Bosi Yanga ajitoa muhanga! Ajibu malalamiko
YANGA inaendelea kutoa vipigo lakini kuna baadhi ya watu kama hawaridhiki hivi, sasa uongozi umeibuka na kutoa msimamo mzito juu ya kocha wao Romain Folz. Aliyetoa kauli hiyo ni Mwenyekiti wa Kamati ya Mashindano ya Yanga, Rodgers Gumbo, akisema wala wao kama uongozi…