
DKT. NCHIMBI ATUA MWANGA,AWASHUKURU NA KUOMBA KURA KWA WANANCHI
::::::::::: MGOMBEA Mwenza wa Kiti cha Urais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania kwa tiketi ya Chama Cha Mapinduzi (CCM), Balozi Dkt. Emmanuel John Nchimbi, amewasili Wilayani Mwanga na kuwahutubia Wananchi wa Mwanga kwenye mkutano wake mdogo wa kampeni uliofanyika katika viwanja vya mikutano vya Cleopa Msuya, leo Jumapili Septemba 14,2025 mkoani Kilimanjaro. Mara baada…