Mamluki wa Urusi waondoka Burkina Faso ili kupigana Kursk – DW – 31.08.2024

Katika mahojiano na shirika la habari la AFP, Viktor Yermolaev, mkuu wa kitengo cha wanamgambo kinachojulikana kwa jina la Medvedi (Bears) nchini Urusi na Bear Brigade huko Magharibi, amesema wapiganaji wake wengi wameondoka Burkina Faso, huku wachache tu wakisalia katika nchi hiyo ya Afrika Magharibi. Ukraine mapema mwezi huu ilianzisha uvamizi ambao haujawahi kushuhudiwa katika…

Read More

Ukuaji wa kimataifa kubaki chini katika 2025 huku kukiwa na sintofahamu, ripoti ya Umoja wa Mataifa inaonya – Masuala ya Ulimwenguni

The Hali ya Kiuchumi Duniani na Matarajio (WESP) 2025 ripoti inaonyesha kuwa licha ya kustahimili mfululizo wa mishtuko inayoimarisha pande zote mbili, ukuaji wa uchumi wa dunia umedorora na kubaki chini ya wastani wa mwaka kabla ya janga la asilimia 3.2. Ripoti iliyotolewa na Idara ya Umoja wa Mataifa ya Masuala ya Kiuchumi na Kijamii…

Read More

Kauli ya Serikali ulipaji fidia katika upanuzi wa barabara

Dodoma. Serikali imesema tathmini iliyofanyika nchini inaonyesha gharama kubwa ya fidia ya mali zilizomo ndani ya eneo la hifadhi ya barabara lililoongezwa la mita 7.5 kila upande,  iko katika majiji na miji. Hayo yamesemwa leo Ijumaa Aprili 19, 2024 na Naibu Waziri wa Ujenzi, Godfrey Kasekenya alipokuwa akijibu swali la msingi la mbunge wa Kibaha…

Read More

VIDEO: Maria Sarungi apatikana, aahidi kuzungumza kesho

Dar es Salaam. Mwanaharakati Maria Sarungi ambaye alidaiwa kutekwa leo nchini Kenya, amepatikana huku akiahidi kuzungumza zaidi kesho baada ya kutulia. Taarifa ya kutekwa kwa Maria ilitolewa leo Jumapili Januari 12, 2025 na taasisi ya kimataifa ya kutetea haki za binadamu ikisema:  “Maria Sarungi Tsehai, mhariri huru wa vyombo vya habari nchini Tanzania na mtetezi…

Read More

MAHAKAMA YAMWACHIA HURU ALIYEKUA DED MAFIA KASSIM NDUMBO

Na. Mwandishi Wetu, Mafia MAHAKAMA ya Wilaya ya Mafia imemuachia huru mshtakiwa aliyekuwa Mkurugenzi Mtendaji wa Halmashauri ya Wilaya ya Mafia, Ndugu Kassim Seif Ndumbo baada ya kukosekana ushahidi kufuatia Kesi ya Jinai namba 15768/2024 iliyokuwa ikimkabili. Mahakama imechukua maamuzi hayo baada ya kukosekana shahidi wa mwenendo mzima wa upande wa mashtaka kwenye shauri hilo….

Read More

DKT.DIMWA : ASEMA CCM INATHAMINI MCHANGO WA CPC KISIASA

NAIBU Katibu Mkuu wa Chama Cha Mapinduzi (CCM) Zanzibar Dkt.Mohamed Said Dimwa,akizungumza na Viongozi Wandamizi wa Chama Cha Kikomunisti cha China (CPC) waliofika Ofisini kwake Kisiwandui Zanzibar kwa ajili ya mazungumzo ya kuimarisha taasisi hizo mbili leo tarehe 04/12/2024. NA MWANDISHI WETU,ZANZIBAR. NAIBU Katibu Mkuu wa Chama Cha Mapinduzi (CCM) Zanzibar Dkt.Mohamed Said Dimwa,amesema chama…

Read More

Viongozi SMZ watekeleze kwa vitendo ahadi zao

Utawala wa demokrasia, haki na usawa hupimwa siyo kwa kuwa na Katiba nzuri au kauli za kuvutia, bali kwa vitendo vinavyoonekana uwanjani. Kwa maana nyingine kigezo ni vitendo na siyo maandishi yaliyomo kwenye Katiba na sheria za nchi. Hii ndiyo sababu iliyowafanya wahenga kutuambia “Ada ya mja kunena, muungwana ni vitendo.” Katika kusisitiza maana ya…

Read More