Raia 20 Wakamatwa Iran kwa Tuhuma za Ushirikiano na Maafisa wa Israel
Global Publishers March 16, 2026 0 Comments Watu 20 waliokamatwa katika Mji wa Urmia nchini Iran wanashikiliwa kwa tuhuma za kushirikiana na Israel kwa kutoa taarifa za kijeshi na usalama. Hatua hiyo inadhihirisha ongezeko la jitihada za Iran za kupambana na ujasusi wa kigeni ndani ya mipaka yake. Mamlaka za Iran zimesema kuwa kukamatwa kwa…