
NIPE, NIKUPE! Dili za kubadilishana wachezaji zilizokuwa gumzo Ulaya
LONDON, ENGLAND: LISEMWALO ni kwamba kuna uwezekano mkubwa kutokea dili kubwa la kubadilishana wachezaji, litakalomshuhudia straika Romelu Lukaku akienda Napoli na mwenzake, Victor Osimhen akitua Chelsea. Bila shaka ni dili linalosubiriwa kwa hamu kubwa na mashabiki wa soka wa huko Ulaya. Kinachoelezwa ni kwamba, Chelsea inahitaji huduma ya straika mpya kwenye kikosi chao na wanamtazama…