Mkutano wa UN unatafuta kugeuza jiografia kuwa fursa – maswala ya ulimwengu

Na inazidi, mabadiliko ya hali ya hewa yanaongeza shida – kuharibiwa barabara, kuvuruga minyororo ya usambazaji, na kutishia miundombinu dhaifu tayari na mafuriko, ukame, na hali ya hewa kali. Lakini wakati majadiliano ya ulimwengu yanavyozidi kuongezeka, mkutano wa UN unaendelea nchini Turkmenistan unakusudia kugeuza maandishi – kusaidia kubadilisha Lldcs Kutoka kwa kufungwa hadi kuwekwa kwa…

Read More

Mgombea ubunge Geita Mjini ataja vipaumbele 2025/30

Geita. Mgombea ubunge wa Jimbo la Geita Mjini, Chacha Wambura amesema endapo atachaguliwa kuongoza jimbo hilo kwa kipindi cha 2025/30 kipaumbele chake cha kwanza ni kuboresha sekta ya elimu, maji, afya na miundombinu ya barabara. Akizungumza wakati wa uzinduzi wa kampeni uliofanyika katika Kijiji cha Nyaseke, Kata ya Bulela leo Septemba 15, 2025, mgombea huyo…

Read More

Mnara huu ndio kitovu cha Dar es Salaam

Ukiingia mtandaoni ni rahisi kuuliza kiasi cha umbali kutoka Dar es Saalam kwenda mikoa mbalimbali ya nchi yetu.  Sio umbali wa mikoani pekee, mtandao unaweza kukusaidia kujua hata umbali kwenda nchi jirani. Hata hivyo,  umewahi kujiuliza ndani ya  Dar es Salaam umbali huo unaanza kuhesabiwa eneo gani? Je, tunaanza kuhesabu kuanzia Kiluvya eneo linalopakana na…

Read More

Aisha Masaka kutimkia Hispania | Mwanaspoti

Mshambuliaji wa Brighton, Aisha Masaka huenda akatolewa kwa mkopo au kuuzwa moja kwa moja katika moja ya timu za Ligi Kuu ya Wanawake Hispania msimu ujao kama watafikia makubaliano ya ofa. Mwanaspoti inafahamu mshambuliaji huyo wa timu ya taifa, Twiga Stars, amebakiza mkataba wa mwaka mmoja England kati ya miwili na utamalizika mwishoni mwa msimu…

Read More

Imani potofu, gharama zinavyokwaza tiba ya kifafa

Dar es Salaam. Ukosefu wa elimu kuhusu magonjwa ya mishipa ya fahamu, ukiwemo wa kifafa, unatajwa kama moja ya sababu ya wanaotumbuliwa na tatizo kutojitokeza kupatiwa matibabu. Mbali ya hayo, imebainishwa baadhi ya watu wamekuwa wakiishia kwenda kwa waganga wa kienyeji au kwenye maombi, wakidhani ndugu zao wamerogwa au wana mapepo. Changamoto nyingine imetajwa kuwa…

Read More

ZAIDI YA BILIONI 145.7 KUYAFIKISHA MAJI YA ZIWA VICTORIA SIKONGE, URAMBO NA KALIUA – MWANAHARAKATI MZALENDO

Zaidi ya shilingi bilioni 145.7 zinatumika kutekeleza mradi wa maji kutoka Ziwa Viktoria kwenda katika Miji ya Sikonge, Urambo na Kaliua Mkoani Tabora. Mradi huo unategemewa kuwanufaisha wananchi zaidi ya 490,926 wa vijiji 60 . Bodi ya Wakurugenzi ya Mamlaka ya Majisafi na Usafi wa Mazingira Kahama Shinyanga (KASHWASA) imepewa taarifa na Msimamizi wa mradi…

Read More

Anayekumbatia njiti Hospitali ya Amana akabidhiwa nyumba

Dar es Salaam. Mama aliyejitolea kukumbatia watoto njiti katika Hospitali ya Rufaa Mkoa Amana, Mariam Mwakabungu (26) ameangua kilio baada ya kukabidhiwa nyumba ya makazi yenye thamani ya Sh45 milioni iliyopo Chanika – Zavara jijini Dar es Salaam. Nyumba hiyo aliyozawadiwa na msamaria mwema (hajataka kutajwa jina) imejengwa na Taasisi ya Doris Mollel Foundation kwa…

Read More