Bandari ya Maruhubi yafanyiwa majaribio ya kushusha, kupakia

Unguja. Waziri wa Ujenzi na Uchukuzi Zanzibar, Dk Khalid Salum Mohamed amezindua majaribio ya ushushaji wa mizigo katika Bandari ya Mpigaduri. Bandari hiyo inatajwa kuwa    mwarobaini wa msongamano katika bandari ya Malindi ambayo imekuwa ikilalamikiwa kutokana na kuzidiwa, hivyo kufanya shughuli kuzorota. Akizungumza wakati wa uzinduzi huo uliofanyika Mpigaduri, Maruhubi, Mkoa wa Mjini Magharibi, Unguja…

Read More

Ulaji maini kupita kiasi watajwa hatari kwa mjamzito

Geita. Maini ni miongoni mwa vyakula vinavyosifika kwa kuwa na virutubisho vingi muhimu, ikiwemo chuma, protini na vitamini A. Hata hivyo, kwa mama mjamzito, ulaji wa maini kupita kiasi unaweza kusababisha madhara makubwa kwa mtoto tumboni. Kwa mujibu wa Shirika la Afya Duniani (WHO), vitamini A aina ya retinol ikizidi mwilini hasa wakati wa ujauzito,…

Read More

Kuongezeka kwa Jua nchini Pakistani Kukabili Mgogoro wa Nishati wa Mashariki ya Kati – Masuala ya Ulimwenguni

Serikali ya Sindh imeanza kusambaza mifumo ya nishati ya jua kwa kaya 200,000 za kipato cha chini chini ya Mradi wa Nishati ya jua wa Sindh ili kuboresha upatikanaji wa umeme. Credit: Sindh People’s Housing kwa Walioathiriwa na Mafuriko na Zofeen Ebrahim (karachi, pakistan) Ijumaa, Machi 20, 2026 Inter Press Service KARACHI, Pakistani, Machi 20…

Read More

Guterres inataka kusitisha mapigano kwani viongozi wa Ulaya wanathibitisha haki za Ukraine katika UN – Masuala ya Ulimwenguni

Akielezea baraza, Bwana Guterres Alisema Mzozo huo, sasa katika mwaka wake wa nne, “umeleta mateso makubwa na kutokuwa na utulivu katika mkoa na zaidi.” Alikumbuka kwamba mnamo Februari 2022, zote mbili Baraza la Usalama na Mkutano Mkuu ulipitisha maazimio ya kutaka mwisho wa vita na amani ya kudumu. “Lakini pia tumeona kuongezeka kwa mapigano –…

Read More

Ramadhani ni mwezi wa toba, kuokolewa na moto

Mwezi wa Ramadhani ni mwezi ambao milango ya pepo hufunguliwa na milango ya moto hufungwa. Katika mwezi huu, Allah Mtukufu huwapa neema waja wake wanaofunga kwa kuwaokoa na moto wa jahannam. Moto ambao joto lake ni kali sana, kina chake ni kirefu, na adhabu yake ni nzito. Mtume wa Allah (rehema na amani ziwe juu…

Read More