CBE kujenga hoteli ya nyota tatu, kampasi Kilimanjaro
Dodoma. Chuo cha Elimu ya Biashara (CBE) kinatarajia kutumia jumla ya Sh26.4 bilioni kwa ajili ya ujenzi wa hoteli katika eneo la zaidi ya ekari 15 walilopewa, kwa lengo la kuanzisha kampasi ya chuo hicho mkoani Kilimanjaro. Mbali na kujenga hoteli hiyo inayotarajiwa kuwa ya nyota tatu, chuo kitapata pia majengo ya mabweni, madarasa ya…