Shirika la hali ya hewa la Umoja wa Mataifa laonya kuhusu ‘kukosekana kwa usawa wa hali ya hewa’ huku ongezeko la joto la sayari likiongezeka – Masuala ya Ulimwenguni
Moto baada ya muongo unaowaka moto, wakala wa hali ya hewa wa Umoja wa Mataifa umesema kuwa hali ya hewa ya sayari hiyo “haipo sawa kuliko wakati wowote katika historia inayozingatiwa”. “Kati ya 2015 na 2025, tulishuhudia miaka 11 ya joto zaidi katika rekodi,” WMO‘s naibu katibu mtendaji Ko Barrett alisema. Mwaka jana ilikuwa 1.43…
Msafara wa Dkt. Nchimbi Wasimamishwa na Wakazi wa Mombo-Tanga – Global Publishers
Last updated Sep 15, 2025 Msafara wa Mgombea Mwenza wa Urais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania kupitia Chama Cha Mapinduzi (CCM), Balozi Dkt. Emmanuel John Nchimbi, umesimamishwa na wananchi wa Mombo leo Jumatatu, Septemba15, 2025. Dkt. Nchimbi alikuwa akielekea Wilaya Korogwe Mjini kwa ajili ya kuhutubia mkutano mkubwa wa kampeni,…
Muelekeo mpya ukusanyaji wa mapato
Dar es Salaam. Tume ya Rais ya Kutathmini Maboresho ya Mfumo wa Kodi imependekeza mabadiliko katika sekta ya kodi, ikiwamo kubadili jina la Mamlaka ya Mapato Tanzania (TRA) na kuitwa Huduma za Mapato Tanzania (TRS). Tume hiyo iliyoongozwa na mwenyekiti wake, Balozi Ombeni Sefue, ilianzishwa Julai 31, 2024 na kuanza kazi Oktoba 4, 2024 imekuja…
Sekondari ya Temeke yapigwa tafu vifaa vya maabara
Dar es Salaam. Katika kutekeleza mkakati wa kuinua ubora wa elimu ya sayansi nchini Tanzania, Bodi ya Mikopo ya Wanafunzi wa Elimu ya Juu (HESLB) imetoa msaada wa Sh10 milioni kwa ajili ya ununuzi wa vifaa vya maabara katika Shule ya Sekondari Temeke. Fedha hizo zimekabidhiwa shuleni hapo, kwa ajili ya kununua vifaa vya maabara…
Mapambano ya kusikilizwa juu ya haki za lugha ya ishara nchini Uganda – maswala ya ulimwengu
Kukuza lugha ya ishara na utamaduni wa viziwi sio tu agizo la kikatiba, lakini pia ni hitaji la kisheria la kimataifa. Maoni na Timothy Egwelu (Kampala) Alhamisi, Septemba 25, 2025 Huduma ya waandishi wa habari KAMPALA, Septemba 25 (IPS) – Kila wiki iliyopita ya Septemba jamii ya viziwi nchini Uganda na ulimwengu wote husherehekea lugha…
AAFP yaahidi kupaisha bei ya karafuu hadi Sh50,000 kwa kilo
Pemba. Mgombea wa urais wa Zanzibar kupitia Chama cha Wakulima (AAFP), Said Soud Said, amesema maono yake ni kuleta mabadiliko, iwapo wananchi wakimchagua atahakikisha anabadilisha maisha ya Wazanzibari, hususan wakulima wa karafuu. Mgombea huyo ametoa kauli hiyo leo, Septemba 19, 2025, wakati akizungumza na viongozi, wananchi na wanachama wa chama hicho katika mkutano wa hadhara…
Maadhimisho Siku ya Wanawake Duniani ujumbe wa haki, usawa watawala
Dar/mikoani. Maadhimisho ya Siku ya Wanawake Duniani yamefanyika kwa aina tofautitofauti nchini kwa wito wa haki na usawa ukitawala huku wale wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Bawacha) wakikutana na vikwazo kila kona. Bawacha walipanga kufanya maadhimisho yao kitaifa Musoma Mjini, Mkoa wa Mara lakini baadhi walijikuta mikononi mwa Jeshi la Polisi kwa misafara yao…
SAMIA SCHOLARSHIP EXTENDED SASA YAENDA HADI NGAZI YA SHAHADA YA UZAMILI (MASTERS)
Waziri wa Elimu, Sayansi na Teknolojia Mhe Adolph Mkenda afungua mlango wa mazungumzo kwa Taasisi na Makampuni mbalimbali kuunga mkono juhudi za Rais Dkt Samia kusomesha Wanafunzi wanaofanya vizuri katika masomo ya Sayansi kutoka ngazi ya awali ya kidato cha sita hadi ngazi ya Shahada ya Uzamili kwani Wizara imejipanga vizuri kuhakikisha fedha watakazotoa zinakwenda…
Polisi yaanza kwa kipigo Zanzibar
UHAMIAJI imejiandikia rekodi ya kuwa timu ya kwanza katika Ligi Kuu Zanzibar kufunga bao na kupata ushindi ikiwa ugenini huku mchezaji wake akionyeshwa kadi nyekundu. Mechi iliyofanyika Septemba 25, 2025 kwenye Uwanja wa Mao A, Mjini Unguja, dakika 90 zilimalizika kwa Uhamiaji kutoka na ushindi wa bao 1-0 dhidi ya Polisi iliyopanda daraja msimu huu….