TTCL YALETA MAPINDUZI YA INTANETI YA KASI KUBWA NCHINI

***** Shirika la Mawasiliano Tanzania (TTCL) limezindua huduma mpya ya intaneti ya kasi kubwa ijulikanayo Faiba Supersonic Experience, Kasi Balaa kwa lengo la kuimarisha huduma za mawasiliano nchini. Uzinduzi huo ni sehemu ya juhudi za TTCL kuendana na kasi ya ukuaji wa teknolojia ya kidijitali na mahitaji ya watumiaji wa intaneti. Mkurugenzi wa Biashara wa…

Read More

SERIKALI YAIMARISHA TAFITI, MATUMIZI YA TEHAMA SEKTA YA AFYA

Na WAF – Uingereza  Serikali ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania imeendelea kuimarisha juhudi za kukuza utafiti na ubunifu katika sekta ya afya ili kukabiliana na changamoto za ongezeko la magonjwa yasiyoambukiza (NCDs) pamoja na magonjwa ya kuambukiza.  Mganga Mkuu wa Serikali Dkt. Grace Magembe amesema hayo leo Machi 16, 2026 jijini London wakati akiwasilisha…

Read More

Wanawake wanufaika wa Tasaf wafungua kiwanda cha kusaga karanga

Mwanza. Wanawake 15 wa kikundi cha Wasikivu katika Mtaa wa Kabangaja, Manispaa ya Ilemela mkoani Mwanza, wameazisha kiwanda kidogo cha kukaanga na kusaga karanga pamoja na kutengeneza sabuni, baada ya kuwezeshwa mtaji wa Sh11.5 milioni kupitia Mpango wa Kunusuru Kaya Maskini (Tasaf). Kikundi hicho, chenye wanachama wote wanawake na walengwa wa mpango huo, kilianzishwa mwaka…

Read More