
Kambi madaktari bingwa wa Samia yanufaisha Watanzania 230,000
Mbeya. Wagonjwa 230,524 kutoka mikoa mbalimbali nchini wamenufaika na huduma za uchunguzi na upasuaji kupitia kambi maalumu ya madaktari bingwa bobezi wa Mama Samia. Kauli hiyo imetolewa leo Jumatatu, Septemba 15, 2025, na Mratibu kutoka Wizara ya Afya, Dk Ulimbakisye Macdonald, mara baada ya Mkuu wa Mkoa wa Mbeya, Beno Malisa, kupokea madaktari bingwa 42…