Serikali kuendelea kuimarisha miundombinu ya elimu

  -Kamati yaridhishwa na ujenzi Chuo kikuu Mzumbe kampasi ya Tanga Na Mashaka Mhando, Mkinga WAZIRI wa Elimu, Sayansi na Teknolojia, Prof. Adolf Mkenda, amesema Serikali itaendelea kuimarisha miundombinu ya elimu ya juu kupitia miradi ya kimkakati ikiwemo ule wa Mageuzi ya Kiuchumi (HEET), ili kuchochea utafiti na ubunifu utakaosaidia maendeleo ya kijamii na kiuchumi….

Read More

WAZIRI NANAUKA -SERIKALI ITAENDELEA KUVIPA KIPAUMBELE VIKUNDI VINAVYOREJESHA MIKOPO

Na Oscar Assenga,Muheza, Tanga Waziri wa Nchi Ofisi ya Rais anayeshughulikia Maendeleo ya Vijana, Joel Nanauka amesema serikali itaendelea kuvipa kipaumbele vikundi vya vijana vinavyoonyesha uwajibikaji kwa kurejesha mikopo wanayopewa ili viweze kukuza shughuli zao za kiuchumi. Nanauka aliyasema hayo leo wakati wa ziara ya Kamati ya Kudumu ya Bunge ya Ustawi na Maendeleo ya…

Read More

Badili mazingira kuacha tabia usiyoipenda

Nilipoanza mkakati wa kuacha kutia sukari kwenye chai au kahawa, haikuwa kazi nyepesi. Kwa muda mrefu, kitendo cha kujaribu kuacha kilikuwa kama adhabu fulani hivi kwangu. Ningeweza, mathalani, kujitahidi kuacha sukari kwa siku kadhaa lakini baadae ningejikuta nikijiambia, ‘acha nitumie sukari leo kwa mara ya mwisho. Kesho nitaendelea na mpango wangu.’ Haikuwa sukari pekee. Kwa…

Read More

Manusura ajali ya boti Kigoma, wafunguka

Kigoma. Majeruhi walionusurika katika ajali ya boti iliyouwa saba, wakiwemo watumishi wanne wa idara ya afya mkoani Kigoma, wamesimulia mkasa mzima hadi kutokea kwa tukio hilo. Ajali hiyo, ilitokea Machi 13, 2026 katika Kijiji cha Kalalangabo ndani ya Ziwa Tanganyika, saa 2 asubuhi na mwili wa mtu mmoja hadi sasa bado haujapatikana. Majeruhi hao, wametoa…

Read More

Serikali kujenga gati mpya kilipo Chuo cha Bandari

Dar es Salaam. Serikali imekusudia kukihamisha Chuo cha Bahari Dar es Salaam (DMI)  na kutumia eneo hilo kwa ajili ya kujenga gati ikiwa ni moja ya hatua za kupanua Bandari ya Dar es Salaam. Kuhamishwa kwa chuo hicho, kunalenga kukipeleka katika eneo kubwa zaidi la Kimbiji lililopo Kigamboni jijini Dar es Salaam kutoka katika eneo…

Read More

Msimamo wa Mahakama Tume ya Matukio ya Oktoba 29

Dar es Salaam. Ijumaa Machi 13, 2026 Mahakama Kuu Dar es Salaam ilitoa uamuzi wa shauri la kupinga Tume ya Rais ya Kuchunguza Matukio ya Uvunjifu wa Amani  Wakati na Baada ya Uchaguzi Mkuu wa Oktoba 29, 2025, ambapo iliihalalisha tume hiyo. Katika makala haya tunakuletea kwa undani kuhusu uamuzi huo kwa kuangazia malalamiko ya…

Read More

VITA MASHARIKI YA KATI: Tujipange, bei ya mafuta kupaa

Dar es Salaam. Mpaka sasa vita vya Mashariki ya Kati vinavyohusisha Marekani na Israel dhidi ya Iran vimegharimu maisha ya watu wengi katika mataifa hayo, lakini kwa Afrika vinang’ata kwa namna yake, ikiwemo kupanda kwa bei na changamoto ya upatikanaji wa mafuta. Tayari bei ya mafuta imepanda hadi kufikia karibu Dola 100 za Marekani jana,…

Read More

SGR kuanza kutoa mizigo bandarini

Dar es Salaam. Serikali imesema kuanzia mwisho wa mwezi huu, itaanza kutumia Treni ya Kisasa (SGR) kusafirisha mizigo moja kwa moja kutoka bandarini, badala ya kutumia bandari ya Pugu kama ilivyokuwa awali. Hayo yameelezwa baada ya Kamati ya Kudumu ya Bunge ya Miundombinu kudai kuwa uondoshaji wa mizigo bandarini ni sababu inayofanya ufanisi wa bandari…

Read More