Maswali kutekwa mwanafunzi, kuuawa na mwili kuchomwa

Mbeya. Aliyekuwa mwanafunzi wa Chuo Kikuu Mzumbe ndaki ya Mbeya, Shairose Mabula ameuawa kikatili kisha mwili kuchomwa moto, tukio lililoibua simanzi na maswali lukuki. Mwili wa mwanafunzi huyo ukitarajiwa kuzikwa kesho Jumamosi, Septemba 20, 2025, baba yake mzazi, Dk Mabula Mahande, amesimulia tukio hilo huku akiliomba Jeshi la Polisi kuongeza nguvu kuwabaini na kuwakamata waliohusika….

Read More

TRA yajizatiti huduma kwa wafanyabiashara wadogo

Dar es Salaam. Wafanyabiashara wadogo na wa kati mkoani Dar es Salaam wametakiwa kuchangamkia dawati la uwezeshaji biashara lililozinduliwa likilenga kuimarisha biashara zao. Dawati hilo limezinduliwa leo Septemba 27, 2025 na Kamishna Mkuu wa Mamlaka ya Mapato Tanzania (TRA), Yusuph Mwenda, katika hafla iliyofanyika kwenye viwanja vya Mnazi Mmoja jijini Dar es Salaam. Dawati hilo…

Read More

“Vita vya wenyewe kwa wenyewe Havitaepukika” – Masuala ya Ulimwenguni

Waandamanaji wa Iran waandamana katikati ya jiji la Manchester. Akiungwa mkono na Israel, Reza Pahlavi, mtoto wa mfalme aliyepinduliwa nchini Iran mwaka 1979, amekuwa sura inayoonekana zaidi ya upinzani wa Iran uliogawanyika. Credit: Karlos Zurutuza/IPS na Karlos Zurutuza (Manchester, Ufalme wa Muungano) Jumanne, Machi 17, 2026 Inter Press Service MANCHESTER, Uingereza, Machi 17 (IPS) –…

Read More

Beti Mechi za EUROPA na Odds Tamu za Meridianbet

Je unajua kuwa Meridianbet ndio wakali wa Odds Tanzania?. Yaani namaanisha kuwa ukitaka Odds kubwa na za kibabe wewe njoo hapa na ubashiri leo. Lakini pia unaweza ukaibuka bingwa kwani machaguo ni mengi hapa. Fenerbahce atamualika kwake Nottingham Forest kutoka kule Uingereza na takwimu zinaonesha kuwa hawa wawili hawajawahi kukutana hivyo hii ndio mara yao…

Read More

GGML Kili Challenge Yashiriki Maonesho ya Kilimanjaro Marathon 2026

Moshi, Tanzania GGML Kili Challenge inayotekelezwa kupitia GGML Kili Trust, inashiriki Kilimanjaro Marathon 2026, maarufu kama “Mbio za Watu”, kupitia maonesho yanayofanyika katika viwanja vya Ushirika, Moshi, yaliyoanza tarehe 20 na kuendelea hadi 22 Machi.  GGML Kilimanjaro Challenge Against HIV/AIDS ni mpango wa kuhamasisha ushiriki wa wadau mbalimbali katika mapambano dhidi ya UKIMWI nchini. Kupitia…

Read More

Nsajigwa asaka rekodi Transit Camp

KOCHA wa Transit Camp, Shadrack Nsajigwa ‘Fuso’, amesema miongoni mwa malengo yake makubwa na timu hiyo ni kuhakikisha anaipandisha Ligi Kuu Bara, licha ya ushindani mkubwa na makocha wenzake wazoefu katika timu mbalimbali za Championship. Nyota huyo wa zamani wa Yanga na timu ya taifa ya Taifa Stars, amejiunga na timu hiyo inayoshiriki Ligi ya…

Read More