NIPE, NIKUPE! Dili za kubadilishana wachezaji zilizokuwa gumzo Ulaya

LONDON, ENGLAND: LISEMWALO ni kwamba kuna uwezekano mkubwa kutokea dili kubwa la kubadilishana wachezaji, litakalomshuhudia straika Romelu Lukaku akienda Napoli na mwenzake, Victor Osimhen akitua Chelsea. Bila shaka ni dili linalosubiriwa kwa hamu kubwa na mashabiki wa soka wa huko Ulaya. Kinachoelezwa ni kwamba, Chelsea inahitaji huduma ya straika mpya kwenye kikosi chao na wanamtazama…

Read More

Zelensky amwandikia barua Trump, akubali kukutana na Putin

Washington. Rais wa Marekani, Donald Trump amefichua kuwa ofisi yake imepokea barua kutoka kwa Rais wa Ukraine, Volodymyr Zelensky, ikisema yuko tayari kwa mazungumzo na Russia na kusaini makubaliano ya madini adimu. “Ukraine iko tayari kukaa kwenye meza ya mazungumzo haraka iwezekanavyo ili kuleta amani ya kudumu. Hakuna anayetaka amani zaidi ya Waukraine,” Trump amesema…

Read More

Ramovic afunguka kilichomkwamisha Ikanga Speed

Kikosi cha Yanga juzi kilishuka uwanjani na kuifumua Copco kwa mabao 5-0 katika mechi ya Kombe la Shirikisho, huku mashabiki wakiachwa njia panda baada ya kumkosa uwanjani winga wao mpya Jonathan Ikangalombo ‘Ikanga Speed’, hata hivyo imefichuka sababu zilizomzuia nyota huyo kushindwa kucheza. Kocha wa Yanga Sead Ramovic ameliambia Mwanaspoti, sababu ya kukosekana kwa winga…

Read More

Siwale ajitosa kuomba ridhaa CUF, autaka urais

Mbeya. Mwanachama wa Chama cha Wananchi (CUF) kutoka Mkoa wa Songwe, Nkunyutila Siwale, amechukua na kurejesha fomu ya kuomba kuteuliwa na chama hicho kugombea urais katika uchaguzi mkuu wa mwaka huu. Zoezi hilo lilifungwa jana, Julai 15, likihitimishwa na wawaniaji wawili kutoka ukanda wa Nyanda za Juu Kusini na hivyo kufikisha jumla ya wagombea sita…

Read More

Hivi ndivyo bima ya afya kwa wote itakavyokuwa

Dar es Salaam. Mfuko wa Taifa wa Bima ya Afya (NHIF), umetoa ufafanuzi kuhusu mwelekeo wa mpango wa bima ya afya kwa wote, ukibainisha kuwa gharama kwa kaya moja yenye watu sita itakuwa Sh150,000 kwa mwaka, sawa na Sh25,000 kwa kila mwanakaya. Kifurushi hicho chenye jumla ya huduma 277, kitamuwezesha kiongozi wa kaya kulipa kwa…

Read More

Mambo haya yanaharibu ufanisi wako kazini

Tofauti kati ya maeneo ya biashara, ujasiriamali, kazi za kuajiriwa, au shughuli nyinginezo kama matumizi ya barabara na maisha ya familia, mara nyingi hujikita katika maadili yanayotawala maeneo hayo. Ni takriban asilimia 5 hadi 10 tu ya watu wanaofuata maadili ya kazi kikamilifu, huku wengi wakiendeshwa na mazoea na hali walizozikuta, bila kujiuliza kama mifumo…

Read More

TBF yaanza na vijana wapya 45

VIJANA 45 wanaocheza kikapu wenye umri wa miaka 16-18 wameshiriki katika kliniki ya mchujo wa kutafuta timu ya taifa ya vijana kwenye Uwanja wa Donbosco, Oysterbay, Dar es Salaam. Kliniki hiyo iliandaliwa na Shirikisho la Kikapu Tanzania (TBF), ikiwa chini ya udhamini na ICARRe Foundation, ambapo Mwanaspoti lililokuwepo uwanjani hapo lilishuhudia vijana hao wakianza kwa…

Read More

Fikiria, itakuaje wote tukiacha kutumia pesa taslimu

Fikiria siku moja ambapo hakuna Mtanzania atakayehitaji tena kutumia pesa taslimu. Kuanzia muuza chipsi wa Buguruni hadi kwa wavuvi wa Mafia na mwambao wa Tanga, kila mtu anapokea na kufanya malipo kwa njia ya kidijitali. Watoto watafunguliwa akaunti za akiba kwa kutumia tu namba ya cheti cha kuzaliwa kupitia simu ya mkononi, bila kwenda benki….

Read More