
Mbili zapanda Ligi Kuu Zenji, Zimamoto yaua
WAKATI maafande wa KVZ na Zimamoto wakifanya mauaji katika mechi za Ligi Kuu Zanzibar (ZPL) iliyopo ukingoni, timu za Muembe Makumbi na Inter Zanzibar zimekuwa za kwanza kupanda ligi hiyo kwa msimu ujao wa 2024-2025. Muembe Makumbi ilikata tiketi ya kucheza Ligi Kuu kwa msimu ujao baada ya juzi kuifumua New King kwa mabao 2-0…