
Folz Awaahidi Mashabiki Raha Kesho, Kapombe Atoa Onyo – Global Publishers
Kocha Mkuu wa Yanga, Romain Folz Kesho macho yote yataelekezwa kwenye Uwanja wa Taifa, ambapo watani wa jadi Simba SC na Young Africans SC watakutana katika Ngao ya Jamii, mchezo unaozindua msimu mpya wa Ligi Kuu Bara. Kocha Mkuu wa Yanga, Romain Folz, ameweka wazi kuwa timu yake inatazamia kuanza msimu kwa…