DKT. MAPONGA:NCHI ZA AFRIKA ZISHIKAMANE KUTIMIZA NDOTO

Na Mwandishi Wetu MWANAHARAKATI anayechochea umoja na mshikamano katika bara la Afrika, Dkt. Joshua Maponga amewaasa Waafrika kuendelea kushikamana kwa pamoja katika kulitetea na kulikomboa bara la Afrika. Dkt. Maponga amezungumza na Waandishi wa Habari jijini Dar es Salaam wakati wa ziara yake hapa nchini Tanzania, amesema kuwa ni wajibu wa Waafrika kusimama pamoja katika…

Read More

Marekani kujiondoa rasmi WHO ina maanisha nini?

Dodoma. Kujiondoa kwa Marekani katika Shirika la Afya Duniani (WHO) kunaweza kudhoofisha mifumo na ushirikiano ambao dunia inategemea kugundua, kuzuia na kukabiliana na vitisho vya kiafya, wamesema wataalamu wa afya ya dunia. Marekani imetangaza kujiondoa rasmi katika WHO jana Alhamisi, Januari 22, 2025 baada ya mwaka mmoja wa onyo kuwa hatua hiyo ingeathiri afya ya…

Read More

NMB yazindua bidhaa ya kisasa kwa wateja

Benki ya NMB imedhihirisha kiwango cha juu cha ubunifu, baada ya kuwa ya kwanza nchini kuzindua teknolojia mpya, ya kisasa na salama zaidi ya mfumo wa malipo ya NMB TAP, inayomuwezesha mteja kufanya malipo kupitia Pete, Bangili na Stika maalum. Akizungumza wakati wa uzinduzi huo leo Ijumaa Januari 23, 2026, Mkurugenzi wa Uhusiano wa Wawekezaji,…

Read More

JELA MIAKA 28 KWA KUSAFIRISHA HEROINI KG 268.50

:::::::::::: Na mwandishi wetu. Mahakama Kuu ya Uhujumu Uchumi, Divisheni ya Makosa ya Rushwa, imemhukumu kifungo cha miaka 28 jela mshtakiwa Isso Lomward Lupembe, baada ya kupatikana na hatia ya kushiriki katika kusafirisha dawa za kulevya kiasi cha kilogramu 268.50 aina ya heroin.  Mshtakiwa huyo alikuwa mshtakiwa wa kwanza kati ya watatu waliokuwa wakikabiliwa na…

Read More

Migogoro Inayoendelea Duniani Inasisitiza Nchi za Nyuklia na Zisizo za Nyuklia – Masuala ya Ulimwenguni

Raia waliojeruhiwa, waliokimbia moto mkali, walikusanyika kwenye barabara ya magharibi ya Miyuki-bashi huko Hiroshima, Japani, karibu saa 11 asubuhi mnamo 6 Agosti 1945. Credit: UN Photo/Yoshito Matsushige na Thalif Deen (umoja wa mataifa) Ijumaa, Januari 23, 2026 Inter Press Service Katika kuadhimisha miaka 80, ambayo iliadhimishwa Agosti 2025, Izumi Nakamitsu, Mwakilishi Mkuu wa Umoja wa…

Read More

TIB yatoa elimu ya mitaji kwa wajasiriamali

Tanga. Mkurugenzi Mtendaji wa Benki ya Maendeleo ya Tanzania (TIB), Deogratius Kuyukwa amesema benki hiyo inatumia kikamilifu maadhimisho ya Wiki ya Huduma za Fedha Kitaifa kuwafikia wananchi wenye biashara pamoja na wale wanaotarajia kuanzisha biashara, kwa lengo la kutatua changamoto ya upatikanaji wa mitaji. Akizungumza wakati wa maadhimisho hayo yanayoendelea kuanzia Januari 19 hadi 26,…

Read More

TCAA YAIMARISHA USALAMA WA ANGA KWA MIFUMO YA KISASA

Mamlaka ya Usafiri wa Anga Tanzania (TCAA) imesema imejizatiti kuendana na mabadiliko ya teknolojia duniani, ikiwemo matumizi ya Akili Mnemba (AI), ili kuendelea kuimarisha usalama na ufanisi wa usimamizi wa anga nchini. Kauli hiyo imetolewa leo jijini Dar es Salaam na Mkurugenzi Mkuu wa TCAA, Bw. Salim Msangi, wakati akifungua Mkutano wa 45 wa Mwaka…

Read More