Watumiaji Stendi ya Magufuli walia ukosefu wa maji

Dar es Salaam. Watumiaji wa Kituo Kikuu cha Mabasi cha Magufuli, Mbezi Luis, jijini Dar es Salaam wanakabiliwa na hofu ya magonjwa ya mlipuko kutokana ukosefu wa majisafi ulioanza tangu Desemba mwaka jana. Imeelezwa  kuwa, kukosekana huduma hiyo mara kwa mara kunasababisha vyoo kukosa maji hali inayolazimu baadhi ya abiria, wafanyabiashara na watumiaji wengine kujisaidia…

Read More

Uhalifu wa kivita huchunguza ahadi za kuendelea kufanya kazi kwa ajili ya haki na uwajibikaji – Masuala ya Ulimwenguni

“Bodi ya Amani imeundwa kwa mujibu wa mpango ambao uliwasilishwa kwa Baraza la Usalama ambayo yamepigiwa kura na kukubaliwa,” alisema Srinivasan Muralidhar, Mwenyekiti wa Tume ya Uchunguzi kuhusu Eneo la Palestina linalokaliwa kwa mabavu, ikiwa ni pamoja na Jerusalem Mashariki na Israel. “Kama Tume ya Uchunguzi, tunaona kazi yetu kama kuchunguza ukiukaji wa haki za…

Read More

MKAZI PUGU STESHENI AKUTWA AMEJINYONGA KWENYE MTI

………… Mtu mmoja aliyefahamika kwa jina la Haidary Omary Mkazi wa Mtaa wa Pugu Stesheni Kata ya Pugu Stesheni jijini Dar es salaam amekutwa amefariki dunia baada ya kujinyonga kwenye mti. Akizungumza na Torchmedia kwa hisia bibi wa Marehemu Bi.Jevu amesema marehemu alimuaga siku ya Jumatatu akimueleza anaondoka watakutana kwa Mungu kisha akamuachia Shilingi 3000…

Read More

Wazazi wakaliwa kooni kuchangia chakula shuleni

Dar es Salaam.  Wataalamu wa lishe na viongozi wa Serikali wamependekeza kuanzishwa kwa sheria zitakazolazimisha wazazi kuchangia chakula cha watoto wao shuleni. Mapendekezo hayo yametolewa leo Alhamisi Januari 22, 2026, jijini Dodoma wakati wa Mkutano wa Tathmini ya Mkataba wa Lishe kwa mwaka 2024/25. Wametoa mapendekezo hayo kufuatia wito wa Waziri wa Nchi, Ofisi ya…

Read More

Bugando yaanza upasuaji wa matundu wagonjwa wa magoti

Mwanza. Hospitali ya Rufaa ya Kanda ya Ziwa Bugando, iliyopo jijini Mwanza imeanza kutoa huduma ya upasuaji wa kisasa wa matundu madogo kwa wagonjwa wenye matatizo ya magoti na vifundo vya miguu. Hatua hiyo inalenga kupunguza gharama na mateso kwa wananchi wa Kanda ya Ziwa na maeneo ya jirani. Awali, wagonjwa waliokuwa wakifika Bugando walihudumiwa…

Read More

Hii ndio sababu ya uwepo wa utapiamlo

Dar es Salaam. Katibu Mkuu Wizara ya Afya, Dk Seif Shekalaghe amesema jamii inakabiliwa na utapiamlo unaotokana na lishe duni unaochangiwa na kukosekana kwa elimu ya kupika vyakula vilivyopo. Amesema kutokana na hali hiyo,  Rais Samia Suluhu Hassan aliingia mikataba ya lishe na wakuu wa mikoa, wilaya na viongozi mbalimbali kwa lengo kuimarisha utoaji wa…

Read More

WIZARA YAKUTANA NA KAMATI YA MAMBO YA NJE BUNGE

::::: Waziri wa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Afrika Mashariki, Mhe. Balozi Mahmoud Thabit Kombo (Mb.) ameongoza Menejimenti ya Wizara katika kikao na Kamati ya Kudumu ya Bunge ya Mambo ya Nje, Ulinzi na Usalama (NUU) kilichofanyika katika Ofisi za Bunge jijini Dodoma. Kikao hicho kiliongozwa na Mwenyekiti wa Kamati hiyo, Mhe. Najma Murtaza…

Read More

Masilahi bora ya wafanyakazi yatajwa msingi wa ufanisi Tanesco

Dodoma. Masuala ya masilahi na haki za wafanyakazi yanatajwa kupewa kipaumbele  katika juhudi za kuimarisha ufanisi wa Shirika la Umeme Tanzania (Tanesco), huku Serikali ikisisitiza usimamizi madhubuti na ushirikiano kazini kama nguzo muhimu za utoaji wa huduma bora za umeme nchini. Kauli hiyo imetolewa leo Alhamisi Januari 22, 2026 na Waziri wa Nishati, Deogratius Ndejembi…

Read More