MTU WA MPIRA: Azam FC wana deni kubwa kimataifa

PAZIA la michuano ya kimataifa inayoendeshwa na Shirikisho la Soka Afrika (CAF) ngazi ya klabu limefunguliwa rasmi wikiendi hii. Klabu mbalimbali Afrika sasa zinapambana kuweka heshima kuanzia juzi Ijumaa na jana zilipigwa mechi nyingine kabla ya leo Jumapili kupigwa michezo mingine. Kwa Tanzania timu za Yanga, Azam FC, Simba na Coastal Union zinawakilisha nchi. Simba…

Read More

Wakulima walia bei ya kakao ikiporomoka

Mbeya. Wakati wakulima wa kakao Wilaya ya Kyela mkoani Mbeya wakishtushwa kushuka kwa bei ya zao hilo, wameiombwa Serikali kuboresha Mfumo wa Soko na Bidhaa (TMX) ili kumsaidia mkulima kunufaika. Bei ya kakao ilikuwa imepanda hadi kufikia Sh32,171 kwa kilo moja kwa msimu wa kilimo 2023/24 na kwa mnada uliofanyika jana Jumatatu Septemba 2, 2024…

Read More

Stars kusaka rekodi mpya CHAN 2024

WAKATI ikibakia saa chache kabla ya kushuhudia mechi ya ufunguzi wa michuano ya Fainali za Ubingwa kwa Mataifa ya Afrika (CHAN) 2024 kati ya wenyeji timu ya taifa ya Tanzania maarufu Taifa Stars dhidi ya Burkina Faso, kikosi cha Stars kinaingia kusaka rekodi mpya kwenye Uwanja wa Benjamin Mkapa jijini Dar es Salaam. Rekodi ambayo…

Read More

Viongozi wa dini Kenya waonya juu ya kutekwa nyara vijana – DW – 01.07.2024

Haya yanajiri baada ya ripoti zilizotolewa kuonesha zaidi ya vijana 34 hawajulikani walipo. Viongozi wa kidini kutoka mjini Mombasa nchini Kenya wamekosoa vitendo vya mauaji na uharibifu wa mali wakati wa maandamano ya kupinga mswada wa fedha yaliyofanyika alhamisi wiki iliyopita. Kundi la mashirika yanayopigania mageuzi katika kikosi cha polisi limetoa ripoti inayoonesha watu  34 walitekwa nyara…

Read More

Yanga yamshusha staa mpya Kwa Mkapa

YANGA ikiwa inapambana uwanjani leo jioni ikiizamisha TP Mazembe kwea mabao 3-1, jukwaani akaonekana mshambuliaji mpya, Jonathan Ikangalombo, ambaye Mwanaspoti liliwaripotia kwamba yupo hatua ya mwisho kumalizana na klabu hiyo ya Jangwani. Ikangalombo anyemudu kucheza winga zote mbili anayetokea AS Vita alionekana jukwaa Kuu la VVIP akiwa na maofisa wa Yanga wakithibitisha wazi kwamba yupo…

Read More