Shule hizi bado hazijapoa matokeo kidato cha nne
Mwanza. Licha ya Serikali kusitisha utaratibu wa kutangaza shule bora kitaifa, matokeo ya kidato cha nne 2025 yanaonyesha kuwa baadhi ya shule zilizowahi kutamba kimatokeo, bado zinaendelea kufanya vizuri kwa kiwango cha juu, zikirekodi ufaulu wa asilimia 100 kwa watahiniwa wake wote kupata daraja la kwanza. Uchambuzi wa matokeo ya shule tano ambazo kwa muda…