Fanya haya kuukwepa ugonjwa wa presha

Dar es Salaam. Ugonjwa wa presha, unaojulikana pia kama shinikizo la damu, ni miongoni mwa magonjwa yanayojenga hatari kubwa kwa afya ya moyo na mishipa. Wataalamu wanasema kuwa presha ya juu mara nyingi haina dalili za haraka, hivyo wengi huishia kugundua wakiwa tayari wameshajikuta kwenye hatari kubwa ya mashambulizi ya moyo au kiharusi. Hata hivyo,…

Read More

Simba Misri pamoto! | Mwanaspoti

KUNA mambo flani yanasonga pale Msimbazi yalipo makao makuu ya Klabu ya Simba, ambapo vigogo wanapambana kuweka mambo sawa, kwani kuna mastaa ambao zipo kila dalili kwamba wanapaswa kusepa huku wengine ambao hawajaripoti wakitakiwa kutua kikosini. Kumbuka wanaotakiwa kusepa ni baadhi ya wale…

Read More

Masaju akomaa na haki za raia

Dar es Salaam. Wakati Jaji Mkuu wa Tanzania, George Masaju, akiwataka majaji na mahakimu kuhakikisha wanatenda haki, kuzingatia maadili na kujiepusha na vitendo vya rushwa, wadau wamesema azma hiyo itafanikiwa iwapo wahusika watatengenezewa mazingira mazuri ya kazi. Aidha, mkuu huyo wa muhimili wa Mahakama amewaeleza watendaji hao kutekeleza majukumu yao bila kusubiri au kufuata maelekezo,…

Read More

Mbinu za kujenga ukaribu na wanao

Dar es Salaam. Inawezekana  ukaishi na watoto au mtoto wako nyumbani lakini akahisi kama vile haupo. Labda kwa lugha nyingine naweza kusema unaweza kuwepo nyumbani kimwili “physically” lakini usiwepo kihisia na kijamii “absent socially and emotionally” na hapa ndipo wazazi na walezi wengi tulipo pasipo kujua na huku tukidhani kuwa mambo yote baina yetu na…

Read More

AAFP yaahidi kupaisha bei ya karafuu hadi Sh50,000 kwa kilo

Pemba. Mgombea wa urais wa Zanzibar kupitia Chama cha Wakulima (AAFP), Said Soud Said, amesema maono yake ni kuleta mabadiliko, iwapo wananchi wakimchagua atahakikisha anabadilisha maisha ya Wazanzibari, hususan wakulima wa karafuu. Mgombea huyo ametoa kauli hiyo leo, Septemba 19, 2025, wakati akizungumza na viongozi, wananchi na wanachama wa chama hicho katika mkutano wa hadhara…

Read More

Viongozi wa ulimwengu wanapaswa kujitolea kwa haki za binadamu, haki ya kimataifa – maswala ya ulimwengu

Watu waliohamishwa kutoka Jabalia, Gaza, wanaishi katika jengo lililoharibiwa katika jiji la Gaza. Hatua ya kumaliza kumaliza uhalifu wa Israeli dhidi ya Wapalestina. Mikopo: Habari za UN na saa ya haki za binadamu (New York) Ijumaa, Septemba 19, 2025 Huduma ya waandishi wa habari New YORK, Septemba 19 (IPS) – Viongozi wa Ulimwenguni wakikusanyika kwenye…

Read More

Rea yakaribisha sekta binafsi kuwekeza miradi ya umeme vijijini

Njombe. Wakala wa Nishati ya Umeme Vijijini (Rea) umewaalika wadau wa sekta binafsi kutumia fursa zilizopo katika maeneo mbalimbali nchini kuwekeza katika miradi ya uzalishaji wa umeme vijijini. Wakala huo umeeleza kuwa kuna fursa nyingi hasa katika mikoa ya Njombe, Ruvuma na Iringa ambako kuna vyanzo vingi vya maji vinavyoweza kutumika kuzalisha umeme hatua itakayosaidia…

Read More