WATATU WATIWA MBARONI KWA KUSAFIRISHA DAWA ZA KULEVYA

JESHI  la Polisi Mkoa wa Mbeya linawashikilia watuhumiwa watatu ambao ni Mseveni Menat, Mkazi wa Uyole, Fred Lulandala, Mkazi wa Mapelele na Joseph Ngelenge, Mkazi wa Uyole Jijini Mbeya kwa tuhuma za kusafirisha dawa za kulevya aina ya Bhangi yenye uzito wa Kilo 168. Watuhumiwa walikamatwa Januari 21, 2026 baada ya kuingia katika Stendi Kuu…

Read More

Mali ni mtihani kwako, unaitafutaje? | Mwananchi

Haifichiki kwa mtu mwenye akili timamu kuwa Sharia ya Allah imekuja kulinda na kutimiza masilahi ya waja, na kuwalinda na maafa, ufisadi, na kuvunjika kwa mpangilio wa jamii. Wanazuoni wa Kiislamu wamekubaliana kuwa kulinda mali, kwa ujumla wake, ni miongoni mwa misingi mikuu ya Sharia. Ama yanayohusiana na kuitafuta mali, kuikuza na kuitumia, hayo yako…

Read More

Miguu inavyobeba hatima ya afya ya mwili wako

Dar es Salaam. Watu wengi huipa miguu umuhimu mdogo, wakikumbuka uwepo wake pale tu inapouma au kujeruhiwa.  Hata hivyo, kwa kuangazia vyanzo mbalimbali vya kimtandao vinavyohusu afya ya mwili, inaelezwa kuwa miguu ndiyo msingi wa mwili mzima, na hali yake ina athari kubwa kwa afya ya jumla ya binadamu. Kila hatua unayopiga, kila muda unaosimama…

Read More

Dondoo muhimu za afya kwa wanawake miaka 40+

Wanawake wenye umri wa miaka 40 na kuendelea wako katika hatari ya kuathiriwa na changamoto mbalimbali za kiafya. Changamoto hizi ni pamoja na saratani, uvimbe usio wa saratani, pamoja na magonjwa yasiyoambukiza kama magonjwa ya moyo, kisukari, ongezeko la lehemu mwilini na unene uliokithiri. Vilevile, kundi hili lipo katika hatari ya kupata magonjwa ya kuambukiza…

Read More

Magonjwa  yasiyoambukiza yanavyowanyemelea vijana | Mwananchi

Arusha. Magonjwa ya moyo ambayo kwa muda mrefu yalionekana kuwa ni tatizo linalowakumba zaidi wazee, sasa yameanza kuwakumba vijana kwa kasi inayoongezeka. Mabadiliko haya yamezua wasiwasi mkubwa miongoni mwa wataalamu wa afya, huku yakionesha wazi kuwa mtazamo wa awali kuhusu magonjwa hayo haupo tena. Zamani, haikuwa jambo la kushangaza kumkuta mtu mwenye umri wa kuanzia…

Read More

Bunge jipya litaleta chochote kipya kwa wastaafu?

Bunge jipya limeanza kazi Januari hii ya mwaka huu wa 2026, likitegemewa kufanya mambo mengi mapya ili kuiendeleza nchi yetu. Linategemewa kufanya hivyo kwa miaka mitano ijayo, ambapo wale watakaoonekana wametenda vyema kuiendeleza nchi watapewa na wananchi miaka mingine mitano ya kufanya vitu vyao vya kuendeleza nchi. Lakini wale “wenzangu mimi” ambao wataonekana hawakufanya lolote…

Read More