
Mgombea udiwani Chaumma aomba kura kampeni za nyumba kwa nyumba
Morogoro. Chama cha Ukombozi wa Umma (Chaumma) kimewaomba wakazi wa Kata ya Mafisa, Manispaa ya Morogoro, kura katika uchaguzi mkuu wa urais, ubunge na udiwani unaotarajiwa kufanyika Oktoba 29 mwaka huu. Akizungumza kwenye kampeni za nyumba kwa nyumba Septemba 14, mgombea udiwani wa Chaumma, Kata ya Mafisa, Gredo Method, amesema wananchi wanapaswa kutoa kura zao…