Samia atoa msimamo akinadi sera zake Pemba

Pemba. Mgombea urais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania kupitia Chama cha Mapinduzi (CCM), Samia Suluhu Hassan ameahidi kuendelea kusimamia amani na utulivu, huku akiwataka Watanzania kujitokeza bila woga Oktoba 29, 2025 kupiga kura kumchagua Rais, wabunge na madiwani. Amesema katika kipindi cha miaka mitano iliyopita Serikali imejitahidi kusimamia utulivu wa kisiasa, usalama na amani…

Read More

Taasisi ya Na Simama na Mama Kuinua Wanawake na Kuhamasisha Uchaguzi wa Amani

Na Pamela Mollel,Arusha Taasisi ya Na Simama na Mama nchini Tanzania, yenye malengo ya kuinua wanawake katika nyanja mbalimbali za kiuchumi, imepanga kushiriki kwenye maandamano ya amani kwa lengo la kuhamasisha wananchi kushiriki uchaguzi kwa amani na mshikamano. Akizungumza na waandishi wa habari kuelekea siku ya uzinduzi wa taasisi hiyo kwa Kanda ya Kaskazini, Mwenyekiti…

Read More

Bado Watatu – 18

Jioni ya siku ile nikakutana na Hamisa katika hoteli ya Mtendele. Nilimpigia simu na kumjulisha kuwa tukutane hapo saa moja usiku. Kutoka siku hiyo ndopo tukawa mapenzini na Hamisa. Hamisa alifanikiwa kuharibu akili yangu nikawa kama zezeta. Kwa kuona nilikuwa polisi alinieleza mkasa wake ambao ninataka kukuhadithia kwa vile una fundisho ndani yake.

Read More

‘Hakuna Mwisho’ Inatarajiwa Mafuriko na Dhoruba Wakati Inapokanzwa Ulimwenguni Inaendelea – Maswala ya Ulimwenguni

“Hatari zinazohusiana na maji zinaendelea kusababisha uharibifu mkubwa mwaka huu“Alisema Celeste Saulo, WMO Katibu Mkuu. “Mfano wa hivi karibuni ni mafuriko ya monsoon yenye uharibifu nchini Pakistan, mafuriko huko Sudani Kusini na mafuriko ya mauti katika kisiwa cha Indonesia cha Bali. Na kwa bahati mbaya, Hatuoni mwisho wa mwenendo huu. “ Bi Saulo alibaini kuwa…

Read More

‘Endelezeni mema baada ya Ramadhan’

Pemba. Waumini wa dini ya Kiislamu wamehimizwa kuendeleza amali njema walizokuwa wakizifanya katika mwezi mtukufu wa Ramadhan ili kustahili malipo mema Akhera. Wito huo umetolewa na Sheikh Hamad Khamis mara baada ya kumalizika kwa swala ya Idd El-Fitr iliyoswaliwa katika Msikiti wa Ijumaa Sizini, Wilaya ya Micheweni, Mkoa wa Kaskazini Pemba. Akizungumza na waumini hao,…

Read More

Mbinu za kupeperusha mawazo ya kujiua

Kila mwaka ifikapo tarehe 10 Septemba ni Siku ya Kuzuia Kujiua Duniani. Siku hii imeadhimishwa siku mbili zilizopita. Kwa mujibu wa takwimu za Shirika la Afya Duniani (WHO) mwaka  huu hadi sasa kuna matukio ya kujiua zaidi ya 720,000 ambapo wanaume wanaongoza mara mbili  zaidi ya wanawake. Vifo vitokanavyo na kujiua vinashika nafasi ya tatu…

Read More

Mwanza, Singida kuna ngoma nzito Ligi Kuu

BAADA ya hekaheka za Dabi ya Kariakoo iliyopigwa jana usiku kwenye Uwanja wa New Amaan visiwani Zanzibar, uhondo wa Ligi Kuu Bara umehamia katika miji ya Mwanza na Singida wakati mechi mbili za Ligi Kuu zikitarajiwa kupigwa leo. Simba na Yanga ziliumana juzi katika pambano la kwanza la Ligi Kuu kwa msimu huu ambapo bila…

Read More