
Wanachama 453 wa ACT- Wazalendo watajwa kujiunga na CCM Pemba
Unguja. Zaidi ya wanachama 450 wa chama cha ACT Wazalendo wamejiunga na Chama Cha Mapinduzi (CCM), wakieleza kuvutiwa na uongozi bora wa mgombea urais wa Zanzibar kupitia CCM, Dk Hussein Ali Mwinyi. Wanachama hao wamepokewa leo, Septemba 15, 2025, wakati wa uzinduzi wa kampeni kwa Pemba katika Viwanja vya Gombani ya Kale, Mkoa wa Kusini…