Safari urais wa Mpina yakutana na vihunzi

Dar es Salaam. Safari ya mwanasiasa Luhaga Mpina kuwania urais kwa tiketi ya ACT Wazalendo, imeanza kuwekewa vizingiti baada ya mmoja wa makada wa chama hicho kuandika barua ya kupinga uamuzi wa mkutano mkuu maalumu uliompendekeza kuwania nafasi hiyo. Pingamizi hilo limeandikwa na wanachama huyo, akidai uteuzi wa Mpina kuwania nafasi hiyo, umekiuka kifungu cha…

Read More

HARUSI YA KIHISTORIA YAFUNGWA KRETA YA NGORONGORO

Na Kassim Nyaki, Ngorongoro Crater. Tarehe 15 Desemba 2024 Kreta ya Ngorongoro imepambwa na tukio adhimu na la kihistoria la maharusi wa Kitanzania kufunga ndoa ndani ya Hifadhi huku wakipunga upepo mwanana kwenye mazingira asilia yaliyozungukwa na wanyama mbalimbali wakiwemo Big 5. Bw. Kelvin Mwakaleke na mkeweJackline Nyalu wamefunga Ndoa ndani ya Kreta ya Ngorongoro…

Read More

Dk Biteko atoa kauli usalama Bwawa la Julius Nyerere

Dodoma. Naibu Waziri Mkuu na Waziri wa Nishati, Dk Doto Biteko amesema licha mvua zinazoendelea kunyesha nchini, Bwawa la Kuzalisha Umeme la Julius Nyerere (JNHPP) lipo salama kwasababu limejengwa kisayansi. Mbali na hilo, amesema bwawa hilo linaendelea kuzalisha umeme kupitia mtambo namba tisa huku mitambo mingine miwili ikiwa ukingoni kukamilika. Amesema hayo leo Alhamisi Aprili…

Read More

Mapinduzi Cup 2025 vita ya wanandugu

PAZIA la michuano ya Kombe la Mapinduzi 2025 ambayo kwa msimu huu imehusisha timu za taifa, linafunguliwa leo usiku kwa mchezo mmoja unaozikutanisha timu ‘ndugu’ za Tanzania Bara na Zanzibar, huku Uganda The Cranes ambao ni moja ya wenyeji wa Chan 2025 na Afcon 2027 ikijiondoa katika dakika za mwishoni. Michuano hiyo inayofanyika kwenye Uwanja…

Read More

Mwanza inavyojipanga kushindana na Dar kiuchumi

Mwanza. Licha ya kuwa mkoa wa pili kwa kuchangia pato la Taifa (GDP) kwa asilimia 7.2, nyuma ya Dar es Salaam inayoongoza kwa asilimia 14, Serikali imeweka mkakati mahsusi wa kuufanya Mkoa wa Mwanza kuwa kinara wa uchumi nchini. Hili litawezekana kupitia mipango madhubuti ya maendeleo ya viwanda, biashara, uvuvi, usafirishaji na miundombinu, hasa kwa…

Read More

Kesi wanachuo wanaodaiwa kumjeruhi mwenzao kutajwa leo

Dar es Salaam. Kesi ya kusababisha madhara mwilini inayowakabili wanafunzi wa Chuo Kikuu cha Dar es Salaam (UDSM), Mary Matogolo (22) na wenzake wawili, itatajwa leo Jumatatu Julai 14, 2025 katika Mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu. Mary na wanafunzi wenzake  wanakabiliwa na mashitaka tisa, likiwemo la kutishia kuua, kutoa taarifa za uongo mitandaoni na uharibifu…

Read More

Viongozi pelekeni taarifa sahihi kwa wananchi.

Mkuu wa Wilaya ya Mbeya Mhe. Beno Malisa amewaagiza viongozi katika Wilaya hiyo kutoa elimu sahihi kwa wananchi juu ya utekelezaji wa Mradi wa Uboreshaji Usalama wa Milki za Ardhi (LTIP) unaotekelezwa chini ya Wizara ya Ardhi, Nyumba na Maendeleo ya Makazi. Malisa ameyasema hayo tarehe 20 Juni 2024 wakati wa ufunguzi wa kikao cha…

Read More

Waandamanaji wachoma balozi za mataifa Kinshasa

Kinshasa. Baadhi ya wananchi wameandamana jijini Kinshasa nchini Jamhuri ya Kidemokrasia ya Congo (DRC) na kuchoma moto balozi za mataifa ya Ufaransa, Ubelgiji na Rwanda. Balozi nyingine zilizolengwa na waandamanaji hao leo Jumanne Januari 28, 2025, ni ya Uganda na Kenya. Waziri wa Mambo ya Nje wa Ufaransa, Jean-Noel Barrot ameandika kwenye akaunti yake ya…

Read More