KITITA CHA HUDUMA MUHIMU YA BIMA YA AFYA KWA WOTE KUANZA KUTUMIKA JANUARI 26
Waziri wa Afya, Mohamed Mchengerwa, amezindua rasmi Kitita cha Huduma Muhimu ya Bima ya Afya kwa Wote, kinachotarajiwa kuanza kutumika Januari 26 mwaka huu, sambamba na kuanza kwa usajili wa wananchi awamu ya kwanza katika mfumo wa Bima ya Afya kwa Wote. Akizungumza leo Januari 24 jijini Dodoma wakati wa kikao kazi cha kujadili utekelezaji…