Kuwaweka watu joto huku kukiwa na uhasama na hali mbaya ya hewa ya msimu wa baridi nchini Ukrainia – Masuala ya Ulimwenguni

Vikosi vya Urusi vinaendelea kushambulia gridi ya nishati ya Ukraine, na kuacha familia bila umeme na joto huku halijoto ikishuka hadi -20°C. Tangu 2022, Serikali imeanzisha kinachojulikana kama “Vituo vya Kutoshindwa” – vilivyo katika mahema au majengo ya umma kama vile shule na maktaba – ambapo watu wanaweza kwenda kutoroka baridi, kuchaji vifaa vya kielektroniki…

Read More

TBS YAHIMIZA MATUMIZI SALAMA YA POMBE NCHINI

Shirika la Viwango Tanzania (TBS) limetoa elimu kwa wananchi wa Mkoa wa Dodoma kuhusu madhara ya matumizi holela ya pombe, likilenga kuzuia athari za kiafya na kiuchumi zinazoweza kuwakumba wananchi na familia zao. Elimu hiyo imetolewa kama sehemu ya jitihada za TBS za kuwafikia wananchi moja kwa moja na kuimarisha ulinzi wa afya ya jamii…

Read More

AFCON: Mwisho wa ubaya aibu

Dar es Salaam. Wabongo ni wepesi sana kujifunza, lakini wazito mno kuyaishi yale waliyojifunza. Nawazungumzia wabongo wa anga zote wakiwemo wanafunzi, waumini, wafanyakazi kwa wakulima. We mwenyewe fikiria ulipokuwa Shule ya Msingi, kila asubuhi ulikuwa unakwenda shuleni ukibeba kuni na dumu la maji. Kuni za kupikia, maji ya nini? Ya kumwagilia bustani yako ya mboga…

Read More

Tanzania yajizatiti teknolojia ya mawasiliano angani

Dar es Salaam. Wakati uhakika wa mawasiliano ya anga ukitajwa kuchochea ndege za kimataifa kupita Tanzania kuongeza mapato, Mamlaka ya Usafiri wa Anga Tanzania (TCAA) imesema matumizi ya teknolojia za kisasa yanachangia uhakika huo pamoja na kuepusha ajali angani. Teknolojia hizo ikiwemo ile ya mifumo mipya ya mawasiliano kati ya rubani na waongozaji wa ndege…

Read More

SAFARI YA KUZAA NA KUHAMA KWA NYUMBU YATUA FITUR HISPANIA

Na Mwandishi wetu. Wizara ya Maliasili na Utalii kupitia taasisi zake inaendelea kunadi vivutio vya utalii vilivyopo Tanzania katika maonesho ya FITUR yanayoendelea nchini Hispania ambapo watu mbalimbali wakiwemo wananchi waliotembelea banda la Tanzania wameonekana kufurahishwa zaidi na tukio la kuzaliana na kuhama kwa nyumbu kutoka hifadhi moja kwenda nyingine (The Great Wildebeest Migration). Kamishna…

Read More

Iran katika Baraza la Haki za Kibinadamu, uchaguzi wa Myanmar ‘udanganyifu’, mkuu wa uhamiaji huko Cyprus, Msumbiji sasisho la mafuriko – Masuala ya Ulimwenguni

Akihutubia Baraza la Haki za Binadamu huko Geneva, Bw. Türk alisema kwamba ingawa “mauaji katika mitaa ya Iran yanaweza kuwa yamepungua … ukatili unaendelea”. Amesema ukandamizaji wa kikatili hausuluhishi matatizo yoyote ya Iran badala yake umeweka mazingira ya kutokea ukiukaji zaidi, ukosefu wa utulivu na umwagaji damu. “Tuna dalili kwamba vikosi vya usalama vilikamata watu…

Read More