Spika Tulia amfunda Kombo jinsi ya kumsaidia Samia

SPIKA wa Bunge na Rais wa Umoja wa Mabunge Duniani (IPU), Dk. Tulia Ackson amemtaka Mbunge mteule, Balozi Mahmoud Thabit Kombo kumsaidia Rais Samia Suluhu Hassan katika kuhakikisha wanaendeleza mahusiano kati ya Jumuiya ya Afrika Mashariki na Kimataifa. Amesema Rais Samia anatekeleza mipango mingi hivyo, wana jukumu la kumsaidia katika kutekeleza mipango hiyo kama alivyowaamini….

Read More

TBA yaja na mkakati utekelezaji wa Dira 2050

Dar es Salaam. Katika hatua inayochangia utekelezaji wa Dira ya Maendeleo ya Taifa 2050, Umoja wa Mabenki Tanzania (TBA) na Chama cha Watoa Huduma za Fedha kwa Njia ya Kidijitali(Tafina) wamesaini makubaliano yenye lengo la kuimarisha uchumi wa kidijitali na kuboresha usalama wa mifumo ya kifedha nchini. Dira ya 2050 iliyozinduliwa na Rais Samia Suluhu Hassan Julai 17, 2025 inalenga kuijenga Tanzania…

Read More

Mawakili, TLS wataka askari aliyemsukuma Lissu kushughulikiwa

Dar es Salaam. Mawakili wa Tundu Lissu, ambaye ni Mwenyekiti wa Chadema wamelaani kitendo cha askari wa Jeshi la Magereza kumsukuma mteja wao mahakamani. Wameiomba Mahakama na Jeshi la Magereza kuchukua hatua kuzuia vitendo vinavyofanywa na askari hao. Tukio linalolalamikiwa lilitokea Julai 30, 2025 baada ya kuahirishwa kesi ya uhaini inayomkabili Lissu katika Mahakama ya…

Read More

Adam apewa mwaka Azam FC

Azam imemsainisha mkataba wa mwaka mmoja, mshambuliaji Adam Adam, ambaye msimu ulioisha alimaliza na mabao saba, akiwa na Mashujaa FC na muda wowote kuanzia sasa itamtambulisha rasmi. Mtendaji Mkuu wa Azam FC, Abdulkarim Amin ‘Popat’ imeelezwa ndiye aliyesimamia dili lake, ndani ya mkataba huo kukiwa na sharti moja. Mmoja wa viongozi wa klabu hiyo aliliambia…

Read More

Pacha wa Kagoma atua Yanga

KUNA kitu kinaendelea chini kwa chini pale Yanga na lolote linaweza kutokea kwenye dirisha dogo la usajili linalofunguliwa Desemba 15. Yanga imepania kufanya mabadiliko kadhaa kwenye safu yake ya uchezaji na mmoja kati ya watakaoingia kuwa mbadala wa Khalid Aucho huenda akawa sapraizi kwa wengi. Yanga inaendelea na mazungumzo na Singida Black Stars kuangalia uwezekano…

Read More

Kigoma waomba kambi ya madaktari bingwa

Kasulu. Wakazi wa Wilaya ya Kasulu mkoani Kigoma, wameiomba Serikali na taasisi binafsi kuwa na utaratibu kwa kuwawekea kambi ya madaktari bingwa wa magonjwa mbalimbali angalau mara moja kwa mwezi. Hilo litawawezesha kupata huduma za kitatibu na kupunguza gharama za kusafiri kuzifuata. Wananchi hao walitoa rai hiyo leo Mei 25,2024 katika Hospitali ya wilaya ya…

Read More

Mbunge Mabula aomba radhi bungeni, afuta maneno yake

Dodoma. Mbunge wa Ilemela (CCM), Dk Angelina Mabula amelazimika kuomba radhi bungeni na kufuta maneno yake kwamba wagonjwa wanaume, wanawake na watoto wanalazwa wote kwenye wodi moja. Mabula amelazimika kuomba radhi baada ya ushahidi wake aliowasilisha bungeni kuthibitisha maelezo yalitolewa na Naibu Waziri, Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa (Tamisemi), Dk…

Read More

Enekia aanza kutupia Mexico | Mwanaspoti

SIKU chache tu tangu atambulishwe Mazaltan FC ya Mexico, nyota wa kimataifa wa Tanzania, Enekia Lunyamila amefunga bao kwenye mchezo wa ligi ya Sweden na kuipatia ushindi timu hiyo. Lunyamila alitambulishwa Mazaltan akitokea Eastern Flames ya Saudia ambayo ilimaliza nafasi ya saba kati ya timu nane zinazoshiriki Ligi ya Wanawake nchini humo. Msimu uliopita Mazaltan…

Read More

‘Mauaji haya yawe mwisho Tanzania’

Dar es Salaam. Mauaji ya aliyekuwa kada wa Chadema, Ally Kibao aliyezikwa leo jijini Tanga,  yameibua watu mbalimbali,  wanaosema matukio hayo yawe mwisho kutokea nchini. Wamesema licha ya Rais Samia Suluhu Hassan kuelekeza mamlaka za uchunguzi zichunguze matukio ya mauaji, uchunguzi huo usihusishe vyombo vya dola. Kwa mujibu wa wadau hao wa masuala ya haki, tume…

Read More

Hii ndiyo sababu ya Wachaga kutocheza mbali na bishara, fedha

Moshi.Ni maneno ya kawaida kwa walio wengi kuwa Wachaga wanapenda biashara na hata wengine wakaenda mbali zaidi na kusema watu wa kabila hilo maarufu nchini, wanapenda pesa. Jambo hili limepata umaarufu mkubwa zaidi kutokana na watu wa kabila hilo kutapakaa maeneo mbalimbali nchini na kuanzisha biashara ambazo zimewapa umaarufu katika maeneo hayo. Hilo linadhihirishwa na…

Read More