Ujenzi daraja la Kigongo – Busisi kukamilika Aprili 30

Mwanza. Serikali imesema ujenzi wa daraja la Magufuli (Kigongo – Busisi) utakamilika rasmi Aprili 30, 2025 na kuanza kutumika rasmi. Hata hivyo, hadi kufikia Aprili 10, 2025, magari yataanza kupita upande mmoja wa barabara kwenye daraja hilo lenye urefu wa kilomita tatu ambalo ujenzi wake kwa sasa umefikia asilimia 97. Daraja hilo linaunganisha barabara kuu…

Read More

Kipigo chaizindua Pamba Jiji | Mwanaspoti

PAMBA Jiji jana usiku iliendeleza uteja wake mbele ya Yanga kwa kutandikwa mabao 3-0 na kuifanya timu hiyo katika mechi tatu za Ligi Kuu dhidi ya wapinzani wao kufungwa jumla ya mabao 10, kitu kilichomuamsha kocha wa timu hiyo kwa ajili ya mechi zijazo za ligi hiyo. Mabingwa hao wa zamani wa Ligi Kuu ya…

Read More

Kwa Yanga hii Folz anatamba nje, ndani

WANAYANGA wanaweza kutembea kifua mbele wakati msimu wa 2025-2026 ukikaribia kuanza kwani uongozi wa klabu hiyo umefanya uwekezaji mzuri katika kujenga kikosi imara. Ukiangalia katika usajili wa dirisha kubwa uliofungwa Septemba 7, 2025, kuna nyota wapya 11 wamesajiliwa na mabingwa hao watetezi wa Ligi Kuu Bara, Kombe la FA na Ngao ya Jamii. Nyota hao…

Read More

Idris Sultan anogesha msimu wa 3 wa Bridgerton

STAA wa burudani kutoka ardhi ya Tanzania, Idris Sultan amenogesha ujio mpya wa tamthiliya ya Bridgerton, katika onesho kabambe lililowakusanya nyota daraja la kwanza kutoka Afrika Mashariki na bara la Afrika kwa ujumla. Anaripoti Mwandishi Wetu …(endeela). Onesho hilo lilifayika juzi, Mei 4, mwaka huu nchini Afrika Kusini, ambapo Netflix, waandaaji wa series hiyo, walizindua…

Read More

KAMBI YA UPASUAJI WA MOYO YAZINDULIWA KATIKA TAASISI YA MOYO JAKAYA KIKWETE – MWANAHARAKATI MZALENDO

Daktari bingwa wa magonjwa ya moyo kwa watoto kutoka Kituo cha Mfalme Salman cha Misaada ya Kibinadamu nchini Saudi Arabia, Omar Almohzy, ametembelea Taasisi ya Moyo Jakaya Kikwete (JKCI) ili kufanya maandalizi ya kambi maalumu ya upasuaji wa moyo kwa watoto. Katika picha hii, Dr. Almohzy akimfanyia mtoto kipimo cha echocardiography (ECHO) ili kuangalia jinsi…

Read More

Watatu kortin wakituhumiwa kumuua ndugu yao

Dar es Salaam. Mkazi wa Bagamoyo, Fred Chaula (56) na wenzake wawili wamefikishwa katika Mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu, wakikabiliwa na mashtaka ya kumuua ndugu yao, Regina Chaula (62). Mbali na Fredy, washtakiwa wengine ni Bashir Chaula (49), dereva bodaboda na mkazi wa Tegeta pamoja na Denis Mhwaga, mkazi wa Iringa. Washtakiwa hao wamefikishwa mahakamani…

Read More

Kocha Mualgeria aishtua Yanga CAF

KOCHA wa zamani Simba, Abdelhak Benchikha ameitahadharisha mapema Yanga kwamba ijiandae kukutana na ugumu katika mechi ya pili ya Kundi B dhidi ya wababe wa Algeria, JS Kabylie aliyowahi kuinoa kabla ya kuachana nayo mwaka huu, akisema jamaa ni wagumu mno. …

Read More