Airtel Divas Watoa Msaada kwa Watoto Wenye Mtindio wa Ubongo katika Kituo cha Dorcas
Dar es Salaam, Tanzania. WANAAWAKE wafanyakazi wa Airtel Tanzania kupitia kundi lao la Airtel Divas wametembelea kituo cha kulea watoto wenye mtindio wa ubongo kinachoendeshwa na Dorcas Foundation kilichopo Madale jijini Dar es Salaam, na kutoa msaada kwa watoto wanaolelewa katika kituo hicho. Akizungumza wakati wa hafla ya kupokea msaada huo, Meneja wa Programu wa…