Chifu Mkwawa II aomba kujengewa ofisi Iringa

Iringa. Chifu wa kabila la Wahehe, Adam Mkwawa II ameomba kujengewa ofisi ya kichifu ili iwe rahisi kwa makundi mbalimbali wanaotaka kujua historia ya  kabila hilo kukutana naye. Iringa ni kati ya mikoa inayoheshimu nafasi za kichifu tangu wakati wa Mkwawa ambaye alifahamika pia kama Mkwavinyika Munyigumba Mwamuyinga aliyefariki Julai 19, 1898 kwa kujipiga risasi,…

Read More

Ukata watajwa kukwamisha kampeni za vyama vya upinzani Mbeya

Mbeya. Zikiwa zimetimia siku 14 tangu Tume Huru ya Taifa ya Uchaguzi (INEC) kuruhusu kuanza kwa kampeni, baadhi ya vyama vya siasa, hususani vya upinzani mkoani Mbeya bado hakijaeleweka, huku wagombea wakieleza sababu tofauti. INEC ilitangaza kuanza kampeni za uchaguzi mkuu tangu Agosti 28 kwa wagombea nafasi za urais, ubunge, udiwani na uwakilishi, lakini kwa…

Read More

Wahandisi vijana kupigwa msasa na ERB

Dar es Salaam. Wahandisi vijana takriban 500 wanatarajiwa kushiriki katika kongamano lililoandaliwa Bodi ya Usajili ya Wahandisi (ERB) likilenga kuwapiga msasa. Kongamano hilo la siku mbili kuanzia Septemba 2-3 ni sehemu ya matukio yanayotarajiwa kufanyika kuelekea mkutano wa mwaka wa wahandisi nchini unaotarajiwa kufanyika Septemba 2-3 mwaka huu jijini Dar es Salaam. Amesema kongamano hilo…

Read More

Watoto 10 kwa siku wapoteza miguu Gaza

Geneva, Uswisi. Katika hali ya kusikitisha inaelezwa watoto 10 kwa siku wanapoteza mguu mmoja au yote wawili katika vita vinavyoendelea kati ya Israel na wanamgambo wa Hamas, huko Gaza. Akitoa ripoti hiyo, Mkuu wa Shirika la Umoja wa Mataifa linalosaidia wakimbizi wa Kipalestina (UNRWA) Philippe Lazzarini, amesema kwa takwimu hizo karibuni watoto 2,000 wamepoteza miguu…

Read More