Mashishanga agonga 90, akumbuka migogoro Moro

Steven Mashishanga ni kati ya wanasisasa wakongwe nchini ambao watakumbukwa kwa mchango wao katika utumishi wa umma, hasa katika nafasi ya mkuu wa mkoa aliyoitumikia wakati wa Serikali ya awamu ya tatu chini ya Hayati Benjamin Mkapa. Amefanya kazi kama mkuu wa mkoa kwenye mikoa tofauti, ikiwamo ya Tabora (1995 – 1999), Mwanza (1999 –…

Read More

Meridianbet Yaisogeza Mtaani Meridian Bonanza

MERIDIANBET imeusogeza kwenu mchezo mpya wa kasino mtandaoni, Meridian Bonanza, ambao tayari unazua shauku kwa wapenzi wa michezo ya kubashiri. Mchezo huu ni mkubwa, wa kisasa na wenye ubunifu wa hali ya juu, unaokuweka karibu na ushindi wa kusisimua kila unapopiga mzunguko wako. Meridian Bonanza inachagizwa upekee wake kwa kipengele cha Ante Bet. Wachezaji wanapewa…

Read More

TGNP, WADAU WAADHIMISHA SIKU YA WANAWAKE DUNIANI 2025, WAZINDUA KITABU CHA SAFARI YA BEIJING

Mhe. Shamim Khan, Mwenyekiti wa Jumuiya ya Wanawake wa Kiislamu Tanzania (BAKWATA) na Mbunge Mstaafu, ambaye pia alikuwa Mbunge mwanamke wa Kwanza wa kuchaguliwa kwa kura katika Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania (1985, Jimbo la Morogoro Mjini) akionesha Kitabu cha Safari ya Beijing ‘The Beijing Journey’Mhe. Shamim Khan, Mwenyekiti wa Jumuiya ya Wanawake…

Read More

Dada wa Raila Odinga afariki dunia

Dar es Salaam. Familia ya aliyekuwa kinara wa upinzani na Waziri Mkuu wa zamani wa Kenya, hayati Raila Odinga imepata msiba mwingine baada ya dada wa kiongonzi huyo, Beryl Odinga, kufariki dunia.  Kwa kujibu wa vyombo vya habari vya Kenya ikiwemo Taifa Leo, kifo chake kimetangazwa na dada yao mdogo, Ruth Odinga, ambaye amesema Beryl…

Read More

Mkutano wa AFPPD Unashughulikia Mabadiliko ya Tabianchi na Usawa wa Jinsia – Masuala ya Ulimwenguni

Katibu Mkuu wa AFPPD, Dk. Jetn Sirathranont, akihutubia katika mkutano wenye kaulimbiu ya Uwezeshaji wa Jinsia kwa Uchumi wa Kijani huko Islamabad, Pakistan. Mkopo: AFPPD na Annam Lodhi (Islamabad) Alhamisi, Agosti 15, 2024 Inter Press Service ISLAMABAD, Agosti 15 (IPS) – Ukusanyaji thabiti wa takwimu, sera jumuishi, na msukumo wa kasi kuelekea uchumi wa kijani…

Read More

“Wanaume tumieni fimbo ndogo, siyo kubwa”

Hayo ni maneno ya mama mmoja nchini Kenya aliyekuwa akilalamikia unyanyasaji wa kijinsia nchini humo hasa matumizi ya fimbo kubwa na ngumi baina ya wanandoa. Alitoa suluhisho ambalo si wengi wangelitegemea kwa kupendekeza fimbo ndogo badala ya kubwa. Kisanii, mama yule alisema, ‘wanaume tumieni ile fimbo ndogo aliyowapea Mungu.” Kwa wanandoa, wanajua hii fimbo ni…

Read More