Wagonjwa 700 kufikiwa na huduma ya mtoto wa jicho Songwe

Mbeya. Ili kukabiliana na tatizo la upofu unaoepukika, Hospitali ya Rufaa Kanda ya Mbeya kwa kushirikiana na Shirika la Kimataifa la Helen Keller International inatarajia kuweka kambi ya siku sita mkoani Songwe kwa ajili ya kuwahudumia wenye tatizo la mtoto wa jicho. Huduma hiyo inatarajia kuwafikia wananchi 700 katika maeneo mbalimbali mkoani humo, ikiwa na…

Read More

Sumaye asema Samia amedumisha amani, utulivu nchini

Mwanga/Same. Waziri Mkuu mstaafu wa Tanzania, Frederick Sumaye amesema miaka minne ya utawala wa Samia Suluhu Hassan umedhihirisha uimara wake wa kudumisha amani na utulivu nchini na kurudisha uhusiano wa kidiplomasia duniani. Wakati Sumaye akieleza hayo, mgombea mwenza wa urais wa Chama cha Mapinduzi (CCM), Dk Emmanuel Nchimbi amesema Samia anaishi kiapo alichokiapa cha kuilinda…

Read More

ATTF na Arthshakti Foundation Kushirikiana Kutoa Elimu ya Matumizi Sahihi ya Mitandao na Kuendeleza Uchumi Jumuishi

Na Karama Kenyunko, Michuzi Tv Taasisi ya Africa’s Think Tank Foundation (ATTF) kwa kushirikiana na Arthshakti Foundation nchini Tanzania imesema itaendelea kutoa elimu juu ya matumizi sahihi ya mitandao ya kijamii, hasa katika kipindi hiki cha kuelekea uchaguzi mkuu utakaofanyika Oktoba 29, 2025. Kwa mujibu wa taasisi hizo, kumekuwapo na ongezeko la matumizi mabaya ya…

Read More

JAMBO GROUP MDHAMINI MKUU PAMBA JIJI FC

Viongozi wa Jambo Group na viiongozi wa Pamba Jiji FC katika picha ya pamoja.Pamba jiji FC wakitembelea kiwanda cha Jambo Food product. Na Eunice Kanumba-Shinyanga Kampuni ya Jambo Group ya mjini Shinyanga sasa ni mdhamini mkuu wa timu ya Pamba FC ya jijini Mwanza katika msimu wa Ligi Kuu Tanzania Bara unaotarajiwa kuanza rasmi Septemba…

Read More

Shigela: Wananchi heshimuni sheria bila shuruti

Geita. Mkuu wa Mkoa wa Geita, Martin Shigela amewataka wananchi kuheshimu vyombo vya dola na kutii maelekezo yake bila shuruti hasa katika kipindi hiki cha kuelekea uchaguzi mkuu.Akizungumza leo Septemba 14,2025,wakati wa kukabidhi magari mapya 15 kwa jeshi la polisi mkoani humo, Shigela amesema ni desturi ya Watanzania kuheshimu askari polisi, hivyo ni vyema kuendeleza…

Read More

Opah tumaini jipya Hispania | Mwanaspoti

SD Eibar ya Ligi ya Wanawake Hispania imeboresha eneo la ushambuliaji kwa ajili ya msimu huu ikimsajili nyota wa Kitanzania, Opah Clement ambaye ana rekodi nzuri Ulaya. Opah kabla ya kujiunga na timu hiyo msimu uliopita aliichezea FC Juarez ya Mexico lakini hakuwa na msimu mzuri alicheza mechi sita bila kufunga bao wala asisti. Lakini…

Read More

Mngulumi na Deus waungana kusaka kura za CCM Kongwa

Kongwa. Mgombea ubunge wa Chama cha Mapinduzi (CCM) Jimbo la Kongwa, Isaya Mngulumi anafanya kazi na waliokuwa wagombea wenzake ili kutafuta kura. Kitendo hicho kinatajwa kuwa mkakati wa kumaliza makundi ndani ya chama. Hata hivyo, aliyeshika nafasi ya tatu katika kura za awali Deus Seif ameonekana kuwa turufu ya chama hicho ndani ya jimbo akitakiwa…

Read More