
Hamad: Wananchi wanahitaji chakula zaidi na si Katiba
Unguja. Mgombea urais wa Chama cha Alliance for Democratic Change (ADC), Hamad Rashid Mohamed amesema chama chake kinahitaji kuwaendeleza wananchi kwa kuhakikisha wanapata chakula cha kutosha kwanza ili wawe na nguvu za kushiriki shughuli za uzalishaji na utafiti wa rasilimali za nchi, na si Katiba mpya. Akizungumza na waandishi wa habari leo Jumatano, Septemba 24,…