KenGold: Yanga? Wanafungika haoo! | Mwanaspoti

UKISIKIA mkwara basi ndio huu. Pamoja na kikosi cha Yanga kuonekana kuwa tishio hasa baada ya kucheza mechi saba tofauti za kimashindano na kufunga jumla ya mabao 24 na yenyewe kuruhusu bao moja, KenGold haijashtuka na kudai watetezi hao wa Ligi Kuu wanafungika tu wakati wanajiandaa kuwapokea. Yanga iliyotoka kuifumua CBE SA ya Ethiopia kwa…

Read More

UEFA CHAMPIONS LEAGUE KUKUPA MAOKOTO LEO

  LIGI ya mabingwa barani ulaya kukupa mkwanja leo kupitia michezo mikali ambayo inakwenda kupigwa katika viwanja mbalimbali usiku wa leo, Kupitia Meridianbet unaweza kubashiri michezo hii na kunyakua maokoto ya kutosha. Michezo kadhaa inatarajiwa kuchezwa usiku wa leo kwenye ligi ya mabingwa ulaya ambapo wakongwe wa michezo ya kubashiri Meridianbet wakiwa wamejidhatiti kwelikweli kwani wamemwaga Odds…

Read More

Kesi ya waliojifanya waajiri Moro yapigwa kalenda

Morogoro. Kesi inayowakabili watu 14 wanaotuhumiwa kwa kujifanya maofisa wanaotoa ajira, wakiwakusanya vijana 48 kutoka sehemu mbalimbali nchini na kujipatia fedha kinyume na sheria, imeahirishwa hadi Aprili 24, 2025 itakapotajwa tena. Kesi hiyo inasikilizwa katika Mahakama ya Mwanzo mjini Morogoro (Nunge) ambapo katika hati ya mashtaka, watuhumiwa hao wanashtakiwa kwa kujifanya maofisa wenye mamlaka ya…

Read More

Nyota JKT afichua balaa la Aucho Yanga

Nyota wa JKT Tanzania, Hassan Kapalata amesema haikuwa rahisi kupambana na kiungo wa Yanga, Khalid Aucho katika mchezo wa Ligi Kuu Bara baina ya timu hizo uliopigwa juzi kwenye Uwanja wa Meja Jenerali Isamuhyo na kumalizika kwa suluhu. Akizungumza na Mwanaspoti, Kapalata alisema ubora mkubwa kwa Yanga uko kwenye eneo la kiungo na Aucho ndiye…

Read More

Wastaafu waliopunjwa mafao watangaziwa neema

Dodoma. Serikali imetangaza habari njema kwa wastaafu waliostaafu kuanzia Julai mwaka 2022, ambao ni 17,068 kuwa watalipwa mapunjo yao ya mafao ya mkupuo kulingana na kikotoo kilichotangazwa Juni 13, 2024. Kiasi cha mafao ya mkupuo kiliongezwa kutoka asilimia 33 hadi 40 kwa Mfuko wa Hifadhi ya Jamii kwa Watumishi wa Umma (PSSSF) na 33 watapata…

Read More

Masoko ya kazi ya ulimwengu yaliyofungwa na ulaji wa Amerika – maswala ya ulimwengu

Inakadiriwa kuwa watu milioni 407 wanataka kazi lakini hawana moja, na kusababisha watu wengi kuchukua nafasi wanaweza kuzidiwa kwa sababu ya ukosefu wa chaguzi. Mikopo: Unsplash/Alex Kotliarskyi Maoni na Maximilian Malawista (Umoja wa Mataifa) Ijumaa, Juni 06, 2025 Huduma ya waandishi wa habari Umoja wa Mataifa, Jun 06 (IPS) – Wakati Asia na Pasifiki zinaonekana…

Read More