Mahakama itakavyoamua hatima kesi ya uhaini wa Lissu leo

‎Dar es Salaam. Mahakama Kuu Masjala Ndogo Dar es Salaam, leo inatarajiwa kutoa uamuzi wa pingamizi la usikilizwaji wa kesi ya uhaini inayomkabili mwenyekiti wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema), Tundu Lissu, ambao utaamua hatima ya kesi hiyo. Uamuzi huo unatarajiwa kutolewa leo Jumatatu, Septemba 15, 2025 na jopo la majaji watatu waliopangwa kusikiliza…

Read More

Mahakama itakavyomua hatima kesi ya uhaini wa Lissu leo

‎Dar es Salaam. Mahakama Kuu Masjala Ndogo Dar es Salaam, leo inatarajiwa kutoa uamuzi wa pingamizi la usikilizwaji wa kesi ya uhaini inayomkabili mwenyekiti wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema), Tundu Lissu, ambao utaamua hatima ya kesi hiyo. Uamuzi huo unatarajiwa kutolewa leo Jumatatu, Septemba 15, 2025 na jopo la majaji watatu waliopangwa kusikiliza…

Read More

Mpina aondolewa mbio za urais, akwaa kwa Samia

Dar es Salaam. Tume Huru ya Taifa ya Uchaguzi (INEC), imemuondoa mgombea urais kupitia Chama cha ACT – Wazalendo, Luhaga Mpina kwenye mbio za urais, baada ya pingamizi lililowekwa dhidi yake na Mwanasheria Mkuu wa Serikali, Hamza Johari kukubalika. Wakati huo huo, pingamizi aliloweka Mpina dhidi ya mgombea urais kupitia Chama cha Mapinduzi (CCM), Samia…

Read More

Mpina akatwa tena kinyang’anyiro cha urais Tanzania

Dar es Salaam. Tume Huru ya Taifa ya Uchaguzi (INEC) imeengua rasmi jina la mgombea wa urais kupitia Chama cha ACT-Wazalendo, Luhaga Mpina katika orodha ya wagombea wa urais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania katika uchaguzi mkuu unaotarajiwa kufanyika Oktoba 29, mwaka huu. Hatua hiyo imekuja baada ya INEC kukubali pingamizi lililowasilishwa na Mwanasheria…

Read More

Beki Simba apewa mmoja Zambia

ALIYEKUWA beki timu ya vijana ya Simba, Alon Okechi Nyembe amesajiliwa na Zanaco inayoshiriki Ligi Kuu Zambia kwa mkataba wa mwaka mmoja. Beki huyo alicheza Simba U-20 misimu miwili kisha kupandishwa timu kubwa, ingawa aliishia benchi. Akizungumza na Mwanaspoti, Nyembe alisema kusajiliwa na Zanaco ni fursa kwake ya kuonyesha uwezo wake baada ya kuaminiwa na…

Read More

Mtanzania aanza na Al Ahly

JANA Chama la Mtanzania, Arafat Masoud ‘Konde Boy’ anayekipiga ENPPI lilikuwa kibaruani kwenye muendelezo wa Ligi Kuu Misri dhidi ya Al Ahly na nyota huyo alitarajiwa kuwepo kikosini kwa mara ya kwanza tangu alipotambulishwa hivi karibuni. Kinda huyo alijiunga na timu hiyo akitokea Azam FC aliyoitumikia kwa misimu minane tangu ajiunge mwaka 2017 akicheza timu…

Read More

Straika Pamba alalamikiwa TFF | Mwanaspoti

BAADA ya Pamba Jiji kukamilisha usajili wa aliyekuwa kiungo mshambuliaji wa Kagera Sugar, Peter Lwasa, raia wa Uganda taarifa mpya ni nyota huyo atafunguliwa mashtaka Kamati ya Sheria na Hadhi za Wachezaji (TFF), kwa sababu ya kupinga agizo la waajiri wake. Iko hivi. Kager iliyoshuka daraja kutoka Ligi Kuu na kwenda Ligi ya Championship, ilifikia…

Read More