CBE kujenga hoteli ya nyota tatu, kampasi Kilimanjaro

Dodoma. Chuo cha Elimu ya Biashara (CBE) kinatarajia kutumia jumla ya Sh26.4 bilioni kwa ajili ya ujenzi wa hoteli katika eneo la zaidi ya ekari 15 walilopewa, kwa lengo la kuanzisha kampasi ya chuo hicho mkoani Kilimanjaro. Mbali na kujenga hoteli hiyo inayotarajiwa kuwa ya nyota tatu, chuo kitapata pia majengo ya mabweni, madarasa ya…

Read More

Profesa Mkenda azungumzia kukamatwa mhadhiri UDOM

Moshi. Waziri wa Elimu, Sayansi na Teknolojia, Profesa Adolf Mkenda, amesema taarifa za awali zinaonyesha mhadhiri wa Chuo Kikuu Dodoma (UDOM) alikamatwa kutokana na matendo aliyofanya nje ya chuo. Amesema hayo kutokana na taarifa iliyosambaa kwenye mitandao ya kijamii kuanzia jana Desemba 12, 2025 ikieleza mhadhiri wa UDOM amekamatwa chuoni akituhumiwa kwa uchochezi. Taarifa hiyo…

Read More

Siri Jenista Mhagama kuitwa kiraka

Dodoma/Dar. Wakati mwili wa Mbunge wa Peramiho, Jenista Mhagama, ukiagwa mjini Dodoma, Bunge limetaja chanzo cha kifo chake huku Rais Samia Suluhu Hassan akieleza sababu za kumwita kiraka. Mbali na hayo, viongozi wa dini wamezungumzia kwa undani maisha yake ya kiroho, wakieleza namna alivyojitoa kulitumikia Kanisa. Mhagama aliyefariki dunia Desemba 11, 2025, mwili wake umeagwa…

Read More

Maximo atoa ya moyoni | Mwanaspoti

ALIYEKUWA Kocha wa KMC, Mbrazil Marcio Maximo amesema hajutii uamuzi uliochukuliwa na uongozi wa timu hiyo wa kusitisha mkataba wake kutokana na mwenendo mbovu wao katika Ligi Kuu Bara msimu huu, huku akibainisha ataendelea kuwapenda na kuwaheshimu. Kocha huyo aliachana na kikosi hicho Desemba 6, 2025, akiwa amedumu kwa siku 131, tangu alipotambulishwa Julai 28,…

Read More

Singida yaingia mazima kwa Lanso

BAADA ya Singida Black Stars kumrudisha Joseph Guede aliyekuwa anaichezea Al-Wehdat SC ya Jordan kwa mkopo, kwa sasa inaelezwa mabosi wa kikosi hicho wamemalizana na beki wa kulia wa KMC, Abdallah Said Ali ‘Lanso’. Guede aliyejiunga na Singida Julai 2024, akitokea Yanga, aliitumikia timu hiyo kwa miezi sita, kisha kujiunga na Al-Wehdat ya Jordan kwa…

Read More

Mbeya City yarudi kwa kiungo wa Yanga

BAADA ya mabosi wa Mbeya City kumkosa kiungo wa Yanga, Farid Mussa dirisha kubwa la usajili lililopita, kwa sasa vigogo hao wamerudi upya kuihitaji saini yake, ikiwa ni harakati za kukisuka kikosi hicho ili kilete ushindani zaidi. Taarifa kutoka katika timu hiyo zimeiambia Mwanaspoti, Farid ni miongoni mwa wachezaji wanaowindwa na kikosi hicho na tayari…

Read More