
Zaidi ya Nchi 30 zathibitisha kushiriki Maonesho ya Kimataifa ya Utalii SITE 2024
Na Esther Mnyika, Mtanzania Digital Zaidi ya nchi 30 zimethibitisha kushiriki Maonesho ya Kimataifa ya Utalii ya Swahili International Tourism Expo (SITE), yanayotarajiwa kufanyika nchini Tanzania kuanzia Oktoba 11 hadi 13, 2024. Maonesho hayo yanafanyika kwa lengo la kuhamasisha uwekezaji endelevu katika sekta ya utalii, huku kaulimbiu ya mwaka huu ikiwa “Tembelea Tanzania kwa Uwekezaji…