Arajiga kuamua Dabi ya Kariakoo

SHIRIKISHO la Mpira wa Miguu Tanzania (TFF), limemtangaza mwamuzi Ahmed Arajiga, kuwa mwamuzi wa kati kwenye mchezo wa Ngao ya Jamii utakaozikutanisha Yanga dhidi ya Simba. Ofisa Habari wa TFF, Clifford Ndimbo, amesema Arajiga atakuwa mwamuzi wa kati katika mchezo huo utakaochezwa kesho kwenye Uwanja wa Benjamin Mkapa, Dar es Salaam. Ndimbo amesema Arajiga atasaidiwa…

Read More

Folz aringia ubora wa mastaa Yanga, aficha jambo hili

KOCHA wa Yanga, Romain Folz, amesema kikosi chake kipo tayari kwa mchezo wa kesho dhidi ya Simba huku akiringia ubora wa mastaa wa timu hiyo. Folz amesema, timu hiyo imefanya maandalizi ya kutosha kuelekea mchezo huo, huku akikiri kwamba wanakwenda kukutana na timu nzuri yenye wachezaji bora. Kocha huyo ambaye anayekwenda kucheza dabi ya kwanza…

Read More

UMOJA WA VIWANDA VYA ALIZETI WAPATIWA ELIMU YA VIPIMO

Wakala wa Vipimo (WMA) Mkoa wa Dodoma imewahakikishia wafanyabiashara wa Mji wa Kibaigwa Wilayani Kongwa kuwa itaendelea kusimamia usahihi wa vipimo vinavyotumika kufanyia biashara katika eneo hilo kwa lengo la kuhakikisha kunakuwa na biashara ya usawa na haki baina ya mnunuzi na muuzaji. Vilevile WMA Dodoma imetoa wito kwa wafanyabiashara hao kwa upande wao kuzingatia…

Read More

Tuzo za TFF zitolewe mapema baada ya msimu

Msimu mpya wa Ligi Kuu Tanzania Bara 2025/26 unakaribia kuanza rasmi huku mashabiki, wadau wa soka na wanamichezo kwa ujumla wakisubiri kwa hamu kuona kile ambacho klabu zao zitakifanya. Pia kuna jambo moja muhimu ambalo bado limeacha maswali mengi bila majibu tuzo za wachezaji bora wa msimu uliopita (2024/25), haijajulikana kama zitakuwepo au hazitakuwepo kwani…

Read More

Pingamizi la Lissu latupwa | Mwananchi

Dar es Salaam. Mahakama Kuu Masjala Ndogo ya Dar es Salaam, imetupilia mbali pingamizi lililowasilishwa na Mwenyekiti wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema), Tundu Lissu. Lissu aliwasilisha pingamizi mahakamani hapo, Septemba 8, 2025 akihoji endapo  Mahakama Kuu, Masjala Ndogo Dar es Salaam ina mamlaka ya kusikiliza kesi ya uhaini. Uamuzi huo umetolewa leo, Septemba…

Read More

Bado Watatu – 29 | Mwanaspoti

BAADA ya kunipakia kwenye pikipiki nilimwambia: “Mdogo wangu, usipende kujitia katika mambo yasiyokuhusu. Hata kama hiyo namba ya gari umeiona, usiiseme — unaweza kuja kupata matatizo.”“Kaka yangu amenionya sana. Achilia mbali namba, hata kueleza kuwa nimeliona hilo gari nimekoma.”“Wakati mwingine polisi wanaweza kukurubuni ili uwatajie.”“Hao polisi watanijuaje?”“Huyo msichana aliyekupigia simu anaonekana ana kidomodomo sana.”“Nitamkana mchana…

Read More

Mbongo amkuna kocha Rayon Sports

KOCHA wa Rayon Sports, Fleury Rudasingwa amemtaja kipa wa Kitanzania, Husna Mpaja, kama moja ya vipaji ambavyo wamebahatika kuwa navyo kwenye kikosi hicho. Mpaja alisajiliwa na mabingwa hao wa Ligi ya Wanawake Rwanda akitokea Geita Queens ya mkoani Geita ambako alicheza na kuonyesha kiwango bora. Aliongeza kuwa bado hajampa nafasi kutokana na ugeni wa michuano…

Read More

Nahodha Kampala anaitaka rekodi tu

NAHODHA wa Kampala Queens, Shakirah Nankwanga amesema mashindano ya CECAFA kufuzu Ligi ya Mabingwa Afrika ni fursa kwa wachezaji, akitamani kuacha rekodi. Nankwanga mwenye umri wa miaka 23, alijiunga na Kampala Queens akitokea Kawempe Muslim Ladies FC mwaka 2024 na akisaini mkataba wa miaka mitatu. Katika msimu wake wa kwanza, alikuwa mchezaji muhimu akiisaidia timu…

Read More