Miradi 45 ya Kisayansi Kuonyeshwa Mashindano ya YST 20

SHIRIKISHO la Wanasayansi Chipukizi (Young Scientists Tanzania – YST) limetangaza kuwa jumla ya miradi 45 ya kisayansi imechaguliwa kushiriki katika Mashindano ya Kitaifa ya Sayansi yatakayofanyika Septemba 18, 2025 katika Chuo Kikuu cha Dar es Salaam (UDSM). Mwanzilishi Mwenza wa YST, Dk. Gozibert Kamugisha, alisema miradi hiyo imelenga kutoa suluhisho za kisayansi na kiteknolojia kwenye…

Read More

Macho yote kwa Vicky michuano ya NCBA

VIWANJA vya Gofu vya Muthaiga vilivyopo jijini Nairobi, Kenya ndivyo vitaamua nani anastahili kuutwaa ubingwa wa Afrika Mashariki wa NCBA baada ya kutamatika kwa mashimo 18 majuma machache yajayo. Tanzania, tayari imeshapata washiriki wakiongozwa na Malkia wa Swing, Vicky Elias kutoka jijini Dar es Salaam. Vicky pamoja na Madina Idd na Neema Olomi wa Arusha…

Read More

Kocha Minziro aibukia Bigman | Mwanaspoti

ALIYEKUWA Kocha Mkuu wa Bigman, Fredy Felix ‘Minziro’, amerejea tena kukifundisha kikosi hicho kwa ajili ya msimu ujao wa 2025-2026, wa Ligi ya Championship, akichukua nafasi iliyoachwa wazi na Zubery Katwila aliyejiunga na Geita Gold. Minziro aliyewahi kuzifundisha Geita Gold na Tanzania Prisons, aliifundisha Bigman msimu wa 2024-2025, ingawa aliondoka Oktoba 17, 2024 na kujiunga…

Read More

MJNUAT kutoa wahitimu wa kwanza mwakani

Butiama. Baada ya kusuasua kwa muda mrefu kuanza kutoa masomo, hatimaye Chuo Kikuu cha Mwalimu Julius Nyerere cha Kilimo na Teknolojia (MJNUAT), kilichopo wilayani Butiama Mkoa wa Mara, kinatarajia kuwa na mahafali ya kwanza mwakani. Chuo hicho kilikaa miaka saba bila kuanza kutoa mafunzo kutokana na sababu mbalimbali, ikiwemo ukosefu wa rasilimali fedha. Akizungumza kwenye…

Read More

SAME YAMPOKEA DKT. NCHIMBI

 :::::::::: MGOMBEA Mwenza wa Kiti cha Urais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania kwa tiketi ya Chama Cha Mapinduzi (CCM), Balozi Dkt. Emmanuel John Nchimbi, amewasili Wilaya ya Same kuwahutubia Wananchi wa jimbo la Same Magharibi kwenye mkutano wake mdogo,leo Jumapili Septemba 14,2025 mkoani Kilimanjaro. Dkt.Nchimbi ambae ni mgombea mwenza wa Rais Dkt.Samia Suluhu Hassan…

Read More

Kocha CBE asepa na somo CECAFA

KOCHA wa CBE, Birhanu Gizaw amesema msimu huu haukuwa mzuri kwa upande wao wakikutana na ushindani mkubwa kwenye mashindano ya CECAFA ya kuwania kufuzu ushiriki wa Ligi ya Mabingwa Afrika kwa Wanawake. Mabingwa hao watetezi wa CECAFA waliishia katika hatua ya makundi baada ya kumaliza katika nafasi ya pili kwenye Kundi B, wakianza kwa kupoteza…

Read More

Wagonjwa 700 kufikiwa na huduma ya mtoto wa jicho Songwe

Mbeya. Ili kukabiliana na tatizo la upofu unaoepukika, Hospitali ya Rufaa Kanda ya Mbeya kwa kushirikiana na Shirika la Kimataifa la Helen Keller International inatarajia kuweka kambi ya siku sita mkoani Songwe kwa ajili ya kuwahudumia wenye tatizo la mtoto wa jicho. Huduma hiyo inatarajia kuwafikia wananchi 700 katika maeneo mbalimbali mkoani humo, ikiwa na…

Read More

Sumaye asema Samia amedumisha amani, utulivu nchini

Mwanga/Same. Waziri Mkuu mstaafu wa Tanzania, Frederick Sumaye amesema miaka minne ya utawala wa Samia Suluhu Hassan umedhihirisha uimara wake wa kudumisha amani na utulivu nchini na kurudisha uhusiano wa kidiplomasia duniani. Wakati Sumaye akieleza hayo, mgombea mwenza wa urais wa Chama cha Mapinduzi (CCM), Dk Emmanuel Nchimbi amesema Samia anaishi kiapo alichokiapa cha kuilinda…

Read More