Mchungaji atoa ushahidi kesi ya Dk Manguruwe
Dar es Salaam. Mchungaji Enock Likoma ameieleza Mahakama ya Hakimu Mkazi, Kisutu jinsi alivyoshawishiwa na kampuni ya Vanilla International Limited kwa kuwekeza pesa katika kampuni hiyo inayojishughulisha na kilimo cha mazao mbalimbali. Mchungaji Likoma ameeleza hayo wakati akitoa ushahidi wake katika kesi ya uhujumu uchumi inayomkabili mkurugenzi mwanzilishi wa kampuni hiyo ya vanila, Simon Mkondya,…