
WANAWAKE WA TAASISI YA UTAFITI WA MBOGA DUNIANI WAPELEKA TABASAMU MOTONYOK ARUSHA .
Na Dixon Hussein – Arusha WANAWAKE katika Taasisi ya Utafiti wa Mboga Duniani “World Vegetable Center” iliyopo Tengeru jijini Arusha wame wameacha tabasamu kwa watoto wanaoishi katika mazingira hatarishi wa kituo cha Motonyok baada ya kukabidhi zawadi ya vitu mbalimbali ikiwemo Mchele ,Sukari,Sabuni pamoja na nguo kama sehemu ya msaada kwa watoto hao Huu ni…