Coca-Cola Kwanza Ltd drives growth with Tuk-Tuk Incentive

Coca-Cola Kwanza (CCK) handed over six Tuk-Tuks to top performing Official Coca-Cola Distributors as part of a Returnable Glass Bottle (RGB) incentive programme run in the fourth quarter of last year. The Tuk-Tuk incentive was open to all qualifying distributors of CCK products and aimed to reward those businesses driving growth and ensuring that a…

Read More

REA IMEBEBA AJENDA YA MAENDELEO YA WATU WA VIJIJINI MKOANI GEITA – MWENYEKITI KAMATI YA BUNGE YA NISHATI NA MADINI

Mwenyekiti wa Kamati ya Kudumu ya Bunge ya Nishati na Madini, Mhe. Subira Mgalu, amesema Serikali kupitia Wakala wa Nishati Vijijini (REA) inaendelea kutekeleza miradi mbalimbali ya kusambaza umeme ili kuhakikisha wananchi wanaoishi pembezoni mwa miji na vijijini wanapata huduma hiyo muhimu kwa maendeleo ya kijamii na kiuchumi. Akizungumzia mafanikio ya Miradi ya kusambaza umeme…

Read More

Zanzibar kupanda miti milioni tatu mvua za masika

Unguja. Wakati mvua za masika zikiendelea, Zanzibar itatumia fursa hiyo kupanda miti milioni 3.273 itakayooteshwa katika vitalu mbalimbali kisiwani hapa. Kati ya miti hiyo, milioni 2.227 itaoteshwa katika vitalu binafsi, na miche milioni 1.045 itaoteshwa katika vitalu vya serikali. Miche hiyo, inayojumuisha ya matunda na viungo 2,117,458, misitu 637,173, minazi 16,200, mikarafuu 336,703 pamoja na…

Read More