
Mdahalo Uenyekiti Tume ya Umoja wa Afrika moto
Addis Ababa. Kinyang’anyiro cha uenyekiti wa Tume ya Umoja wa Afrika (AUC) kilifikia kilele Ijumaa wakati Waziri Mkuu wa zamani wa Kenya, Raila Odinga alipopanda jukwaani kwenye mdahalo kujadili maono yake kwa bara hilo pamoja na wagombea wengine wawili. Katika mdahalo huo uliopewa jina la “Mjadala Afrika”, Odinga alikabiliana na Waziri wa Mambo ya Nje…