Mwanamnyeto awaita mashabiki Kwa Mkapa

Nahodha wa Yanga, Bakari Mwamnyeto amewaita mashabiki kujitokeza kwa wingi kushuhudia mbinu bora za kocha Romain Folz na ubora wa nyota wapya. Mwamnyeto amefunguka hayo mbele ya wanahabari akisisitiza, wapo tayari kutoa burudani kwa mashabiki ambao watajitokeza Uwanja wa Mkapa, huku akiweka wazi tayari wameingia katika mfumo wa kocha huyo. “Licha ya kwamba kocha ni…

Read More

Serikali yadhamiria kulibadili Jeshi la Polisi

Waziri wa Mambo ya Ndani ya Nchi,Mhandisi Hamad Masauni akizungumza na Wajumbe na Bodi ya Shirika la Uzalishaji Mali la Jeshi la Polisi(hawapo pichani) wakati wa Uzinduzi wa bodi hiyo uliofanyika Makao Makuu ya wizara jijini Dar es Salaam.Jumla ya wajumbe tisa waliapa kuhudumu katika bodi hiyo.Picha na Wizara ya Mambo ya Ndani ya Nchi…

Read More

RC Kunenge atoa maagizo tathimini maonyesho ya Nanenane Moro

Morogoro. Mkuu wa Mkoa wa Pwani, Aboubakar Kunenge, amewaagiza wataalamu wa kilimo, mifugo na uvuvi waliopo kwenye maonyesho ya wakulima Nanenane Kanda ya Mashariki kuandaa taarifa ya tathmini ya maonyesho hayo ili kubaini jinsi yalivyowanufaisha wakulima wadogo, hususan katika kuongeza tija ya uzalishaji. Kunenge ametoa agizo hilo leo Jumatatu, Agosti 5, 2024 baada ya kutembelea…

Read More

Kocha KenGold freshi, BM3 atuliza mashabiki

PAMOJA na kukubali kiwango cha wachezaji, kocha mkuu wa KenGold, Vladslav Heric amesema kazi iliyobaki ni kuongeza makali eneo la ushambuliaji, huku nyota Benard Morrison ‘BM3’ akituliza upepo. Ken Gold inajiandaa na mzunguko wa pili, ambapo tayari imeshatesti mitambo yake katika michezo miwili ya kirafiki ikiambulia sare ya 1-1 dhidi ya Prisons na Mbeya Combine…

Read More

Aliyeingia Tanzania bila kibali, atozwa faini ya Sh1 milioni

Dar es Salaam. Raia wa India, Devanshu Dusad (24) amehukumiwa kulipa faini ya Sh1 milioni au kutumikia kifungo cha miaka miwili jela, baada ya kupatikana na makosa mawili ikiwamo kuishi nchini Tanzania bila kibali. Dusad amehukumiwa kifungo hicho, leo Jumanne Novemba 19, 2024, katika Mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu, baada ya kukiri mashtaka yake mawili na Mahakama…

Read More