Salamba ajiondoa kambini Coastal | Mwanaspoti

INAELEZWA kwamba, mshambuliaji wa Coastal Union, Adam Salamba, ameamua kujiweka kando na timu hiyo kwa sasa, baada ya kudaiwa hajamaliziwa kiasi cha fedha za usajili walizokubaliana awali, tangu amejiunga na kikosi hicho cha ‘Wagosi wa Kaya’, Agosti 1, 2025. Taarifa kutoka ndani ya uongozi wa kikosi hicho, umeliambia Mwanaspoti kwamba, Salamba ameondoka kambini na hayupo…

Read More

Ubora wa makipa Azam wampa mzuka Ibenge

VIWANGO vizuri vinavyoonyeshwa na makipa watatu wa Azam, Aishi Manula, Zuberi Foba na Issa Fofana, vimempa matumaini makubwa ya kufanya vizuri kocha mkuu wa kikosi hicho, Mkongomani Florent Ibenge, katika michuano tofauti ya msimu huu. Katika mechi 15 za Ligi Kuu Bara ilizocheza Azam msimu huu, Manula ndiye anayeongoza kwa kucheza nyingi zaidi, akifanya hivyo…

Read More

Serikali Yatoa Mwongozo Kwa Waliopoteza Pasipoti Nje ya Nchi – Video

Global Publishers March 26, 2026 0 Comments Ofisa Uchunguzi Mkuu kutoka Sekretarieti ya Kuzuia na Kupambana na Usafirishaji Haramu wa Binadamu, Selestine Makoba. Ofisa Uchunguzi Mkuu kutoka Sekretarieti ya Kuzuia na Kupambana na Usafirishaji Haramu wa Binadamu, Selestine Makoba, amewataka Watanzania walioko nje ya nchi kuhakikisha wanachukua hatua za haraka pindi wanapokumbana na hali ya…

Read More

Jinsi ya Kupunguza Mafuta ya Ini kwa Lishe Sahihi

Ini lenye mafuta ni hali inayotokea pale mafuta yanapokusanyika kwa wingi kwenye seli za ini, jambo linaloathiri utendaji wake kwa muda. Ikiwa hali hii haitadhibitiwa mapema, inaweza kusababisha matatizo makubwa ya kiafya kama hepatitis, kovu la ini (fibrosis) na cirrhosis. Kwa mujibu wa wataalamu wa lishe, mabadiliko sahihi ya ulaji yana mchango mkubwa katika kudhibiti…

Read More

Winga, Yanga ni suala la muda

KUNA taarifa zinazomhusu winga wa TRA United, Ramadhan Salum Chobwedo kuwa mbioni kujiunga na Yanga baada ya mabosi wa klabu hiyo kuonekana kuvutiwa na uwezo wake. Chobwedo ambaye huu ni msimu wake wa pili anacheza Ligi Kuu Bara, alianza kuitumikia KenGold 2024-2025 ambapo timu hiyo ilishuka daraja, ndipo akasajiliwa na TRA United msimu huu 2025-2026….

Read More

Backer achomoa wanne Simba | Mwanaspoti

TAKRIBANI miezi mitatu imebaki kabla ya kumalizika kwa msimu huu wa 2025-2026 ambapo utakwenda kushuhudia usajili wa dirisha kubwa ukifunguliwa ikiwa ni maandalizi ya mchakamchaka wa 2026-2027. Wakati kikibaki kipindi kifupi huku duru la kwanza la Ligi Kuu Bara likimalizika kwa timu nyingi ukiiacha Simba pekee yenye mchezo mmoja pungufu, kocha mkuu wa kikosi hicho,…

Read More