Skip to content
  • Privacy Policy

HabariMpya

Habari za Kitaifa

  • Privacy Policy
Michezo

Dirisha la usajili lafunguliwa, vita ya vigogo yaanza rasmi

July 9, 2025 Admin

ILE vita ya vigogo vya soka nchini imeanza rasmi baada ya dirisha la usajili la Ligi Kuu, Championship, First League, Ligi Kuu ya vijana chini

Read More
Habari

WAZIRI MCHENGERWA APONGEZA KIBAHA KWA UFAULU, ATOA MAELEKEZO MAHUSUSI

July 9, 2025 Admin

Na John Mapepele Waziri wa Nchi Ofisi ya Rais-TAMISEMI Mhe, Mohamed Mchengerwa ameupongeza uongozi wa Shule ya Sekondari ya Kibaha kwa kuendelea kuwa na matokeo

Read More
Habari

TANZANIA YAPOKEA MSAADA WA Sh. BILIONI 78.6 KUTOKA UJERUMANI

July 9, 2025 Admin

Katibu Mkuu Wizara ya Fedha, Dkt. Natu El-maamry Mwamba (kulia), na Mkurugenzi wa Benki ya Maendeleo ya Ujerumani (KfW) anaesimamia nchi za Afrika Mashariki na

Read More
Habari

Unalala kitanda kimoja na mtoto wako? Hili linakuhusu

July 9, 2025 Admin

Dar es Salaam. Ingawa kulala pamoja na mtoto mdogo kitandani kunaweza kuwa na faida kama kuimarisha uhusiano wa karibu ‘bond’, kurahisisha huduma za usiku na

Read More
Habari

RAIS MSTAAFU JAKAYA KIKWETE ASHIRIKI MKUTANO WA JARIDA LA UONGOZI LA AFRIKA

July 9, 2025 Admin

  Mheshimiwa Rais Mstaafu Dkt. Jakaya Mrisho Kikwete, ameshiriki katika Mkutano Mkuu wa Afrika ulioandaliwa na Jarida la Uongozi la Afrika (African Leadership Magazine) na

Read More
Habari

Miasha jela kwa kumlawiti mtoto wa miaka 10

July 9, 2025 Admin

Geita. Mahakama ya Wilaya ya Geita, imemuhukumu kifungo cha maisha Deus Joseph baada ya kumtia hatiani kwa kosa la kumlawiti mtoto mwenye umri wa miaka

Read More
Habari

DCEA YATAHADHARISHA WANAOTUMIA MAITI ZA BINADAMU KUSAMBAZA DAWA ZA KULEVYA.

July 9, 2025 Admin

Kamishna Jenerali wa Mamlaka ya Kudhibiti na Kupambana na Dawa za Kulevya nchini –DCEA akizungumza na waandishi wa habari jijini Dar es salaam leo Julai 9,2025

Read More
Michezo

Aliyeiua Yanga anukia Azam FC

July 9, 2025 Admin

AZAM FC haina utani baada ya kutambulisha kocha mpya, Florent Ibenge na nyota watatu wazawa  Aishi Manula, Lameck Lawi na Muhsin Malima, lakini kwa sasa

Read More
Michezo

Dili la Bwalya laingia dosari Pamba Jiji

July 9, 2025 Admin

DILI la aliyekuwa kiungo wa Simba, Mzambia Larry Bwalya la kujiunga na Pamba Jiji msimu huu limeingia dosari baada ya nyota huyo kudaiwa bado ana

Read More
Michezo

Makambo bado yupo sana Bongo

July 9, 2025 Admin

KAMA ulikuwa unadhani Heritier Makambo aliyekuwa Tabora United na kudaiwa ametimka ndo kaondoka kimoja? Umekosea, kwani jamaa bado yupo sana Bongo baada ya kudaiwa yupo

Read More

Posts pagination

Previous 1 … 12 13 14 … 3,706 Next

Categories

  • Burudani
  • Habari
  • Kimataifa
  • Magazeti
  • Michezo
All Rights Reserved 2024.
Proudly powered by WordPress | Theme: Fairy by Candid Themes.