
Baraza la Madiwani Jiji la Dodoma launga mkono maono ya Rais Dkt. Samia Nishati safi
Na. Dennis Gondwe, DODOMA HALMASHAURI ya Jiji la Dodoma inaunga mkono jitihada zinazofanywa na Rais, Dkt. Samia Suluhu Hassan za kuhakikisha nishati safi kwa wote inapatikana kwa lengo la kuboresha maisha ya watanzania. Kauli hiyo ilitolewa na Mstahiki Meya wa Halmashauri ya Jiji la Dodoma Prof. Davis Mwamfupe alipokuwa akifungua mkutano wa Baraza la Madiwani…