TBS YASHIRIKI MAONESHO YA 21 YA WAHANDISI TANZANIA

NA EMMANUEL MBATILO, MICHUZI TV SHIRIKA la Viwango Tanzania (TBS) limeshiriki katika Maonesho ya 21 ya Wahandisi Tanzania  kwa kutoa elimu kwa wahandisi kuhusu uwepo mashine bora na za kisasa katika maabara ya TBS ambazo wanaweza katika miradi yao kuhakiki bidhaa katika miradi yao. Akizungumza na waandishi wa habari leo Septemba 6, 2024 katika Maonesho…

Read More

Bacca: Mama yangu anamkubali Job

BEKI kisiki wa Yanga, Ibrahim Abdullah ‘Bacca’ amesema mama yake ambaye ni shabiki mkubwa wa Simba, anavutiwa na aina ya uchezaji wa beki wa kati na nahodha msaidizi wa Yanga, Dickson Job. Bacca alisema hayo jana baada ya kutamatika kwa mchezo wa Ligi Kuu ya NBC ambao Yanga iliondoka na ushindi wa bao 1-0 dhidi…

Read More

NEMC YAWATAKA WATANZANIA KULINDA VYANZO VYA MAJI

Mhandisi wa Mazingira na Miundombinu ya Maji kutoka Baraza la Taifa la Hifadhi na Usimamizi wa Mazingira (NEMC),Mhandisi Boniphace Kyaruzi, aziungumza na Waandishi wa Habri. ……. Baraza la Taifa la Hifadhi na Usimamizi wa Mazingira (NEMC) limewahimiza Watanzania kuchukua hatua madhubuti za kulinda na kuhifadhi mazingira asilia, ili kuzuia uharibifu wa vyanzo vya maji kwa…

Read More

WANAFUNZI WATUMIA MITUMBWI MIAKA 10 KWENDA S

Wananchi wa Iyozu wakivuka na mtumbwi kuingia upande wa pili.::::::::: Na Daniel Limbe,Torch media WANAFUNZI wa kitongoji cha Iyozu kata ya Muungano wilayani Chato mkoani Geita wanalazimika kutumia mitumbwi kutoka kwenye makazi yao kwenda shuleni kutokana na mvua kubwa zilizonyesha miaka 13 iliyopita kukata mawasiliano ya kitongoji hicho kwenda kwenye kijiji cha Rubambangwe. Inaelezwa kuwa…

Read More

Tanzania yaanza kujipanga uzalishaji umeme kwa nyuklia

Dar es Salaam. Mpango wa Tanzania kutumia nyuklia kama chanzo cha nishati umeanza, baada ya kusaka teknolojia ya kuzalisha umeme kwa nishati hiyo bila kusababisha madhara. Hatua hiyo inakuja wakati Tume ya Nguvu za Atomu Tanzania (Taec) imeingia makubaliano ya kushirikiana na Shirika la Global Center for Nuclear Energy Partnership la nchini India. Makubaliano haya…

Read More

Singida Black Stars yakimbilia Arusha

KIKOSI cha Singida Black Stars kimerejea mazoezini na leo kinatarajia kwenda Arusha kwa ajili ya kuweka kambi ya mwezi mmoja kujiweka fiti na michuano iliyopo mbele ikiwemo Ligi Kuu Bara inayotarajiwa kuendelea Machi Mosi, mwaka huu. Wakati huohuo mshambuliaji Jonathan Sowah aliyesajiliwa na timu hiyo dirisha dogo msimu huu, anatarajiwa kuungana nayo kwa ajili ya…

Read More