Wapinzani wa JKT Queens Cecafa kujulikana

DROO ya kufuzu Ligi ya Mabingwa Afrika kwa Wanawake kutoka Ukanda wa Afrika Masharikia na Kati (Cecafa) inatarajiwa kuchezeshwa leo Nairobi, Kenya ambapo wapinzani wa wawakilishi wa Tanzania, JKT Queens, watafahamika. Ratiba inaonyesha michuano hiyo itaanza kuchezwa kati ya Septemba 4-16 kwenye viwanja vya Nyayo na Ulinzi Complex nchini humo. Kwa mujibu wa meneja wa…

Read More

Baraza la Usalama kukutana kufuatia ukiukwaji wa Urusi wa Airspace ya Kipolishi, kwani wasiwasi unazidi vita vya drone – maswala ya ulimwengu

Mkutano huo uliulizwa na Poland baada ya kuripoti kwamba ukiukwaji angalau 19 na drones za Urusi za eneo lake mara moja hadi Jumatano wakati wa kombora kubwa na mgomo wa drone dhidi ya Ukraine. Sehemu hiyo iliashiria uchochezi mkubwa zaidi tangu kuanza kwa uvamizi kamili wa Urusi wa Ukraine mnamo 2022. Wakati Poland na washirika…

Read More

Mwalimu aahidi utajiri kwa vijana akiingia Ikulu

Tanga. Mgombea urais kwa tiketi ya Chama cha Ukombozi wa Umma (Chaumma), Salum Mwalimu ameahidi iwapo atachaguliwa kuwa rais wa Tanzania katika Uchaguzi Mkuu wa Oktoba 29, atahakikisha vijana wa Kitanzania wanakuwa matajiri kupitia njia halali na endelevu. Ameyasema hayo leo Jumanne Septemba 2, 2025 wakati akihutubia wananchi wa kata za Maramba na Mapatano wilayani…

Read More

WANAWAKE MABACHELA WAITWA KUCHUKUA FOMU YA KULIPIWA MAHARI

 Taasisi ya Al-Hikma imetangaza mpango wa kulipia mahari kwa vijana 130 walio tayari kuoa katika mwaka huu.  Akizungumza leo Machi 1, 2026 jijini Dar es Salaam wakati wa mashindano ya Kimataifa ya Qur’aan yaliyoandaliwa na taasisi hiyo, Mratibu wa taasisi hiyo Nurdin Sheikh Kishki amesema kuwa lengo ni kuwawezesha vijana kuingia kwenye ndoa kwa urahisi…

Read More

TDS yaitibulia City FC Abuja Tanzanite Pre-Season

TDS imeitibulia City FC Abuja katika mchezo wa mwisho wa hatua ya makundi ya michuano ya Tanzanite Pre-Season International baada ya leo Septemba 5, 2025 kuichapa bao 1-0. City FC Abuja iliingia katika mchezo huo uliofanyika kuanzia saa 10:00 jioni kwenye Uwanja wa Tanzanite Kwaraa uliopo Babati mkoani Manyara, ikiwa tayari imefuzu nusu fainali, lakini…

Read More

JWK YAVUTIWA NA DAWATI LA UWEZESHAJI BIASHARA LA FORODHA

Uongozi wa Jumuiya ya Wafanyabiashara wa Kariakoo (JWK) umefanya ziara ya kutembelea dawati maalum la uwezeshaji biashara Kariakoo katika Idara ya Forodha na Ushuru ya Mamlaka ya Mapato Tanzania (TRA) na kupongeza namna huduma zinavyotolewa katika kurahisisha biashara. Akizungumza wakati wa ziara hiyo Mwenyekiti wa Jumuiya ya Wafanyabiashara Kariakoo Bw. Sevelin Mushi amesema dawati hilo…

Read More