Afya bora inaanzia kwenye sahani mezani

Unataka kuwa na afya njema, ngozi yenye mvuto, rangi nzuri na mwonekano unaovutia? Hujachelewa. Jibu la maswali haya yote linaanzia kwenye lishe, kwani lishe ndiyo msingi mkuu wa afya ya binadamu. Mwananchi imezungumza na wataalamu wa lishe kutoka Taasisi ya Chakula na Lishe Tanzania (TFNC) ili kufahamu kwa undani maana ya lishe bora inayoimarisha kinga…

Read More

WMA ARUSHA YATOA ONYO KALI KWA WAKULIMA WA VITUNGUU

Na.Vero Ignatus, Arusha  Wakala wa vipimo mkoani Arusha WMA wametoa onyo Kali Kwa wauzaji wa vitunguu kuacha kutumia vipimo vya  Rumbesa badala yake watumie vipimo vya mizani ili kupata thamani ya pesa na ujazo kamili bila kumuumiza mkulima wa zao la kitunguu. Hayo yameelezwa na Afisa kutoka Wakala wa  Vipimo mkoani hapa,Jassson Theonest  Wakati akitoa…

Read More

‘Ndoto hatari’ ni tishio kwa ushirikiano wa pande nyingi, naibu mkuu wa Umoja wa Mataifa anawaambia wabunge wa Denmark – Masuala ya Ulimwenguni

Hati ya kuanzishwa kwa Umoja wa Mataifa “ni dira yetu ya maadili,” alisema, akitoa wito wa kujitolea upya kwa ushirikiano wa pande nyingi unaojikita katika mshikamano, sheria za kimataifa na utu wa binadamu. Alisisitiza haja ya kuwekeza kwa amani – ambayo Baraza la Usalama na Mkutano Mkuu wote wamethibitisha kupitia maazimio juu ya uhuru na…

Read More

KUKATA MITI KARIBU NA MIUNDOMBINU YA UMEME NI HATARI -NJIRO

Afisa Uhusiano na Huduma kwa Wateja TANESCO Mkoa wa Ruvuma Alan Njiro, amewataka wananchi kuacha kabisa tabia ya kukata miti au kufanya shughuli zozote karibu na miundombinu ya umeme wakati umeme ukiwa unawaka ni hatari na inaweza kusababisha madhara makubwa ikiwemo vifo, kwani TANESCO hulazimika kukata umeme kwanza kabla ya kufanya kazi yoyote kwenye nguzo…

Read More

Kwa Chama Barker kashindwa kujizuia

KOCHA Mkuu wa Simba SC, Steve Barker ameshindwa kujizuia kwa kuonyesha kuvutiwa na urejeo wa kiungo fundi raia wa Zambia, Clatous Chama, akisema usajili huo ni hatua muhimu katika kuimarisha kikosi hicho kutokana na uzoefu wake. Mara ya kwanza, Chama alitua Simba mwaka…

Read More

Straika Yanga: Yule Okello mtu sana!

MSHAMBULIAJI wa zamani wa Yanga, Hamis Kiiza ‘Diego’ amemtabiria makubwa kiungo mpya wa timu hiyo, Allan Okello ‘Star boy’, huku akisema Yanga imelamba dume kwa nyota huyo wa Uganda akiamini atafanya mambo makubwa ndani ya klabu hiyo na kuandika rekodi yake mwenyewe huku akiitaja nidhamu yake kuwa ndio itakayombeba. …

Read More

Mashambulizi ya majira ya baridi nchini Ukraine, yakikaribia kupunguzwa kwa msaada wa chakula nchini Nigeria, ukame nchini Kenya – Masuala ya Ulimwenguni

Ni pamoja na mashambulizi katika eneo la Odesa siku ya Jumatano yaliyomuua mvulana wa miaka 17, kulingana na shirika la Umoja wa Mataifa la kutetea haki za watoto. UNICEF ambayo kuitwa kwa “mwisho wa mashambulizi kwenye maeneo ya kiraia na miundombinu ambayo watoto wanaitegemea.” Ofisi ya Umoja wa Mataifa ya Uratibu wa Masuala ya Kibinadamu…

Read More

Karata ya Pedro Misri ipo hapa!

YANGA tayari ipo jijini Alexandria, Misri kuvaana na wenyeji Al Ahly katika mechi ya Kundi B, huku wawakilishi hao wa Tanzania wakiwa na matumaini na kuendelea ilipoishia na kuwatoa hofu mashabiki na wapenzi wa klabu hiyo wakiwataka wawaombee dua tu ili wawape raha ugenini. …

Read More