Moto wateketeza bweni la shule ya Wasichana Asha-Rose Migiro
Mwanga. Moto ambao chanzo chake hakija-julikana umeteketeza bweni la Shule ya Wasichana ya Asha-Rose Migiro, linalotumiwa na wanafunzi 347 katika Kitongoji cha Ma-kuyuni, Wilaya ya Mwanga, mkoani Kilimanjaro. Mbali na kuteketea kwa bweni hilo, wanafunzi 46 wamepata mshituko na kupelekwa Kituo cha Afya Mwilange kwa ajili ya kupatiwa matibabu zaidi. Kamanda wa Jeshi la Zimamoto…