Mwenyekiti wa CCM Itilima afariki dunia

Simiyu. Mwenyekiti wa Chama Cha Mapinduzi (CCM) Wilaya ya Itilima, mkoani Simiyu, Mhuli Ngeleja amefariki Machi 18, 2026 huku CCM ikimtaja kama kiongozi shupavu na mwadilifu. Taarifa iliyotolewa leo Ijumaa Machi 20, 2026 na Katibu wa Halmashauri Kuu ya CCM Taifa, Itikadi, Uenezi na Mafunzo, Kenan Kihongosi, imeeleza kuwa chama kimepoteza kiongozi shupavu, mwadilifu na…

Read More

Kama hakutaki usimlazimishe | Mwananchi

Katika maisha ya uhusiano wa kimapenzi, watu wengi hujikuta wakihangaika kulazimisha uhusiano ambao tayari umefika mwisho au hauna uhai tena. Moja ya ukweli mgumu lakini muhimu kukubalika ni huu: ukiona mwenza wako hakutaki tena, mwache aende zake. Usilazimishe mapenzi. Mapenzi ya kweli hayawezi kulazimishwa. Yanatoka moyoni kwa hiari, si kwa mashinikizo. Unapojikuta unapigania nafasi yako…

Read More

Gor Mahia katikati ya mtego wa Simba

WAKATI tamasha la kilele la Simba Day likihitimishwa leo, kikosi cha Gor Mahia ya Kenya kiko katika mtego wakati kikiwa nyuma kwa bao 1-0 dhidi ya ‘Wekundu hao wa Msimbazi’. Iko hivi, mara ya mwisho kwa Simba kupoteza mechi ya Simba Day dhidi ya timu kutoka Kenya ilikuwa mwaka 2012, jambo linalosubiriwa kuona kama Gor…

Read More

FCC yatoa elimu kwa wananchi wa Chalinze

Maafisa wa kulinda walaji kutoka Tume ya Ushindani (FCC) wametoa elimu kwa wananchi wa Halmashauri ya Chalinze mkoani Pwani kuhusu haki na wajibu wa mlaji, ikiwa ni sehemu ya maandalizi ya maadhimisho ya Siku ya Kumlinda Mlaji duniani yanayotarajiwa kufanyika Machi 31, 2026. Elimu hiyo imelenga kuwajengea wananchi uelewa kuhusu namna ya kutambua bidhaa na…

Read More

Yanga Soccer School kuanza kusaka mastaa kitaa

YANGA inaendelea na mikakati ya kuhakikisha mpira wa miguu hapa nchini unakua na kutengeneza vijana waliopitia njia sahihi za kulelewa katika misingi inayotakiwa ili kuzitimiza ndoto zao. Hivi karibuni, klabu hiyo ilitangaza programu ya Yanga Soccer School, ambapo awamu hii umeongezeka udhamini wa GSM Foundation ili kuwasaidia vijana wasiokuwa na uwezo kifedha lakini wana vipaji…

Read More

KAMATI YA BUNGE YA NISHATI NA MADINI YARIDHISHWA NAMNA WANANCHI WANAVYOUTUMIA UMEME KUJILETEA MAENDELEO

📌 Umeme umewashwa kwa mara ya kwanza katika vitongoji viwili 📌 Zaidi ya Shilingi bilioni 60 zatumika kusambaza umeme kwenye vitongoji vya mkoa wa Shinyanga Kahama, Shinyanga📍 Kamati ya Kudumu ya Bunge ya Nishati na Madini imeridhishwa na namna fedha za Bajeti ya Mwaka 2025/2026 zilizoidhinishwa na Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania zinavyotumika…

Read More

Kocha CBE asepa na somo CECAFA

KOCHA wa CBE, Birhanu Gizaw amesema msimu huu haukuwa mzuri kwa upande wao wakikutana na ushindani mkubwa kwenye mashindano ya CECAFA ya kuwania kufuzu ushiriki wa Ligi ya Mabingwa Afrika kwa Wanawake. Mabingwa hao watetezi wa CECAFA waliishia katika hatua ya makundi baada ya kumaliza katika nafasi ya pili kwenye Kundi B, wakianza kwa kupoteza…

Read More

USANIFU WA BARABARA HUFANYIKA KABLA YA UJENZI

::::::: Imeelezwa kwamba Wakala ya Barabara za Vijijini na Mijini (TARURA) hufanya usanifu wa kina wa barabara kabla ya ujenzi kuanza kutekelezwa. Hayo yamebainishwa na Mhandisi wa miradi kutoka TARURA Faizer Mbange wakati akitoa elimu kwa umma kwa wananchi waliofika kwenye Maonesho ya Nane ya Madini Mkoani Geita. Amesema kwamba  barabara nyingi nchini zinazosimamiwa na…

Read More