TFRA YAKUTANA NA WAZALISHAJI NA WAINGIZAJI WA MBOLEA NCHINI

Mkurugenzi Mtendaji wa Mamlaka ya Udhibiti wa Mbolea Tanzania (TFRA) Joel Laurent wakati akizungumza leo tar 23/1/2026 kwenye kikao cha kawaida cha waingizaji na wazalishaji wa mbolea nchini, kilichofanyika katika ukumbi wa mikutano wa Mamlaka. Wiliam Ngeleja Mjumbe wa Bodi, Kiwanda cha Mbolea Itracom akizungumza kwa niaba ya wadau wa tasnia ya mbolea leo tar 23/1/2026 kwenye kikao cha kawaida cha waingizaji…

Read More

Yanga yapoteza Misri, sababu ni hizi

YANGA imeruhusu nyavu zake kuguswa mara mbili ikikubali kuchapwa 2-0 na Al Ahly katika mchezo wa makundi wa Ligi ya Mabingwa Afrika, leo Ijumaa, lakini makosa mawili tu ya wachezaji binafsi ndiyo yaliyowagharimu. Hicho ni kipigo cha kwanza kwa Yanga katika kipindi cha miezi minne tangu Oktoba 18, 2025. Yanga iliruhusu bao la kwanza kwenye…

Read More

Mv New Mwanza yazinduliwa, safari raha mustarehe

Mwanza. Waziri Mkuu, Dk Mwigulu Nchemba amezindua rasmi meli ya Mv New Mwanza, ambayo ni kubwa zaidi katika ukanda wa Afrika inayofanya kazi katika maji matamu, ikiwa na kimo cha ghorofa nne, urefu wa mita 92.6, upana wa mita 17 na uzito wa tani 3, 500. Baada ya uzinduzi huo uliofanyika leo Januari 23, 2026,…

Read More