Kiungo Mrundi atua Singida Black Stars

UONGOZI wa Singida Black Stars umekamilisha usajili wa kiungo mshambuliaji, Mossi Nduwumwe, baada ya mabosi wa kikosi hicho kuvutiwa na uwezo wa mchezaji huyo anayeichezea Flambeau du Centre FC ya kwao Burundi. Singida ilikuwa inapambana kukamilisha usajili wa nyota huyo anayecheza winga ya kulia na kushoto, huku pia akitokea nyuma ya mshambuliaji ikidaiwa huenda ni…

Read More

NISHATI SAFI YA RAFIKI BRIQUETTES IWAFIKIE WATANZANIA WOTE

::::::::: Watanzania wametakiwa kuendelea kumuunga mkono Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan katika kutumia nishati safi ya kupikia (mkaa mbadala wa Rafiki briquettes) unaozalishwa na Shirika la Madini la Taifa (STAMICO).  Rai hiyo imetolewa leo Januari 24, 2026 na Mwenyekiti wa Bodi ya Nishati Vijijini (REB), Meja Jenerali Mstaafu…

Read More

Sintofahamu zuio la shughuli za Chadema

Dar es Salaam. Kuzuiliwa kwa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema) kufanya baadhi ya shughuli zake katika mikoa ya Mbeya, Rukwa na Njombe siku ya maadhimisho ya miaka 33 ya chama hicho, kumeibua sintofahamu na malumbano baina ya viongozi wa chama na Jeshi la Polisi. Katika maadhimisho hayo, yaliyofanyika Januari 21, 2026, Jeshi la Polisi…

Read More

Laizer awahofia Mashujaa | Mwanaspoti

KOCHA wa Fountain Gate, Mohamed Laizer amesema mchezo unaofuata utakuwa mgumu zaidi, kwani wapinzani wao wametokea kuchezea kichapo kikali dhidi ya Yanga. Akizungumza na Mwanaspoti, Laizer alisema ugumu wa mchezo huo utakuwa kwenye maeneo mawili ambayo yote yanatokana na wapinzani wao, akitaja hasira ambayo wanayo baada ya kufungwa mabao mengi na Yanga kwenye mchezo wa…

Read More

Kibarua kingine Prisons ikishuka mzigoni

BAADA ya kukosa ushindi katika michezo minne mfululizo, Tanzania Prisons itakuwa na kibarua kingine kizito itakapowakaribisha JKT Tanzania katika mwendelezo wa Ligi Kuu Bara, mechi ikipigwa katika Uwanja wa Sokoine jijini Mbeya. Maafande hao hawajawa na matokeo mazuri kwani katika mechi nne za mwisho wamepoteza tatu na sare moja, huku mara ya mwisho kuonja pointi…

Read More

Matokeo Simba SC yamuibua mkongwe

MATOKEO yasiyoridhisha inayoendelea kuyapata Simba kwenye Ligi Kuu Bara na michuano ya kimataifa, yamemuibua nyota wa zamani wa timu hiyo, Amir Maftah ambaye ameungana na mashabiki kutoa mtazamo wake. Simba imepoteza alama tano katika mechi mbili mfululizo za Ligi Kuu baada ya kufungwa 2-0 na Azam FC na sare ya 1-1 na Mtibwa Sugar wikendi…

Read More