
KIBAHA MJI YAMSHUKURU RAIS SAMIA KWA KURIDHIA HALMASHAURI KUWA MANISPAA
Na Mwamvua Mwinyi, Pwani Waziri wa Nchi ,Ofisi ya Rais -TAMISEMI, Mohamed Mchengerwa, ameweka wazi kuwa Rais Samia Suluhu Hassan ameridhia Halmashauri ya Mji wa Kibaha kupandishwa hadhi na kuwa Manispaa. Mchengerwa ameeleza kuwa taratibu za mwisho zinafanywa, na kutatangazwa rasmi kuwa Manispaa hivi karibuni. Ameeleza hayo katika mkutano wa Chama Cha Mapinduzi (CCM) Mkoani…