Sababu majanga ya moto majengo ya Kariakoo

Dar es Salaam. Kasi ya ukuaji wa biashara Kariakoo imeibua tatizo jipya la usalama baada ya kuibuka kwa matukio ya moto yaliyohusishwa na wapangaji kuhamia katika majengo kabla ya kukamilika. Ndani ya mwezi mmoja wa Agosti pekee, zimetokea ajali mbili za moto katika majengo yanayoendelea na ujenzi, huku kukiwa na wapangaji wanaoendelea na biashara zao….

Read More

ALIYEDAIWA KUJIFANYA ASKARI POLISI ANASWA

…………… Jeshi la Polisi Kanda Maalum ya Dar es Salaam limemkamata mtu mmoja anayesadikika kujifanya askari wa Jeshi la Polisi katika eneo la Kariakoo, Wilaya ya Ilala. Kamanda wa Jeshi hilo Muliro Muliro amesema hayo jijini Dar es salaam amesema Tukio hilo limetokea Septemba 11, 2025, wakati askari waliokuwa doria walipomtilia mashaka mtu huyo na kufuatilia…

Read More

NBAA YASISITIZA USHIRIKIANO NA WANAHABARI

  Bodi ya Taifa ya Wahasibu na Wakaguzi wa Hesabu Tanzania (NBAA) imeendesha semina maalum kwa wahariri na waandishi wa habari kutoka vyombo mbalimbali vya habari nchini, ikiwa na lengo la kutoa elimu, kuongeza uelewa na kuimarisha ushirikiano wa kitaaluma katika kuhabarisha jamii kuhusu majukumu ya Bodi hiyo. Akizungumza katika semina hiyo iliyofanyika jijini Dar…

Read More

Lissu akwama hatua ya kwanza pingamizi kesi ya uhaini

Dar es Salaam. Mwenyekiti wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema), Tundu Lissu, amekwama katika hatua ya kwanza ya kujinasua katika kesi ya uhaini inayomkabili, baada ya Mahakama Kuu, Masjala Ndogo Dar es Salaam, kutupilia mbali sababu yake moja ya pingamizi lake. Lissu anakabiliwa na shtaka la uhaini, kinyume na kifungu cha 39(2)(d) cha Sheria…

Read More

Fadlu aahidi kulipa kisasi kwa Yanga

KOCHA Mkuu wa Simba, Fadlu Davids amesema katika mechi ya kesho dhidi ya Yanga, hawana presha kwa sababu tayari wana uzoefu na dabi, huku akiamiani benchi la wapinzani wake litakuwa na kazi za ziada kutokana na ugeni wao. Hiyo ni katika kuelekea mchezo wa Ngao ya Jamii uliopangwa kuchezwa kesho Jumanne kwenye Uwanja wa Benjamin…

Read More