Salamba ajiondoa kambini Coastal | Mwanaspoti
INAELEZWA kwamba, mshambuliaji wa Coastal Union, Adam Salamba, ameamua kujiweka kando na timu hiyo kwa sasa, baada ya kudaiwa hajamaliziwa kiasi cha fedha za usajili walizokubaliana awali, tangu amejiunga na kikosi hicho cha ‘Wagosi wa Kaya’, Agosti 1, 2025. Taarifa kutoka ndani ya uongozi wa kikosi hicho, umeliambia Mwanaspoti kwamba, Salamba ameondoka kambini na hayupo…