MHE. ANGELLAH KAIRUKI AMUOMBEA KURA RAIS DKT. SAMIA KATA YA KWEMBE NA MSIGANI
Leo, 14.09.2025, Mgombea Ubunge Jimbo la Kibamba kupitia CCM Mhe. Angellah Kairuki awapigia goti wananchi wa Kata ya Kwembe na Msigani kuwaomba kura za Mgombea Urais kupitia CCM Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan huku akieleza mambo makubwa yaliyofanywa na Dkt. Samia ndani ya Jimbo la Kibamba. Mhe. Kairuki alielezea miradi ya kimkakati aliyoifanya Dkt….