TFRA YAKUTANA NA WAZALISHAJI NA WAINGIZAJI WA MBOLEA NCHINI
Mkurugenzi Mtendaji wa Mamlaka ya Udhibiti wa Mbolea Tanzania (TFRA) Joel Laurent wakati akizungumza leo tar 23/1/2026 kwenye kikao cha kawaida cha waingizaji na wazalishaji wa mbolea nchini, kilichofanyika katika ukumbi wa mikutano wa Mamlaka. Wiliam Ngeleja Mjumbe wa Bodi, Kiwanda cha Mbolea Itracom akizungumza kwa niaba ya wadau wa tasnia ya mbolea leo tar 23/1/2026 kwenye kikao cha kawaida cha waingizaji…