UNDP, UINGEREZA WATOA ZAIDI YA TSH MILIONI 70 KUIMARISHA BIASHARA BUNIFU ZA WANAFUNZI WA VYUO VIKUU TANZANIA

Mpango huo unatekelezwa na UNDP kupitia Mradi wa FUNGUO kwa ushirikiano na Serikali ya Uingereza kupitia FCDO. Ushirikiano huo unalenga kuimarisha mfumo wa ubunifu nchini kwa kuwaunganisha wanafunzi na ushauri elekezi, fursa za ufadhili pamoja na mazingira yatakayosaidia mawazo yao kukua na kuwa biashara endelevu. Kabla ya kutangazwa kwa washindi, timu za wanafunzi zilipata mafunzo…

Read More

Rais Samia Afanya Uhamisho na Kupangua Vyeo vya Mabalozi

Global Publishers March 2, 2026 0 Comments Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dkt. Samia Suluhu Hassan, amefanya uhamisho na kupangua vyeo vya mabalozi katika vituo mbalimbali nje ya nchi. Kwa mujibu wa taarifa iliyotolewa na Katibu Mkuu Kiongozi, Balozi Dkt. Moses Kusiluka, uteuzi huo unawahusisha mabalozi kadhaa waliopangiwa kuziwakilisha Tanzania katika mataifa na…

Read More

Ijue Historia ya Mwanamke Mbaya Zaidi Duniani

Katika historia ya dunia kuna hadithi nyingi ambazo zinaonyesha jinsi binadamu wanaweza kuvumilia maumivu makubwa kwa ajili ya wale wanaowapenda. Moja ya hadithi hizo ni ya Mary Ann Bevan, mwanamke kutoka Uingereza ambaye aliwahi kuitwa kwa jina la kikatili “mwanamke mbaya zaidi duniani.” Lakini nyuma ya jina hilo kulikuwa na ukweli tofauti kabisa hadithi ya…

Read More

RC CHALAMILA AANDAA IFTAR MAALUM

 Mkuu wa Mkoa wa Dar es Salaam Mhe Albert Chalamila leo Februari 27,2026 ameandaa Iftar maalum kwa wakazi wa Mkoa huo hafla ambayo imefanyika katika ukimbi wa Diamond Jubilee. Katika hafla hiyo viongozi mbalimbali wa Dini na Serikali pamoja na wananchi kutoka maeneo tofauti ya Jiji la Dar es Salaam wamehudhuria. Mgeni rasmi katika tukio…

Read More

TLP yaahidi kampeni za amani, utulivu

Dar es Salaam. Chama cha Tanzania Labour Party (TLP), kinatarajia kuzindua kampeni zake Septemba 4, 2025 huku kikiahidi kuwa zitafanyika kwa amani na utulivu. Hayo yameelezwa leo Ijumaa Agosti 29, 2025 na mgombea urais wa chama hicho, Yustas Rwamugira, katika hafla ya wananchama kumpokea iliyofanyika makao makuu ya chama hicho Magomeni, Dar es Salaam akitokea…

Read More