UBALOZI WA CHINA WAUNGANA NA ORYX KUHAMASISHA NISHATI SAFI YA KUPIKIA, WAKABIDHI MITUNGI 800 JIJINI ARUSHA – MWANAHARAKATI MZALENDO

Na Mwandishi Wetu Arusha   UBALOZI WA China kwa kushirikiana na Kampuni ya Oryx Gas Tanzania wametoa mitungi 800 ya gesi yakiwa na majiko yake kwa walimu, madereva na wahudumu wa Serikali pamoja na Waandishi wa habari wa Mkoa wa Arusha lengo ni kutekeleza sera ya Serikali ya Tanzania pamoja na China katika kutunza mazingira….

Read More

Kesi wanachuo wanaodaiwa kumjeruhi mwenzao kutajwa leo

Dar es Salaam. Kesi ya kusababisha madhara mwilini inayowakabili wanafunzi wa Chuo Kikuu cha Dar es Salaam (UDSM), Mary Matogolo (22) na wenzake wawili, itatajwa leo Jumatatu Julai 14, 2025 katika Mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu. Mary na wanafunzi wenzake  wanakabiliwa na mashitaka tisa, likiwemo la kutishia kuua, kutoa taarifa za uongo mitandaoni na uharibifu…

Read More

Wajumbe kuamua hatima ya  Sugu, Msigwa kesho

Dar es Salaam. Baada ya tambo za siku 12, kesho watajulikana viongozi wa Chadema kwa nafasi za mwenyekiti na makamu wake katika kanda za Nyasa, Magharibi na Serengeti. Kanda hizo zinaundwa na mikoa ya Mara, Shinyanga, Simiyu, Tabora, Katavi, Kigoma, Mbeya, Songwe, Iringa, Njombe na Rukwa. Uchaguzi katika Kanda ya Nyasa utaamua ama Mchungaji Peter…

Read More

UWEKEZAJI SEKTA YA MASHIRIKA YA UMMA UMEFIKIA TRILIONI 86

Na Mwandishi Wetu Mkurugenzi wa Uwekezaji Ofisi ya Msajili Hazina Lightness Mauki amesema uwekezaji wa serikali katika mashirika ya umma nchini umefikia shilingi trioni 86 kufikia mwaka 2024 hivyo amewataka Viongozi wa mashirika ya umma kuhamasisha wananchi wanapata tija kwa uwekezaji huo. Amesema hayo wakati akifunga Mafunzo kwa viongozi wa Taasisi na Mashirika ya umma…

Read More

WANAHARAKATI WAIPONGEZA SERIKALI KWA MAFANIKIO DIRA YA TAIFA 2025

WANAHARAKATI wa masuala ya Jinsia na Maendeleo wameipongeza Serikali kwa uwajibikaji mkubwa kwenye Dira ya taifa ya miaka 25 iliyopita katika nyanja ya elimu ,afya pamoja na sekta ya habari na mawasiliano. Pongezi hizo zimetolewa leo Julai 10,2024 Mabibo -Jijini Dar es salaam,kwenye semina za Jinsia na Maendeleo (GDSS) zinazofanyika kila jumatano TGNP-Mtandao, Akizungumza wakati…

Read More

Simba yamrejesha Juma Mgunda | Mwanaspoti

Hatimaye Simba imerejesha kocha mzoefu, Juma Mgunda kwenye kikosi hicho muda mchache baada ya Abdelhack Benchikha na wasaidizi wake kutimka. Tetesi zilianza kuzagaa wiki nzima kuwa Benchikha anaondoka kwenye kikosi hicho na muda mchache uliopita, Simba imetoa taarifa ya kuachana naye na sasa timu hiyo itakuwa chini na Mgunda na Selemani Matola. Taarifa iliyotolewa na…

Read More