MICHAEL LUCAS WERUMA: MFANYAKAZI BORA WA BARRICK BULYANHULU

Rais wa Jamhuri wa Muungano wa Tanzania, Dkt .Samia Suluhu Hassan akimkabidhi zawadi na cheti Mfanyakazi bora wa mwaka 2025 wa Mgodi wa Barrick Bulyanhulu Michael Lucas Weruma kwenye sherehe za Mei Mosi zilizofanyika mjini SingidaMfanyakazi bora wa mwaka 2025 wa Mgodi wa Barrick Bulyanhulu Michael Lucas Weruma akionyesha cheti alichotunukiwa na TUCTA wakati wa…

Read More

KenGold yaanza upya, Fountain Gate kazi ipo

WAKATI Ken Gold ikitarajia kushuka uwanjani Jumatano uwanjani kuwakabili Fountain Gate, benchi la ufundi limesema halitarajii kuruhusu tena bao badala yake ni kutembeza vipigo baada ya kukisuka upya kikosi. Ken Gold inayoshiriki Ligi Kuu kwa mara ya kwanza haikuwa na mwanzo mzuri baada ya kukandwa kichapo cha mabao 3-1 dhidi ya Singida Black Stars na…

Read More

Mbinu ya kubaini bidhaa bandia yatajwa

Dar es Salaam.  Wakati Tume ya Ushindani Tanzania (FCC) ikiendelea kupambana na bidhaa bandia, imetaja mbinu ya kuzibaini huku ikiwataka wafanyabiashara wauze bidhaa halisi kwa kuwa hazina ushindani na zile bandia. Hayo yamebainishwa leo Jumatano Julai 17 2024 na Mkurugenzi Mkuu wa Tume ya Ushindani Tanzania (FCC), William Erio wakati akizungumza na waandishi wa habari…

Read More

TFRA YATOA ELIMU YA MATUMIZI SAHIHI YA MBOLEA NJOMBE

……………………….  Kuelekea msimu mpya wa kilimo mwaka 2025/2026 kwa kushirikiana na Wizara ya Kilimo, Mamlaka ya Udhibiti wa Mbolea Tanzania (TFRA) imeendesha mafunzo ya matumizi sahihi ya mbolea kwa wakulima wa Mkoa wa Njombe, kata ya Makowo, ili kuongeza tija na uzalishaji.  Mafunzo hayo yaliyoanza kutolewa katika kijiji na Kata ya Makowo leo tarehe 2…

Read More

Mecky Maxime ampendekeza Mfuko Mbeya City

WAKATI dirisha dogo la usajili likitarajiwa kufunguliwa Januari Mosi, 2026 uongozi wa Mbeya City uko katika mazungumzo ya kuipata saini ya kiungo wa Namungo, Abdallah Mfuko ikiwa ni pendekezo pia la kocha mkuu mpya, Mecky Maxime. Taarifa kutoka ndani ya uongozi wa klabu hiyo zimeeleza, Mfuko anayeweza kucheza nafasi zaidi ya moja uwanjani, ni miongoni…

Read More

ACT-Wazalendo yapanga kufumua mikataba, CCM yasema wanatafuta huruma kisiasa

Unguja. Chama cha ACT Wazalendo kimesema kuna mikataba mingi mibovu inayoigharimu nchi na kwamba kikiingia madarakani mwakani kitahakikisha inafumuliwa na kuweka mipya. Kauli hiyo iliyotolewa na Makamu Mwenyekiti wa ACT-Wazalendo-Zanzibar, Ismali Jussa imejibiwa na Chama cha Mapinduzi (CCM), kikisema chama hicho hakina uwezo huo, bali kinalenga kupata huruma ya wananchi na kutafuta umaarufu wa kisiasa…

Read More

Dk Biteko azihakikishia ushirikiano taasisi za dini

Sengerema. Naibu Waziri Mkuu Dk Dotto Biteko amesema Serikali itaendelea kushirikiana na taasisi za dini kuboresha huduma za afya nchini kwa lengo la kutoa huduma bora za afya kwa wananchi. Dk Biteko ametoa kauli hiyo leo Ijumaa Novemba 1, 2024 alipokuwa akizindua jengo jipya la upasuaji kwenye Hospitali Teule ya Wilaya ya Sengerema lililogharimu Sh5.4…

Read More

Hii hapa hoteli ya kifahari waliyofikia Yanga

Klabu ya Yanga imeweka kambi kwenye hoteli ya kifahari ya The Legacy Luxury iliyopo Hydra, Algiers, Algeria, ikiwa sehemu ya maandalizi ya mechi yao ya pili ya hatua ya makundi ya Ligi ya Mabingwa Afrika itakayopigwa Jumamosi Desemba 7, 2024 dhidi ya MC Alger. The Legacy Luxury Hotel ni chaguo maarufu kwa timu za michezo…

Read More