Ushindi Wako Unaanzia Meridianbet Leo kwa Early Payout

Je unajua kuwa leo hii unaweza kutengeneza pesa na Meridianbet haraka sana kupitia chaguo la EARLY PAYOUT. Chagua mechi zako sasa na ubashiri ndani ya Meridianbet. Meridianbet, inaendelea kutoa huduma mpya ya Early Payout, inayolenga kuboresha uzoefu wa wateja wake na kuhakikisha ushindi unapatikana haraka zaidi. Huduma hii ni suluhisho la kipekee kwa wapenzi wa…

Read More

WITO WATOLEWA KWA WADAU KUENDELEA KUUNGA MKONO JITIHADA ZA KUPAMBANA NA CHANGAMOTO ZA LISHE NCHINI

:::::: NA. MWANDISHI WETU – DAR ES SALAAM Mkurugenzi Mtendaji Taasisi ya Chakula na Lishe Dkt. Germana Leyna ametoa wito kwa wadu wa masuala ya lishe nchini kuendelea kuunga mkono jitihada za kupambana na changamoto zinazokabili masuala ya Lishe huku akisema kuwa Tanzania imepiga hatua kubwa katika kukabili changamoto hizo kwa kuwa na mikakati madhubuti….

Read More

Onyo la ‘mvua ya sumu’ kutoka kwa bohari ya mafuta huku kukiwa na vita vinavyoendelea vya Mashariki ya Kati – Global Issues

Akizungumza na waandishi wa habari mjini Geneva, msemaji wa ofisi ya Umoja wa Mataifa ya Haki za Kibinadamu Ravina Shamdasani ameeleza wasiwasi wake kuhusu madhara ya kiafya na kimazingira ya mashambulizi ya Israel na Marekani dhidi ya maghala ya mafuta mjini Tehran huku uchafuzi wa sumu ukienea angani. Alisema kuwa athari hizi zinazua “maswali mazito…

Read More

Cheza Meridianbet Missions Kwa Malengo, Shinda Bila Kikomo

MERIDIANBET imebadilisha kabisa namna ya kubashiri kwa kuzindua Meridianbet Missions, mpango wa kipekee unaogeuza kila mizunguko kuwa hatua ya ushindi. Hii si tu burudani, bali ni mfumo wa malengo unaokupa nafasi ya kushinda zawadi kubwa kwa juhudi zako binafsi. Katika michezo ya sloti, sasa unaweza kuchagua misheni unayoipenda kutoka kwenye michezo maarufu kama Gates of…

Read More

Kuelekeza kupita kiasi kikwazo kwa mtoto kujifunza

Jumamosi asubuhi, Mariam hupewa jukumu la kufagia sebuleni na mama yake. Kila anaposhika ufagio, mama haishi maagizo. “Anzia pale kona, shika ufagio vizuri, pitisha ufagio kama hivi, usisahau chini ya meza, sasa pindua kiti, hapana, usifagie kwa haraka hivyo. Mtoto wa kike usiwe na haraka unaposafisha nyumba.” Mara nyingine, anapokuwa anaosha vyombo, mama haishiwi maagizo:…

Read More

Nchimbi: Magufuli ameacha darasa la uongozi

Dar es Salaam/Chato. Makamu wa Rais, Dk Emmanuel Nchimbi amesema maisha na uongozi wa Rais wa Awamu ya Tano, Dk John Magufuli yalikuwa darasa muhimu kwa viongozi na Watanzania kwa ujumla, akisisitiza kuwa namna bora ya kumuenzi ni kuishi na kutenda yale aliyoyaamini. Nchimbi ameyasema hayo leo Machi 17, 2026 alipozungumza baada ya misa takatifu…

Read More

VYAMA 17 VYAREJESHA FOMU ZA KUTEULIWA KUGOMBEA UBUNGE JIMBO LA KIGAMBONI

 Na Mwandishi Wetu. VYAMA 17 vyama vilivyochukua fomu za kuteuliwa kugombea nafasi ya Ubunge katika Jimbo la Kigamboni vimerejesha fomu hizo na tayari zimebandikwa ili ziweze kukaguliwa na kama kutakuwa na upungufu wagombea wanaweza kuwekewa pingamizi. Aidha, wagombea wote wameteuliwa kugombea nafasi hiyo kwa hatua ya kuanza kampeni, kama hakutakuwa na pingamizi kwa wagombea yeyote…

Read More

Dira ya 2050 ndani ya jicho la wadau wa elimu

Dar es Salaam. Wadau wa elimu nchini wameendelea kuitazama Dira ya Maendeleo ya Taifa ya 2050 kwa jicho la matumaini makubwa, hasa katika nguzo ya pili inayohusu “Uwezo wa Watu na Maendeleo ya Jamii”. Kwa mujibu wa dira  hiyo, elimu ni injini kuu ya maendeleo ya watu na jamii, na hivyo uwekezaji wake unaelekezwa katika…

Read More

WADAU MBALIMBALI WAPEWA ELIMU KATIKA BANDA LA TASAC

Shirika la Uwakala wa Meli Tanzania (TASAC) limeshiriki maonesho ya Nane ya Teknolojia ya Madini yanayofanyika katika viwanja vya Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan vilivyopo mkoani Geita kuanzia tarehe 18 hadi 28 Septemba, 2025. Wadau mbalimbali wametembelea banda la TASAC na kupata elimu ya ugomboaji wa bidhaa ikiwemo makinikia, vilipuzi na madawa yanayotumika kwenye migodi…

Read More