UUNGANISHAJI UMEME VIJIJINI WAFIKIA ASILIMIA 99.9

Vitongoji 33,657 vimefikiwa Wakala wa Nishati Vijijini (REA) umesema kuwa hadi kufikia mwishoni mwa mwezi Desemba 2024, vijiji vilivyounganishwa na umeme nchini vimefikia 12,301 kati ya vijiji 12,318 ambayo ni sawa na asilimia 99.9. Hayo yamebainishwa leo tarehe 5 Januari, 2025 na Mkurugenzi wa Umeme Vijijini, Mha. Jones Olotu wakati akiwasilisha taarifa ya hali ya…

Read More

Vifaru vya IDF vinalazimisha kuingia katika nafasi ya kulinda amani ya Umoja wa Mataifa, UNIFIL inaripoti – Masuala ya Ulimwenguni

Kulingana na Ujumbe huo, mnamo saa 04:30 (saa za ndani), wakati walinda amani wakiwa kwenye makazi, vifaru viwili vya IDF Merkava viliharibu lango kuu na kuingia kwenye nafasi hiyo. “Waliomba mara kadhaa kwamba msingi uzime taa zake,” UNIFIL alisema katika kauli. Mizinga hiyo iliondoka kama dakika 45 baadaye baada ya Misheni kupinga kupitia utaratibu wake…

Read More

Shule ya Istiqaama ya Tanga yapania kuongoza kitaifa usafi

Na Mwandishi Wetu.  TangaBaada ya kushika nafasi ya pili kwa usafi kitaifa kwa upande wa shule za Sekondari za Shule ya Istiqaama ya Jijini Tanga imepania kuongoza kitaifa katika mashindano yajayo ya Afya wa Mazingira kundi la shule za Sekondari Tanzania Bara. Katika masjindano yaliyofanyika mwaka huu Kibaha Pwani shule hiyo ilishika nafasi ya pili,…

Read More

Huduma ya maji yarejeshwa Hanang, wakazi 26,900 kunufaika

Hanang. Baada ya uharibifu wa miundombinu ya maji Wilaya ya Hanang mkoani Manyara uliosababishwa na maporomoko ya udongo, Shirika la WaterAid Tanzania limekarabati chanzo cha maji cha Nangwa kinachotegemewa na wananchi 26,900. Desemba 3, 2023, yalitokea mafuriko na maporomoko ya udongo yaliyoambatana na mawe, magogo na maji kutoka Mlima Hanang na kusababisha vifo vya watu…

Read More

GCLA YATOA ANGALIZO MATUMIZI YA KEMIKALI BASHIRIFU

Mamlaka ya Maabara ya Mkemia Mkuu wa Serikali (GCLA), imewataka wauzaji wakubwa wa kemikali kuacha kuwauzia wauzaji wa kati na wadogo wa kemikali ambao hawajasajiliwa kufanya biashara hiyo. Wito huo umetolewa na Mkurugenzi wa Huduma za Udhibiti, Daniel Ndiyo, wakati wa kikao na wadau wanaojihusisha na uingizaji na usambazaji wa kemikali bashirifu kilichoandaliwa na Mamlaka…

Read More

Idara ya uhamiaji yamulikwa mafunzo Marekani,washiriki watoa dira namna ya kukabiliana na changamoto

Mafunzo kwa Shirikisho la askari wa kike na wasimamizi wa sheria duniani yameendelea katika Jiji la Chicago Nchini Marekani ambapo mada na masomo mbalimbali yameendelea ambapo suala la wahamiaji na changamoto zake kutokana na mabadiliko ya Sheria baina ya Nchi na Nchi likamulikwa na washiriki wakapata nafasi ya kubadilisha uzoefu namna ya kukamiliana na changamoto…

Read More