Mchungaji atoa ushahidi kesi ya Dk Manguruwe

Dar es Salaam. Mchungaji Enock Likoma ameieleza Mahakama ya Hakimu Mkazi, Kisutu jinsi alivyoshawishiwa na kampuni ya Vanilla International Limited kwa kuwekeza pesa katika kampuni hiyo inayojishughulisha na kilimo cha mazao mbalimbali. Mchungaji Likoma ameeleza hayo wakati akitoa ushahidi wake katika kesi ya uhujumu uchumi inayomkabili mkurugenzi mwanzilishi wa kampuni hiyo ya vanila, Simon Mkondya,…

Read More

Wazee waazimia mambo manne kuliponya Taifa

Dar es Salaam. Wazee kutoka mikoa mbalimbali nchini  wameazimia mambo manne, ikiwemo kutaka mchakato wa upatikanaji wa Katiba mpya uanze ili kujenga na kuimarisha umoja na amani katika Taifa. Mengine ni pamoja na Serikali kutoa taarifa kamili, ndani ya muda muafaka na kwa uwazi, kuhusu vifo na mali zilizoharibiwa wakati wa maandamano yaliyoibua vurugu Oktoba…

Read More

Watumiaji Stendi ya Magufuli walia ukosefu wa maji

Dar es Salaam. Watumiaji wa Kituo Kikuu cha Mabasi cha Magufuli, Mbezi Luis, jijini Dar es Salaam wanakabiliwa na hofu ya magonjwa ya mlipuko kutokana ukosefu wa majisafi ulioanza tangu Desemba mwaka jana. Imeelezwa  kuwa, kukosekana huduma hiyo mara kwa mara kunasababisha vyoo kukosa maji hali inayolazimu baadhi ya abiria, wafanyabiashara na watumiaji wengine kujisaidia…

Read More

Uhalifu wa kivita huchunguza ahadi za kuendelea kufanya kazi kwa ajili ya haki na uwajibikaji – Masuala ya Ulimwenguni

“Bodi ya Amani imeundwa kwa mujibu wa mpango ambao uliwasilishwa kwa Baraza la Usalama ambayo yamepigiwa kura na kukubaliwa,” alisema Srinivasan Muralidhar, Mwenyekiti wa Tume ya Uchunguzi kuhusu Eneo la Palestina linalokaliwa kwa mabavu, ikiwa ni pamoja na Jerusalem Mashariki na Israel. “Kama Tume ya Uchunguzi, tunaona kazi yetu kama kuchunguza ukiukaji wa haki za…

Read More

MKAZI PUGU STESHENI AKUTWA AMEJINYONGA KWENYE MTI

………… Mtu mmoja aliyefahamika kwa jina la Haidary Omary Mkazi wa Mtaa wa Pugu Stesheni Kata ya Pugu Stesheni jijini Dar es salaam amekutwa amefariki dunia baada ya kujinyonga kwenye mti. Akizungumza na Torchmedia kwa hisia bibi wa Marehemu Bi.Jevu amesema marehemu alimuaga siku ya Jumatatu akimueleza anaondoka watakutana kwa Mungu kisha akamuachia Shilingi 3000…

Read More