Ndoa si mbio za kasi, ni za masafa marefu

Ukiwaona wanandoa wapya wakitembea kwa bashasha, nyuso zikiwa zimejaa matumaini na mioyo ikidunda kwa ahadi za kesho njema, ni rahisi kuvutiwa na uzuri wa mwanzo wao. Lakini pia, si ajabu kwa wanandoa wakongwe, waliodumu katika taasisi ya ndoa kwa miongo kadhaa, kuwakazia macho kwa tabasamu lenye kumbukumbu nyingi, furaha, majaribu na ushindi wa safari ndefu….

Read More

TLS yaazimia mambo 10 kumtetea mwenzao, polisi yaonya

Dar/Mikoani. Chama cha Wanasheria wa Tanganyika (TLS), kimeamua mambo 10 ya kutekelezwa na wanachama wake, ikiwamo kutokupokea kesi za msaada wa kisheria kutoka mahakamani hadi hatua za kisheria zitakapochukuliwa dhidi ya waliohusika na shambulio dhidi ya Wakili Deo Mahinyila. Vilevile, TLS kupitia Baraza la Uongozi imetakiwa kupanga na kutangaza siku ya maandamano ya amani ya…

Read More

Mechi za Kufuzu Kombe la Dunia Kukupatia Ushindi

JE unajua kuwa unaweza kushinda leo kwenye mechi za kufuzu Kombe la Dunia Mataifa ya Afrika?. Mechi kibao za pesa zipo leo kuanzia majira ya saa 10:00 jioni. Ingia kwenye akaunti yako na uanze safari ya ushindi hapa. Katika kundi H, kutakuwa na mtanange wa kukata na shoka kati ya Equatorial Guinea dhidi ya Tunisia…

Read More

MARAIS AFRIKA WASHAURIWA KURUHUSU WANANCHI WAO KUFIKISHA MASHTAKA MAHAKAMA YA AFRIKA YA HAKI ZA BINAADAM NA WATU

Na Seif Mangwangi,  Michuzi TV Arusha WAKUU wa nchi wanachama wa umoja wa Afrika ambazo bado hazijaridhia itifaki ya uanzishwaij wa mahakama ya Afrika ya  Haki za binaadam na Watu(AfCPHR),  wametakiwa kuharakisha itifaki hiyo Ili kuruhusu Haki na demokrasia kutendeka katika nchi zao. Akizungumza kwenye hafla ya uzinduzi wa mwaka wa mahakama ya Watu na…

Read More

Serikali yaombwa kusaidia familia iliyoachwa yatima

Mufindi. Baada ya vifo vya wazazi vilivyotokana na ugomvi uliohusisha wivu wa kimapenzi, familia imeiomba Serikali iwasaidie ili watoto 11 walioachwa yatima, baadhi wakiwa bado wanasoma waondokane na hali ngumu ya maisha inayowakabili. Mama wa watoto hao, Elizabeth Kihombo (46), mkazi wa Kijiji cha Ihefu, wilayani Mufindi, mkoani Iringa, aliyetuhumiwa  kumuua mume wake, Philimon Lalika…

Read More

Namna ya kumsaidia mtoto anayemaliza darasa la saba

Dar es Salaam. Wakati wanafunzi wa darasa la saba wakitarajia kufanya mitihani yao ya kumaliza elimu ya msingi Septemba 10 na 11 mwaka huu, wadau wameainisha njia nzuri ya kuishi nao kwa miezi mitatu ijayo. Kipindi hiki cha likizo kinatajwa kuwa fursa nzuri kwa wazazi na walezi kusaidia kukuza vipaji vya watoto wao, hivyo kupata…

Read More