Mdahalo Uenyekiti  Tume ya Umoja wa Afrika moto

Addis Ababa. Kinyang’anyiro cha uenyekiti wa Tume ya Umoja wa Afrika (AUC) kilifikia kilele Ijumaa wakati Waziri Mkuu wa zamani wa Kenya, Raila Odinga alipopanda jukwaani kwenye mdahalo kujadili maono yake kwa bara hilo pamoja na wagombea wengine wawili. Katika mdahalo huo uliopewa jina la “Mjadala Afrika”, Odinga alikabiliana na Waziri wa Mambo ya Nje…

Read More

Reus anataka kuondoka Dortmund kwa kuifunga Madrid.

Marco Reus, mwanasoka wa kulipwa wa Ujerumani ambaye amekaa Borussia Dortmund kwa miaka 12, anatarajia kuondoka katika klabu hiyo kwa ushindi wa fainali ya UEFA Champions League dhidi ya Real Madrid mnamo Juni 1, 2024, kwenye Uwanja wa Wembley. Reus, ambaye pia alitumia muongo mmoja katika klabu ya Dortmund akiwa mchezaji chipukizi, ameichezea klabu hiyo…

Read More

ACT-Wazalendo yapinga agizo la Rais Samia kwa wamachinga

Dar es Salaam. Chama cha ACT Wazalendo kimeitaka Serikali kuondoa vikwazo na kusitisha mara moja mipango na operesheni za kuwaondoa wamachinga eneo la Kariakoo, jijini Dar es Salaam na maeneo mengine mijini. Chama hicho kimetoa kauli hiyo kwa maelezo kuwa kina wasiwasi kutokana na madai ya wafanyabishara wa Kariakoo katika mgomo wa hivi karibuni kuwataja…

Read More

WANANCHI WAALIKWA KUFIKA BANDA LA CMSA KATIKA MAONESHO YA SABASABA KUPATA UELEWA MASUALA YANAYOHUSU MASOKO YA MITAJI

Na Said Mwishehe,Michuzi TV MAMLAKA ya Masoko ya Mitaji na Dhamana (CMSA)imewakaribisha wananchi wanaofika katika Maonesho ya Biashara ya 49 ya Kimataita yanayoendelea Sabasaba jijini Dar es Salaam kufika katika banda lao ili kupata uelewa wa masuala yanayohusu uwekezaji katika masoko ya mitaji. Akizungumza leo na waandishi wa habari katika Banda la CMSA lililopo katika…

Read More

Ecua atikisa dili la Sowah Yanga

SIKU moja baada ya Mwanaspoti kuripoti kuwa huenda straika Celestin Ecua akatua na kocha mpya wa timu hiyo anayekuja kuchukua mikoba ya Miloud Hamdi, mambo yanadaiwa kuonekana kwenda vizuri huku ikidaiwa amepindua dili la Jonathan Sowah, raia wa Ghana. Straika huyo ambaye ndiye MVP wa Ligi Kuu Ivory Coast, amemaliza msimu wa 2024-2025 akitupia mabao…

Read More

Vijana 181 wenye ulemavu wa akili wanufaika ufundi stadi

Na Nora Damian, Mtanzania Digital Vijana 181 wenye ulemavu wa akili kutoka Manispaa ya Morogoro na Halmashauri ya Mji Mdogo Ifakara wamepatiwa mafunzo ya ufundi stadi kuwawezesha kuondokana na utegemezi na kujikwamua kiuchumi. Mafunzo hayo yametolewa kwa ushirikiano wa Shirika lisilokuwa la kiserikali linaloshughulikia maendeleo ya wanawake na vijana (Mwayodeo) la mkoani Morogoro na Taasisi…

Read More

Vijana wa BBT walioajiriwa na bodi ya korosho wapewa zigo

Lindi. Vijana walioajiriwa kwa mkataba na Bodi ya Korosho Tanzania (CBT) kupitia programu ya Jenga Kesho Iliyobora (BBT) wamepewa kibarua cha kuhakikisha uzalishaji wa zao hilo unaongezeka. Lengo la Serikali ni kuwa ifikapo 2025/2026 kuzalisha tani 700,000 za korosho zizalishwe nchini na tani 1,000,000 hadi mwaka 2030. Akizungumza wakati wa hafla ya kukabidhi pikipiki na…

Read More