Nafasi ya Kuondoka na Samsung A25 Unayo Leo

  HABARI njema kwako mteja wa Meridianbet, huu ni mwezi mpya wa 7 ambapo unaeza ukawa na bahati ya kuondoka na simu janja aina ya Samsung A25 ukibashiri mechi zozote kwenye ligi yoyote na kujiweka kwenye nafasi ya ushindi. Promosheni hii ya kushindania simu moja kati ya nane imeanza hapo jana tarehe 1 Julai na itaenda…

Read More

SI MCHEZO: U-N’Golo Kanté ndani ya Maxi Nzengeli

MAISHA yako yanaweza au kuna mtu anafananishwa nayo iwe unajua au pasipo kujua. Uko ule ule wa mwonekano kuanzia sura na wa matendo, tabia na mengine kama ilivyo kwa nyota wa soka, hapa namzungumzia Maxi Mpia Nzengeli na Ng’olo Kante. Kwa mambo yao uwanjani na nje ya uwanja, unaweza ukaona kuna baadhi wanafanana na yanavutia…

Read More

Mtoto wa Mjini – 8

Pesa alizozipata hakuziwekeza kwa namna yoyoye ile na jina lake kubwa katika soka likamfanya awe na marafiki wengi huku wanawake wengi walionusa harufu ya pesa wakigombania kuwa karibu yake. Hatimaye kipaji chake cha kusakata gozi la ng’ombe kilipopotea miguuni mwake kutokana na unywaji wa pombe uliopitiliza na kuwaendekeza wanawake.Fashanu alikuwa akikesha baa na kuwa na wanawake…

Read More

USHINDANI WA HAKI WATAJWA KUINUA BIASHARA NA KUWAOKOA WALAJI

  Naibu Waziri wa Viwanda na Biashara, Mhe. Patrobas Katambi ,akizungumza wakati wa ziara yake katika Baraza la Ushindani (FCT) Jijini Dar es Salaam. …. Naibu Waziri wa Viwanda na Biashara, Mhe. Patrobas Katambi (Mb), ameliagiza Baraza la Ushindani (FCT) kuendelea kusimamia na kulinda ushindani wa haki ili kuondoa vitendo vya ukiritimba, hususan katika suala…

Read More

TAMTHILIA YA NICE TO MEET YOU YAWAKUTANISHA HEMED NA LULU DIVA

Na Mwandishi wetu TAMTHILIA ya ‘Nice to Meet you’ inayowakutanisha waigizaji Lulu Abas ‘Lulu Diva’ na Hemed Suleiman ‘Hemed ‘PHD’ wenye uhasama kuzinduliwa rasmi Novemba 18, mwaka huu. Wawili hao inasemekana walianza tofauti zao tangu walipokuwa lokesheni wakirekodi Tamthilia hiyo iliyowahusisha na ugomvi wao kuendelea hadi kwenye maisha yao ya kawaida. Akizungumza na waandishi wa…

Read More

Serikali yaipongeza Sahara Spark, yawaahidi kuwashika mkono

  SEREKALI imesema kuwa itaendelea kutoa mazingira wezeshi kwa wabunifu na wavumbuzi katika masuala ya Teknolojia ili kuinua na kampuni changa za kibunifu ‘Startup’. Anaripoti Mwandishi Wetu, Dar es Salaam … (endelea). Hayo yamesemwa leo tarehe 27 Septemba, 2024 na Dk. Amos Nungu, Mkurugenzi Mkuu wa Tume ya Taifa ya Sayansi (Costech), kwenye onesho la…

Read More

Sita wakalia kuti kavu KMC FC

MASTAA sita wakalia kuti kavu KMC,wasubiri kikao cha mabosi kufanya maamuzi ya hatima ya kusalia kwao ndani ya klabu hiyo, baada ya mikataba yao kumalizika. Akizungumza na Mwanaspoti Mtendaji Mkuu wa klabu hiyo Mkoti Mwakasungura alisema, nyota hao wamemaliza mikataba na watakuwa na majadiliano yatakayotanguliwa na maamuzi ya uongozi na benchi la ufundi. Alisema maamuzi…

Read More

Urusi yashambulia droni za Ukraine kwenye maeneo ya mipaka – DW – 09.07.2024

09.07.20249 Julai 2024 Wizara ya ulinzi ya Urusi imesema mifumo yake ya ulinzi wa anga imeharibu droni 38 za Ukraine usiku wa kuamkia leo katika maeneo ya mpakani ikiwemo Belgorod,Kursk,Voronezh,Rostov na Astrakhan. https://p.dw.com/p/4i3Qu Zana za kivita za Ukraine zikiwa katika eneo la DonetskPicha: Narciso Contreras/Anadolu/picture alliance Gavana wa jimbo la Astrakhan Igor Babushkin amesema Ukraine…

Read More

Wajasiriamali Manyara Wahimizwa Kuthibitisha Ubora wa Bidhaa na Kujiandaa na Masoko ya Nje

Na Mwandishi Wetu, Manyara WAZALISHAJI wahimizwa kuthibitisha ubora wa bidhaa wanazozalisha ili waweze kuuza bidhaa zao nje ya soko la Afrika Mashariki na pia kunufaika na sera ya Local Content. Rai hiyo imetolewa Meneja wa TBS Kanda ya Kaskazini, Mhadisi Joseph Ismail, kwenye maonesho yaliyoandaliwa na Chemba ya Wafanyabiashara, wenye Viwanda na Kilimo (TCCIA) yanayofanyika…

Read More

TANZANIA YAJIPANGA NA MAAMUZI YA RAIS TRUMP KUHUSU ARV

  BOHARI  ya Dawa (MSD), imesema  kuwa Serikali imejipanga kukabiliana na changamoto zozote zitakazojitokeza kutokana na uamuzi wa Rais wa sasa wa Marekani, Donald Trump kusitisha misaada ya kwa nchi za Afrika.  Mapema mwaka huu, mara baada ya kuapishwa Rais Trump alitangaza kusitisha misaada yote iliyokuwa ikitolewa na Shirika la Misaada la Marekani (USAID) ikiwamo…

Read More