
Malasusa ataka Watanzania kuwa wasikivu kuelekea uchaguzi mkuu
Mwanga. Mkuu wa Kanisa la Kiinjili la Kilutheri Tanzania (KKKT), Askofu Alex Malasusa, amesisitiza kuwa katika kipindi hiki cha kuelekea uhaguzi mkuu, Watanzania wanapaswa kuwa wasikivu na kusikiliza kwa umakini, ili kuhakikisha nchi inaendelea kuimarika na kuwa na maendeleo endelevu. Malasusa ameyasema hayo leo, Mei 13, 2025, wakati akihitimisha ibada ya mazishi ya aliyekuwa Waziri…