Walimu Mara watilia shaka agizo la RC ukarabati wa shule

Musoma. Baadhi ya walimu wa shule za Serikali mkoani Mara wameiomba Serikali kuharakisha ukarabati wa majengo ya shule yaliyoharibika kabla ya shule kufunguliwa Januari mwaka ujao. Walimu hao wameeleza wasiwasi wao juu ya usalama wa wanafunzi na walimu wanaotumia majengo hayo, ambayo yanadaiwa kuwa katika hali mbaya na kuhatarisha maisha. Walimu hao wametoa maoni yao…

Read More

Wahudumu wa afya waonywa lugha chafu kwa wagonjwa Mbeya

Mbeya. Mganga Mkuu wa Mkoa wa Mbeya, Elizabeth Nyema ametoa angalizo kwa watoa huduma kwenye hospitali za Serikali, vituo vya afya na zahanati kuepuka matumizi ya lugha chafu za kukatisha tamaa  kwa wagonjwa wanaofika kupata huduma. Hatua hiyo imetajwa kusababisha malalamiko ya wananchi jambo linalowafanya kuona vituo vya afya sio  kimbilio la kupata huduma bora…

Read More

NABERERA CTK YAZINDUA MBEGU MPYA ZA NGURUWE TANZANIA

UZALISHAJI wa nguruwe Tanzania umekuwa ukiongezeka kutokana na uboreshwaji wa miradi unaofanywa na wafugaji nchini ambao wamekuwa wakiboresha ili kuendana na soko lililopo kwasasa ambsalo limeonekana kukua. Ameyasema hayo Mkurugenzi Msaidizi wa Huduma za Mifuko, Wizara ya Mifugo na uvuvi, Dk. Stanford Ndibalema wakati wa uzinduzi wa mbegu mpya za nguruwe pamoja na uhimilishaji wa…

Read More

Fadlu: Tulieni, ngoma bado mbichi

WANAYANGA hivi sasa wanatamba baada ya kuishusha Simba kileleni mwa msimamo wa Ligi Kuu Bara hali inayoongeza presha ya kubeba ubingwa. Hayo yakijiri, kocha mkuu wa Simba, Fadlu Davids anawavutia kasi huku akisema ngoja waone itakuwaje hadi mwisho kwani hata wao mbio za ubingwa bado zipo katika mafaili yao. Simba ambayo imetoka kupata sare ya…

Read More

Afariki kwa kupigwa shoti akiiba nyaya kwenye transfoma

Shinyanga. Mkazi wa kata ya Kitangili iliyopo katika Halmashauri ya Manispaa ya Shinyanga, Daniel Mussa Mageni (27) anadiwa kufariki dunia kwa kupigwa shoti ya umeme wakati akijaribu kuiba nyaya za umeme kwenye transfoma iliyopo kitongoji cha Isenegeja, Kijiji cha Isela wilayani Shinyanga. Tukio hilo limetokea leo Februari 24, 2025 baada ya shuhuda, John Shija kumkuta…

Read More