Lissu: Mzee Mtei alikuwa jasiri, aliukataa uchawa kwa vitendo
Arusha. Mwenyekiti wa Taifa wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema), Tundu Lissu amemwelezea mzee Edwin Mtei kama kiongozi wa kisiasa na mtendaji wa Serikali jasiri aliyekuwa na uthubutu wa kuukataa uchawa. Hotuba hiyo iligusiwa leo kwenye mazishi ya Mtei na Naibu Katibu mkuu wa Chadema (Bara), Aman Golugwa kwamba wamepokea salamu za ujumbe wenye…