KAMATI YA BUNGE YA VIWANDA, BIASHARA, KILIMO NA MIFUGO YASHAURI WIZARA KUSAIDIAJUHUDI ZA MKOA WA MOROGORO.
Kamati ya Kudumu ya Bunge ya Viwanda, Biashara, Kilimo na Mifugo imeelekeza Wizara ya Mifugo na Wizara ya Kilimo kuona namna ya kuisaidia Kamati hiyo kuusimamia vizuri Mkoa wa Morogoro katika kutimiza malengo yake kwenye sekta ya Kilimo na Mifugo. Maagizo hayo yametolewa leo Machi 15, 2026 na Mwenyekiti wa Kamati hiyo Mhe. Deodatus Mwanyika…