Coca-Cola Kwanza hosts Minister of Industry and Trade

Dar es Salaam, Tanzania, Sunday 24 August 2025 – Coca-Cola Kwanza Ltd proudly hosted the Minister of Industry and Trade, Dr Seleman Said Jafo (MP) at its Dar es Salaam facility. The visit provided a valuable opportunity to showcase the company’s commitment to doing business the right way – guided by integrity, shared value creation, and…

Read More

Folz achomoa watatu Angola kikosi cha Dabi 

KOCHA wa Yanga, Romain Folz amefanya mabadiliko ya wachezaji watatu katika kikosi cha kwanza cha timu hiyo ambacho kitaivaa Wiliete  ya Angola jioni hii huko Luanda, tofauti na kile ambacho kilianza katika Ngao ya Jamii dhidi ya Simba, Septemba 16. Yanga inatupa karata ya kwanza katika hatua ya awali ya Ligi ya Mabingwa Afrika, ikisaka…

Read More

Dk Mwinyi arudisha fomu ZEC, aeleza matumaini yake

Unguja. Mgombea urais wa Zanzibar kupitia Chama cha Mapinduzi (CCM), Dk Hussein Mwinyi, amerejesha fomu kuomba kuteuliwa kugombea nafasi hiyo katika ofisi za Tume ya Uchaguzi Zanzibar (ZEC) akieleza matumaini yake ya kuteuliwa kuwania nafasi hiyo. Dk Mwinyi, Rais wa Zanzibar na mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi anayemaliza muda wake, alikuwa wa kwanza kuchukua fomu…

Read More

JUKWAA LA UWEZESHAJI WANAWAKE HANDENI MJI KUZINDULIWA MACHI 5

  Na Mwandishi Wetu KATIKA kuelekea kilele cha maadhimisho ya Siku ya Wanawake Duniani, Halmashauri ya Mji Handeni imejipanga kutekeleza shughuli mbalimbali ikiwamo uzinduzi wa Jukwaa la Uwezeshaji Wanawake Kiuchumi. Akizungumza kuhusu maandalizi ya maadhimisho hayo, Mkurugenzi wa Halmashauri ya Mji Handeni, Maryam Ukwaju, amesema halmashauri hiyo inatambua na kuthamini mchango mkubwa wa wanawake katika…

Read More

TANZANIA YAONGEZA KASI KUTOKOMEZA KIFUA KIKUU; WITO WA USHIRIKIANO WATOLEWA

Na John Mapepele Waziri wa Afya, Mheshimiwa Mohamed Mchengerwa amesema Tanzania leo, Machi 24, 2026 imeungana na mataifa mengine duniani kuadhimisha Siku ya Kifua Kikuu Duniani, siku maalum inayolenga kuongeza jitihada za kupambana na ugonjwa huu hatari unaoendelea kuathiri mamilioni ya watu duniani. Amewataka watanzania kuendelea kushirikiana na Serikali ili kutokomeza ugonjwa huo hapa nchini….

Read More

BMH YASHIRIKISHA MASHIRIKA YA BINAFSI YENYE UBIA NA SERIKALI KATIKA KUWEZESHA MATIBABU YA UPANDIKIZAJI FIGO NA ULOTO KWA WANANCHI WENYE UHITAJI

Menejimenti ya Hospitali ya Benjamin Mkapa (BMH) kwa kushirikiana na Mfuko wa Taifa wa Bima ya Afya (NHIF) imebuni mfuko wa kushirikisha wadau (stakeholders) kuwezesha kusaidia matibabu ya Upandikizaji wa Viungo kwa kuanza na Upandikizaji Uloto kwa watoto wenye Selimundu(Sickle cell) na Upandikizaji Figo kwa Wananchi wenye Uhitaji. Akiwasilisha mpango huo kwenye mkutano wa Wenyeviti wa…

Read More

Vijana wataka mambo manne wakiadhimisha siku yao

Dar es Salaam. Wakati dunia ikijiandaa kuadhimisha siku ya amani Septemba 21, 2025, nchini Tanzania vijana wameeleza nafasi yao katika kudumisha amani, huku mambo manne yakijadiliwa katika kongamano la maadhimisho hayo. Septemba 21 ya kila mwaka dunia huadhimisha siku ya amani, hapa nchini maadhimisho hayo yameanza leo Septemba 18, 2025 kwa vijana kutoka maeneo mbalimbali…

Read More

RC CHALAMILA AANDAA IFTAR MAALUM

 Mkuu wa Mkoa wa Dar es Salaam Mhe Albert Chalamila leo Februari 27,2026 ameandaa Iftar maalum kwa wakazi wa Mkoa huo hafla ambayo imefanyika katika ukimbi wa Diamond Jubilee. Katika hafla hiyo viongozi mbalimbali wa Dini na Serikali pamoja na wananchi kutoka maeneo tofauti ya Jiji la Dar es Salaam wamehudhuria. Mgeni rasmi katika tukio…

Read More

Shughuli ya makazi ya Israeli inaharakisha katika Benki ya Magharibi, Baraza la Usalama liliiambia – maswala ya ulimwengu

Ramiz Alakbarov, mratibu maalum wa UN kwa mchakato wa amani wa Mashariki ya Kati, alielezea maelezo juu ya ripoti ya Katibu Mkuu wa Katibu Mkuu juu ya utekelezaji wa Azimio la Halmashauri 2334 (2016). Inatoa wito kwa Israeli “mara moja na kukomesha kabisa shughuli zote za makazi katika eneo lililochukuliwa la Palestina, pamoja na Yerusalemu…

Read More