
Taiwan ‘itatetea maadili ya uhuru na demokrasia” – DW – 23.05.2024
Luteka hizo za siku mbili ni sehemu ya kampeni inayoongezeka ya vitisho vya China kufanya mfululizo wa operesheni kubwa za kijeshi karibu na Taiwan katika miaka ya hivi karibuni. Hatua hii mpya inajiri baada yaLai Ching-te kuapishwa kama rais mpya wa Taiwan wiki hii huku China ikiikosoa hotuba yake baada ya kuapishwa na kuitaja kama…