
Walimu Mara watilia shaka agizo la RC ukarabati wa shule
Musoma. Baadhi ya walimu wa shule za Serikali mkoani Mara wameiomba Serikali kuharakisha ukarabati wa majengo ya shule yaliyoharibika kabla ya shule kufunguliwa Januari mwaka ujao. Walimu hao wameeleza wasiwasi wao juu ya usalama wa wanafunzi na walimu wanaotumia majengo hayo, ambayo yanadaiwa kuwa katika hali mbaya na kuhatarisha maisha. Walimu hao wametoa maoni yao…