RAIS WA ZANZIBAR MHE.DK.HUSSEIN MWINYI AZINDUA KAMPENI YA UZAZI NI MAISHGA VIWANJA VYA IKULU ZANZIBAR

  RAIS wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Mhe.Dk.Hussein Ali Mwinyi akikata utepe kuzindua Kampeni ya Uzazi ni Maisha, hafla hiyo iliyofanyika katika Viwanja vya Ikulu Jijini Zanzibar, na (kulia kwa Rais) Waziri wa Afya Zanzibar Mhe.Nassor Ahmed Mazrui na Naibu Waziri wa Afya Mhe.Hassan Khamis Hafidh  (kushoto kwa Rais) Mwenyekiti wa Bodi…

Read More

TCRA YAWAFUNDA BLOGA KUELEKEA UCHAGUZI MKUU 2025

  Na Mwandishi Wetu WAZALISHAJI wa Maudhui Mtandaoni,jana wameaswa kutotoa taarifa ambazo zitaleta taharuki na machafuko ndani ya nchi hasa katika kuelekea kipindi cha Uchaguzi Mkuu wa Rais, Wabunge na Madiwani utakao fanyika baadaye mwaka huu (2025). Yamesemwa hayo jana tarehe 3,Agosti 2025 na Meneja Kitengo cha Huduma za Utangazaji,TCRA, Injinia Andrew Kisaka wakati akiwasilisha…

Read More

Kufufuka Yesu ndio msingi wa imani ya Kikristo

Bwana Yesu asifiwe! Leo tukiwa tunaadhimisha Sikukuu ya Pasaka inayomaanisha kufufuka kwa Bwana Yesu kutoka kaburini, natamani uyafahamu mambo ya msingi kuhusiana na ufufuko huu ili kumwezesha kila mmoja kufaidika na uhalisia wa tukio hili. Ukristo umezaliwa kupitia Bwana wetu Yesu Kristo, ambaye ni mwanzilishi pekee wa imani ambaye alikufa na hakubaki kaburini, maana alifufuka…

Read More

Beki la kazi kuifuata Simba Misri

SIMBA inapambana kuweka mambo sawa katika maeneo mbalimbali ya uwanjani ikiwa kambini nchini Misri, ambapo ikiwa huko imeshambulisha vichwa kadhaa vya maana tu katika kikosi chake vinavyosubiriwa kwa hamu na mashabiki wa Msimbazi. Taarifa mpya ni kwamba timu hiyo inapambana kumalizana na beki mmoja wa kati ili akaungane na kikosi hicho kilichopo Cairo, kikijifua kwa…

Read More

Mkutano wa nishati: JNICC kumeanza kuchangamka

Dar es Salaam. Mambo yameanza kuchangamka katika viunga vya kituo cha mikutano cha Julius Nyerere (JNICC), unakofanyika mkutano wa wakuu wa nchi za Afrika kuhusu nishati. Kabla ya ratiba rasmi ya wahudhuriaji kuingia ukumbini, tayari burudani mbalimbali zimeanza kushuhudiwa nje ya kituo hicho. Ngoma ya Msewe, yenye asili yake Unguja visiwani Zanzibar, ndiyo iliyofungua milango…

Read More