Maonyesho ya kimataifa ya viwanda kukutanisha waonyeshaji 500 Dar

Na Mwandishi Wetu SHIRIKISHO la Viwanda Tanzania (CTI), kwa kushirikiana na Mamlaka ya Maendeleo ya Biashara Tanzania (TanTrade), wameandaa maonesho ya kimataifa ya wenye viwanda (TIMEXPO 2024) yatakayoshirikisha viwanda 500. Mkurugenzi Mkuu wa CTI, Mhandisi Leodegar Tenga amewaambia waandishi wa habari leo kuwa maonyesho hayo yatafanyika kuanzia Septemba 26 hadi Oktoba 2, katika Viwanja vya…

Read More

Sayari ya Joto ni ya Ulimwenguni, Marekebisho ni Mahususi kwa Watu wa Karibu na Ustahimilivu – Masuala ya Ulimwenguni

Maoni na Sanjay Srivastava – TN Singh – Praveen Kumar – Naina Tanwar (bangkok, Thailand) Jumanne, Julai 02, 2024 Inter Press Service BANGKOK, Thailand, Julai 02 (IPS) – Majira ya joto ya 2024 yamevunja rekodi za joto, na kudhihirisha wazi hali mbaya ya joto ya sayari yetu. Nchini India pekee, wimbi la joto limesababisha vifo…

Read More

Masoud atuliza presha Chama la Wana

KOCHA wa Stand United ‘Chama la Wana’, Juma Masoud amewataka mastaa wa timu hiyo kuacha kuangalia kile ambacho wapinzani wao wakubwa Mtibwa Sugar na Mbeya City wanachokifanya, bali wawekeze nguvu katika kila mchezo wanaocheza sasa. Akizungumza na Mwanaspoti, Masoud alisema anachokitaka ni kuona wachezaji wanaendelea kupambana zaidi uwanjani kwa kila mchezo wanaocheza kwa sasa bila…

Read More

Kila mtumishi kwenye ofisi yake anunue gari “Hakuna haja ya kusubiri lift ya mtu”:

Mkuu wa mkoa wa Njombe Anthony Mtaka ameagiza watumishi wote kwenye ofisi yake kununua magari binafsi ili kupunguza wivu wa kutumia magari ya serikali.   Mtaka ametoa agizo hilo wakati akizungumza na watumishi kwenye sherehe ya wafanyakazi (Mei Mosi) iliyofanyika kimkoa kwenye uwanja wa sabasaba mjini Njombe “Nimewaambia watumishi kuwa magari sasa hivi ni milioni…

Read More

Kocha Tabora United akubali yaishe

KOCHA Mkuu wa Tabora United, Mzambia Simonda Kaunda amesema msimu huu kwao umeisha na hawana cha kupoteza tena, baada ya kikosi hicho juzi kukumbana na kichapo cha fedheha cha mabao 5-0, dhidi ya matajiri wa Jiji la Dar es Salaam, Azam FC. Kichapo hicho kimeifanya timu hiyo kufikisha mechi saba mfululizo za Ligi Kuu Bara…

Read More

MKEKA WA UTEUZI WA AWALI WA WANACHAMA WA CHAMA CHA MAPINDUZI (CCM) WATAKAOSHIRIKI KATIKA ZOEZI LA KURA ZA MAONI KWA NAFASI ZA UBUNGE NA UJUMBE WA BARAZA LA WAWAKILISHI

Katibu wa NEC, Itikadi, Uenezi na Mafunzo wa CCM, CPA Amos Makalla akizungumza na wandishi wa habari mapema leo katika ukumbi wa CCM, Dodoma. wakati akitangaza uteuzi wa majina ya wanachama wa CCM watakaopigiwa kura za maoni kwa mujibu wa Kanuni na Kalenda za Chama Cha Mapinduzi. UBUNGE NA UJUMBE WA BARAZA LA WAWAKILISHI   …

Read More