Mbili zapanda Ligi Kuu Zenji, Zimamoto yaua

WAKATI maafande wa KVZ na Zimamoto wakifanya mauaji katika mechi za Ligi Kuu Zanzibar (ZPL) iliyopo ukingoni, timu za Muembe Makumbi na Inter Zanzibar zimekuwa za kwanza kupanda ligi hiyo kwa msimu ujao wa 2024-2025. Muembe Makumbi ilikata tiketi ya kucheza Ligi Kuu kwa msimu ujao baada ya juzi kuifumua New King kwa mabao 2-0…

Read More

Barrick, Serikali kutatua changamoto ya ajira kwa vijana

Tarime. Mgodi wa dhahabu wa Barrick North Mara uliopo Nyamongo Wilaya ya Tarime mkoani Mara unatarajia kurejesha leseni nne za uchimbaji serikalini ili zitolewe kwa vijana kwa ajili ya kuanzisha shughuli za uchimbaji katika maeneo ambayo awali yalikuwa yakimilikiwa na mgodi huo. Hatua hiyo mbali na kulenga kuimarisha uchumi wa vijana pia unatarajiwa kuwa suluhisho…

Read More

CAG: Tanzania haijapewa ardhi Uturuki, Kuwait

Dar es salaam. Ripoti ya Mdhibiti na Mkaguzi Mkuu wa Hesabu za Serikali (CAG) ya mwaka 2023/2024 imebainisha kuwa Tanzania haijapewa ardhi, Uturuki na Kuwait licha ya kutoa maeneo Dodoma. Ripoti hiyo iliyowekwa wazi jana imeeleza kuwa Serikali ya Tanzania iliipatia Jamhuri ya Uturuki ekari tano za ardhi katika eneo la Mtumba-Dodoma lililotengwa kwa ajili…

Read More

RC Tanga ataka udhibiti utoroshaji madini Horohoro

Tanga. Mkuu wa Mkoa wa Tanga, Balozi Batilda Burian amezitaka taasisi na mamlaka zinazosimamia Kituo cha Huduma Jumuishi cha Horohoro kufuatilia na kudhibiti utoroshaji wa madini ya vito kwenye eneo hilo kwa kuwa kunaikosesha Serikali mapato. Akizungumza na watumishi wa taasisi na mamlaka zaidi ya 17 zinazosimamia Kituo cha Huduma Jumuishi Horohoro leo Ijumaa Mei…

Read More

Wananchi kupewa mabomu baridi kukabiliana na tembo Lindi, Ruvuma

Tunduru. Wizara ya Maliasili na Utalii imepeleka askari wanyamapori kutoka Mamlaka ya Usimamizi wa Wanyamapori (Tawa) kuwafundisha wananchi wanaoishi katika maeneo yanayozunguka hifadhi na mapori, namna ya kukabiliana na wanyamapori, hasa tembo wanaokatisha kwenye makazi yao. Mafunzo haya yanatolewa katika Wilaya za Tunduru na Namtumbo mkoani Ruvuma na Wilaya ya Liwale mkoani Lindi, yakiwa yanahusisha…

Read More