Srelio haitaki kurudia makosa | Mwanaspoti

BAADA ya timu ya Srelio kupoteza michezo miwili ya kwanza, kocha wa timu hiyo Miyasi Nyamoko amesema kwa mechi dhidi ya maafande wa ABC hawatarudia makosa katika vita ya Ligi ya Kikapu ya Mkoa wa Dar es Salaam (BDL). “Kwa kweli hadi tunafikia michezo tulizopoteza, tumeitana na tumejadiliana, ili kujua kitu kilichotungusha na tumeshajua sababu na sasa…

Read More

Mgunda aongeza nguvu kambi ya Namungo

KOCHA wa Namungo, Juma Mgunda anajiandaa kutua kambini jijini Dodoma ikiwa ni siku chache tangu atoke katika majukumu ya timu ya taifa ya Tanzania, Taifa Stars ili kuendelea na programu za kujiandaa na msimu mpya. Katibu wa timu hiyo, Ally Seleman alisema  Mgunda atajiunga na kambi iliyopigwa Dodoma na wachezaji walishaanza kufanya mazoezi chini ya…

Read More

Janja ya Pamba Jiji iko hapa

NYOTA wawili wa Pamba Jiji FC, Mkenya Mathew Momanyi Tegisi na Abdoulaye Yonta Camara raia wa Guinea, wameongeza mzuka ndani ya kikosi hicho kutokana na mchango wao wanaouonyesha kikosini, tangu wajiunge dirisha dogo la Januari mwaka huu. Momanyi ametokea Shabana FC ya kwao Kenya, huku kwa upande wa Camara akijiunga na kikosi hicho kwa mkopo…

Read More

Wakulima wa matikiti Kishapu walia fisi kuharibu mazao

Shinyanga. Wakulima wa zao la matikiti katika Kijiji cha Kishapu kilichopo katika Halmashauri ya Wilaya ya Kishapu mkoani Shinyanga, wanalazimika kujenga mahema mashambani ili kukabiliana na uharibifu wa zao hilo unaofanywa na fisi. Hayo yamebainishwa leo Februari 24, 2025 na Katibu wa kikundi cha Jipagile kilichopo katika kijiji hicho, Samwel Lusona amesema fisi hao hula…

Read More