Watumiaji Stendi ya Magufuli walia ukosefu wa maji
Dar es Salaam. Watumiaji wa Kituo Kikuu cha Mabasi cha Magufuli, Mbezi Luis, jijini Dar es Salaam wanakabiliwa na hofu ya magonjwa ya mlipuko kutokana ukosefu wa majisafi ulioanza tangu Desemba mwaka jana. Imeelezwa kuwa, kukosekana huduma hiyo mara kwa mara kunasababisha vyoo kukosa maji hali inayolazimu baadhi ya abiria, wafanyabiashara na watumiaji wengine kujisaidia…