
CAF yaishushia rungu zito Simba, kuikabili Gaborone bila mashabiki
TAARIFA kutoka Shirikisho la Mpira wa Miguu Afrika (CAF), zinasema mchezo ujao wa Ligi ya Mabingwa Afrika ambao Simba SC itakuwa nyumbani kuikaribisha Gaborone United ya Botswana, itacheza bila mashabiki wake. Mbali na kucheza bila ya mashabiki mchezo huo wa nyumbani, wawakilishi hao wa Tanzania katika Ligi ya Mabingwa Afrika msimu huu, wamepigwa faini ya…