Mamluki wa Urusi waondoka Burkina Faso ili kupigana Kursk – DW – 31.08.2024
Katika mahojiano na shirika la habari la AFP, Viktor Yermolaev, mkuu wa kitengo cha wanamgambo kinachojulikana kwa jina la Medvedi (Bears) nchini Urusi na Bear Brigade huko Magharibi, amesema wapiganaji wake wengi wameondoka Burkina Faso, huku wachache tu wakisalia katika nchi hiyo ya Afrika Magharibi. Ukraine mapema mwezi huu ilianzisha uvamizi ambao haujawahi kushuhudiwa katika…