Pacome aiwahi Kaizer Chiefs Sauzi

KAMA ambavyo awali Mwanaspotui liliwajulisha kiungo mshambuliaji wa Yanga, Pacome Zouzoua alipewa siku tano kushughulikia pasipoti yake kabla ya kuungana na wenzake kambini Afrika Kusini, taarifa zikufikie nyota huyo tayari ameshatua huko na keshokutwa huenda akacheza dhidi ya Kaizer Chiefs. Awali Mwanaspoti lilipata taarifa, huenda Pacome angekuja moja kwa moja jijini Dar es Salaam kutoka…

Read More

Mchakamchaka wa Matampi, Diarra kuwania tuzo huu hapa

MSIMU wa Ligi Kuu Bara 2023-2024 umetamatika juzi Jumanne huku Kipa wa Coastal Union, Ley Matampi akiibuka kinara wa clean sheets akimpiga bao Djigui Diarra wa Yanga. Matampi raia wa DR Congo, huu ni msimu wake wa kwanza kucheza Ligi Kuu Bara na amefanikiwa kwa kiasi kikubwa kitu ambacho kwake kinampandisha thamani. Kipa huyo amemaliza…

Read More

NBAA YAHITIMISHA MAFUNZO – MICHUZI BLOG

BODI ya Taifa ya Wahasibu na Wakaguzi wa Hesabu Tanzania (NBAA) imehitimisha mafunzo kwa wataalam kutoka vyuo na taasisi wanaohusika kutunga na kusahihisha mitihani ya Bodi ili kuhakikisha viwango vipya vya mabadiliko ya mtaala vinafuatwa. Akizungumza wakati wa kufunga mafunzo hayo ya siku mbili Mkurugenzi Mtendaji wa Bodi ya Taifa ya Wahasibu na Wakaguzi wa…

Read More

Serikali Kuboresha Minada Nchini – MICHUZI BLOG

Na.Mwandishi Wetu -Dar es Salaam. Wizara ya Wizara ya Mifugo na Uvuvi imejipanga kuboresha miundombinu ya Minada iliyopo nchini ili iweze kukidhi mahitaji ya watumiaji hasa katika sehemu za uzio, vyoo, maji, taa pamoja na mifumo ya malipo. Hayo yamesemwa na Naibu Katibu Mkuu Wizara ya Mifugo na Uvuvi (Mifugo) Prof Daniel Mushi Julai 12,…

Read More

TTCL YAMWAGA VIFURISHI VYA MAWASILINO VYA BEI YA KUTUPA

*Kupiga,Kutuma SMS pamoja na Data hakuna kuweka mawazo. Na Mwandishi Wetu Shirika la mawasiliano Tanzania TTCL limeshusha neema kwa wananchi katika ununuaji wa vifurushi katika Msimu wa Sikuu za mwisho wa mwaka kupitia kampeni yake ya Waletee. Kampeni hiyo ni maboresho ya kampeni iliyopita na utofauti wake kupata virushi unavyovitaka na sio kulazimshwa. Maboresho hayo…

Read More

Mambo sita yaisubiri Kamati Kuu Chadema

Kakola. Mambo sita likiwemo la makada na viongozi waandamizi wa Chama cha Demokrasia (Chadema) kujivua uanachama mfululizo zinatarajia kutawala katika kikao cha kamati kuu ya chama hicho Mei 21, 2025 jijini Dar es Salaam. Kikao hicho, ambacho kitakuwa cha kwanza kufanyika bila kuwepo Mwenyekiti wa chama hicho, Tundu Lissu ambaye yupo mahabusu, kitaongozwa na Makamu…

Read More