Watanzania washauriwa kumuenzi Magufuli kwa kuwajali wenye uhitaji
Chato. Wakati Makamu wa Rais, Balozi Dk Emmanuel Nchimbi, amewasili wilayani Chato kwa ajili ya maadhimisho ya kumbukizi ya miaka mitano ya kifo cha Rais wa Awamu ya Tano, hayati Dk John Magufuli, Watanzania wametakiwa kuendelea kumuenzi kwa kuwasaidia wenye uhitaji katika jamii. Makamu wa Rais anatarajiwa kuwa mgeni rasmi katika maadhimisho hayo yatakayofanyika kesho,…