Aliyehukumiwa kubaka mdogo wake aachiwa

Arusha. Mahakama Kuu Masilaja Ndogo ya Tanga imemuachia huru Hussein Athumani, aliyehukumiwa kifungo cha miaka 30 jela kwa kosa la kumbaka mdogo wake. Hussein alishtakiwa kwa kosa la ubakaji aliolidaiwa kutendwa mara mbili katika eneo la Amboni, mkoani Tanga. Jaji Happiness Ndesamburo, aliyesikiliza rufaa hiyo iliyokuwa imekatwa na Hussein, alitoa hukumu hiyo Septemba 11, 2025,…

Read More

Dk Mwinyi aeleza atakavyofungua Pemba

Unguja. Mgombea wa urais wa Zanzibar kupitia Chama cha Mapinduzi (CCM), Dk Hussein Mwinyi, amesema Pemba inafunguka kupitia bandari na uwanja wa ndege wa kimataifa, ambao mwezi huu wanamkabidhi mkandarasi kuanza ujenzi. Pamoja na miradi hiyo, Dk Mwinyi amesema neema inakwenda kuwashukia wakulima wa karafuu na mwani, kwani tayari Serikali inayoongozwa na CCM imeshaweka mikakati…

Read More

Joshua Ibrahim ajipanga upyaa Fountain

MSHAMBULIAJI mpya wa Fountain Gate, Joshua Ibrahim amesema baada ya kukamilisha uhamisho wa kujiunga na timu hiyo kwa mkataba wa mwaka mmoja, atahakikisha anapambana kwa lengo la kuhakikisha anaendelea pia kuaminika na benchi la ufundi. Akizungumza na Mwanaspoti, Joshua alisema licha ya ofa nyingi alizokuwa nazo ila amefikia uamuzi wa kujiunga na Fountain Gate, baada…

Read More

Kibano kwa wanaopika taarifa za fedha za kampuni

Dar es Salaam. Huenda upikaji wa taarifa za hesabu za fedha unaofanywa na baadhi ya taasisi na wafanyabiashara ukafikia tamati baada ya Bodi ya Taifa ya Wahasibu na Wakaguzi wa Hesabu (NBAA), kuja na mfumo utakakaodhibiti suala hilo. Hiyo ni kwa sababu sasa itakuwa lazima kwa taarifa zote za fedha zilizokaguliwa kuwekwa katika mfumo wa…

Read More

Simbu afunguka, ataja  kilichompa ujasiri Tokyo

Bingwa wa dunia wa marathoni, Alphonce Simbu amefunguka kilichombeba katika mashindano hayo alfajiri ya kuamkia leo Septemba 15, 2025 jijini Tokyo Japan. Simbu ametwaa medali ya dhahabu katika mashindano ya 25 ya dunia nchini humo akitumia saa 2:09:48, muda sawa na aliotumia mshindi wa pili, Amanal Petros wa Ujerumani wakitofautiana na Simbu sekunde 0.03, huku…

Read More

JAMII YAHIMIZWA KUOKOA MAISHA YA WATOTO WENYE MATATIZO YA MOYO

……………………… Na Mwandishi Maalumu – Dar es Salaam 15/09/2025 Taasisi ya Moyo Jakaya Kikwete (JKCI) imepokea msaada wa shilingi milioni  250 kutoka kwa BAPS Charity Tanzania fedha  zitatumika kulipia matibabu ya moyo ya watoto wanaotoka katika familia zenye uwezo mdogo kiuchumi.   Akipokea msaada huo jana jijini Dar es Salaam Mkurugenzi Mtendaji wa Taasisi ya Moyo…

Read More

Watoto wenye makengeza waitiwa matibabu Dodoma

Dodoma. Watoto 24 kati ya 10,000 wenye umri wa kuanzia miaka 0 hadi 15 wana matatizo ya macho, ikiwemo ugonjwa wa mtoto wa jicho, huku asilimia 4.5 ya wakazi wa Mkoa wa Dodoma wakikabiliwa na upofu. Takwimu hizo zimetolewa leo Jumatatu, Septemba 15, 2025, na daktari bingwa wa macho kwa watoto katika Hospitali ya Rufaa…

Read More

Singida Black Stars mabingwa wapya Kagame 

SINGIDA Black Stars imeweka historia kwa kutwaa ubingwa wa michuano ya Kombe la Cecafa Kagame kwa mara ya kwanza baada ya kuifunga Al Hilal ya Sudan mabao 2-1 katika mechi ya fainali iliyopigwa leo Septemba 15, 2025 kwenye Uwanja wa KMC Complex uliopo Mwenge jijini Dar es Salaam. Ni Clatous Chama ambaye ameifanya Singida Black…

Read More