
Mke wa Sumaye aibuka kidedea kortini
Kilimanjaro. Esther Frederick Sumaye ambaye ni mke wa Waziri Mkuu mstaafu, Frederick Sumaye, ameibuka kidedea katika kesi ardhi ya kugombea shamba namba 25 lililopo Madale eneo la Wazo Manispaa ya Kinondoni jijini Dar es Salaam. Hata hivyo, Jaji Elinaza Luvanda wa Mahakama Kuu ya Tanzania, Divisheni ya Ardhi aliyesikiliza kesi hiyo namba 99 ya 2023…