WATATU WATIWA MBARONI KWA KUSAFIRISHA DAWA ZA KULEVYA
JESHI la Polisi Mkoa wa Mbeya linawashikilia watuhumiwa watatu ambao ni Mseveni Menat, Mkazi wa Uyole, Fred Lulandala, Mkazi wa Mapelele na Joseph Ngelenge, Mkazi wa Uyole Jijini Mbeya kwa tuhuma za kusafirisha dawa za kulevya aina ya Bhangi yenye uzito wa Kilo 168. Watuhumiwa walikamatwa Januari 21, 2026 baada ya kuingia katika Stendi Kuu…