Wateja 1,391 wa KCB walipwa amana zao

Dodoma. Bodi ya Bima ya Amana (DIB), imewalipa wateja 1,391 kati ya 2,797 wa Benki ya Wakulima Kagera (KCB), waliokuwa na amana chini ya Sh1.5 milioni. Naibu Waziri wa Fedha, Hamad Chande amesema hayo leo  Jumanne Januari 28, 2025 wakati akijibu swali la Bernadeta Mshashu aliyehoji lini Serikali itawalipa wateja walioweka fedha zao katika benki…

Read More

SEKTA YA UJENZI YACHANGIA ASILIMIA 14 PATO LA TAIFA

Sekta ya Ujenzi imekuwa ikikua kwa wastani wa asilimia 12 kwa mwaka kwa kipindi cha miaka 10 iliyopita. Haya yamebainishwa na Waziri wa Ujenzi, Innocent Bashungwa wakati wa kuwasilisha makadirio ya mapato na matumizi kwa mwaka 2024/25, Bungeni Jijini Dodoma Amesema wastani wa mchango wa Sekta katika Pato la Taifa katika kipindi cha miaka 10…

Read More

‘Usikose kwenda haja kubwa kila siku’

Dodoma. Ninapata nafasi ya kusimama na kutoa pesa kwenye madirisha ya kutolea pesa kwenye benki (ATM) na maduka ya kutolea pesa. Nikiwa maeneo hayo,  ninaona maneno yasemayo:  Hakiki pesa zako kabla hujatoka mbele ya dirisha la kupokelea pesa.  Hii  ikanifanya nifikiri kumbe ni maneno muhimu. Ni sawa na kusema hakikisha unakagua dawa zako kabla ya…

Read More

Marais wa Afrika wataja matumaini uzalishaji umeme

Dar es Salaam. Baadhi ya marais wa nchi za Afrika wanaohudhuria mkutano mkuu wa nishati Afrika, wameeleza matumaini yao kuhusu mkakati ulioandaliwa kwa ajili ya uzalishaji wa umeme barani humo. Mkutano huo wenye kauli mbiu ya Ajenda 300, ulioanza kufanyika jijini Dar es Salaam tangu jana Januari 27 na leo Januari 28, umehudhuriwa na marais …

Read More

Camara wa Simba amuibua Idd Pazi

UMAHIRI wa Moussa Camara ‘Spider’ katika milingoti mitatu ya Simba, akiwa amebakisha clean sheet moja tu kwa sasa kuifikia rekodi iliyowekwa Ligi Kuu Bara msimu uliopita kiasi cha kumpa tuzo aliyekuwa kipa wa Coastal Union, Ley Matampi, umemuibua nyota wa zamani nchini, Idd Pazi ‘Father’. Camara aliyesajiliwa na Simba msimu huu akitokea AC Horoya ya…

Read More

KAMILISHENI MIRADI KWA WAKATI KUHARAKISHA TIJA KWA WANANCHI- MHE. KATIMBA

Naibu Waziri wa nchi Ofisi ya Rais-TAMISEMI, Mhe. Zainab Katimba (Mb) amemtaka Mkandarasi na Mtaalamu Mshauri anayetekeleza Mkataba wa Ujenzi wa miundombinu inayoratibiwa na mradi wa TACTIC wilayani Kahama Mkoani Shinyanga kukamilisha haraka ujenzi huo kulingana na matakwa ya mkataba ili wananchi wanufaike kikamilifu na uwekezaji huo unaosimamiwa na Serikali kupitia TAMISEMI. Naibu Waziri Katimba…

Read More

TARI SELIANI YAJA NA MKAKATI KUPAMBANA NA UDUMAVU NA UTAPIAMLO.

Wakulima wa mikoa ya Kanda ya Kaskazini wanaojishughulisha na kilimo cha maharage na mahindi wameshauriwa kutumia mbegu bora zilizofanyiwa utafiti, zenye wingi wa virutubisho ikiwemo madini ya chuma na zinki pamoja na vitamini A, kwa ajili ya kupambana na magonjwa mbalimbali yakiwemo utapiamlo, uoni hafifu pamoja na tatizo la udumavu ambalo limekuwa likiathiri asilimia kubwa…

Read More