Wadau wataka sheria mpya leseni za usafirishaji

Dar es Salaam. Wadau wa usafirishaji wametoa wito kwa Serikali kutunga sheria mpya ya leseni za usafirishaji ili kutengeneza mazingira bora ya utendaji katika sekta hiyo. Kulingana na maoni waliyoyatoa, wamesema kuwa mfumo wa sasa wa udhibiti umepitwa na wakati na una vikwazo na hivyo kuzuia ukuaji na ufanisi wa huduma za usafirishaji. Kwa kuwa…

Read More

‘Ndoa sawa na mche, ipalilie istawi’

Ndoa ina pandashuka nyingi, kikiwemo kipindi cha wenza kukosa kuchangamkiana kama siku za mwanzo za uhusiano wao. Hii inafanyika kwa wanaochukulia ndoa kama kitu cha kawaida.Wapo wanaohisi kwamba baada ya kufunga pingu za maisha, wana haki ya kumiliki wenza wao. Hisia hizi ziko mbali sana na ukweli wa mambo kwa kuwa zinachozaa ni watu kuchoshwa…

Read More

Dk Nchimbi atuma ujumbe kwa viongozi wa CCM, Serikali

Manyara. Katibu Mkuu wa Chama cha Mapinduzi (CCM) Dk Emmanuel Nchimbi amesema viongozi wa chama hicho na wale wa Serikali wasioguswa na matatizo ya wananchi, hawatoshi kwenye nafasi hizo. Dk Nchimbi ameyasema hayo leo Jumapili, Juni 2, 2024 katika eneo la Mijingu, Mkoa wa Manyara, akiwa njiani kuelekea mkoani Arusha kuendelea na ziara ya kufuatilia…

Read More

Polisi Dar yatoa onyo vurugu baada ya ibada KKAM

Dar es Salaam. Jeshi la Polisi Kanda Maalumu ya Dar es Salaam, limetoa onyo kali kwa kikundi cha watu ambao wamekuwa wakitoka Kanisa la Kiinjili la Kilutheri la Afrika Mashariki (KKAM) kwa nia ya kuingia barabarani kufanya vurugu. Onyo hilo limetolewa leo Jumamosi Julai 5, 2025 na Kamanda wa kanda hiyo, Jumanne Muliro alipozungumza na…

Read More