SERIKALI MKOA WA KAGERA KUENDELEA KUIUNGA MKONO TAAWANU KUWASAIDIA MAYATIMA
Serikali kupitia Mkuu wa Mkoa wa Kagera, Kanali Yahaya Ramadhani Kido, imesema itaendelea kuiunga mkono Taasisi ya Taawanu katika juhudi zake za kuwajali watoto yatima ili kundi hilo lisijione kutengwa katika jamii. Kauli hiyo imetolewa na Mkuu huyo wa Mkoa mnamo Machi 15, 2026 alipokuwa mgeni rasmi katika hafla ya utoaji wa Zakat na Futari…