Simba yapiga hesabu kali kwa Waarabu

KIKOSI cha Simba kikiwa kamili gado, kimetua salama huko Algeria, huku benchi la ufundi la timu hiyo pamoja na wachezaji wakiwa na hesabu moja tu dhidi ya Waarabu watakaovaana nao wikiendi hii nchini humo. Simba inatarajiwa kuwa wageni wa CS Constantine inayoongoza msimamo wa Ligi Kuu ya Algeria, katika mechi ya Kundi A ya Kombe…

Read More

Wakongwe kikapu kazi wanayo BDL

WAKATI Ligi ya Kikapu Mkoa wa Dar es Salaam (BDL), ikitangazwa kuchezwa mzunguko mmoja, huenda baadhi ya timu kongwe mfumo huo ukazifanya ziwe na wakati mgumu mara itakapoanza. Ligi hiyo imekuwa ikifanyika katika mizunguko miwili kila mwaka, lakini ile ya mwaka huu itafanyika mzunguko mmoja. Ugumu wa timu hizo unatokana na kasumba ziliyojiwekea ya kucheza…

Read More

Papa Francis atoa kauli ya kwanza tangu alazwe hospitali

Rome. Papa Francis amewashukuru waumini na wasio waumini wa Kanisa Katoliki kwa kuendelea kumuombea afya njema tangu alipolazwa Februari 14,2025. Papa Francis (88) amelazwa katika Hospitali ya Gemelli mjini Roma akisumbuliwa na maradhi kwenye mfumo wa upumuaji. maradhi hayo yamesababisha asionekane hadharani kwa zaidi ya wiki tatu. Katika ujumbe wake wa sauti (audio) kwa waumini…

Read More

Serikali yatangaza neema kwa wakulima

  RAIS Samia Suluhu Hassan, ametangaza neema kwa wakulima, akiielekeza Wizara ya Kilimo, kuanzia msimu ujao wa mavuno, kuwalipa wakulima moja kwa moja na vyama vikuu vya ushirika badala ya utaratibu wa sasa wa kupitishia malipo hayo kwenye Vyama vya Msingi (AMCOS). Amesema utaratibu wa kupitisha malipo AMCOS, unawacheleweshea wakulima malipo yao na kuongeza makato….

Read More

Chongolo acharuka, ataka uchunguzi ujenzi wa bweni

Songwe. Mkuu wa Mkoa wa Songwe, Daniel Chongolo amemuagiza Mkuu wa Taasisi ya Kuzuia na Kupambana na Rushwa (Takukuru) mkoani humo,  kufanya uchunguzi wa matumizi ya fedha kwenye ujenzi wa bweni la wanafunzi wenye mahitaji maalumu katika shule ya msingi Ipapa iliyopo wilaya ya Ileje kwa gharama ya zaidi ya Sh100 milioni. Chongolo ametoa agizo…

Read More

Madagascar v Mauritania  culuhu ya kwanza CHAN

TIMU za Madagascar na Mauritania zilitoka sare ya bila kufungana (0-0) katika mechi ya Kundi B ya Michuano ya CHAN PAMOJA 2024 iliyopigwa Jumapili usiku kwenye Uwanja wa Benjamin Mkapa. Kundi hili lenye timu tano linaongozwa na wenyeji Tanzania wenye pointi tatu baada ya kuichapa Burkina Faso kwenye mchezo wa ufunguzi wa michuano hiyo ambayo…

Read More

WAFANYAKAZI NISHATI KATIKA KILELE CHA MEI MOSI DODOMA

Wafanyakazi wa Wizara ya Nishati wameshiriki maandamano ya Maadhimisho ya Siku ya Wafanyakazi Duniani tarehe 01 Mei, 2024. Maandamano hayo yalianzia katika viwanja vya Bunge na kuhitimishwa katika Uwanja wa Jamhuri jijini Dodoma. Maadhimisho hayo maarufu kama Mei Mosi kwa Mwaka 2024 yamebebwa na Kaulimbiu ya *”Nyongeza ya mishahara ni msingi wa mafao bora na…

Read More