Vita ya ubingwa Ligi Kuu sasa Simba, Yanga

KILA siku zinavyozidi kwenda, Azam FC inashuka kiwango huku kipigo cha mabao 2-1 ilichokipata kutoka kwa Yanga, kikiweka rehani nafasi yao ya kushiriki michuano ya kimataifa msimu ujao huku ikiwa rasmi sasa haitaweza kumaliza ligi kwa kufikisha pointi zaidi ya 63. Azam iliyo nafasi ya tatu kwenye msimamo wa Ligi Kuu Bara, imekubali kichapo hicho…

Read More

Chombo cha kuendeleza utafiti wa usawa wa kijinsia katika mifumo ya chakula cha kilimo-maswala ya ulimwengu

Nicoline de Haan wakati wa kikao sambamba juu ya jinsia wakati wa Wiki ya Sayansi ya Cgiar. Mikopo: Naureen Hossain/IPS na Naureen Hossain (Nairobi) Jumamosi, Aprili 12, 2025 Huduma ya waandishi wa habari NAIROBI, Aprili 12 (IPS) – Ili kuendeleza ushiriki wa wanawake, vijana, na jamii ndogo katika sekta ya kilimo, hatua lazima zichukuliwe kutambua…

Read More

Taknolojia ilivyopaisha faida Mfuko wa Faida

Dar es Salaam. Mfuko wa Uwekezaji wa Faida Fund umeripoti ongezeko la faida kwa wawekezaji, kutoka asilimia 10 ya Juni 20, 2023, hadi asilimia 12 kwa mwaka ulioishia Juni 30, 2024. Hayo yamebainishwa Agosti 10, 2024 na Mwenyekiti wa Bodi ya Wakurugenzi, Abdul-Razaq Badru, katika mkutano mkuu wa kwanza tangu kuanzishwa kwa mfuko huo. Badru…

Read More

KAMBAYA AWACHAMBUA WAPINZANI, AWATAKA WATANZANIA WAWAPUUZE

*Aomba msamaha kuwadanganya Watanzania kuhusu Prof .Lipumba na ubobezi wa uchumi… Na Said Mwishehe, Michuzi TV ALIYEKUWA mwanachama wa siku nyingi katika Chama cha Wananchi (CUF) na aliyeshika nafasi mbalimbali za uongozi ndani ya Chama hicho  Abdul  Kambaya ambaye kwa sasa amejiunga na CCM amewataka Watanzania kutopoteza muda wao kwa vyama vya upinzani kwani havina…

Read More

Beki Yanga atimka Simba, wakala athibitisha

WAKATI Yanga ikiwafuatilia kwa ukaribu nyota wanne walioachwa na Simba Queens, Wekundu wa Msimbazi wamemalizana na beki wa pembeni wa Wananchi hao, Asha Omary. Yanga iko kwenye mpango wa kuwasajili Precious Christopher na Wincate Kaari ambao wote wawili waliitumikia Yanga Princess msimu uliopita kabla ya kujiunga na Mnyama, pamoja na Asha Djafar na Riticia Nabbosa….

Read More

Kocha mpya Simba mambo freshi ni suala la muda tu

HUKO Msimbazi mambo ni moto, kwani baada ya kuanza kutambulisha vifaa vipya ikianza na Lameck Lawi kutoka Coastal Union, kwa sasa inajiandaa kumtangaza kocha mpya na mashine nyingine mpya zitakazoingia kambini kuanzia kesho Jumatatu. Simba inataka kutambulisha benchi la ufundi ili kuanza kambi ikiwa kamili kwa ajili ya msimu ujao, huku Msauzi, Steve Khompela akitajwa….

Read More