Mashishanga agonga 90, akumbuka migogoro Moro
Steven Mashishanga ni kati ya wanasisasa wakongwe nchini ambao watakumbukwa kwa mchango wao katika utumishi wa umma, hasa katika nafasi ya mkuu wa mkoa aliyoitumikia wakati wa Serikali ya awamu ya tatu chini ya Hayati Benjamin Mkapa. Amefanya kazi kama mkuu wa mkoa kwenye mikoa tofauti, ikiwamo ya Tabora (1995 – 1999), Mwanza (1999 –…