
PATA HABARI MOTO MOTO KATIKA MAGAZETI YA LEO JUNI 27,2024
Home » PATA HABARI MOTO MOTO KATIKA MAGAZETI YA LEO JUNI 27,2024 Featured • Magazeti About the author
Home » PATA HABARI MOTO MOTO KATIKA MAGAZETI YA LEO JUNI 27,2024 Featured • Magazeti About the author
Na. James Mwanamyoto, OR-TAMISEMI Kaimu Katibu Tawala wa Mkoa wa Morogoro Bw. Herman Tesha amesema, Idara ya Uchumi na Uzalishaji katika Sekretarieti za Mikoa ni muhimu sana katika kuchagiza na kuleta maendeleo ya taifa. Bw. Tesha amesema hayo leo kwa niaba ya Naibu Katibu Mkuu Ofisi ya Rais-TAMISEMI Bw. Sospeter Mtwale, wakati akifungua kikao kazi…
Mwenyekiti wa Tume Huru ya Taifa ya Uchaguzi, Mhe. Jaji wa Mahakama ya Rufaa Jacobs Mwambegele akimkakabidhi mkoba wenye fomu za kuomba kuteuliwa kuwa Mgombea wa Kiti cha Rais na Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania kupitia tiketi ya Chama cha Mapinduzi (CCM), Dkt. Samia Suluhu Hassan. Mgombea huyo wa CCM…
Ili kuondoa kichaa cha mbwa kwa ufanisi katika bara, kuna haja ya taarifa sahihi juu ya kuenea kwake, mifumo ya maambukizi, viwango vya chanjo na ufanisi wa matibabu. Mkopo: Shutterstock Maoni na Isatou Touray Alhamisi, Novemba 28, 2024 Inter Press Service Nov 28 (IPS) – Ugonjwa wa kichaa cha mbwa, pamoja na kuwa ni tatizo…
Dar es Salaam. Chama cha Mapinduzi (CCM) kimeyaahidi makundi huru ya kijamii na madhehebu ya dini, kupokea ushauri na maoni huku ikiyataka kutambua Serikali ya Tanzania haina dini. Pia, CCM imeyaasa makundi hayo ikitaka yajue mantiki ya utawala wa sheria ni utamaduni wa kutatua hoja za kisheria; kwa mujibu wa sheria mahakamani si kuicharaza bakora…
Dar es Salaam. Wadau wa usafirishaji wametoa wito kwa Serikali kutunga sheria mpya ya leseni za usafirishaji ili kutengeneza mazingira bora ya utendaji katika sekta hiyo. Kulingana na maoni waliyoyatoa, wamesema kuwa mfumo wa sasa wa udhibiti umepitwa na wakati na una vikwazo na hivyo kuzuia ukuaji na ufanisi wa huduma za usafirishaji. Kwa kuwa…
Ndoa ina pandashuka nyingi, kikiwemo kipindi cha wenza kukosa kuchangamkiana kama siku za mwanzo za uhusiano wao. Hii inafanyika kwa wanaochukulia ndoa kama kitu cha kawaida.Wapo wanaohisi kwamba baada ya kufunga pingu za maisha, wana haki ya kumiliki wenza wao. Hisia hizi ziko mbali sana na ukweli wa mambo kwa kuwa zinachozaa ni watu kuchoshwa…
Manyara. Katibu Mkuu wa Chama cha Mapinduzi (CCM) Dk Emmanuel Nchimbi amesema viongozi wa chama hicho na wale wa Serikali wasioguswa na matatizo ya wananchi, hawatoshi kwenye nafasi hizo. Dk Nchimbi ameyasema hayo leo Jumapili, Juni 2, 2024 katika eneo la Mijingu, Mkoa wa Manyara, akiwa njiani kuelekea mkoani Arusha kuendelea na ziara ya kufuatilia…
Dar es Salaam. Jeshi la Polisi Kanda Maalumu ya Dar es Salaam, limetoa onyo kali kwa kikundi cha watu ambao wamekuwa wakitoka Kanisa la Kiinjili la Kilutheri la Afrika Mashariki (KKAM) kwa nia ya kuingia barabarani kufanya vurugu. Onyo hilo limetolewa leo Jumamosi Julai 5, 2025 na Kamanda wa kanda hiyo, Jumanne Muliro alipozungumza na…