Mbongo amkuna kocha Rayon Sports

KOCHA wa Rayon Sports, Fleury Rudasingwa amemtaja kipa wa Kitanzania, Husna Mpaja, kama moja ya vipaji ambavyo wamebahatika kuwa navyo kwenye kikosi hicho. Mpaja alisajiliwa na mabingwa hao wa Ligi ya Wanawake Rwanda akitokea Geita Queens ya mkoani Geita ambako alicheza na kuonyesha kiwango bora. Aliongeza kuwa bado hajampa nafasi kutokana na ugeni wa michuano…

Read More

Nahodha Kampala anaitaka rekodi tu

NAHODHA wa Kampala Queens, Shakirah Nankwanga amesema mashindano ya CECAFA kufuzu Ligi ya Mabingwa Afrika ni fursa kwa wachezaji, akitamani kuacha rekodi. Nankwanga mwenye umri wa miaka 23, alijiunga na Kampala Queens akitokea Kawempe Muslim Ladies FC mwaka 2024 na akisaini mkataba wa miaka mitatu. Katika msimu wake wa kwanza, alikuwa mchezaji muhimu akiisaidia timu…

Read More

Mgombea urais Chaumma aendelea kusaka kura Kanda ya Ziwa

Mwanza. Chama cha Ukombozi wa Umma (Chaumma) kimeahidi mageuzi makubwa ya kiuchumi na kijamii katika Jiji la Mwanza na Kanda ya Ziwa kwa ujumla, endapo kitapewa ridhaa ya kuunda serikali baada ya Uchaguzi Mkuu wa Oktoba 29, 2025. Akizungumza leo Jumapili, Septemba 14, 2025, katika mkutano wa hadhara uliofanyika Uwanja wa Nyamagana Jijini Mwanza, mgombea…

Read More

Mwalunenge ataja masoko, kumbi za kisasa akiomba kura

Mbeya. Mgombea ubunge wa Mbeya Mjini kupitia Chama cha Mapinduzi (CCM), Patrick Mwalunenge ametaja miongoni mwa vipaumbele vyake kuwa ni kuboresha miundombinu ya masoko, kujenga kumbi za kisasa za mikutano na hoteli ya nyota tano ili kubadilisha taswira ya jiji hilo. Amesema atatenga maeneo ya ujenzi wa vibanda vya wajasiriamali wanaopanga bidhaa chini pamoja na…

Read More

VIDEO: Sababu Polepole kuitwa Polisi

Dar es Salaam. Ofisi ya Mkurugenzi wa Upelelezi wa Makosa ya Jinai imemtaka aliyekuwa Balozi wa Tanzania nchini Cuba, Humphrey Polepole kufika ofisini hapo  kutoa maelezo au ushahidi kuhusiana na tuhuma anazozitoa kwa umma kupitia mitandao ya kijamii. Polepole aliyejiuzulu nafasi yake Julai 13, 2025 kwa madai hawezi kuendelea kuwa sehemu ya uongozi usiohamasika na…

Read More

Mahakama itakavyoamua hatima kesi ya uhaini wa Lissu leo

‎Dar es Salaam. Mahakama Kuu Masjala Ndogo Dar es Salaam, leo inatarajiwa kutoa uamuzi wa pingamizi la usikilizwaji wa kesi ya uhaini inayomkabili mwenyekiti wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema), Tundu Lissu, ambao utaamua hatima ya kesi hiyo. Uamuzi huo unatarajiwa kutolewa leo Jumatatu, Septemba 15, 2025 na jopo la majaji watatu waliopangwa kusikiliza…

Read More

Mahakama itakavyomua hatima kesi ya uhaini wa Lissu leo

‎Dar es Salaam. Mahakama Kuu Masjala Ndogo Dar es Salaam, leo inatarajiwa kutoa uamuzi wa pingamizi la usikilizwaji wa kesi ya uhaini inayomkabili mwenyekiti wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema), Tundu Lissu, ambao utaamua hatima ya kesi hiyo. Uamuzi huo unatarajiwa kutolewa leo Jumatatu, Septemba 15, 2025 na jopo la majaji watatu waliopangwa kusikiliza…

Read More