MWENYEKITI WA CHADEMA MBEYA VIJIJINI MATATANI KWA UCHOCHE

::::::::: Jeshi la Polisi Mkoa wa Mbeya limetangaza kumkamata na kumshikilia Bi. Getruda Japhet Lengesela, Mkazi wa Nsalala- Mbalizi na ambaye pia ni Mwenyekiti wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo CHADEMA, Wilaya ya Mbeya Vijijini. Taarifa kwa Vyombo vya habari iliyotolewa leo Ijumaa Januari 23, 2026 na Kamanda wa Polisi Mkoa wa Mbeya Kamishna Msaidizi…

Read More

Tanzania Prisons yamalizana na Mpole, Martin

TANZANIA Prisons imekamilisha usajili wa washambuliaji George Mpole na Emmanuel Martin, na tayari wamejiunga kambini kujiandaa na mechi dhidi ya JKT Tanzania itakayopigwa kesho, Jumapili kwenye Uwanja wa Sokoine mjini Mbeya. Taarifa za ndani kutoka timu hiyo zimedai usajili wa Mpole ambaye aliyeifungia mabao mawili Pamba Jiji kabla ya kuachana nayo msimu uliyopita na Martin…

Read More

Bobi Wine adai kutishiwa kifo, agomea agizo la Mkuu wa Majeshi

Dar es Salaam. Kiongozi wa upinzani nchini Uganda, Bobi Wine ameibuka na kusema hatatii agizo, akijibu wito wa Mkuu wa Majeshi nchini humo alioutoa Jumanne akimtaka kujisalimisha Polisi. Katika mahojiano ya simu na Shirika la Habari la AFP, Bobi Wine amejibu vitisho vilivyotolewa na Jenerali Muhoozi Kainerugaba, akionesha hayuko tayari kutii agizo lake. Jumanne iliyopita,…

Read More

Straika Transit Camp haamini alichofanya Championship

MSHAMBULIAJI wa Transit Camp, Adam Uledi amesema tangu amecheza mpira wa miguu hajawahi kufunga idadi kubwa ya mabao 11, aliyoyafunga msimu huu, jambo linalompa matumaini makubwa ya kuendelea kupambana ili azidi kuonekana zaidi. Akizungumza na Mwanaspoti, Uledi anayeongoza kwa mabao msimu huu baada ya kufunga 11 kati ya 21 yaliyofungwa na kikosi hicho msimu huu,…

Read More

Ushindi Mnono Upo Hapa Leo

NAFASI ya ushindi hii hapa na wakali wa Meridianbet ambapo kupitia promosheni ya Beti Online unaweza ukaondoka na Samsung A26. Weka dau lako kuanzia 5000 na ubashiri hapa. Meridianbet inaendelea kuwa kinara katika kutoa promosheni zenye thamani halisi kwa wachezaji wake. Kupitia kampeni yake mpya, kampuni hii inaleta fursa murua kwa mashabiki wa mpira kushiriki…

Read More

Meridianbet Yatoa Samsung A26 Kupitia Super Heli

MERIDIANBET haikuja na kelele, imekuja na mpango mkakati kwa ajili ya wateja wake. Imeileta promosheni maalumu kupitia mchezo wa Super Heli ikiwa ni promosheni inayompa mchezaji udhibiti wa safari yake ya ushindi. Kila unapocheza, unajenga nafasi yako mwenyewe ya kuondoka na Samsung A26 mpya. Hapa, mchezaji ndiye rubani wa helikopta yake. Katika kipindi ambacho kumekua…

Read More

Better Mnyamisi atimkia Bigman FC

BIGMAN imekamilisha usajili wa beki wa kati, Better Abdallah Mnyamisi, aliyekuwa akikichezea kikosi cha IAA cha jijini Arusha kinachoshiriki Ligi Daraja la Pili, baada ya kuzishinda Mbeya Kwanza na Stand United zilizokuwa zinamtaka. Beki huyo alijiunga na IAA baada ya kuachana na TMA ya jijini Arusha inayoshiriki Ligi ya Championship, amefikia makubaliano ya kusaini mkataba…

Read More