Bado Watatu – 24 | Mwanaspoti

Hata kama nitaendelea kuificha maiti ya Shefa, mtu aliyemuua atakuwa anajua kuwa maiti ya Shefa nimeificha humu ndani. Kama ataamua kunisaliti, anaweza kuwatonya polisi wakaja wakapekua nyumba yangu na kuikuta. Mawazo yote hayo yalipita katika akili yangu na kunikatisha tamaa. Niliona kwamba muda wangu wa kukamatwa na kuhusishwa na mauaji yale ulikuwa karibu sana. Kwanza,…

Read More

Dodoma Jiji na leo tena

WAKATI timu nne kati ya tano zilizokuwa nyumbani zikianza kwa kuvuna pointi zikiwa nyumbani katika raundi ya kwanza ya Ligi Kuu Bara, Dodoma Jiji inarudi uwanjani katika mechi za ligi hiyo ikiwa ugenini kwa mara nyingine dhidi ya Tabora United (TRA United). Mechi hiyo pekee kwa leo inachezwa kwenye Uwanja wa Ali Hassan Mwinyi, mjini…

Read More

Zaidi ya bilioni moja wanahofia kupoteza ardhi na nyumba ndani ya miaka mitano – Masuala ya Ulimwenguni

Ugunduzi unakuja katika a Ripoti inayoungwa mkono na Umoja wa Mataifa ambayo inasisitiza haja ya dhamira thabiti ya kisiasa na sera shirikishi kuhusu haki za ardhi huku kukiwa na mwelekeo unaokua wa mabadiliko ya hali ya hewa, ulinzi wa viumbe hai, usawa wa kijinsia na mabadiliko ya vijijini. Katika kipindi cha miongo miwili iliyopita, serikali…

Read More

Anayedaiwa kusafirisha vinyonga 164, amwangukia DPP

Dar es Salaam. Mshtakiwa, Eric Ayo anayedaiwa kusafirisha vinyonga 164, nyoka na mijusi,  amemwandikia barua Mkurugenzi wa Mashtaka nchini (DPP) akiomba kufanya majadiliano ya kukiri makosa yake na apunguziwe adhabu. Ayo na wenzake wawili wanaokabiliwa na kesi ya uhujumu uchumi namba 23/2021 yenye mashtaka matatu yakiwamo ya kuongoza genge la uhalifu na kusafirisha nyara za…

Read More

Nyenzo utekelezaji sera ya maendeelo watoto yapatikana

Unguja. Katibu Mkuu wa Wizara ya Maendeleo ya Jamii, Jinsia, Wazee na Watoto, Abeida Rashid Abdallah amesema kuwa mpango jumuishi wa malezi, makuzi na maendeleo ya awali ya mtoto wa miaka mitano, ni nyenzo katika utekelezaji wa sera za maendeleo ya watoto pamoja na kufanikisha malengo ya kitaifa na kimataifa. Kauli hiyo ameitoa alipokuwa akifungua…

Read More

Kwa nini bei siyo kipimo cha ubora wa bidhaa

Dar es Salaam. Kwa miaka mingi kumejengeka dhana miongoni mwa Watanzania kuwa bidhaa zinazouzwa kwenye maduka ya kifahari ni halisi (original), huku zile zinazopatikana kwenye masoko ya kawaida yenye msongamano ni feki. Si hivyo tu, wapo wanaoamini bidhaa ikiwa ghali ndiyo halisi. Lakini je, bei ndiyo kipimo cha ubora? Mtazamo huo kwa muda mrefu umeathiri…

Read More

DKT.NCHIMBI AKUTANA NA KUFANYA MAZUNGUMZO NA JUMUIYA YA MARIDHIANO NA AMANI MKOA WA KATAVI.

MGOMBEA mwenza wa Kiti cha Urais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania kwa tiketi ya Chama Cha Mapinduzi (CCM), Balozi Dkt. Emmanuel John Nchimbi amekutana na kufanya mazungumzo na viongozi wa Jumuiya ya Mariadhiano na Amani Tanzania Mkoa wa Katavi (JMAT)  leo Jumatano Septemba 10,mjini Mpanda ,Katavi. Mazungumzo yao yalijikita kuangalia jinsi gani ya kuendeleza…

Read More