Shule hizi bado hazijapoa matokeo kidato cha nne

Mwanza. Licha ya Serikali kusitisha utaratibu wa kutangaza shule bora kitaifa, matokeo ya kidato cha nne 2025 yanaonyesha kuwa baadhi ya shule zilizowahi kutamba kimatokeo,  bado zinaendelea kufanya vizuri kwa kiwango cha juu, zikirekodi ufaulu wa asilimia 100 kwa watahiniwa wake wote kupata  daraja la kwanza. Uchambuzi wa matokeo ya shule tano ambazo kwa muda…

Read More

Nafasi ya mzazi kung’amua vipaji vya mtoto

Dar es Salaam. Kila mtoto huzaliwa na kipaji fulani ndani yake. Hiki ni kile kitu cha kipekee anachokifanya kwa urahisi, kwa ustadi, na kwa furaha. Ni sehemu ya asili ya mtoto ambayo humtofautisha na wengine. Hata hivyo, kipaji hicho, kisipotambuliwa mapema na kuendelezwa ipasavyo, hubakia kikiwa kimelala au hata kufa kabisa. Dunia imejaa watu wazima…

Read More

Mifumo ya afya duniani ‘iko hatarini’ huku ufadhili ukipungua, inaonya WHO – Masuala ya Ulimwenguni

Haya yanajiri huku hatari ya magonjwa ya milipuko, magonjwa sugu ya dawa na huduma za afya zikiongezeka, alisema Mkurugenzi Mkuu wa WHO. Akihutubia Bodi ya Utendaji ya WHO akiwa Geneva, Tedros Adhanom Ghebreyesus alisisitiza athari za upunguzaji wa nguvu kazi mwaka jana kutokana na “punguzo kubwa la ufadhili wetu,” ambalo limekuwa na matokeo makubwa. “Kupunguzwa…

Read More

Mtandao mkubwa wa nyaya za chini ya bahari zinazowezesha muunganisho wetu – Masuala ya Ulimwenguni

Ubadilishanaji wa data kwa kufumba na kufumbua umetolewa katika sehemu kubwa ya dunia – na bado sisi mara chache tunatulia kufikiria ni nini hufanya yote yawezekane: mtandao changamano wa kimataifa wa nyaya katika vilindi vya bahari ambao hutuunganisha kimya kimya. Katika enzi ya kisasa ya habari, nyaya za chini ya bahari zimekuwa msingi thabiti wa…

Read More

Yakoub arejea Simba na mzuka, mkongwe akitia neno

KUREJEA kikosini kwa kipa wa Simba, Yakoub Suleiman, aliyekuwa nje kuuguza majeraha baada ya kuumia akiwa na Taifa Stars wakati ikijiandaa dhidi Nigeria katika Fainali za AFCON 2025, kunakwenda kuongeza nguvu katika eneo hilo ambalo alibaki Mahamadou Tanja Djibrilla Kassali aliyesajiliwa katika dirisha dogo na Hussein Abel. …

Read More