Waarabu wengine wapiga hodi Simba wakitaka winga
KIUNGO mshambuliaji wa Simba, Mzambia Joshua Mutale yupo katika hatua za mwisho za kujiunga na Al Adalah Club ya Saudi Arabia, baada ya mabwenyenye hao wanaoshiriki Ligi Daraja la Kwanza kuonyesha nia ya kumhitaji mchezaji huyo kwa mkopo. …