TMA yatoa tahadhari kwa watumiaji wa Ziwa Nyasa

Mbeya. Mamlaka ya Hali ya Hewa (TMA), Kanda ya Nyanda za Juu Kusini imewataka wavuvi mwambao mwa Ziwa Nyasa kuchukua tahadhari kufuatia kuwepo kwa vipindi vya radi na upepo mkali wenye uwezo wa kusababisha ajali au kupinduka vyombo vya uvuvi majini. Mbali na wavuvi pia imewataka wananchi waishio mabondeni kuchukua tahadhari kubwa kufuatia udongo kufyonza…

Read More