REA IMEBEBA AJENDA YA MAENDELEO YA WATU WA VIJIJINI MKOANI GEITA – MWENYEKITI KAMATI YA BUNGE YA NISHATI NA MADINI

Mwenyekiti wa Kamati ya Kudumu ya Bunge ya Nishati na Madini, Mhe. Subira Mgalu, amesema Serikali kupitia Wakala wa Nishati Vijijini (REA) inaendelea kutekeleza miradi mbalimbali ya kusambaza umeme ili kuhakikisha wananchi wanaoishi pembezoni mwa miji na vijijini wanapata huduma hiyo muhimu kwa maendeleo ya kijamii na kiuchumi. Akizungumzia mafanikio ya Miradi ya kusambaza umeme…

Read More

Zanzibar kupanda miti milioni tatu mvua za masika

Unguja. Wakati mvua za masika zikiendelea, Zanzibar itatumia fursa hiyo kupanda miti milioni 3.273 itakayooteshwa katika vitalu mbalimbali kisiwani hapa. Kati ya miti hiyo, milioni 2.227 itaoteshwa katika vitalu binafsi, na miche milioni 1.045 itaoteshwa katika vitalu vya serikali. Miche hiyo, inayojumuisha ya matunda na viungo 2,117,458, misitu 637,173, minazi 16,200, mikarafuu 336,703 pamoja na…

Read More

Nyumba kama Ustahimilivu wa Hali ya Hewa katika Miji ya Asia-Pasifiki – Masuala ya Ulimwenguni

Mwanamke akiangalia mafuriko na maporomoko ya ardhi katika Manispaa ya Panauti katikati mwa Nepal mnamo Oktoba 2024. Ustahimilivu wa makazi ni muhimu katika kuzuia hasara ya mijini na kuokoa maisha. Credit: UNICEF/ Rabik Upadhayay Maoni na Sanjeevani Singh (bangkok, Thailand) Jumatatu, Machi 16, 2026 Inter Press Service BANGKOK, Thailand, Machi 16 (IPS) – Upatikanaji wa…

Read More

TUME YA MADINI YAFUNGUA FURSA KWA VIJANA

 Na Mwandishi wetu – Dodoma. Tume ya Madini kwa kushirikiana na wadau mbalimbali imeendelea kutoa mafunzo ya kuongeza ujuzi kwa wachimbaji hasa vijana katika eneo la uchimbaji, uchenjuaji na uongezaji thamani pamoja na biashara ya Madini. Katika kipindi cha Julai hadi Desemba, 2025 Tume ya Madini imehakikisha inatekeleza Kanuni za Ushirikishwaji wa Watanzania ili kuongeza…

Read More