Kocha Mhispaniola akoshwa na vipaji vya Kitanzania

KOCHA wa akademi ya The Spain Rush-SPF, Mhispaniola Vicente Linares, ameongea jambo baada ya kushuhudia uwezo wa vijana wawili wa Kitanzania waliopo katika akademi hiyo mjini Valencia, Hispania. Katika mazungumzo yake na Mwanaspoti, Linares alieleza kushangazwa kwake na kile alichokiona kwa Sylvanus Marwa na Iddy Mataka makinda wawili wanaowakilisha Tanzania kwenye kikosi cha vijana chini…

Read More

Lile pati la Mbeya City ndo leo

MASHABIKI wa Mbeya City Jumamosi hii watajumuika pamoja kwenye pati ya kuipongeza timu hiyo kupanda Ligi Kuu Bara kwa msimu ujao, huku ikipambwa na burudani mbalimbali ikiwamo wasanii wakongwe wa muziki wa kizazi kipya. Shangwe hilo limepangwa kufanyika kwenye Ukumbi wa City Pub Kiotani ambapo wanachama, mashabiki na wapenzi wa Mbeya City watajumuika pamoja kujipongeza…

Read More

Kwa mwanaume miezi mitano hii inatosha kubadili gia

Tuanze na kuambiana jambo moja: ‘Bado tuna nafasi’ na hii sio sentensi ya kutiana moyo kwa maneno matupu, ni ukweli wa maisha. Bila kujali kama ulianza mwaka huu na malengo makubwa ukashindwa kuyatekeleza, au kama hujaona dalili ya kuyatimiza mpaka sasa, nataka ukumbuke bado hujachelewa. Kila mwanaume amewahi kupitia wakati kama huo. Umeandika malengo, unaapa…

Read More

MWALIMU NEW VISION MIRERANI AJINYONGA SHULENI

Na Mwandishi wetu, Babati MWALIMU wa shule binafsi ya awali na msingi New Vision ya mji mdogo wa Mirerani wilayani Simanjiro mkoani Manyara, amejfariki dunia kwa kujinyonga kwa kutumia kamba ya manila. Kamanda wa polisi wa mkoa wa Manyara, kamishna msaidizi mwandamizi (SACP) George Katabazi akizungumza na waandishi wa habari amemtaja mwalimu huyo kuwa ni…

Read More