Mgaya Ally atimkia Oman | Mwanaspoti

BAADA ya kuitumikia Coastal Union kwa msimu mmoja, straika wa Kitanzania, Mgaya Ally amesema ni muda wa kuendelea kutafuta changamoto sehemu nyingine akitimkia Salalah SC ya Oman  kwa mkataba wa mwaka mmoja. Nyota huyo alijiunga na Wagosi wa Kaya wakati wa dirisha dogo la usajili akitokea FleetWoods Falme za Uarabu, UAE alikocheza kwa misimu miwili….

Read More

Dk Tulia aahidi kuanza na vipaumbele 15 Jimbo la Uyole

Mbeya. Mgombea ubunge wa Jimbo jipya la Uyole kupitia Chama Cha Mapinduzi (CCM), Dk Tulia Ackson, ametaja vipaumbele 15 ambavyo amesema vitabadili taswira ya Uyole ifikapo mwaka 2030, ikiwa ni pamoja na kuanzishwa kwa halmashauri mpya itakayojitegemea kimapato. Ametoa kauli hiyo jana Jumamosi, Septemba 13, 2025, katika uzinduzi wa kampeni uliofanyika Shule ya Msingi Hasanga,…

Read More

Tanzania na Algeria kushirikiana katika upatikanaji wa dawa salama, bora na fanisi.

Tanzania na Algeria zimekubaliana kushirikiana katika kuboresha uhusiano kwenye upatikanaji na uzalishaji wa dawa zenye usalama, ubora na ufanisi  katika nchi hizo. Hayo yamebainishwa na Waziri wa Dawa nchini Algeria  alipokutana na kufanya mazungumzo na ujumbe wa Wizara ya Afya Tanzania uluoongozwa na Mkurugenzi Mkuu wa TMDA, Dkr. Adam Fimbo pamoja na Balozi wa Tanzania…

Read More

Wananchi wa Kalila walia zahanati kutokamilika

Rukwa. Wananchi wa Kijiji cha Kalila, Kata ya Kabwe, Wilaya ya Nkasi mkoani Rukwa, wameiomba Serikali kukamilisha ujenzi wa zahanati ya kijiji hicho, ambayo imeshindwa kukamilika kwa muda mrefu sasa. Wamesema kutokana na kadhia hiyo, wajawazito hujikuta wakijifungulia njiani au majini wakiwa kwenye mitumbwi wakifuatilia huduma hiyo katika maeneo mengine. Wakizungumza na Mwananchi leo Jumapili,…

Read More

Wananchi Kigoma waeleza matumaini yao kwa mgombea urais wa CCM

Kigoma. Wananchi wa Kigoma wameeleza matumaini yao kwa mgombea urais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania kupitia Chama cha Mapinduzi (CCM), Samia Suluhu Hassan, wakimtaka atekeleze ahadi alizozitoa kwenye huduma mbalimbali za kijamii. Wananchi hao wameeleza hayo kwa nyakati tofauti leo Sepemba 14, 2025 kwenye mikutano ya kampeni ya mgombea huyo wa urais, ambayo ameifanya…

Read More

DKT. NCHIMBI ATUA MWANGA,AWASHUKURU NA KUOMBA KURA KWA WANANCHI

::::::::::: MGOMBEA Mwenza wa Kiti cha Urais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania kwa tiketi ya Chama Cha Mapinduzi (CCM), Balozi Dkt. Emmanuel John Nchimbi, amewasili Wilayani Mwanga na kuwahutubia Wananchi wa Mwanga kwenye mkutano wake mdogo wa kampeni uliofanyika katika viwanja vya mikutano vya Cleopa Msuya, leo Jumapili Septemba 14,2025 mkoani Kilimanjaro. Mara baada…

Read More

Mazingira kujua mpenzi wako sio mwaminifu

Dar es Salaam. Kila mmoja atakubaliana na mimi kwamba uhusiano baina ya wapendanao ulikusudiwa kuwa wa upendo, maelewano, kuaminiana, na urafiki wa hali ya juu. Kwa bahati mbaya hali halisi siyo hiyo katika uhusiano wa watu wengi. Wengi wetu tumeumizwa kwa mpenzi mmoja au mara nyingine wote kutokuwa waaminifu katika uhusiano. Kutokuwa mwaminifu hapa namaanisha…

Read More

TUGHE KUWANOA WAFANYAKAZI NA WAAJIRI ILI KUBORESHA UTENDAJI KAZI

 :::::::::::: 14 Septemba 2025, ARUSHA Chama cha Wafanyakazi wa Serikali na Afya Tanzania (TUGHE) kimeandaa mafunzo yatakayowakutanisha Wafanyakazi na Waajiri yanayojulikana kama “Semina ya Waajiri na Viongozi wa Matawi ya TUGHE yatakayofanyika jijini Arusha kuanzia tarehe 15-18 Septemba 2025. Mafunzo hayo muhimu yanatarajia kuwakutanisha takribani washiriki 1000 kutoka kutoka Serikalini na Taasisi za Serikali na…

Read More