah Kalunde akizungumz katika katika hafla maalum ya kusheherekea siku ya wanawake hodari iliyowakutanisha wanawake wanaofanya biashara mbalimbali ambayo imefanyika Tae 24/3/2026 jijini Dar es salaam Meneja mradi wa Program ya Rasimisha  Caroline Andrew akiwasilisha taarifa maalum kuhusu Rasimisha katika hafla maalum ya kusheherekea siku ya wanawake hodari iliyowakutanisha wanawake wanaofanya biashara…

Read More

RAIS MSTAAFU JAKAYA KIKWETE AZIDI KUNG’AA KIMATAIFA

……… Mwenyekiti wa Tume ya Umoja wa Afrika (AU), Mahamoud Ali Youssouf amemteua Rais mstaafu wa Awamu ya Nne, Jakaya Mrisho Kikwete kuwa mwakilishi maalum wa ngazi ya juu anayesimamia na kuratibu masuala ya amani na usalama katika eneo la Pembe ya Afrika. Aidha, Rais Kikwete atasimamia pia ushirikiano wa kisiasa na kiuchumi, migogoro na…

Read More