Maswali manne ishu ya Phiri kutua Yanga

WAKATI Yanga ikisubiri kujua hatIma ya sakata la kimkataba la mshambuliaji wa Azam FC, Prince Dube Inayempigia hesabu za kumchukua mwisho wa msimu huu, mabosi wa Jangwani wamerudi kwa mshambuliaji, Moses Phiri kama mbadala wa Mzimbabwe huyo. Yanga inamtaka Dube ambaye anaendelea kupambana na klabu yake akitaka kuachana nayo, lakini mabingwa hao wa Ligi Kuu…

Read More

Danadana zagubika ununuzi mabasi ya mwendo kasi

Dar es Salaam. Danadana zimegubika ununuzi wa mabasi katika Mradi wa Mabasi yaendayo Haraka (BRT) chini ya Wakala wa Mabasi Yaendayo Haraka (Dart) katika awamu ya kwanza na ya pili. Rais Samia Suluhu Hassan, alipotoa salamu za Mwaka Mpya kwa Watanzania Desemba 31, 2024 alisema katika mwaka 2025 miongoni mwa miradi itakayotekelezwa kwa uwekezaji kwa…

Read More

Iran yafunga kituo cha lugha cha ubalozi wa Ujerumani

Tehran. Iran imefunga kituo cha lugha kinachomilikiwa na ubalozi wa Ujerumani, huku sababu ikitajwa kuwa ni kufungwa kwa vituo vya dini ya Kiislamu nchini Ujerumani. Mahakama ya Iran imefunga ofisi mbili za taasisi hiyo, ikizitaja kama vituo haramu vyenye uhusiano na Serikali ya Ujerumani, ambayo imekiuka sheria za Iran na kufanya vitendo vingi haramu. Tovuti…

Read More

Kwanini watu hawa hawaambukizwi VVU? Wanasayansi wafichua sababu

Dar es Salaam. Umewahi kusikia baadhi ya watu ambao walikuwa na tabia hatarishi zilizowafanya wakakutana na watu mbalimbali, hata wenye maambukizi ya Virusi vya Ukimwi (VVU), lakini walipopimwa hawakubainika? Wanasayansi wanatoa jawabu; watu hao wana ulemavu katika vinasaba vyao kwa kukosa vipokezi au vikombe sahani vijulikanavyo kama CXCR4 na CCR5. Akizungumza na Mwananchi katika mahojiano…

Read More

Uchaguzi Mkuu Zanzibar na mwangwi wa Maalim Seif

Dar es Salaam. Mwangwi wa Maalim Seif Sharif Hamad bado unasikika Zanzibar inapoelekea kwenye Uchaguzi Mkuu mwaka 2025, ukiwa ndio kwanza tangu uanze mfumo wa vyama vingi visiwani humo. Vilevile, chama chake cha ACT – Wazalendo nacho kinatazamiwa kushiriki uchaguzi huo, bila mwanasiasa huyo anayetajwa kama alama ya demokrasia ya vyama vingi na ushindani katika…

Read More

Dk Bashiru ataja vigezo sita vinavyombeba Samia

Mwanza. Katibu Mkuu wa zamani wa Chama cha Mapinduzi (CCM), Dk Bashiru Ally, amemuombea kura kwa Watanzania mgombea urais kwa tiketi ya chama hicho, Samia Suluhu Hassan huku akitaja vigezo sita vinavyombeba mgombea huyo, ikiwemo ustahimilivu na usimamizi makini wa rasilimali za nchi. Vigezo vingine ni Samia kuwa kiongozi mwenye msimamo usioyumba hasa masuala yanayohusu…

Read More

HALOPESA YAADHIMISHA MIAKA NANE,YAWAFARIJI WATOTO NYUMBA YA MATUMAINI JIJINI DAR ES SALAAM

HALOPESA kupitia kampuni ya Mawasiliano HALOTEL, kuelekea siku ya maadhimisho ya Kutimiza miaka 8 katika uazishwaji wa Huduma za HaloPesa pamoja na huhitimisha kilele cha huduma kwa wateja. HaloPesa inatambua mchango wa jamii kwa ujumla katika kufanikisha Mchango wake katika jamii. Mnamo tarehe 11/10/2024 katika kuadhimisha siku hiyo muhimu HaloPesa imeungana kwa pamoja kutembelea Shirika…

Read More