Kuelekea Mifumo ya Chakula ya Kilimo Kusini mwa Afrika – Masuala ya Ulimwenguni

Royd Michelo kwenye shamba lake Mashariki mwa Zambia. Credit: Isaiah Esipisu/IPS na Isaya Esipisu (chongwe, zambia) Ijumaa, Januari 23, 2026 Inter Press Service CHONGWE, Zambia, Januari 23 (IPS) – Katika kijiji tulivu kinachojulikana kama Nkhondola, katika Wilaya ya Chongwe, Mashaŕiki mwa Zambia, Royd Michelo na mke wake, Adasila Kanyanga, wamebadilisha kipande cha aŕdhi chao cha…

Read More

Dilunga ajiunga na Mbeya City, aitosa TRA United

KIUNGO Mshambuliaji wa zamani wa Simba na Yanga, Hassan Dilunga amesaini mkataba wa kuichezea Mbeya City inayonolewa na kocha Mecky Maxime. Chanzo cha ndani kutoka Mbeya City kimesema usajili wa Dilunga ni mapendekezo ya kocha Maxime, hivyo uongozi umetimiza wajibu wake kwa kufanikisha kupata saini yake. “Dilunga ni mzoefu na sisi tunatoa ushirikiano kwa kocha…

Read More

Raia wa Msumbiji, Mtanzania kizimbani kwa kilo 20 za skanka

Dar es Salaam.  Raia wa Msumbiji, Seleman Juma Ally (32) ma Mtanzania, Amasha Iddi Mrisho (40), mkazi wa Buza, Dar es Salaam, wamepandishwa kizimbani katika Mahakama ya Wilaya ya Temeke wakituhumiwa kukutwa wakisafirisha dawa za kulevya, aina ya Skanka zenye uzito wa kilo 20. Washtakiwa hao walipandishwa kizimbani mahakamani hapo jana jioni,  Alhamisi, Januari 22…

Read More

Henry Mkanwa aanika mipango Gunners

KOCHA mpya wa Gunners FC ya jijini Dodoma, Henry Mkanwa amesema miongoni mwa malengo makubwa aliyopewa na uongozi wa timu hiyo ni kuhakikisha kikosi hicho kinabaki Ligi ya Championship msimu ujao, licha ya ushindani mkubwa uliopo. Mkanwa aliyezifundisha Biashara United na Pamba Jiji, alipewa jukumu hilo hadi mwisho wa msimu huu, baada ya aliyekuwa kocha…

Read More

Singida Black Stars yamrudisha nchini Raheem

Singida Black Stars imekamilisha usajili wa aliyekuwa El Mahalla ya Misri, Raheem Shomary kwa kumsainisha mkataba wa miaka miwili kuitumikia timu hiyo huku mwenyewe akitaja sababu za kurudi Tanzania. Rahim ambaye alitwaa tuzo ya mchezaji bora Chipukizi msimu wa 2023/24 akiwa na KMC amerudi Tanzania baada ya kucheza nusu msimu nchini Misri ambapo alisaini mkataba…

Read More

Moloko kuibukia Ligi ya Championship

ALIYEKUWA kiungo mshambuliaji wa Yanga, Mkongomani Jesus Ducapel Moloko amekamilisha usajili wa kujiunga na Mbeya Kwanza ya Tabora inayoshiriki Ligi ya Championship, baada ya kusaini mkataba hadi mwisho wa msimu huu. Nyota huyo aliyewahi kuitumikia Yanga kuanzia Agosti 13, 2021 hadi Januari 28, 2024 akitokea AS Vita ya kwao DR Congo, amejiunga na Mbeya Kwanza…

Read More

BOT kumuenzi Mtei, Gavana aeleza alivyojitoa sadaka

Gavana wa Benki Kuu Tanzania (BOT) Emmanuel Tutuba amesema taasisi hiyo itaendelea kuienzi misingi ya awali aliyoweka na mzee Edwin Mtei akimtaja kama mtu aliyejitoa sadaka katika kipindi chake cha uongozi wa taasisi hiyo. Mtei (94) aliyefikwa na umauti Januari 19,2026  alikuwa Gavana wa kwanza wa BoT kuanzia mwaka 1966 na miaka 12 baadaye akawa…

Read More