Jussa ataja hoja tatu zinazombeba Othman urais Zanzibar

Unguja. Mwenyekiti wa Kamati ya Ushindi ya chama cha ACT Wazalendo, Ismail Jussa, amesema hoja tatu ikiwemo uzalendo na uaminifu ndizo zinazombeba mgombea urais wa Zanzibar kwa tiketi ya chama hicho, Othman Masoud Othman. Hoja nyingine ni uwajibikaji na kiongozi anayejali maisha ya Wazanzibari, akitaka waishi vizuri. Ameeleza hayo leo Jumapili, Septemba 14, 2025, wakati…

Read More

MGOMBEA CCM KUIGEUZA BUSERESERE DUBAI YA TANZANIA

:::::::: SIKU moja baada ya kufanyika uzinduzi wa kampeni za Uchaguzi mkuu wa Rais,Wabunge na Madiwani 2025 katika wilaya ya Chato mkoani Geita, mgombea Ubunge wa Jimbo la Chato Kusini kupitia Chama Cha Mapinduzi (CCM) Paschal Lutandula, ameahidi kuubadilisha mji mdogo wa Buseresere kuwa Dubai ya Tanzania iwapo atachaguliwa kuwa Mbunge. Kadhalika amemtaka aliyekuwa Mbunge…

Read More

Mavunde aonya wakopaji dhidi ya mikopo umiza

Dodoma. Mgombea ubunge wa Mtumba, Anthony Mavunde amesema kukopa bila elimu ya ujasiriamali na fedha ni chanzo cha mikopo umiza. Kutokana na hilo, amewataka wananchi hasa kinamama na vijana kuacha kukopa kwa kuiga kwani watajikuta wameingia mahali penye hasara kubwa. Mavunde ametoa kauli hiyo jana Jumamosi Septemba 13,2025 kwa nyakati tofauti alipokuwa kwenye ziara ya…

Read More

KABUDI AHAIDI MAENDELEO KILOSA – MICHUZI BLOG

Farida Mangube, Kilosa Morogoro Mgombea Ubunge wa Jimbo la Kilosa kupitia Chama Cha Mapinduzi (CCM), Profesa Palamagamba Kabudi, amewataka wananchi wa jimbo hilo kuwachagua Rais, Mbunge na Madiwani wa CCM ili kuhakikisha kasi ya maendeleo inaongezeka kwa vitendo. Profesa Kabudi ametoa kauli hiyo wakati wa uzinduzi wa kampeni za ubunge jimboni humo, akibainisha baadhi ya…

Read More

DK.SAMIA AAHIDI WANANCHI KIGOMA SERIKALI KUKAMILISHA MIRADI YOTE YA VIPANDE VYA BARABARA VILIVYOSALIA

*Aelezea pia umeme wa uhakika, kuvutia wawekezaji wa viwanda Na Said Mwishehe,Michuzi TV-Kigoma MGOMBEA urais kwa tiketi ya Chama Cha Mapinduzi(CCM) Rais Dk.Samia Suluhu Hassan amewahakikishia wananchi wa Mkoa wa Kigoma Serikali itahakikisha miradi yote ya barabara inayoendelea katika Mkoa wa Kigoma inakamilika ikiwemo vipande vyote vilivyosalia vya barabara kuu. Baadhi ya vipande hivyo vya…

Read More

Kidumo aahidi kukamilisha miradi ya maendeleo Njoro

Moshi. Mgombea udiwani wa Njoro, Manispaa ya Moshi mkoani Kilimanjaro, Zuberi Kidumo amewaomba wananchi kumpa ridhaa nyingine ya kuongoza kata hiyo ili aweze kukamilisha miradi ya maendeleo iliyoanzishwa, ikiwamo ya barabara na ujenzi wa Zahanati ya Njoro. Akizungumza kwenye mkutano wa kampeni uliofanyika Uwanja wa Reli, Kidumo amesema kwa kipindi cha miaka mitano aliyohudumu kama…

Read More