MICHEZO ya vishale na bao imetoa mabingwa wapya kwenye michezo ya 39 ya SHIMIWI
Na Mwandishi Wetu, Mwanza MICHEZO ya vishale (darts) na bao imetoa mabingwa wapya kwenye michezo ya 39 ya Shirikisho la Michezo ya Wizara, Idara, Wakala za Serikali na Ofisi za Wakuu wa Mikoa (SHIMIWI), iliyofanyika kwenye Bwalo la Magereza Butimba jijini Mwanza. Katika mchezo wa vishale kwa wanawake bingwa mpya ni mchezaji Eliasenya Nnko kutoka…